Wapelelezi wa DCI wamtambua mwanadada anayeaminiwa kuua Eric Maigo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 сен 2023
  • Wapelelezi wamemtambua mshukiwa mkuu wa mauaji ya kaimu mkurugenzi wa fedha katika Nairobi hospital Eric Maigo. Sasa imebainika kuwa anne adhiambo, ndiye mwanamke aliyenaswa kwenye kamera za CCTV akitoroka baada ya mauaji ya Maigo. Wapelelezi waliokuwa wanaendeleza uchunguzi wamepata nguo alizokuwa amevaa wakati wa tukio nyumbani kwake mtaani kibra.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 456

  • @billm6829
    @billm6829 10 месяцев назад +59

    If this us how police identify and track corrupt govt officials tugekua far as a country

    • @alphanyjames4897
      @alphanyjames4897 10 месяцев назад

      things are changing we as kenyans are heading samewhere

    • @mahmoodmohammed1679
      @mahmoodmohammed1679 10 месяцев назад +3

      Facts....hii kma ingekua ni kesi ya MTU mkubwa serikalini izi CCTV zisingepatikana for some reason....

    • @alphanyjames4897
      @alphanyjames4897 10 месяцев назад +1

      @@mahmoodmohammed1679but the truth will always kam out free data ikiwa after years it will kam out

    • @sophianasiekukatampoi7824
      @sophianasiekukatampoi7824 10 месяцев назад

      😂😂😂😂

    • @MAYWAHITO
      @MAYWAHITO 10 месяцев назад

      Imagine

  • @samwelnyangau9828
    @samwelnyangau9828 10 месяцев назад +91

    its the courage she has that is still shocking me

    • @wanjalaspha797
      @wanjalaspha797 10 месяцев назад +3

      Recidivism, she's an ex convict

    • @gwg216
      @gwg216 10 месяцев назад +2

      True her courage is on another level.....

    • @lovvy854
      @lovvy854 10 месяцев назад +4

      Yote hii ni ku panic cz ametowa roho ya mtu already akiliaio yake

    • @phoebewanjiru1955
      @phoebewanjiru1955 10 месяцев назад +4

      She may have taken drugs. How can she stump someone 25 stabs?

    • @lovvy854
      @lovvy854 10 месяцев назад

      @@phoebewanjiru1955 ata sio drugs huyu ako na roho ya mapepo yanafuata labda alishawai kufanya kitendo kibaya zaidia hio

  • @mowawajowangu8216
    @mowawajowangu8216 10 месяцев назад +16

    Waah! Maswali ni mengi majibu ndiyo hakuna😢

  • @cheptanuichepsit3146
    @cheptanuichepsit3146 10 месяцев назад +130

    Let us dedicate our life to Jehovah God 🙏,as in you will be always at the right place at the right time with the right people,,rip maigo

  • @Irandabale
    @Irandabale 10 месяцев назад +38

    What a daring and corregous murderer!!Going over razor sharp wires is another level. Proper crook.

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 10 месяцев назад +33

    My condolences to the family wababa wachaneni na dogodogo this really sad 😢whats goes around comes around sasa watoi wamebaki bila baba this so evil

    • @phoebeadikinyi3441
      @phoebeadikinyi3441 10 месяцев назад +2

      Woooo jamani,na by the way unaweza pata ni mtu anajuwa huyo jamaa vizuri juu hawezi ingia pale kama hajui hapo

    • @mercymburu7163
      @mercymburu7163 10 месяцев назад +1

      Watoi wagani, I think Eric was not married

  • @kaibungarose4207
    @kaibungarose4207 10 месяцев назад +11

    She is analogue, the digital world caught her

  • @aheudit
    @aheudit 10 месяцев назад +15

    ' Tiger woman gachagua said there are tigers in Kenya you said it's not true, this tiger was spotted recently. Despite all it's a sad situation

  • @Karengakii
    @Karengakii 10 месяцев назад +7

    No matter what in this life try to create a relationship with God that you may be safe in his hands, the world is fading and the life itself is not parmenent
    Don't forsake God for fame Remember there's death give your life to Christ and be saved God bless you.

