Hovyo kabisaa, hajawahi kuwa na ndoto ya kua mwenyekiti ila ana ndoto ya kua rais wa Jamhuri ya Tanzania. Kwahiyo anamuogopa mbowe? Mbowe ni untouchable!
Hawezi kukubali Kwanza hawezi maana kinamwenyewe nayeye anajua pili yeye ni mtumwa wawazungu hawezi kuishi hapa maana huwezikua mwenyekiti halafu unaishi ulaya
Wala sio tofauti, ni style tu ya uandishi. Umkimchambua vizuri ni kwamba yeye anangoja achaguliwe/apendekezwe . Mark my words akiwa nominated hatakataa.
Si kweli kwamba watu UGelgiji wanalewa halafu wanapiga simu Police ili wapelekwe nyumbani! Huo ni uongo Tundu Lisu!!!!!!
Anaogopa nini aaah haaa! TZ bhaaana! huyo mimi naamini hawezi kuutaka uenyekiti mbaka walioshikilia kiti waamue kuachia ngazi wenyewe
Hovyo kabisaa, hajawahi kuwa na ndoto ya kua mwenyekiti ila ana ndoto ya kua rais wa Jamhuri ya Tanzania. Kwahiyo anamuogopa mbowe? Mbowe ni untouchable!
Huyu sijawahi mwelew
Semgeeeee
Wewe jumanne utumwa kwa waarabu huoni?
Na kweli huyo ni wa waarabu
Hawezi kukubali Kwanza hawezi maana kinamwenyewe nayeye anajua pili yeye ni mtumwa wawazungu hawezi kuishi hapa maana huwezikua mwenyekiti halafu unaishi ulaya
wewe mtumwa wa watu gani warabu siyo?
Mtu mwenye mawazo kama haya anahitaji kusamehewa bule
sasa wewe mwandishi una akili kweli? lisu ana sema hivi wewe una andika mengine.
Wala sio tofauti, ni style tu ya uandishi. Umkimchambua vizuri ni kwamba yeye anangoja achaguliwe/apendekezwe . Mark my words akiwa nominated hatakataa.