Ila kiukweli huyu mtangazaji hana tu wakumshika mkono ila amegusa kila kitu kwenye interview yake yuko vizuri Sana tena sana mungu ambariki sana na amtie nguvu siku moja awe na media yake kubwa sana hapa Tanzania 🤔🤔🤔🤔
Mmmmh baba levo sikufichi we ndo unaenimalizia mb zangu,nakufatilia Sana nikiwa na mwazo nasem baba levo yupo wapi nacheka Sana ,Mimi nakuelewa vzr Sana
Mtangazaji nimekupenda unauliza maswali tofauti tofauti, hujabez upande mmoja yaani unaifanya interview iwe bomba,na kikubwa anaehojiwa pia yupo safi... So ni fire
Mtangazaji hongera sana uko vizuri unajua namna ya kuframe maswali na umetulia vizuri sana keep it up utafika mbali sana ila shati lako ungelipiga pasi sasa😜
Yaani huyu kaka kwakweli anachekesha sana wakatandika mrago mkavunjishwa mise aise watu wa kigoma kuongea humuwez ubishi sasa ndiyo jadi yao sasa ukiowa mke wa kigoma ujipange wanamdomo hatar tena ukiowa wadada wa kasingirima buzebazeba majengo katonyanga kitongoni burega rubuga ndahiriwe hizo sehem usiende kuowa utajuta
Mbumbuuu yani hili jamaa ni mbumbu kweli kumbe tangu shule ulikuwa mbumbu unafosi kiki kwa msechu mwenzako anajielewa ndomana alikuwa mshindi east africa
Machimbo tafu unanifurahisha baba levo Mungu akupe maisha marefu
Duuuuh, Uzuri wa Baba Levo hachagui maswali yote anajibu tena kwa furaha zote. safiii sana kwa kufunguka
Mtangazaji anahoji vizuri na baba levo anajibu vizuri nimependa
BABA LEVO anzisha shows zako tutakutazama. napenda urafiki wenu na shishi. Bff goals. mtangaaji big up kwa kumtafta Huyu bingwa. love from 254
Ila kiukweli huyu mtangazaji hana tu wakumshika mkono ila amegusa kila kitu kwenye interview yake yuko vizuri Sana tena sana mungu ambariki sana na amtie nguvu siku moja awe na media yake kubwa sana hapa Tanzania 🤔🤔🤔🤔
Mmmmh baba levo sikufichi we ndo unaenimalizia mb zangu,nakufatilia Sana nikiwa na mwazo nasem baba levo yupo wapi nacheka Sana ,Mimi nakuelewa vzr Sana
Jamani msechu uwiiii babalevo kakuganda hahaha love u baba levo
Mtangazaji nimekupenda unauliza maswali tofauti tofauti, hujabez upande mmoja yaani unaifanya interview iwe bomba,na kikubwa anaehojiwa pia yupo safi... So ni fire
Baba levo noma aiseee
yaani haiboi nimeirudia hii interview ili nichekee tuu😂😂😂😂😂
Yuko vizur👍🏻😃🇹🇿
Cheko la levo balaa sana gonga lyk kama kuna ukweli
Huyu mtangazaji ni konki... Yuko vizuri mno...
Mtangazaji yuko pouw❤❤❤❤❤ sana❤💕💕👏
Mtangazaji hongera kijana .
Ubongo wa baba levo uko very high kwenye majibu
Baba levo ni noma sana
Baba Levo yuko vizuri comedian huyuu
Huyu mtangazaji anajua sanaaaaaa....ni Basi tu Tanzania watu kama Hawa hawaonwi.....ila big up sanaaaaa
"Sijiediti" hahahaha, baba levo anakula MB zangu bureee
Journalist poa sanaa Tanzania...good Interview.. pickup
Mi nampenda babalevo yeye Yuko real🤣🤣🤣
Baba LEVO ni noma😂😂😂😂
Hyu bba levo sio mzma hyu mxechu hamskii akisema mnn hy😆😆😆😆😆😆😆😆eti apate msg msechu anafngwa miaka 30 jela ndo anayotka
Hahahaha daah hilo cheko lake Baba Levo ni balaaa, na nimekukubali eti natamani Mimi ningekuwa ZUCHU safi kabisa wew huna fitina
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂you made my day baba levo
Jaman nmegundua baba levo kashiba mpaka mbavu zimebana🤣🤣🤣
hahahahahahahahahahahahahah
hahahahahahahahahahahahahah
😂😂😂hanangwa🤣🤣nampenda baba levo bureee
Mmmh baba levo unachekesha sana
😂😂😂😂😂 Kkkkkkkkkk tuwekeye basi pic ya museko 😂😂😂😂😂😂😂 tuka muone... Baba levo ur the best
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣baba levo nimecheka wee kaka wewe daah kwann usifanye comedy 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂✋✋😂😂😂😂😂😂
😂😂😂eti wanakula maua🤣🤣na wanakula ugali kwa negative 😂😂
Jamani baba levo mimi nakupenda sana
Umeliona jamaa
Baba ni balaaaa
Napenda Sana kua mkweli Kama babalevo🙏🙏
U made my nite
Baba Levo ameshiba Sana naona anahangaika hapo kwenye kiti
😂😂😂😂😂
nimecheka km mazuri vile 😂😂😂😂😂😂😂😂
Anamaswali yabusara sna tena yakujenga kabsaa uyo mtangazaji aendelee ivo ivo me naanza kumfwatilia sna
Kazi nzuri sana mtangazaji
