Jinsi ya kupika Maharage ya Nazi matamu sana (Coconut Beans Recipe ).....S01E27
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- INGREDIENTS
Boiled Beans
Carrot
Capsicum
Onion
1 Tomato
1Scotch Bonnet
Salt
Olive Oil
Coconut Milk
Song: Usiniache
Artist: Dallarz
• Dallarz - Usiniache (o...
Instagram: / bmagickitchen
Yaaaaani marage yamekolea nazi vizuriiiiiiiiiiiiiii ..... nimependa unavyoelekeza dear 🥰
Aaaawww!!! Jamani dear asante sana kwa kuangalia... Hata mm napenda sn unavyoelekeza my dear, naipenda Channel yako😊🥰😘
Ya ika anajuwa kuelekeza vizur kama mimi. Halafu anapika kama mimi
Nice my
@@hatamimnimempendabulejaman1596 asante sana😊 naomba usubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen na ninakukaribisha uangalie na zingine.
Inapendeza my
We dada weeh, acha nikanunue jiko...kupika nitajifundishia humu kwako😍😍
😂😂😂 sawa sawa na krb tena tena ujifunze.
Just know that when i wanna try something new, i always visit your page😊👌🏻Thanks
Usikoroge sana yatarojeka hutakula maharage utakuja mchuzi wa maharage but excellent
Thank you for this simple recipe. My meal ilikuwa tamuuuuuuuuuu! I used pojo and it still came out delicious. Shukran!😊
Nimebandika hapa pia naangalia ujuzi wako dear asante sana kwa pishi unaelekeza vizuli sana❤
Wow nmelipenda sanaa pishi lako dadangu😂😂shemegi yako kula nje itakuwa marufuku✌asante kwa mafunzo
😂😂😂😂 safi sana my na ninashukuru kwa support yako👏🏾❤
Maharagwe yavutia hadi raha👌
Asante sana my dear❤❤❤
Waoo yani mate yananitoka hapa
Asante umnsaidia leo mn nlkiwa sjui at iy kupka alf mama alikuw hyp nymbn kwhy asant
Who is here in 2024
Mimi😹😹
Kitunguu somu mamy ila nimelipenda😘😘😋😋
Oooh ok, asante sana.
Kama mimi safi sana!
Mwanamke jiko 👌👏
Yummy 😋 😋 Naomba plug ya pahali naweza nunua kisagio cha 🍅 na 🌶
Hongera my unaelekeza vizuri wengine mmmmhh majanga utadhani anakimbiza kuku
😂😂😂😂 umenichekesha sana, nakushukuru pia sana kwa support yako🙏🏾
Kwakweli nikupe hongera unajua kupika🙌🙌
Nime enjoy sana❤❤❤❤❤❤❤,easy way to prepare beans,be blessed sister
Ahsante kwa mazuri ya Maharage.
Asante sana👏
Wooow i love it🎉
Wow so amaizing
Samahni...naomba nifahamu hiyo kidogo ni kama dk ngapi mama...
Bila samahani na pia naomba unisamehe na mimi kwa kuchelewa kujibu, ni dakika 3 mpaka 5. Nashukuru sana kwa support yako na karibu tena.🙏🏾
We pika mama Ma Sha Allah ❤️.. showing love from uk
Thank you so much i really appreciate it🙏🏾
Naomba mungu anijalie mwanamke anayejua kupika na maufundi ya jiko kama wewe,mbona nitadeka mie mtoto wa mombasa.
Mungu ni Mwema atakujaalia na pia shukrani kwa compliment🙂🙏🏾
Nichukue mm
Unajua dada alaf unajua tna😘
mboga ya kifamilia unatakiqa kujazaaa maji mengi
na jion ifike !
hahaha
Hahahahaha
Twaibu Mikidadi hahahahaaa yaan we acha tyuu
Taaaam iyo
Taaaam iyo
Kabsaaaaa
Mashaallah 🥰
Yak vizuriii
Tamuuu sana jamani...hongera!