  • @MichaelKhaemba-uh9ys
    @MichaelKhaemba-uh9ys 10 месяцев назад +16

    Wakati akipambana kuruka fence ndo wange alert security haraka but they delayed so much

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 10 месяцев назад +4

      Mimi sijaelewa hili tukio. Nikama naota.yani dem anajitokeza na kuua MTU , badae tunasikia ati anatafuta vyatu, uyu ni mwizi au muuaji? Anyway we leave all to almighty God who is in heaven.

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 10 месяцев назад

      ​@@thomasmarende2445she's both,a murderer and a thief.

    • @elizabethamukhale3735
      @elizabethamukhale3735 10 месяцев назад +1

      Maybe they thought she wanted to commit suicide ndio wakatake time kumbembeleza

    • @CleophasKoech-yi6yp
      @CleophasKoech-yi6yp 10 месяцев назад

      ​@@thomasmarende2445nikama viatu vyake vilianguka wakati alikua akichinjwa na hizo wire za fence.

    • @thomasmarende2445
      @thomasmarende2445 10 месяцев назад

      @@CleophasKoech-yi6yp anyway wacha Tu believe, Mimi tangu citizen TV iyanze porojo za abnuasi huwa siamini citizen TV news zao.

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 10 месяцев назад +17

    Mauaji imekua mob huu mwaka sijui kwanini😢

  • @eddahwekesa1951
    @eddahwekesa1951 10 месяцев назад +45

    Kwanza kabisa adhiambo ni nani kwa iyo nyumba 😢😢😢

  • @fridahwayua9393
    @fridahwayua9393 10 месяцев назад +32

    The effort and the courage she has if she can put it in money finding activities,,,haki angekuwa billionaire,,she is a risk taker if she can jump over an electric fence😳

    • @webbtz3591
      @webbtz3591 10 месяцев назад

      Isn't an electric fence.

  • @evanswesonga5016
    @evanswesonga5016 10 месяцев назад +8

    Showing us how she escaped, how did she get in? Something left out.

  • @wendie954
    @wendie954 10 месяцев назад +3

    Cctv mbona isionyeshe vile aliingia,wabanaz na ndogo ndogo😢😢😢

  • @erickmanyara53
    @erickmanyara53 10 месяцев назад +31

    That is a seriously traumatized character because the behaviour clearly is daring and dangerous

    • @alicehappiness509
      @alicehappiness509 10 месяцев назад +4

      I hear most ppl from those areas are hardcores!

    • @brianonyango1687
      @brianonyango1687 10 месяцев назад

      That dangerous

    • @brianonyango1687
      @brianonyango1687 10 месяцев назад

      ​@@alicehappiness509she is not a hardcore the evedence is overwhelming

  • @milkah_george5877
    @milkah_george5877 10 месяцев назад +9

    Hii cctv inakuanga wapi wengine wakiuliwa na pesa za wananchi zikipotea,anyway,Ann ajisalimishe tu hana otherwise

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo2849 10 месяцев назад +6

    Aisee huyu msichana ni jambazi sugu muuaji hana hata uoga na anajua nn afanye kukimbia😢

  • @NjeriLydia
    @NjeriLydia 10 месяцев назад +13

    Mahali sielewi ni kama waliingia kwa hio nyumba pamoja ama?

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d 10 месяцев назад +6

    Kwani ilikuaje hadi akaingia ndani kwa dr..? kuna problem somewhere walikulana au? Kamfanya nini hadi afanye hayo mauaji mabaya namna hiyo........baby girl come out useme ukweli wako.

    • @lilac8794
      @lilac8794 10 месяцев назад +1

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

    • @user-td3ss6nk2d
      @user-td3ss6nk2d 10 месяцев назад

      @@lilac8794 for sure dear, kuna kitu behind.

    • @PearlHeaven-vs3cu
      @PearlHeaven-vs3cu 10 месяцев назад +1

      Maybe former mboch na hakulipwa

  • @twelve1993
    @twelve1993 10 месяцев назад +5

    People are coming up missing nowadays.
    Remember the NHIF lady who was shot,There was no case,no follow up... Nothing.
    Now a finance manager at a big hospital.
    Someone doesn't want something to be known.

