BABA LEVO:KUPIGWA NA UCHEBE/KUVUNJA NDOA YA SHILOLE/MSIWE MANYUMBU/DIAMOND/MMEJILUNDIKA SEHEMU MOJA
HTML-код
- Опубликовано: 16 июл 2020
- BABA LEVO Amefunguka kuhusu kuvunja ndoa ya shilole na kusema kuwa Uchebe akithubutu kumpiga yeye hana nguvu za kupigana moja kwa moja ataenda kushitaki polisi.
Развлечения
Nakupenda bure baba Levo,wanaoungana na Mimi gonga like twenzetu
Aisee hatariii
Yani baba levo ongea yako ni furaha tu kwangu, Mungu azidi kukuwekea
🤣🤣 hata mimi ananifurahisha sana
Na kweli ni nyumbu 👍 hujakosea 😂😂😂😂😂 nakuelewa 💝💝
🤣 🤣 🤣 aise nimempenda anavomwambia mtangazaji "amesema ama umetunga wewe? “
Huyu jamaaa napenda kumfuatilia kwasababu hua nacheka Sana😂 anakipaji cha kipekee acheze na comedy bana😂
Baba levo anaongezea watu siku za kuishi..anafurahisha
Msechu atafanana na dyna nyange 😂😂😂😂😂😂😂
Kitapasuka pwaaaaaa
Atakonda atafanana na diana nyange🤣🤣🤣🤣
Mi interview zake siwezi kupitwaaa
Pwaaaa🤣🤣🤣
😂😂😂😂I really love Baba levo aky
I just love this guy ❤️
Baba levo kama baba levo k town people ✌
Yaaaani baba levo anaweza Fanya MTU akazimia kwamaneno jomoni!!
Baba levo vip vigodoro kwawakina dada
Baba kamufate kitupe kabisa
Diwani tunae kwakeli🤣🤣🤣
Kiiunua mgongo kinanukia😘😘
😂😂😂😂😂😂😂😂Baba Levo ww noma sana
Nampenda BB levol
Nakupenda sana
Hahahaaa duuh baba levo jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣
𝘒𝘣𝘭 𝘯𝘥𝘦𝘨𝘦 𝘩𝘢𝘸𝘢𝘫𝘢𝘯𝘺𝘢😂...𝘩𝘪𝘭𝘪 𝘫𝘢𝘮𝘢𝘢 𝘫𝘦𝘩𝘶 𝘬𝘸𝘦𝘭, 𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘯𝘢𝘭𝘪𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘬𝘯𝘺𝘢𝘮𝘢☺
Mtu Mbaya baba levo levo nyingine
Baba levo ananifurahisha sana
Eti sina nguvu zakupigana🤣🤣🤣🤣 Kofi tu police mbiyooo
Nimependa kuongea kwako boss 😂😂😂
Hahaha baba levo akili yako unaijua mwenyewe
Haaaaaaaaaaaa baba Levo umenishinda tabia babaaa
Gonga like baba yangu Hapa
huyu jamaa nampenda Bure aise nikama comedian fulani hivi... kitambi sipunguzi hakiniumi, sijikuni
Usikipunguze mwaya mwe yewe. Napenda wanaume wenye vitambi
😂😂
Mwnyw npnd sanaaa hiy clip
Kumbe ndo huyu jamaa
@@dashuusaalim1943 yeah
Haaa haaa haaaa etiii 20 babaaaa eti akinipiga tu kofi mbioooo police
Duh Baba levo jaman
🤣🤣🤣eti Linex ni mweusiii na msanii ukiwa mweusi akili zinavuruguka 🤣🤣🤣🤣 baba Levo wewe utaniua mbavu jamani khaaa
Huyu jamaa comedian
Npnd utani wake na Peter msechu😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Jamani nimeona matako au mchirizi kwani uvae boxer babalevo
Wabongo nawakubali😂😂😂😂
Akipigwa ata kofi na uchebe arudishi ni mbio police🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo haishi vituko angepewa talaka3 shishi
@@Amneamne-qi2du 🤣🤣🤣🤣😭😭😭
@@Amneamne-qi2du eti kapewa moja talaka rejea angestaili apewe3 kama atamuoa yeye vile😂😂
Mtoto mkali wewe wallah
@mariya we hatar
Kwa kweli nikicheko tu kwa huyu ba levo
😂😂😂😂 msanii mweusi hahahahahaa anavulugukiwa akili uyo baba levo dah!!!!
Umeona e hahahah
Baba levo unacekesha sanaaaa
Noma
Mmh
Baba Levo uko mwanaume mmbaya maneno yako yana onyesha una changia kwa ndoa ya Uchebe na Shilole kuvunjika, Shilole ata mkumbuka Uchebe,hao wanaume wanao tuma amkosehe Uchebe Heshima hawata muowa , Uchebe ali mpenda na ali muheshimisha.
