FRED VUNJA BEI AMJIBU DIVA THE BAWSE KUZAA NAE WATOTO WATANO/DIAMOND KUJIITA TAJIRI NAMBA MOJA DUNIA
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- FRED VUNJA BEI AMJIBU DIVA THEBAWSE KUTAKA KUZAA NAYE WATOTO WATANO #FREDVUNJABEI #DIVATHEBAWES #carrymastorytv #FREDVUNJABEIDIVA #DIAMOND
FRED VUNJA BEI AMJIBU DIVA THE BAWSE KUTAKA KUZAA NAYE WATOTO 5/DIAMOND KUJIITA TAJIRI NO 1/MOROGORO # - Развлечения
Ila Dotto nae awe anaacha mtu ajibu alichoulizwa bwana, inafika time anaboa sasa... duh
Fred hata kama ana mambo yake siyajui, ila mtulivu ktk kuongea❤. Hana mahekaheka
Elimu ndugu,FRED ANA MASTERS YA BUSNESS ADMINISTRATION lazima awe na discipline sana,huwezi kumuona anaropokaropoka.
Hela ndugu yangu haina pupa
Mbona akina Mond wako juju juu tu na fedha zao@@DeborahSichone-b9c
Jamani nampenda vunha bei
DOTO anajibu MASWALI vizuli😂😂😂😂TAJILI haongei sana
😂😂😂
😅😅😅😅
😂😂😂 we acha tu uchawa ni shuhuli nzito sio yakitoto 😂😂😂
Vunja bei anajitahidi kutokucheka . Mm nisingeweza .
Huyu vunja bei Iko siku atamfunga mwijaku nko pale nmekaa
Ila divaaaa😂😂😂
Dotto ni chawa pro max mwijaku anapiga makelele
Mashallah
Yaan nimecheka sanaaaaa
Awa jamaa wana kelele ila wana piga pesa wanspondana ila wanaekewana bila kelele tusinge wajua tz ukitaka ufike mbali lazima ujitoe akili
Mwijaku kakaha kmya kambiwa rogofa sio rake anangania yakee?
Mwanangu Fred oa wakuheshimu. Nenda makete uoe
Aibu kwa divaa hadi,mbegu zikawekwe hospitali,mwanaume hataki kukitanaa naye😢
😅😅😅😅 yani doto .eti wenae kubali bwana😅😅😅😅
Vunja bei nakuelewaa sanaaa
Isije ikawa mna biashara nyuma ya pazia
Mbona fred hana raha😂😂😂😂
Pengne hapendi mambo yake kuyaweka wazi siunajua Tena wandishi maswali yao mengne yanakera.
Wapi huko yani machawa mnachosha
Doto anaharibu interview😀😀😀Ila huyu jamaa
MWAMBIE DIVA MIMI PIA MBEGU NINAZO
Mnakera😮😮
Astaghfirullah 😢Aibu,kwa wanaumeza kuongelea mwanaumemwenzao,aseefanyeni,kazi,😢😢
Alooo hao vichaa kawatoa wapi
Kazi ipo jamaniiii,mweee🙄🙏🙏🙏
Mtu wa pili huyo anasema mwijaku mnafki itakua kweli huyu jamaa ukiwa nae kwenye madili anakandia Kwa maboss mana ata babalevo alisema na doto nae anasema hvyhvy
Nashauri interview yake irudiwe kwa utulivu hii yakuwa na machawa sio maana anatakiwa apromote biashara pia na kuwashawishi na wengne kufanya biashara inahitaji utulivu waaswal na majibu ila sio hivyo kama kilabuni
Ujui kaz ww
Apo ndy unyama na ndy 2napend sisi tunacheka😂😂😂
Njaa mbaya
DaaAa Sasa Joketiiii inakuwaje hapo
Afanya bishara kisomali ......
Hawa wote Dotto na Mwijaku hawana lolote wanapiga makelele tu, wanaboa kweli. Mtu anaulizwa mwingine wanajibu wao.