  • @maverick_spirit
    @maverick_spirit 10 месяцев назад +9

    This CCTV footage is not complete. Show also the entry of the two. And how is she really jumping over electric fence? Was it really LIVE? Traumatizing.

    • @davidwanyama
      @davidwanyama 10 месяцев назад +1

      That's not electric fence, electric fence is thin like a thread

  • @joycemusyoka837
    @joycemusyoka837 10 месяцев назад +5

    Wanaume mtaacha kuchenzea wanawake , all the man 👞 ujifunzwe kuheshimu wemen ok , wanawake fire 🔥

  • @victordan9158
    @victordan9158 10 месяцев назад +3

    Hii Nairobi vitu zinaendelega usiku mungu tu anajua. ...Eish. ...

  • @evalynewanjiru9685
    @evalynewanjiru9685 10 месяцев назад +2

    😢hao wamama hawajiulizi mbona mtu arukie kwa ukuta kama sio mbaya🤔🤔🤔wangesema nduru

  • @neemanyerere1939
    @neemanyerere1939 10 месяцев назад +6

    Sasa mbona hatuoni wakiingia ndani ya nyumba na huyo mubaba cctv inaonesha tu akiruka uko nje ata atujaona vile ametoka kwa hiyo nyumba mmh maswali ni mengi majibu ndo hakuna😢

  • @kenjuma3058
    @kenjuma3058 10 месяцев назад +5

    She is so familiar in that compound from the reaction of the lady in black.

    • @thebold6700
      @thebold6700 10 месяцев назад +3

      I have been reading comments and I concur with you. How comes the two Househelps never regarded her as a stranger to raise the alarm. She looked someone they know well.

    • @qrankmw.
      @qrankmw. 10 месяцев назад

      ​​@@thebold6700....ehhh....the oj simpson case...they even planted a glove....and it is danstan omari...of that time mr cochran.. who found the glove could not fit.....
      ...ombeta and danstan need to reach this girl...for the truth to be known...whether she did it or not....server/cctv itolewe yote without editing.....anything else will be chebukati ..cherera story - opaque...with injustice cj reading scripts witten from cotu headquarters or by a thesis from non existent student at teams university (UG) - sak.aja....
      ...be the salt of the earth...seek ye first the truth...and all the rest shall be added unto you...

  • @moseskimanimacharia
    @moseskimanimacharia 10 месяцев назад +3

    Wapi ua😂 la umeme, security hakuona damu! ama majeraha mbaya ni gani?

  • @oloem268
    @oloem268 10 месяцев назад +23

    I know they will catch her soon, she has no where to hide now that she is known and she has serious injuries. On another note ,could you be doing the same with mweshimiwas , don't just be telling as that one mweshimiwa is involved in illegal gold business or wash wash and you don't give us the name or picture.

  • @nataliasally
    @nataliasally 10 месяцев назад +6

    Kwani hizo waya hazifanyi kazi how comes anazishika na hakuna shock

    • @eevansnnyongesa3343
      @eevansnnyongesa3343 10 месяцев назад

      Hizo naona ni maridadi tu

    • @danielwaita1828
      @danielwaita1828 10 месяцев назад

      Hizo azinanga shock😅😅
      The electrified ones are different....

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 10 месяцев назад +2

    Waah, nae anaugua hapo alipo,.... Haya atapatikana tuu.. Siku za mwizi ni 40 only

  • @maryguya9430
    @maryguya9430 10 месяцев назад +9

    Neighbours seem to know her.. coz they should have stopped her

  • @sammiebabu8550
    @sammiebabu8550 10 месяцев назад +1

    Ghaiii huyo security namjua n wa nyumbani ghaiii poleni sana

  • @jacklinemaravi8688
    @jacklinemaravi8688 10 месяцев назад +4

    Woi.poleni kwa familia..😭😭😭😭😭😭

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 10 месяцев назад +2

    That electric wire woi....she must be hurt wherever she is......but kitendo alichofanya cha. Unyama woi

