Steve mweusi na ndarotz nawakubali sana nyie 😢😢😢😢❤❤❤❤❤.... yaani mimi hapa nikiudhiwa na yeyote yule huwa nanunua bundle na hata sipokuwa na kibunda najitahidigi niazime tuh😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤
Kauli ya ndaro ya mwisho imenigusa sama kwani ni maisha ambayo wengi tunaishi. Mtu anafanyishwa kazi tangu asubh ila kula duuh shida. But kazi nzuri sana
Ila me kuwa wa kwanza leo imekuwa shughuli kweli😂😂ila naamini nitapata hata like ndaro hapo 🎉🎉🎉
Nyoko bahati Yako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ruclips.net/video/Xe4oBnM6-tc/видео.htmlsi=avqVkwtOD13rRM3X
@@Jaydannychawaboy. 😂😂nigga wht u say about men gadamnnn 😂😂😂
Nzuri Ku toka Congo🇨🇩 naomba liké moja
Mamb
@@Maka_veli69 bm
Much love kwa Steve like zenu kwa Steve hata kumi Tu👍👍👍
❤❤❤
Nzuri sana ...nimeipenda...kutoka Mozambique🇲🇿
nimeamka nakucheka leo mungu bariki wote wawe ba furaha leo
🤣🤣
Stve tunakukubali mnooo..
Ila badili vionjoo vya ect broo vingi vinafanana utuongezee burudani. Bg up sana
Waloskia mkoa wa katavi kuwa Steve ndo mkaz wa huko gonga liked👍👍
Love 💕 you all Steve and ndaro from Zambia
Mmmmh ilo jicho la boss ........ second 16
Much love from kenya🇰🇪💕💕✊
Nikushauri kitu stive Siku umekata nyole zako basi umekwisha! Kwakifupi hizo ndizo kipaji chako usikate kwaushauri wakipumbavu labda🧏 yule ameniunga mkono anipe likes zangu basi👋🏾
haha kwel😊
😂😂😂😂😂
Steve anaweza 😂😂😂 wallah
Kazi zote umekataa umeamua kuuza sumu sasa unadhani wadudu watakuchukuliaje “😂😂😂😂😂
Léo mimi WA kwanza, nipeni likes ZANGU
Love from Qatar steve na ndaro il like so much❤❤❤
From 254 ,, napende kazi wafanya, man Steve
Ndar kaza baba
Duuuhhh!!!,eti kazi kazi kupata kazi ,😀😀😀😀😀😀😀😀😀🇨🇩💪💪💐💪seen by mwanacongo's shop💪💐💪💐🇨🇩💐🇨🇩youths's efforts💯💖💯💐💪💪much💓💓💓💖💖🇨🇩🇨🇩
Kazinzuli sana sitv nawapenda wew natimu😍❤❤ yako mnguawape uzima mzidi kutuletee kaz zaid yaizi
Naomba likes leo jameni,,show love from kenya
Jamani Steve unachekesha..
Wanangu mnajua sana 😂
Hahahahaha oya Steve wewe umeshindikana na ndaro
Mjitahidi. Matamshi mnapishanisha but good job
Huyo mdada mamma ntilie apewe mauwa yake 👏👏👏
Ndaro burundi unatuwuw kaza uko unafany vizuri san✌️
Ndaro umenifurahisha kwamba alikujakuomba kazi kaa akapata kazi sasa hizi anaona kazi kufanyazi kuendeleakufanya kazi
Steve mayai umendaa honga kwa yule cheupe dogo2 😂😂😂
Mko vizuri St ndaro
Hahaha eti nikupe namba ya Kamchape😂😂😂🔥🔥🔥👏👏👏👏👏
Stivo thanks for supporting my friend daro Minnesota
😂😂😂😂 Mas força irmãos meus adoro vosso trabalho
ila Aziza maa shaa Allaah amefanya mashavuuuu
Ndaro sahani fek hiyo😂😂😂😂
Nakukubali sana stivu
Good job Steve na ndaro 🎉🎉🔥🔥
Steve kaka unatisha mbaya
Steve mweusi na ndarotz nawakubali sana nyie 😢😢😢😢❤❤❤❤❤.... yaani mimi hapa nikiudhiwa na yeyote yule huwa nanunua bundle na hata sipokuwa na kibunda najitahidigi niazime tuh😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤
Ila nakukubali sana kaka Steven kiasi kwamba siku ukifa nikikosa hata kipande Cha nyama naharibu mazishi🤗
😂😂😂😂
Good Job Mr Steve With Your Team
Hii? Imehenda kabisa ndoro and Steve mweusi niatari sana 🥰🥰🥰
Ni wakatavi sehem gan uyo
Steve ww duuh 😂😂😂 umetisha sana kaka
Katavi imesha mumiss aludi tu 😂😂😂😂😂
Kali sanaaaa
😅😅😅😅 vichaaaaa mmekutana wamwisho wa relii😅😅😅😅 kigoma to mpanda 😅😅😅😮😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤
mimi wa kwanza leo naomba ata 10 liké
Uko saw bwana Steve mweus napenda vituko zako
Wakwanza kuiona
Hahaha good work
We Steve ni kichaa totally.....😂😊
Mimi ni mkenya 🇰🇪 napenda ndaro na steve kwa kazi zuri mnaofanya
Amazing
Ila watu mpanda bhn wehu sana😂😂
Steve tenaa😅😅😅 Never disappoint!!!