Uyo mmoja chawa makerere tu kaacha nywele kavamia maic
😂😂😂machawa 😂😂😂
Ila doto🤣🤣et bana Yuko tyr sema uko tyrii😂😂
Machawaa wanakera adi wanaharibuu
Hawa machawa kiboko, hawampi nafasi ya kujibu Fred, wanakera
Hii interview nimecheka 😂😂😂😂
Fred ana akili sn
Mheshimiwa joketi kazi anayo😅😅😅
Daah aibu sana hii😢
Kuna wakina fredy wengi mbona hamuwez jua lbda sio fredy huyo
FREDY USITAFTE WAJINGA KUKUONGELEA,,HUYO MWIJAKU ANAJUA KUMPATA MONDY NI NGUMU ILA ALIKIRI MONDY KAMSAIDIA LEO HII ANAMJENGO,,HIVYO UPUMBAVU UACHWR,,FREDY YEYE NI MFANYABIASHARA,,..MONDY NI MUIMBAJI
Doto na mwijaku kama watoto vile
😂😂dotto anasemag hajasoa anaongea vizur hivo
Kelelezikizidi bhanaa hata unayoongeya yanakuwahayana maana..
Ila Dotto na Mwijaku lkn 😅😅😅
Nimakubwa 🤣🤣🤣
Foto tulia basiii hayo
Ila diva😂😂😂😂
🤐
Mwijaku ni mlopokaji sanaaa mpk anaudhi sasa sijui ni msomi gn wa ovyo kiasi ichi......nina uhakika angekuwa mtulivu anaongea maneno mazuri angelamba uteuzi lkn ni bichwa kubwa akili kisoda anaidhalilisha familia yake ata kama anapata pesaaa
Kelele izo ndomana wanamtafuta sisi tunao kaa kimy na kukomenti hapa kelele 😂😂😂 who wanaituwa kelele izo
Nlichogundua doto amelewa😢
Uchawakazi sna mbona bos mctarabu jmn
😅😅😅
😂😂😂😂😂😂khaaaa mimecheka nusu kupaliwa
Dotto +?mwija😂😂😂😂😂😂😂😂
Doto anamjibia kwa nini?
Hawa jamaa wameharibu interview ya vunja bei had kero wanakera mnooooo.
😂😂yani hawa chawa
Dawa ya machawa iko Kenya Mombasa wamuona Bruce 🤣🤣🤣
Hao machawa wasenge Sana tunamtaka kupata idea za mifumo wao wanaleta usenge useless
Hapa hakuna interview ni fujo interview.
N8 wachache wenye kumuelewa doto 😂
Ila diva anajiaibisha anajionesha waz hana soko na hamna anayemtaka bali kujikomba ona majibu ya vunja bie jamn wanawake tujiheshimu sana
Anatia aibu sana Diva yeye ndo anamtaka kilazima vunja bei.
😂😂😂😂😂😂
Dotto ghorofa c lako unangangamia lako😅
Sio diva
😂😂😂doto 😂😂😂
Jok vp mbona huoi
Hapo wanapiga ela zao alafu wengine humu wanasema wanapiga kelele wamepata nafasi kwa kelele hizo hizo na kingine achanen na koment za wivi mje moro tuchukuwe nguo kwa fredy sio mnajifanya wakosoaji wakati amnunuwi tena vitoto vya kiume au mnataka kuliwa na NYIGU nn?
Ilaaa piddy kilaaa konaaa
Doto ana matusi
Wataonana mchana😂😂😂😂😂
Ila doto😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅doto kiboko
Hawa machawa wanaboa
Kuwa tajili ni kazi kubwa saba🤣
Mkinga huyo nyie
Machawa mnaboa bwana acheni mtu ajibu
Yaani hawa jamaaa bhana dah
Doto too much kichefu chefu mmeharibu interview
Sifa zikizidi zinakuwa kero
Doto anabowa
Doto comedian sana😅
Doto anakera
MWIJAKU UNACHUKI GANI KWA MONDY??,,
Doto umezidi
Ana kelele zisizo na maana
Mkono uende kinywani ndio Bado anajifunza uchawa😂
Doto unaboa kisengeee Ani w hujui
Mwenzako anapga hela uko ww unasema anaboa
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 uyo ni chawa
,
X
Ap
😂😂
Yn hy maseng sijui yakoje
Eti unavumilianaemkinga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Doto😂😂❤
Tupo Arusha
This is disgusting
Njaa mbaya
Sana😂😂