Asante sana, nashukuru kwa kuangalia👏
Mbona chumvi ujawek😋
Nilikuwa natafuta recipe ya hii, asante umetuelekeza vizuri. 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️naenda kupika sasa
Asante na wewe my dear kwa support yako na karibu tena🙏🏾❤
napenda sana
Waoooh hongera my dia.. 😊
Asante my dear na ninashukuru sana kwa kuangalia naomba usisahau kusubscribe na kubonyeza kengele pia naomba unifollow insta @bmagickitchen asante sana👏
@@MsBupe Okay.. Ahsante, nitafanya hivyo dear
@@upendoissah1999 poa mumy nashukuru
@@MsBupe haya mamy wangu
Aisee asante sana bs magic kitchen sikufahamu ww dada ila umenisaidia sana nimepika vzuri na nko mwenyewe huku U.A.E DUBAI basi nimewza kupata maharage ya hamu ya tanzania mana huku utayapatia
Thank you so much sana sana na ntaendelea kuwapa support
Thank you Thank you Thank you much love.
Abdy salem
Aaaawww!!!🤗 Hongera sana na ninakushukuru sana kwa support yako🙏🏾
Vzr
Nimejaribuu yametokaaa mwaakeee thanks mmy
Asante kipenzi na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Nice sana
Thank you sana my dear🙏🏾❤
Selina kabila marange matamu San😍
Maharagwe yavutia sana😋👌
Asante sana my dear🙏🏾❤
Mkiambiwa hamjui kupika mwasema oooh oooh oooh ayaulionapi maharagwe yanazi yakatiwa mafuta namakorombwezo kiasihicho? Angalieni mtakujakupika sumu
Mbona kama umepanic?!!!🤔
maashalla chakula kitam san
Asante sana my dear na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Thats amazing wow inaonekana tamu sanaa
Thanx dear, tamu sana👌😋
Nimependa maharage yako Dada Thanx tumepata somo LA kutosha
Asante dear kwa kuangalia na kuelewa somo maana hiyo ndio maana ya hizi video, nakukaribisha kuangalia na video zingine na pia naomba usubscribe na kubonyeza kengele ili usipitwe na video zangu.... Insta @bmagickitchen naomba unifollow. Thanx👏
Nice simple recipe
Nimejifunza
Ndo maan nakupenda mmi uko vizur my dear
Aaaaaawww!!! Asante sana my dear👏🏾❤ nami nakupenda mpz wangu na ninakushukuru sana kwa support yako👊🏾
Unajua kuelekeza mamy... wth love from R chuga!
Aaaawww!!!😊😊😊 Asante sana my dear❤ I'm sending you lots and lots of love back❤❤❤
Unaelekeza vzr dada
Asante sana my dear na ninakushukuru sana kwa support yako mumy🙏🏾❤
Great job 👏 👍
Thank you so much🙏🏾
Unajua sana jamani
I love the recipe so much!!!...na hio coconut Milk i really like that but my question is some coconut Milk are more having sugar so for me i hate it..😏hadi nakua naweka Milk. Ambayo yale maxiwa ya majii...😄😄kwaio now days natumia Milk tuu😁😄
*Niliwahi kufata maelekezo yako kuhusu kupika pilau niligombana na demu wangu alipokuja ananiambiwa haiwezekani mimi nipike pilau ya namna ile siwezi*
😂😂😂😂😂 pole maana najua lilizuka balaaa.... lakini alienjoy?
@@MsBupe sanaa
@@lucasmhagama8166 safii👍🏾
🤣🤣🤣🤣
Manshallah Hadirahaaa
Asante sana my dear na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Yan nmependa sana unavyo elekeza ndg yang mpk nmejarib kupika na mm
Yummy ...