  • @brisbanesokoth5541
    @brisbanesokoth5541 10 месяцев назад +6

    Wanaume mtakufa kama hamuwezi jiheshimu na kutulia kwenu

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 10 месяцев назад +5

    Sijaona nyaya za umeme bali za nyembe au nyaya wembe

  • @calvinochieng8123
    @calvinochieng8123 10 месяцев назад +6

    Damu ya binadamu huwa ni mzito sana hauezi hepa popote dunia hii,

  • @user-re3og8fc4k
    @user-re3og8fc4k 10 месяцев назад +35

    A woman climbing those fence like a spiderman is shocking. She might have gone through tough times in life,but killing a grown up man ,seams like a cover up somewhere.There is someone in the house with a white shirt how come he never botherd to come out to confront the lady jumping the wall?????

    • @eunicemutiso5788
      @eunicemutiso5788 10 месяцев назад +1

      Nimejikuta napasua kicheko matangani na design huu dem ameramba barbed wire na mdomo😂

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 10 месяцев назад +2

      Very true

    • @phoebeadikinyi3441
      @phoebeadikinyi3441 10 месяцев назад +1

      Waah!huyu mwanamke ni genius, dealing with sitima ni kama wamecomunicate na sitima,this is serious

    • @tonyirimu
      @tonyirimu 10 месяцев назад

      Were you watching with your ears closed ?

    • @user-re3og8fc4k
      @user-re3og8fc4k 10 месяцев назад

      @@tonyirimu what do you mean???

  • @SulaimanMohd-xl3jc
    @SulaimanMohd-xl3jc 10 месяцев назад +24

    Tuonyesheni CCTV wakiengia wote kwa nyumba

    • @qrankmw.
      @qrankmw. 10 месяцев назад +3

      ....ehh...hapo umenena...cctv ifunguliwe yote bila editing.......bila hiyo..itabakia kua mambo ya chebukati na cherera - opaque.....

  • @alicehappiness509
    @alicehappiness509 10 месяцев назад +5

    So the lady watching her jump over that fence couldn't have raised an alarm...scream or something...even after seen her clothes stained with blood!!! Again the watchman pia couldn't notice anything??

    • @mercywangui835
      @mercywangui835 10 месяцев назад

      I wonder too,there is a lady there in the door

    • @kikiharry1886
      @kikiharry1886 9 месяцев назад

      I wonder too,.hata wapige kelele or picha in this era.. I have so many questions with just that small episode...

  • @user-ke6zr1yf2j
    @user-ke6zr1yf2j 10 месяцев назад +48

    I think there is more to this story than meets the eye. She does not seem in a rush after stabbing someone 25 times. We need CCTV showing them entering the residence as well.

    • @gwg216
      @gwg216 10 месяцев назад +3

      Tru hii story iko wiered sana sana..... We don't want to judge but aaaaai

    • @lilac8794
      @lilac8794 10 месяцев назад +6

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

    • @yobrabrayo
      @yobrabrayo 10 месяцев назад

      ​@@lilac8794nkt

    • @matindepaulanne1781
      @matindepaulanne1781 10 месяцев назад +1

      ​@@lilac8794 But if you leave a club with a man what do you expect... Kwanza kama umekunywa pesa zake.

    • @alicehappiness509
      @alicehappiness509 10 месяцев назад +2

      ​@@matindepaulanne1781am asking the same question. Minor akienda clubbing is treated as a grown up.

  • @alicehappiness509
    @alicehappiness509 10 месяцев назад +5

    Those saying the man assaulted the lady....am here wondering,the so called *minor* was out Partying at night,goes home to a *grown man's* house expecting candy!!!

