Lissu aukataa Uenyekiti Chadema

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 13

  • @davidobedgangai1654
    @davidobedgangai1654 Год назад

    Si kweli kwamba watu UGelgiji wanalewa halafu wanapiga simu Police ili wapelekwe nyumbani! Huo ni uongo Tundu Lisu!!!!!!

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +1

    Anaogopa nini aaah haaa! TZ bhaaana! huyo mimi naamini hawezi kuutaka uenyekiti mbaka walioshikilia kiti waamue kuachia ngazi wenyewe

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Год назад +1

    Hovyo kabisaa, hajawahi kuwa na ndoto ya kua mwenyekiti ila ana ndoto ya kua rais wa Jamhuri ya Tanzania. Kwahiyo anamuogopa mbowe? Mbowe ni untouchable!

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 Год назад

    Huyu sijawahi mwelew

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Год назад

    Semgeeeee

  • @maligiretongora287
    @maligiretongora287 Год назад

    Wewe jumanne utumwa kwa waarabu huoni?

  • @amanelieza9645
    @amanelieza9645 Год назад

    Na kweli huyo ni wa waarabu

  • @jumannejuma7432
    @jumannejuma7432 Год назад

    Hawezi kukubali Kwanza hawezi maana kinamwenyewe nayeye anajua pili yeye ni mtumwa wawazungu hawezi kuishi hapa maana huwezikua mwenyekiti halafu unaishi ulaya

  • @wakatv3704
    @wakatv3704 Год назад

    sasa wewe mwandishi una akili kweli? lisu ana sema hivi wewe una andika mengine.

    • @kiatu
      @kiatu Год назад

      Wala sio tofauti, ni style tu ya uandishi. Umkimchambua vizuri ni kwamba yeye anangoja achaguliwe/apendekezwe . Mark my words akiwa nominated hatakataa.