Thank you🙏🏾
Mashallah nice dear
Thanx dear👏
Nko naangalia ndio nipike.nmependa hii video
Nashukuru kwa support my dear, mapishi mema❤
Mwanamke jiko naweye unaliweza best
Asante sana my dear👏❤
Asanteee
Taamu kwa chaapati👌
Yaani ni balaaa👌🏾😋 Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾
Tamsana
Asante sana🙏🏾
Harage pambe
Nice ❤❤
Thank you❤❤
Great
Very nic
Thank you very much for your support🙏🏾
Ajjabest
Wenye majiko ya mkaa tuna comment wapi
😂😂😂😂 hapa hapa
Hahhhhh
Ally Ahmed 😂🤣🤣🤣🤣
Hahahahaaa
Kawaida2
santeee👌 wacha niingie jikon sasa
Mazur mashaallah
Asante sana my dear🤗 na ninashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Loved your simple recipe.. Is it okay to add spices?
Thanx dear, sure... Feel free to add whatever, cooking is about creativity. Thank you for watching please don't forget to subscribe and click that bell icon also follow me on insta @bmagickitchen thank you very much👏
numependa
Asante my dear😊 karibu tena na ninashukuru kwa support yako👏🏾
What i know u kiwa mpenzi wa spice.ukiweka pilipilimanga kdg,mdalasini kdg,uzile kdg inakua more better....
Nimependa
Asante sana my dear na ninakushukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Nipo site bibiye,,, nashukuru
Mom unajua Jaman kupika
Madame uko vzr cyo kwa kunoga huko
Asante sana my dear👏🏾❤
Yummy
Thanx luv❤❤❤
Simple and clear😋
Asante sana
I ll cook tomorrow itself inshl
Ok dear, all the best.
Niceeee
Thank you👏🏾❤
Mbona hatukuoni
Omg you blende chilli mbuzi it will b very spicy 🔥
I like it spicy😃 Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Wanawake wengine huwa wanajifunza wapi! Mbona hawapiki hv??😂
So simple and easy...i like it
Thank you dear and i appreciate your support🙏🏾❤
dah,harage kama harage linanukia mapka huku😝😝😝😝
Hahahhaaa😂😂😂 ni balaaa. Nashukuru sana kwa support yako🙏🏾
Na unavyoyavuruga , huo siyo upishi kabisaa.
Sawa my dear, siku nyingine nitajitahidi nisiyavuruge ili uwe upishi mzuri. Asante kwa kuangalia na karibu tena.
Amazing one sistet mmm .yummy much love from.kenya.🇰🇪
Thanx dear, and i appreciate your support🙏🏾❤ much love.
Nakushukulu Sana tangu nione ii vidio jamani nimepika vizuli
Hinger sana 0:58
Asnt
Hiyo karoti kama nikiweka ya kusugua hile vp haifai?
Inafaa my dear wala hakuna shida, nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤
Thank you mom lov u much
It looks yummy😋... Je Unaweza weka kitunguu swaumu na tangawizi dear????
Kabisaa, hata mimi huwa naweka wakati mwingine na yanakuwa matamu sana tu. Naomba usubscribe na kubonyeza kengele, pia naomba unifollow insta @bmagickitchen karibu tena uangalie video zingine.
nimependa hilo pishi.
nimependa hilo pishi.
@@shadrackmatonge5422 asante sana.
Yummy 😋
Thanx dear👏🏾❤
Mashallah
👏😘
I will try this....no curry powder?
Goodluck dear, you can def use it dear, it's a matter of preference.
That's good
Thank you👏
Shukran🙏🏿🥰
❤
Wapika makange au maharage? Uliiawapi mahrage yanazi yakatiwa makorokoo hayo kama maharage ya mafuta (hujui mambongwa)
Maharage yameiva vizuri sijui unapikia jiko gani
Asante mumy, la umeme. Asante kwa kuangalia❤
Nimependa saaaaana
@@veronicacarol2481 asante sana👏
Please, Are they pinto beans?
No they are not, thanx for watching.🙏🏾
Ahsantebarikiwachaan
Amina, Barikiwa na wewe dear na ninashukuru kwa support👏
Nazi hiyo bei gani dad
Sijui kwa Tz ni kiasi gani, asante sana kwa support yako🙏🏾
Ila sijui mbona nkipika chakula na tui la Nazi lazima nizidishe chumvi
Punguza chumvi unayoweka dear, nashukuru sana kwa support yako🙏🏾❤