  • @neriousjellagat4306
    @neriousjellagat4306 10 месяцев назад +10

    Sasa huyu si angewatch Kwanza how to get away with murder

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 10 месяцев назад +9

    This lady is worthy akiller

  • @drogbake4190
    @drogbake4190 10 месяцев назад +4

    If daring was a person 😢

  • @roziialex
    @roziialex 10 месяцев назад +1

    Huyu dam ninani kwa hiyo nyumba.labda ata siyeye aliuana.kuna maswali mob sana ..nakaa hakuonekana akiuana..itabidi wafanye kazi kubwa sana ...kujua nani alifanya hicho kitendo.....mungu asaindiye ukweli ujulikane aki

    • @CleophasKoech-yi6yp
      @CleophasKoech-yi6yp 10 месяцев назад +1

      Ndio inafaa akamatwe illi asaidie police kwa uchunguzi

  • @jemimahmumbua6688
    @jemimahmumbua6688 10 месяцев назад +4

    1:04 kuna watu wanamchungulia kwa mlango kutoka side ya tank.mbona jawakusaidia😢😢

    • @puritynduku8940
      @puritynduku8940 10 месяцев назад +2

      Asking the same...apa kuna kitu tunafichwa

  • @robinsonritho3140
    @robinsonritho3140 10 месяцев назад +55

    Funny thing despite this CCTV evidence a good lawyer can get her out if there's no direct evidence she committed the crime

    • @governordavid9398
      @governordavid9398 10 месяцев назад +5

      Actually it's a very easy case

    • @qrankmw.
      @qrankmw. 10 месяцев назад

      ....ehh...what other evidence do you have...?....escaping is not an offence...!!...the captors need to be jailed...!!...ni mtoto...so..afanyiwe medical check...na captors wawekewe charges sawa sawa...

    • @matindepaulanne1781
      @matindepaulanne1781 10 месяцев назад +7

      Everyone is innocent until proven guilty ...

    • @nairobski4886
      @nairobski4886 10 месяцев назад +8

      Clothes with blood stains of maigo,.knives with dna prints of ...

    • @beautifullyMade2024
      @beautifullyMade2024 10 месяцев назад +5

      I don't think so...DNA seems to be all over.

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 10 месяцев назад +3

    Adhiambo alikujaje kwa hiyo nyumba?..alipitia wapi akaingia kwa compound?walikuwa na uhusiano gani na mwenye? nyumba?

  • @judahwillgofirst7964
    @judahwillgofirst7964 10 месяцев назад +6

    I'm sure angekuwa mkikuyu, angekuwa judged hata kama her side of the story haijaskika,, anyway let's hope, polisi watajua what happened.

    • @Eddyke
      @Eddyke 10 месяцев назад +5

      Wakikuyu wako na historia mbaya

    • @missc5119
      @missc5119 10 месяцев назад +2

      @@Eddykewell as you can see si mkikuyu.its funny everyone is she is a victim innocent until proven guilty. Yeah the same way you judged all the others with no evidence of doing the deed the same way we are judging her

    • @Eddyke
      @Eddyke 10 месяцев назад +2

      @@missc5119 we judge her peke yako... Don't bring tribalism here... they's no wey this girl climbed those walls just for money. She was hurting

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 10 месяцев назад +2

      A killer remains a killer

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 10 месяцев назад +4

    She's now regretting her deeds 😢😢

  • @vugutsadickson487
    @vugutsadickson487 10 месяцев назад +1

    Kwani hukukuwa na mtu kwa hiyo boma? Na mfanyikazi alikuwa anamwambia ashuke kwani wanakuana, mbona hakumuuliza we ni nani? Na kwani aliingilia wapi? Na kwani Eric hakupiga nduru hata akidungwa kisu? Na mshukukiwa kwani hakukuwa na damu yeyote kwa nguo zake?

  • @ag-tm7je
    @ag-tm7je 10 месяцев назад +5

    Na si kunaonekana kulikuwa na watu hakuna aliye notice Kuna kitu imefanyika

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 10 месяцев назад +1

      Ingekua ni mombasa angechangamkiwa

    • @leochemkoros1595
      @leochemkoros1595 10 месяцев назад +2

      Wondering too. May be she is not the murderer. May be she witnessed the murder and was running away. May be the guy did something bad to her???????????????

