TIKTOK |1|
HTML-код
- Опубликовано: 18 май 2024
- #Bhailam#Naomy#Mariam
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: / @comedyplustz
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... Кино
Team BHAILAM tujuane kwa like pamoja na comments 😅😅😅
Yaani jamaa unajua kuandaa tamthiliya zinazo lenga jamii, Barikiwa sana Mwamba.
Issa mkabaji pale kwa series y a shetani anajua kudance kinoma yaani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Oya bhailam kwa tanzania hiii hakuna anae kufikia so clam so kicheche wte wakasome kama unampenda bhailam nipe like hap
Acha ujinga
Ety sio clam sio kicheche unaota nn wey bailam kweli anajua ila usilinganishe na kicheche na clam wale levo nyengine
@@shericktv509 😅😅
@@shericktv509😂😂😂
@@hamisuuhamadi1663 jamani alichoongea ni maoni yake na Kwa upande wake ndio kaona hivyo msimkosoe
Wa Kwanza kutoka Kenya si mnipee like🇰🇪🇰🇪😊😊
Whenever I see Bhailam I remember Kanumba ......you will be great... your good job is enhanced on its own
Kuna lakujifunza hapa fanya basi hutuwahishie mahana yinawonekana ni hatari sana hii movie ❤❤❤❤ Much lovebhailam Bhailam from malawi ❤❤❤
Bhailam anapiga mulemule , Hawa wanawake wa TikTok ni shidaa , mungu atusaidie
Yaani maharagwe yanaungua kwa sababu ya TikTok ndoa nayo haina amani kwa ajili ya TikTok waaah TikTok banaa noma
Weee acha kabisa mbonaaa hatariii😂
Brother mwendelezo utuwahishie maan hii story ni khaliii sanaa❤❤❤
Hongera sanaa bailamu kwa kazi nzur sanaa 🎉❤😂😂
Waopenda tiktok kuliko kula tujuane 😂😂kwa like
❤❤❤❤❤😂😂😂😂team bhailam unaendesha nafasi yako vizuri sana
Bailam kafanana na rich wa bongo movi kama nawe umeona citaki laki zenu🎉🎉🎉🎉🎉
Bhailam uko poa mashallah
Moto sana bhailam.... really appreciate brother..
😂😂😂mmetisha walai 😂 team strong hoyeeeeeeeeee 😂🇸🇦🇰🇪🇰🇪♥️
Samahani mwa mwisho ila tambuwa wa mwisho ndo atakaye kuwa wa kwanja nipeni like zangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tiktok isiashe unaaribu ndoa kisa ya mchezo ambayo haina maana
We jamaa fundi kishenz mbaka nakuchukia jins unavyojua
Nilimpenda Yule wa My Love kama Quenn
Naomi
Mke wa bhailam yuko vzr atal❤❤🔥🔥🙄
Uyu mjama nita muita djé Mimi nita muita Bhailam kanumba Yeye ndiye mwigizaji bora ambaye atakuwa maarufu mwaka huu 👏👏👏🙏🙏🙏❤️❤️❤️🥰🥰🥰🎉🎉🎉from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kenya Watching,
WA pili kutoka Kenya kitengela kajiado
Haki nimejifunza kitu asanten team bhailam❤
Tiktok
hapa kazi ipo team bhailam tunaenjoy unatupatia kinomaaa🎉🎉🎉🎉
Bhailam uko Sawa ki akili
Yaani bhailam huwa anafoka kama kanumba
Daaah TikTok hiyo❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😅hii Kal bhana
Team Bhalaaaam tujuane kwa like1000
First give my likes
Naice jobu mr
Ila bailamo japo anaigiza ila linaonekana kolofi sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mana sio kwakuangalia uko
Wallah iyi tik tok nomaa sanaa 😂😂😂😂
Something crazy 🤣🤣🤣🤣
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲
Bhailam wewe ni mbunufu. Hongera sanaaaaaaaaa
kali sana 🔥🔥 ujikaze kaka tuta ku sapoti 😂😂❤❤❤
Mimi wakwanza gutoka Congo ❤❤❤❤..naombaaaa likes zanguuu
Pole sana Bailamu
Hii uyu dada mke wa bailam namjua alichezaga jini mahaba ya mkojan, yupo vizur🔥🔥
Naona saiz kachukua nafasi ya recho cjui
Ujumbe muhimu sana , hii inatugusa hata sisi tunaongalii hii video Muda wa kazi .. tunakosea sana
Mwanamke kichaa 😂😂
Team bhailam
Bro humehuwa sana humu kaka kazi njema mafanikiyo mazuri
Bhailam bro.
