Aksante sana Dada yetu.Nami vilevile namshuru Mungu kwa kimponya ndugu yetu huyu ambaye umuhimu wake ni wa kipekee kwa jinsi anavyo amsha watu walio lala.
Huyo mh,Tudu antpas Mungwai Lisu kuna kitu Mungu amembebesha kwa ajili ya watanzania upo wakati wa Bwana ukifika ataketishwa kwenye nafasi ambayo Mungu amemkusudia. na nikutie moyo mh Lisu majarbu unayopitia ni ngazi ya kukupeleka kwenye nafasi ya utukufu,usiogope,usiogope Mungu yu pamoja nawe. Waliokuchimbia kaburi wametumbua wenyewe.Neema ya Bwana wetu Yesu kristo na ikufunike na mkono wa Bwana na usikupungukiwe ktk jina la Yesu kristo,Amina.
Amina tuwatakie maisha malefu na upendo mkuu uwe dila yenu kumbe kwa umoja wenu kumbe taifa unaliweza kwani umeanzia nyunbAni kwako na ukoo wako wewe ni kiongozi wa kweri
Bwana ndiye mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.Naam,nijapopita kati ya bonded la uvuli wa mauti,sitaogopa mabaya;kwa maana wewe upo pamoja nami,gongo lako na fimbo yako vyanifariji (Zaburi 23:1-6).
Aksante sana Dada yetu.Nami vilevile namshuru Mungu kwa kimponya ndugu yetu huyu ambaye umuhimu wake ni wa kipekee kwa jinsi anavyo amsha watu walio lala.
Mimi nahakika kuna kitu Mungu amekuandalia lissu sijui ni kipi lakini wakati wake ni sahii.... time will tell.
Amina mama tunawapenda
Well said retired Mayor Mwanaidi Omar
Mama ahsante kwa maneno ambayo yanatutia moyo kwamba tusikate tamaa tuendelee kupambana.
Huyo mh,Tudu antpas Mungwai Lisu kuna kitu Mungu amembebesha kwa ajili ya watanzania upo wakati wa Bwana ukifika ataketishwa kwenye nafasi ambayo Mungu amemkusudia. na nikutie moyo mh Lisu majarbu unayopitia ni ngazi ya kukupeleka kwenye nafasi ya utukufu,usiogope,usiogope Mungu yu pamoja nawe. Waliokuchimbia kaburi wametumbua wenyewe.Neema ya Bwana wetu Yesu kristo na ikufunike na mkono wa Bwana na usikupungukiwe ktk jina la Yesu kristo,Amina.
Kamanda wangu wew ni muujiza pia
Amina Amina kubwa
Ubarikiwe mama Kwa neno la mungu na mungu ni mwenye lehema sisi watanganyika Kwa maombi yetu tutavuka hiyo bahari ya sham amina
Tundu Lissu ni muujiza unaotembea na Mungu amembakiza kwa kazi maalum ambayo ataifanya kabla ya yeye kumchukua wenye akili na hekima mlione hilo
Ameeen
Mungu ni mwema hakika, yupo pamoja nae daima ktk maisha ya mh Lisu
Amina tuwatakie maisha malefu na upendo mkuu uwe dila yenu kumbe kwa umoja wenu kumbe taifa unaliweza kwani umeanzia nyunbAni kwako na ukoo wako wewe ni kiongozi wa kweri
Blessed family 🎉
Bwana ndiye mchungaji wangu,sitapungukiwa na kitu.Naam,nijapopita kati ya bonded la uvuli wa mauti,sitaogopa mabaya;kwa maana wewe upo pamoja nami,gongo lako na fimbo yako vyanifariji (Zaburi 23:1-6).
Ondoa duwaa zako za kikafiri
Hii ni Zaburi 23 mistari yote kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho.Kwa maelezo yako,hustahili kujibiwa.
@@ChristmasMaheri zaburi ndio nini?
Mnafanana sana ninyi Ndugu
Mama kweli ww meya.unajuwa kuongea
Allah awastir ukooo w Lissu amIna
Ebwana lisu ni wamungu ,, aliposhambuliwa tulikua kwenye send of ngulelo habari iliposambaa ukumbi ulivurugika kila mtu alilia SHEREHE ikageuka msiba ,, lisu usijali watanzania wako nyuma yako 💪✌️💪 MUH LISU
Tundu Lissu MUNGU ana kusudi na wewe na pia alitaka kuwadhalilisha waliokudhuru
Naona hapo bibi anafanya yake kwa mbaali
Tumwachie Mungu na maombi
Muujiza
Sio mchina mix huyu
Hiyo inadhihirisha Binadamu wote ni sawa!😂