Tunakupenda sana kicheche ila kumbuka na madili ya nchi🇹🇿 yetu nijukumu letu watanzania kuyalinda ukiwemo na ww kicheche hivyo katka kazi zako zingatia na maadili hayo ndo, maoni yangu kwako kicheche
Content kama hii sio nzuri kicheche kwa sababu watoto tunaozaa na kulea wanaangalia na inakuwa picha au mafunzo mabaya kwao .Tafadhali jaribu utengeneze content ambayo haitaharibu maadili na desturi zetu na hata dini
Jamani! Watu wamekazania màadili maadili!, sahihi lakini Sio kila muvi lazima uitazama pia ishu ya watoto kuitazama, si kosa la kicheche bali we mzazi / mlezi! Kwanini umwachie mwanao aangalie
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 unatuchukuliaje washabiki wako au ndoo tayari ushaona unatumudu?? m nakufatilia sana sema huwa siyo mpenzi wa comment ila kwa hii movie umenikwaza
WAKATI TUKIWA TUNAANDAA TAMTHILIA MPYA, KWA SASA NITAKUA NAWAPA SHORT CLIP KUWACHANGAMSHA KIDOGO MASHABIKI ZANGU MSIBOEKE
Huna bays
Kazi nzuri sana kaka
Yani haichoshi hatari sana
😂mtu wa maana Sana ww
Attention
Tunakupenda sana kicheche ila kumbuka na madili ya nchi🇹🇿 yetu nijukumu letu watanzania kuyalinda ukiwemo na ww kicheche hivyo katka kazi zako zingatia na maadili hayo ndo, maoni yangu kwako kicheche
Perfect🎉🎉🎉
well spoken
Duu maadili 0 basata where are you
The truth
Hapa Umepitiliza Sana Mzee
Ala kicheche na idyoi comédie zako leo, milikya Misha miss comedy zako kama ya leo. Thanks your groupe kicheche comedian.
Wakwanza kutoka dubai kazi kazi ❤❤❤ tu akupenda kicheche kazi nzuli🎉🎉🎉❤❤❤
Sema kicheche izo cripsi sio good kwa maadili ya nchi yetu fanya video amabzo zipo good ud
Umbwa nyama nakukubali San Mr makoti❤❤❤❤
Kazi zuri kicheche kwakweli nukukubar kabisa
😂😂😂😂😂 mbwa kicheche babaaaaaa, letaaa kazii
Kicheche wewe noma sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Iyi kali ya mwaka 😂😂😂😂
Oyooooo Leo ni Leo tunaanza na kichupa kipya🎉🎉
Nalombalike zangu much love from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Love from Rwanda 🇷🇼 ❤️ uyundo kicheche sasa hap ndotunahataka
Umenifuraisha sana heti case ya otimbi unampelekea natimbiliyo😂😂😂😂❤mbwa kicheche
Umeshawasili mjini vyema saaana💫💫 nakuamini kicheche from Burundi hapa 💯💯 Nipeni like zenu wadau team kicheche oyeeeeeeeee
Aise hizi ngoma kali kweli 😂😂
Like father liké son aita kwisha bila sja cheza ndani yaiyi Season nyipya ❤❤❤ sijuwi unasemaje brother kicheche ❤❤❤❤❤
Na mimi napenda nyama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@kicheche
Content kama hii sio nzuri kicheche kwa sababu watoto tunaozaa na kulea wanaangalia na inakuwa picha au mafunzo mabaya kwao .Tafadhali jaribu utengeneze content ambayo haitaharibu maadili na desturi zetu na hata dini
Kicheche jamani haa wewe kaka bwana😅😅😅😅😅
Waombe like mnaboa 😮😮
Tena sana
Na peperusha bendara ya Congo froom Bukavu 🇨🇩🇨🇩
Wakwanza mbw 😅😅😅mimi
😂😂😂😂😂hii kali usichelewe sana basi tunasubiria kwa hamu
Namkubali kicheche leo m wakwanza naomba like zangu
Hongera zako kicheche Na kikosi chako 🌹💪
😂😂😂😂kicheche wew ni jinga sana😅😅😅😅
Kumbe queen na zuena mlinyoa kweli 🤣🤣🤣,, I thought ni filters 🤭🤭,, Queen wachekesha na kipara🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈
😂😂😂 eeeh adi nilimwona live alinyoa kweli
kiukwely bora hii baba kicheche manake ile ya uchawi mpka huyo mama nilikuwa namwota daah kubabake 😂
Mimi hapa babaaaa
😂😂😂😂😂😂 like father like son. Kicheche ww nilikuw nime Ku miss sana mungu wangu kifuwa changu mimi😅
Popo mbili zavuka mto 😂😂😂😂😂😂
Bien sana kakangu kwa mtandao andikatu ado mfalme upate wimbo mpya ❤😂 asante sana
Oyaaaa kwa mala ya kwanza nimewahiiiii like kwangu
Dah kichechee jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Tunaagiza lamba lamba tunaletewa like father like son 😂😂😂😂😂
More love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 to kicheche
😂😂😂kicheche Niko apa wa kwanza like zangu ♥️♥️💞💞
😂😂😂😂😂😂😂
Popo mbili zavuka mto
King of washerati mbwa wewe😂😂😂😂😂😂
Mwenye mitulinga huyo mbwa mitulinga ❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kicheche hana akili hata kidogo😅😅😂
Jamani! Watu wamekazania màadili maadili!, sahihi lakini Sio kila muvi lazima uitazama pia ishu ya watoto kuitazama, si kosa la kicheche bali we mzazi / mlezi! Kwanini umwachie mwanao aangalie
Kweli kabisa
hhhhhhhhhhha 😂😂😂😂😂😂yani nisawa na kesi yatimbi nakuiperekea timbilio 😂😂😂😂😂😂
Mmm uumkwaka niwako kbs 🎉🎉
Iyo kicheche umerudi sasa ❤🎉
KAMA unamkubari kicheche nikuone😂🎉🎉🎉
Kicheche we ni hatari 😅 Umbwa www😢😢😮😮😮😮
Kweli kicheche niki chaa 😂😂😂😂
Kesi ya otimbi umpelekee natimbilioo 😂😂😂.. eeeh good job mbwa kicheche❤❤
Number one from 🇧🇮🇺🇸
😂😂😂😂😂😂kicheche jmn daaah😂😂😂 futa limetulia hilo😂😂😂
Wa kwanza from Zanzibariiii
Kumbe Mwajuma alinyoa kweli .....😂😁 Napenda..