😂😂😂😂😂😂😂nihatari ya steve
😂😂😂😂anadhan ng'ombe tunaziokota Ndaro bhana❤❤
Pumbavu zako steve😂😂😂 ati elfu 6,elfu 7 mara elfu 8 humo humo katikati 🙌 🙌 🙌
Nawapenda sana steven
😢cjawahi kupata like jmn ata tatu
Iko poa sana ❤
Nampenda Aziza na kasura kake la upole...❤❤❤
😂😂😂😂yan steve na ndaro hatar sana
Much love from Kenya 😂😂
Kazi nzuri sana nawakubali 🫡🫡🫡
Steve mweusi tuna kupenda sana Congo
We Steve ni kichaa totally.....😂
Hapo mwisho ndaro ame weka sura ya huruma kweli....hebu akule chochote nitalipa
😂😂😂😂😂😂😂😂atiiiii haturogiiiii hahahhahaa mbavu zangu
Kuna wakat ukikaa bila bando unaboeka sana yan vitu kama vya stiv na ndaro vinafanya paji la uso liwe la kunawili zaid mungu akupeni ubunif zaid
Léo ni mimi wa kwanza Vincent kutoka Congo drc
Nampendag aziza anavyoongea
Nakupenda steve❤ fom 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kenya🇰🇪 we love Tanzania
We love you too, ❤🇹🇿
Kazi nzuri❤ from Kenya 🇰🇪
Acha kazi uone ilivyokazi kupata kazii 😂😂😂
Movie kali sana msichelewe kutoa yapili
Mie hapa Toka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪..lakini nimekuwa addiction WA steve😂😂😂😂....yaani madrama tu
Hhhhhhh tangu asubuhi 😅hujala lakini kwa hoteli ni ukweli huo wanaapitia
Kauli ya ndaro ya mwisho imenigusa sama kwani ni maisha ambayo wengi tunaishi. Mtu anafanyishwa kazi tangu asubh ila kula duuh shida. But kazi nzuri sana
Ndaro na Steve mweusi maua yenu nawapati
Nakubali sans
Nawakumbali sana steve+ndaro
😂😂😂😂😂 ndaro made in whare I like it ❤️❤️
Uyo steve hafai ni Njaa tupu 😂😂😂😂😂😂
Nimeipenda
Wew steve hii part 2 haitoki au mbn haitoki
Daa zetii 😄
Dah! Nyie watu hapana, mnamtia Dada wa watu hasara tu, lakini kazi nzuri sanaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Steve bhana kumbe mteja mwenyewe😂😂😂😂
Mta tu uwa mbavu zetu sisi😂😂😂😂😂😂
Eti ampe namba ya kamchape🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣, Steve Mweusi na Ndaro kwanini msiwe karibu na Tin white mtupe comedy series classic?
Hatari xana
Mna Tisha sana brother
Sema ndaro na Steve mkikutana Ni Mashine sahani Original aipasuki😂😂😂😂
Anatish sana stev❤😮😮😮
Mbona ka sielew
Kwn watu walala RUclips naona mm ndio wa kwanza jmni nipeni jpo like ✌️
Washamba wamejaa humu na malimbukeni unataja ulipotoka umeulizwa😎😎
Namba ya kamchape😂😂😂😂😂😂
Iko nondo nasubiri sehemu 2😂😂😂😂
Awa jamaa bhana😆😂😆
Aha day Mimi was kwanza leo angusha like yako kama video hii imekupendezaa
😂😂😂 from......