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 10 месяцев назад +1

    Am shocked if she is a lady,, rest easy bro 😢😢😢

  • @evalindama9710
    @evalindama9710 10 месяцев назад +1

    Huyu ni hatari kwa usalama alifaa aende aibe kwa bank instead ya kuua

  • @shawakc7125
    @shawakc7125 10 месяцев назад +4

    what have I just watched wooi

  • @pabloesc7755
    @pabloesc7755 10 месяцев назад +1

    Yaani wanatazama mtu akiruka fences bila kuchukua hatua kali kama vile kumkatakata kwa mapanga na kisha waite polisi.....nkt!

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 10 месяцев назад +7

    Dunia simama ni shuke 😭😭😭

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 10 месяцев назад +3

    wanaume tulieni na mwanamke moja. Haya yote ni wivu wa mapenzi. But ujinga gani kwenye dunia hii ya sasa ya cameras kufanya ushenzi huu

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 10 месяцев назад +5

    Hiyo bila shaka ni love story ukiona mwanamke anaruka wire disgn hiyo si bure enyewe aliraruliwa kweli kweli😢😢😢

  • @paulkhisa5137
    @paulkhisa5137 10 месяцев назад +1

    Even if she ran away Bible say, The men who have buried Maigo are now at the door. Acts 5:9

  • @elizabethjohn6060
    @elizabethjohn6060 10 месяцев назад +2

    Aliko pitia Ni hatari,lazima alienda hospitali, doctors pls don't hide this kind of a person

  • @richardmungori7197
    @richardmungori7197 10 месяцев назад +10

    Huyu alilipwa kumuwa huyu Maiyu lakini hiyo pesa hatakula kwa amani,aliyeuwa kwa upanga atakufa kwa upanga, maanake ashapatikana wacha haki ya mwendazake ionekane.

    • @cashauto3349
      @cashauto3349 10 месяцев назад

      you are deluded

    • @Eddyke
      @Eddyke 10 месяцев назад

      Wewe huna akili .....this is obviously a ln affair

    • @oneonone8198
      @oneonone8198 10 месяцев назад

      Wewe punguza mdomo how sure are you eti ni yeye alifanya hicho kitendo

    • @qrankmw.
      @qrankmw. 10 месяцев назад +1

      ....ehh....jamaa alikua na deals...or...mambo ingine....huyo mtoto inaonekana alidhulumiwa..au...alikua the wrong place with the wrong person....cctv yote itolewe...bila editing...

    • @godsfavour1603
      @godsfavour1603 10 месяцев назад

      @@qrankmw. exactly,she was in a place at the wrong time,unless she found him dead and was afraid to be cought ikabdi ajitoe..if she was the killer why can't the cctv show us if they entered the house together?

  • @cosytvkenya3232
    @cosytvkenya3232 10 месяцев назад +2

    Pple will go for any job offer that will make better life . No tym to calculate the results of of it as long as it's a good deal

  • @jamessonofjesuschrist9077
    @jamessonofjesuschrist9077 10 месяцев назад +1

    Huo msichana ni takataka ata ata kutotoka ni kas bure atapatikana tu , damage ya maigo itamusubua sana

  • @cindyrobins8257
    @cindyrobins8257 10 месяцев назад +6

    Huyu ni kama alitumwa auwe

  • @elizabethotienonyaure992
    @elizabethotienonyaure992 10 месяцев назад +3

    How did they get the name

  • @user-nl4vz8rk1l
    @user-nl4vz8rk1l 10 месяцев назад +2

    Tuonyeshe akiingia kwa nyumba acheni hii ufala

  • @tomcalvinceKeTv.
    @tomcalvinceKeTv. 10 месяцев назад +6

    The world is coming to an end, Jesus come take as home😭

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 10 месяцев назад

    Daaah huyu ni mzoefu manake hizo wire wee ni hatari mara anauguza majeraha hospital mara ana tafutwa sasa tushike lipi

  • @carolkendi2322
    @carolkendi2322 10 месяцев назад +1

    lazima amesumbua mamake huyu mtoi aki t sad😊

  • @reggie-n
    @reggie-n 10 месяцев назад +17

    Innocent until proven guilty .I can't judge her negatively before listening her side of the story.