Umeon mbali xnaa ndg na kikubwa hyo Baba levo yake yanaenda vzr anaharib ya mwezake na uyo anaeharibiw hajijui ila kamatadinutudani Baba levo akumbuke na yeye hajaf na wapo vijana kibao ambao wanaweza kumuharibia ndoa yake
Yani huyu baba levo 😅🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 libaba Levo bwana 🤣🤣🤣
Kitambi kinapasuka😂😂😂😂😂😂
Jamani membe huyo membe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhh bongo kuna vituko kabisa
Hili lijamaa chenga sn
Kumbe wanasiasa wengine wanaenda kwenye sisa kwa ajili ya kutafuta pesa tu na wala sio kwa ajili ya kusaidia matatizo ya wananchi,anafurahia kiinua mgongo karibu kinatoka.
Baba levo Uchebe akikupiga Kofi police 🤣🤣🤣🤣🤣 nakupenda bure mtu wangu.
ruclips.net/video/IbzIYmxuIu8/видео.html
Wekiboko bba levo
Kweli baba yake levo yani nimweehu
Kubwa jinga
Baba levo amenichekesha Sana.. Kofi tuu mbio police haaaaaaa aaaa
Ukitaka kucheka Zaidi mcheki kwenye interview yake na salama na baba levo, huko ndo utazimia kbsaaa
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 kinuaa mgongo
Hahaaaaaaa yaan ww mhuu
Hicho kiinua mgogo tutapata tabu sana hahahahaaaa
Baba levo anajichetuaaa
Mtashuhudia KO ambayo hata TYSON hadi anacha ngumi hakuwahi kupiga mtu!
Ety kama nyumbu😅😅😅
Yani KAPUMBAVU PUMBAVU kamembe ndo mnakaweka kasimame kugombea URAIS . Yani uchafu huo kweli kigoma MNAFELI kwelikweli
Usiinue kinywa chako kumuita mtu mbumbavu kwani alie muumba ndie kakuumba wew ambaye sio mpumbavu
Anapenda kukopa uyoooo half halipi 😂
Huyu saluti bonge la mchekeshaji
hahahahahahahahaha yaani interview za huyu bwana ni kuandaa mbavu tu, nimependa alivochungulia fursa
mim nazimia huku
ruclips.net/video/IbzIYmxuIu8/видео.html
Baba levo acha kujichubua
😃😃😃😃😃😃😃
Jamaa muongeaji
Jamaa anaongea sanaaaa had rah sem anawez kuongea mpk ukaf
Hahahaa aaaaaa
Huyu nyie dah
😀
Huyu mchekeshaji sn anakipaji cha kuchekesha sm
Uchebe anakutafuta eti unaomba beer halafu kitambiicho cha haragwe icho
Duu uyu kitomvyi wa shishi ngono
Ccm oye ccm oye ccm mko juu wengine mnajisumbua pumzikeni tu mambo yote ccm kigoma oye ccm oye
11
Hicho kicheko chako ww mhuu ataree
😆😆😆😆🙌
😂😂😂😂😂😂😂😂mkosa akili
Ni nyumbu kweli hujakosea
💕😜😜😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌
Atanyea debe kwakweli ha ha haaaaa
ruclips.net/video/akX_u4e3sS4/видео.html
Wanadamu wa baya is coming soon
Hahaha huyu akili, ake
Hivi huyu kuna muda anajifanya hazimo
Huyu anaehoji amefanana na buba
Tanzania there no corona
😁😁
huyu mtangazajii ako na umama
Weee jigaragaze tu mzee hakuna namna😂
😂😂😂nampenda sana huyu hata ukikasirika utacheka tu
Huyu nae mdogo wake membe mtihani mtupu, huyu aende akatatue matatizo ya ndoa ya Shilole,hicho chama cha wahuni
😂😂😂😂
Toka hapa akuna nyimbo mbovu kabisa
Mzamini Ni Shish
Comedian huyu
Wasana tena🤣🤣🤣
Haaaaaahaaaaaa
😂😂😂😂jamani membee huyo membeee
Angaliya namna Bba levo na shishi wanavyo taniyana ndani ya bus ruclips.net/video/rkI8_TDMhFI/видео.html
😂😂😂😂😂huyu mpuuzi na lipua lake Hanna chama hapo mwisho wa siku watalala chali miguu ya mende😂😂😂
wanatafuta luzuku😃😃😃
Kumbe huyu jamaa ni pand ya pili ha,ha,haaaa
Na mm nimeshangaa
hii hapa diamond platnumze ft king98 ruclips.net/video/ejqQcNElAy0/видео.html
This man hawezo oa