Kecheche simamisha iyo movie Haina mafunzo yoyote kwajamii asa watoto
Sasa nani amekwambia tunataka mafunzo
Mafunzo yanapatikana shuleni mbwa wew😂
Kwani ww unatafutiyaka mafunzo kwenye comedi ??? Una shangaza San? Akuna mafunzo kwenye comedi APA mwendo kucheka tuh😂😂😂
Lenyewe funzo usiangalie utaota
😂@@kevingasper5838
Nice one 🎉napenda comedy yako nikiwa Kenya
Kitu kinachokera ni kila mtu anaomba like
Usimpe tuuu😂😂😂
Ata mm inanikera badala ya kuwapongeza na kuwasuport n kuomba tu likes
@@3malis 😂😁😂
Kicheche mbwa ww umetisha sana😂😂😂
Leo wakwanza ni mimi nipeni like zangu tim kicheche
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 unatuchukuliaje washabiki wako au ndoo tayari ushaona unatumudu?? m nakufatilia sana sema huwa siyo mpenzi wa comment ila kwa hii movie umenikwaza
😂like son ❤😂😂😂😂😂ni poa. Sana tu😅
Baba wa hovyo mtoto wa hovyooo
Kicheche noma sn 😂😂😂
Kubwa kuliko❤
Hihi itakuwa kali kweli, acha tuendelee kuhisubiri, team kicheche twende na likes.
Nipeni mauwa yagu🎉
😁😁kumbekwenye kizagamua more wangu unabanaga makalio😃😃😃
Kazi nyingine bhana
Hii nayo ni kali umbwa ww😂😂😂❤❤
Number one🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Weye kicheche ni Noma n'a mambo ya mtulinga😂😂
Mashabiki wote tuungane kulinda maadili ya Tanzania
ATUTAKI MAADILI MBWA WW
😂😂😂😂😂😂eti mzee anabananga makalio,aki nyie watu
Wa kwanza naombeni like zangu 🤣
Naku kubali sana kicheche❤
jamani ata leo na mimi like team kicheche
Kicheche utatua mwaka huu 🎉😂😂🎉🎉🎉🎉
baba nyinyi ni umbwa
😂😂😂😂😂 kicheche nakukubali toka 🇺🇲
Kicheche oyeeeeeeeeèeeee
Mi na baba popoo mbili zavuka mto😂😂😂😂😂
Huu mzigo ni hataree
😂😂😂😂😂😂😂😂 kicheche mwehu weeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabla sjaangalia nimeanza kucheka
Vip kicheche pastor Simon mbona haiendelei
ingekuwa sio mtandao unasumbua ningekuwa wakwanza kuangalia naombeni like za kicheche
Kicheche vp kuhusu movie yetu ya Pesa na matatizo ?
Tunaomba hiyo
ahahahahahhahahahaaa saut zinafanana 🤣😅😅😅😅😅😅 LIKE FATHER LIKE SON😅😅😅
Jamani wanaomkubali kicheche like hapa
Ayaaa twende kama Baba kama mtoto....🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Weee kichehe naitaji likes zangu wangwana
😂😂😂😂 yaaani unge ifanya iwe hata refu kidogo kicheche pleas nime ipenda sana❤
Kaz nzur kicheche
Kicheche pow sana mimi ni mukongomani
Kama unamkubali kicheche weka like yako hapa ili ujue Kama kidude Cha like kimebadilika😂😂😂
Mwajuma hajaota nywele tena.nakumbia hii kazi Ya uigizaji ni noma sna
Unaona eee 😂😂 hakuna hata editing jmn
@@Zuansh2278 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza Leo kichehe naomba Ata like 1 tu
Tutakususa mbwa ww😂😂🎉🎉
Gonga like za kutosha wa kwanza🎉
😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉Noma sana 😂😂😂😂😂 like back
Haya Mambo ni hayanaga utu uzima😂😂😂
Iyi njo kali zaidi
Njo comédie tulisubiri kitambo