    • @samsonmburu9940
      @samsonmburu9940 10 месяцев назад +5

      You can as well defend her.

    • @qrankmw.
      @qrankmw. 10 месяцев назад +5

      ...ehh....well said....she does not look a killer...
      ...the other ppl in that apartment didnt seem suprised seeing the girl climbing the wall....
      .....my premature judgement...she is the victim..

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 10 месяцев назад +1

      Shaitwani wewe!

    • @user-wy6tv5uq5c
      @user-wy6tv5uq5c 10 месяцев назад

      ​@@peterkariuki9073😂😂😂

    • @lilac8794
      @lilac8794 10 месяцев назад +1

      Maybe maigo sexually assaulted her and she was not in her right mind

  • @akinyiokeyo4618
    @akinyiokeyo4618 10 месяцев назад +2

    It is a difficult one to decipher...but one thing is for sure,kama there was a payment agreement after a service which was not honoured,such can occur....just my two cent worth if opinion,sad though...

    • @allanngugi7664
      @allanngugi7664 10 месяцев назад

      Pay for services , some people desperately need the money .

  • @marykarambh9771
    @marykarambh9771 9 месяцев назад

    Kuna kitu hapa haikp clear alikua wife yake ama ni nani kwa huyo mtu😭rip

  • @puritymutheu1237
    @puritymutheu1237 10 месяцев назад +1

    What can I comment now?

  • @KwituRanch
    @KwituRanch 9 месяцев назад +1

    1:43 pray for kenya😢😢

  • @millicentjepkemboi5476
    @millicentjepkemboi5476 10 месяцев назад +1

    I think that gal is a maid there she is not a killer maybe she was running away from her bosses coz the pupil i think know her the other maids knows her so kuna kauongo ati aliua mtu no

  • @jembekali5928
    @jembekali5928 10 месяцев назад +80

    Hahaha..... smells like a cover up... clothes are conveniently displayed and pictured as if in a shop, the investigation focuses on her escape (via CCTV) but nothing about their entry into the compound. The name of the suspect is known but you give an age range. Since the suspect in question is a minor, it introduces a technicality. By the way, while the suspect is struggling to jump over the wall, there is one person visibly seen through the window of the building - how come they don't notice any unusual activity outside and raise an alarm? One could ask a million questions but this feels like the usual circus prepared for a gullible public. The answer to this gruesome murder lies somewhere else - his workplace.

    • @KanuMoto
      @KanuMoto 10 месяцев назад +17

      You missed the river by a boat. The ladies seen are in the neighboring compound to Eric after the murderer jumped over. Second, it's 6:25am and seeing a lady up and about in a compound of several tenants, you cant raise alarm unlike seeing a dude.

    • @bettywabuko5071
      @bettywabuko5071 10 месяцев назад +9

      Haijulikani penye alielekea, na nguo zilipatikana kwa nyumba yake?

    • @oloem268
      @oloem268 10 месяцев назад +11

      I don't agree with you on some but on that cctv issue I do. There should be a video of them walking in together.

    • @ericmatheri9394
      @ericmatheri9394 10 месяцев назад +5

      Also am also asking myself the same question, whom did he enter with in the house? Which was his house? or is this a different compound that the suspect entered in a bid to escape? Only DCI will unravel the mystery.

    • @kauskimkulima2171
      @kauskimkulima2171 10 месяцев назад +4

      If there is no CCTV it doesn't mean it is a cover up

  • @deborahmoige2363
    @deborahmoige2363 10 месяцев назад +4

    Who is she to Eric?tuanzie hapo

    • @gwg216
      @gwg216 10 месяцев назад

      Yaani hii story inashangaza na inaogofywa sana pia ju huyu mtoi ilifika aje point ya kukua kwa nyumba ya huyo mtu.... Plus anakaa anajua sana vile ata move.. Move kuruka ma fence until she finally got away 😮

  • @koechcollins9504
    @koechcollins9504 10 месяцев назад +2

    This one from kibra was just high on alcohol and drugs. Now regrets for life.