Umenyoa umetokelezea kinoma.
Walai ako fiti 👍
💗
Sanaaa
😂😂😂😂😂😂challenge tik tok
TIKTOK ❤❤ nzuri wapi team bhailam
Duu sema we fala unakipaji kikubwa San Allah akufanikishie inshallah
Jamani Recho Yuko wapi😢😢 mbona hatumuoni tena tume mu miss sanaaa arudi 😢😢
Hii ni inafundisha sana unajuwa kuna wanawake kabisa kama hawa
Dhaaaaa Kwel TikTok Hiyo😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Kazi ni motroo 🔥💯🙏💞
Hii tamu sana usicheleweshe sasa
Kazi nzuri ila mnatuyumbisha mara shetani mara Nini sijui Yani tafrani tuu mtutulize basi kaaaaah
Hii akaunt nyingine na shetani ni akaunti nyingine
Ila bhailam Bana ww mwamba
Team furus team WiFi team kazi kazi tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Kaunguzaaa maharageee hukoooo😂daaaah kaziiii ipooooo
Mmefikisha ujumbe na kwa stahili hii vijana atuoi aisee😂😂
😂😂😂
Pamoja Sana b
Ili Dude bwanaweee... la kimataifaaa ili dude bwanaweee
😅nmecheka sn, Bhailam hongera kwa kaz nzur🔥
Bhailam ilo jicho anavyolifumbaga sas😅
Bhailam kz zuri sana 🎉🎉
watoto wa 2000 balaa 😂😂
Story imenimaliza vibaya 😢😢
Pole kaka hapo huna mke huyo hana mafunzo kwao
Bhailam sio kwa michambo hio kwa naomi😂😂😂 ati akutolee nini? Komwe😂😂😂...wanifurahisha baba na team yako🎉🎉🎉
Sawa nimechelewa 61.waooo Bhailam
Bhailam huna baya 😂😂
😂😂😂😂Ma lo lo looooveeee 😂😂😂😂😂hakuna matataaaaaaa
TIKTOK HATARI. Upele umepata mkunaji😂 🤣bg up b
One of the best talent in Tanzania ...i like the alooooh😊
watoto wa erfu mbili😂😂🤪😂😂😂🤦🤦
Nimechekaa jmn series kali sana nilichelewa kuiona😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka bhailam alivyomwambia uyo kijana eti me nikikwangalia nakuona kama kijana wa 2000 eti 2021 2022😂😂😂
Team Bhailam oyeee😂😂😂
Wow noma san aisei😂😂😂😂😂
Uzuri uzuri uzuri uzuri uzuri 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Moçambique 🎉
🎉🎉🎉🎉 kaz iko vizuri san jaman
😂😂😂hapo mwisho umeshindwa kujizuia kicheko😂
Noma sanaaa
Ee Bd❤❤❤❤
😂😂😂😂😂 mambo ya Tik tok kiboko yao pole sana bhailamu umepatikana na mambo ya Tik tok
Big up broo kazi nzurii🙌🙌🙌
Mke wa bailam mashaallh👌👌
😂😂😂😂😂bailam fundi nyiee khaaa
Manbo ni 🔥🔥🔥ila TikTok si poa kabisa 😂😂😂😂
bhailam you are the king 👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑👑 bhailam ❤❤❤🎉🎉😂🎉🎉🎉🎉❤
Vraiment unajuwa Sana kabisa kwaii ❤❤❤
Ujumbe umefika
Kazi safii😅
Mrs bhailam yuko vzr atal anajua san❤❤❤🎉🎉
Bhailam you have another level brother, respect Brother ❤🇨🇩
😂😂😂😂😂 pole sana bhailam wala hjakosea kuoa
Bhailamu unatupa vitu,yani unajua mpk unakera sanaaaaaaa❤❤❤❤
Ni nzuri aise Kuna lakujifunza
Mambooo ya tiktok bhaaaan
Kuna Dem apo hukua crushie wangu sana,,akikam Kenya anitembelee akii
Mtaje bwana
Jina lake
Jojo
Jojo,😘😘