MSTAHIKI MEYA WA KWANZA MWANAMKE TANZANIA, DADA YAKE TUNDU LISSU ANENA MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2024

Комментарии • 28

  • @user-fk4ws6fu5x
    @user-fk4ws6fu5x Месяц назад

    Aksante sana Dada yetu.Nami vilevile namshuru Mungu kwa kimponya ndugu yetu huyu ambaye umuhimu wake ni wa kipekee kwa jinsi anavyo amsha watu walio lala.

  • @isaacjaphet1314
    @isaacjaphet1314 Месяц назад +3

    Mimi nahakika kuna kitu Mungu amekuandalia lissu sijui ni kipi lakini wakati wake ni sahii.... time will tell.

  • @user-xi2mf4xh7r
    @user-xi2mf4xh7r Месяц назад +1

    Huyo mh,Tudu antpas Mungwai Lisu kuna kitu Mungu amembebesha kwa ajili ya watanzania upo wakati wa Bwana ukifika ataketishwa kwenye nafasi ambayo Mungu amemkusudia. na nikutie moyo mh Lisu majarbu unayopitia ni ngazi ya kukupeleka kwenye nafasi ya utukufu,usiogope,usiogope Mungu yu pamoja nawe. Waliokuchimbia kaburi wametumbua wenyewe.Neema ya Bwana wetu Yesu kristo na ikufunike na mkono wa Bwana na usikupungukiwe ktk jina la Yesu kristo,Amina.

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co Месяц назад +1

    Mama ahsante kwa maneno ambayo yanatutia moyo kwamba tusikate tamaa tuendelee kupambana.

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Месяц назад +2

    Well said retired Mayor Mwanaidi Omar

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t Месяц назад +1

    Amina mama tunawapenda

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t Месяц назад +1

    Kamanda wangu wew ni muujiza pia

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Месяц назад +1

    Tundu Lissu ni muujiza unaotembea na Mungu amembakiza kwa kazi maalum ambayo ataifanya kabla ya yeye kumchukua wenye akili na hekima mlione hilo

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Месяц назад +1

    Amina Amina kubwa

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад

    Ubarikiwe mama Kwa neno la mungu na mungu ni mwenye lehema sisi watanganyika Kwa maombi yetu tutavuka hiyo bahari ya sham amina

  • @gracedaudimedot9432
    @gracedaudimedot9432 Месяц назад +1

    Ameeen

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 Месяц назад

    Mungu ni mwema hakika, yupo pamoja nae daima ktk maisha ya mh Lisu

  • @juliuszakayo6771
    @juliuszakayo6771 Месяц назад +3

    Ebwana lisu ni wamungu ,, aliposhambuliwa tulikua kwenye send of ngulelo habari iliposambaa ukumbi ulivurugika kila mtu alilia SHEREHE ikageuka msiba ,, lisu usijali watanzania wako nyuma yako 💪✌️💪 MUH LISU

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Месяц назад

    Amina tuwatakie maisha malefu na upendo mkuu uwe dila yenu kumbe kwa umoja wenu kumbe taifa unaliweza kwani umeanzia nyunbAni kwako na ukoo wako wewe ni kiongozi wa kweri

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Месяц назад +2

    Bwana ndiye mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.Naam,nijapopita kati ya bonded la uvuli wa mauti,sitaogopa mabaya;kwa maana wewe upo pamoja nami,gongo lako na fimbo yako vyanifariji (Zaburi 23:1-6).

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Месяц назад

      Ondoa duwaa zako za kikafiri

    • @ChristmasMaheri
      @ChristmasMaheri Месяц назад

      Hii ni Zaburi 23 mistari yote kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho.Kwa maelezo yako,hustahili kujibiwa.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Месяц назад

      @@ChristmasMaheri zaburi ndio nini?

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Месяц назад

    Mnafanana sana ninyi Ndugu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Месяц назад

    Blessed family 🎉

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Месяц назад

    Mama kweli ww meya.unajuwa kuongea

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Месяц назад

    Allah awastir ukooo w Lissu amIna

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Месяц назад +1

    Naona hapo bibi anafanya yake kwa mbaali

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Месяц назад

    Tundu Lissu MUNGU ana kusudi na wewe na pia alitaka kuwadhalilisha waliokudhuru

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Месяц назад

    Tumwachie Mungu na maombi

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Месяц назад

    Muujiza

  • @gaitanokamage7366
    @gaitanokamage7366 Месяц назад

    Sio mchina mix huyu

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад

      Hiyo inadhihirisha Binadamu wote ni sawa!😂