Sure he is brilliant kabisa...love from Kenya
Presenter nakupa salute
Mtangazaji yuko pw sana
N penda sana interview za baba Levo kkkkkkkkkkkkkkkkkk
Mtangazagaji big up
Baba levo kapinda sana 😂😂😂
B levo nakubali sana
Mtangazaji hongera sana uko vizuri unajua namna ya kuframe maswali na umetulia vizuri sana keep it up utafika mbali sana ila shati lako ungelipiga pasi sasa😜
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣
Huyu mtangazaji aongezewe mshaharaa
Nice interview
Nakukubali baba levo
😂😂watoto warithi akili za mama mana wakipata za baba uwiii
😂😂😂😉
😂😂😂
😢😢😢
Nibala
jamani mimi nishacheka mpaka basi mb zinakwisha swali langu kwa baba levo huyu msechu na baba levo wanalewana kweli wakikutana
hahahahahahahahahahah yaani huyu ukisikiliza interview zake lazima ucheke
😝🤣🤣🤣🤣
Levo anachekexha xanaa
Hahahaaaha yani hua nafurah sana kumsikiliza huyu jamaaa
Mchekeshaji wa ukweli,nakukubali sn bro
Nakubari babarevoninoma
Mtangzji upo vzr baba
Hahahaaa dooh eti shule alikuwa haelewi kabisa 😂😂😂
20:52 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana
Baba levo aki 😍😂🤣😂
😂😁😁😁😁😁😁😁wew Baba hatari uwiii majibu yako nimeyapenda
Nyumbu😃😃😃😃😄😄😄
Jamaaa ni mkweli aise 😂😂😂😂
mtangazaji huyo aongezewe mshahara kwa kuendesha interview vyema
hao ndo watangazaji tunawowahitaji
Huyu ndio mtangazaji nimeona yuko proffesion wengine ni hovyo tu
Kabisa
Mb zangu zote zinaishia kwa baba levo ckuiz noma sana 🤣🤣🤣😋
Hahahaha uwiiii uyu baba levo jamn duuu
Huyu Mama Levo bangi inamsumbuwa
Hahaahahahahhah baba levo hua nikiwa nastress zangu naangalia interview yako nakucheka
Kama umemsikia jamaa anamcheka Gonga like!
Hahahhhhhah!!! Baba Levo nachekaga sana ila wengine hawakuelewi,,,
Love baba levo
Afunguee tu kipindiii yeye na Shishi kwakwelii
Ahahaahaa etiii ningekuwa zuchu yaani we baba levu
Hivi msechuuu akionaa hii video we baba levu itakuwajeee
Love baba levi
@@kojahelly9165 wanajuana hawa interview za msechu utacheka pia anavyomkandia baba levo😂😂😂😂😂😂
@@zuleikhakhamis3303 ahahaaaa hapo umesemaaa
Nakupendaga bureee
Sarah penda mimi please
Baba leo nakubali sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
SAFI.
hii interview nani kangalia zaidi ya mara 1 huku akiwa anacheka na maneno ya BABA LEVO @ VP😂😂😂😂😂😂😂😂 NATAMANI NINGEKUA ZUCHU😂😂😂😂😂😂
Yani nimecheka mpaka nimekufa
@@salmaluhombero8466 hahahaha mpaka umefufuka
Baba Levo dah!
Hahhhh mm namwelewa sana bb l
Huyu mtangazaji nimemkubaliii
Baba levo high na low nakukubali sana
Baba levo MB zangu na wew
Maswali Ya Mtangazaji ni Mazuri sana...Big Up sana
Hahaha Baba levo😀😀
kazi ya kizazi
Walio sikia neno manyumbu gonga like
😀😀😀😀😀
Kufeli c kushindwa baba levo
Au sio bana
Yaani huyu kaka kwakweli anachekesha sana wakatandika mrago mkavunjishwa mise aise watu wa kigoma kuongea humuwez ubishi sasa ndiyo jadi yao sasa ukiowa mke wa kigoma ujipange wanamdomo hatar tena ukiowa wadada wa kasingirima buzebazeba majengo katonyanga kitongoni burega rubuga ndahiriwe hizo sehem usiende kuowa utajuta
@Dafoka Nakubali mkuu bonge la interview mda mchache ila interview imeeleweka!
Hahahahahahahahahahha yani baba levo ni atar sana anavyo jibu
Mbona unamwandama sana msechu
Kwenye matibuzi bhna nime pitia sana
Hahaha baba levo ww unatisha kwauchekesha jaman
Baba levo uwaka nakujipendea sana unanichekesha sana walah
Baba levo haikubali sana nikiwa niko na Tafran huwa naangalia interview zako tu nipata kurelaxe
B levo unanimaliza hasa
Daah
Ww n chiz😀😀😀😀👐
Hahahaha eti kwanza nilikuwa mchafu , nilikuwa sipendi eti puwa kama ninininini hahah
Baba le
Jamani
Nakupenda baba levo ❤️
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Baba Levo chizi sana
Raha ya interview unacheka kidogo unasikiliza sio interview inaanza hadi inaisha ni stress tu.
Mie nachek jmn yy ni msechu tu 🤣🤣🤣🤣
😎
Uboya up
Baba Levo njoo Kenya tufanye biashara ya Kafyenku tutatengeza hela😅😅😅😅
Mbumbuuu yani hili jamaa ni mbumbu kweli kumbe tangu shule ulikuwa mbumbu unafosi kiki kwa msechu mwenzako anajielewa ndomana alikuwa mshindi east africa