  • @vansoham930
    @vansoham930 10 месяцев назад

    Poleni kwa familia

  • @AshrafSiama-cl2yx
    @AshrafSiama-cl2yx 9 месяцев назад

    The girl is innocent they even seems to make some discussions with the girl... tuwache kudanganywa hawa ndio tutap

  • @vugutsadickson487
    @vugutsadickson487 10 месяцев назад +1

    Kumbe hiyo wire haikuangi na shock🤔

  • @lornamwavali5599
    @lornamwavali5599 10 месяцев назад +1

    Walete full video vile waliingia kwnza

  • @waywepet6871
    @waywepet6871 10 месяцев назад +1

    Huyo ni mtu ana umaarufu nakuambia sio kitu rahisi zile waya ni mbaya sana.

  • @denojasega
    @denojasega 10 месяцев назад +6

    Na vile iyo wire hukata😢

    • @mubatsievonne4649
      @mubatsievonne4649 10 месяцев назад +2

      Ako na majeraha chungu mzima huyo mshenzi,hakujua Kuna cctv?

    • @gwg216
      @gwg216 10 месяцев назад +1

      @@mubatsievonne4649kabisa she must have been hurt badly.... I just wonder coz wanasema ni dem young 15 to 17 years ilifika aje stage ya kujuana na huyo maigo hadi akafika kwake.... Such a mystery indeed

    • @denojasega
      @denojasega 10 месяцев назад

      @@gwg216 i remember period ya elections vita ilitupata kwa place imefenciwa na hiyo wire so ilibidii niruke fence...nakuambia nilikatwaa,..ogopa iyo kitu naniii sai najua hana amani

  • @xxtegamerxxroblox9843
    @xxtegamerxxroblox9843 10 месяцев назад +3

    Lazima kuna mtu anamjua au ame mficha, pole familia

  • @user-mh8tn7oo9b
    @user-mh8tn7oo9b 10 месяцев назад +3

    So the CCTV dint record her getting in but only getting out.. n this CCTV also cannot show us the door for the decease... okay.... maybe it has selective amnesia

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c 10 месяцев назад

    Cctv must show Maigo and her before also

  • @Juliana-gq2mh
    @Juliana-gq2mh 10 месяцев назад +1

    But for real surely a. Lady from kibra ndio alikua ana manga and yet collogues were dying for him anyways can't believe

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 10 месяцев назад

      Nooo Kuna kitu si mapenzi,huyo msichana alitumwa kumumaliza

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 10 месяцев назад

    Na ilikua bado ni mapema kwani wapangaji wengine walikua wameenda wapi? Mpaka washukiwa watekeleze mauwaji na wapate nafasi ya kutoroka tena kwa kuruka fence yenye ni electric. Na walizimia wapi stima ndio waruke bila wapangaji wengine wasijue? Ikiwa walichukua mda wa kutoroka

  • @masanjaabasi8970
    @masanjaabasi8970 10 месяцев назад

    Yani unauwaje mtu demu 🙌🙌🙌

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 9 месяцев назад

    Waah na vile naogopa stima na mtu anapanda ata akishika izo wire

  • @annanetia3916
    @annanetia3916 9 месяцев назад

    Am ANNA ANDIAMBO I was almost fainting to hear my name weeeeh am not a killer 😢😢😅😅😅😅

  • @peterkamanu4628
    @peterkamanu4628 10 месяцев назад +2

    The postmortem says he was stabbed 25 times,I think she would be covered with blood if she is the the one who did the stabbing.

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo1971 10 месяцев назад

    JAMENI HAKO NA UJASIRI WA HALI YAJUU Erck Rip

  • @cindyrobins8257
    @cindyrobins8257 10 месяцев назад +2

    Huyu hatamaliza 24 hours

  • @maureenmbiroh7193
    @maureenmbiroh7193 10 месяцев назад

    I want to see Adhiambo getting out of the house,

  • @jonathankisilu9021
    @jonathankisilu9021 10 месяцев назад

    There is a lot of missing information..whonis Adhis' to marehemu??..under 18yrs?..we are not shown how she climbed up to the top of the tank.. 🙄...Alafu kwani ye ndiye ako na hizi nguo pekee??😢..!