Steve mweusi na ndarotz nawakubali sana nyie 😢😢😢😢❤❤❤❤❤.... yaani mimi hapa nikiudhiwa na yeyote yule huwa nanunua bundle na hata sipokuwa na kibunda najitahidigi niazime tuh😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤
Kauli ya ndaro ya mwisho imenigusa sama kwani ni maisha ambayo wengi tunaishi. Mtu anafanyishwa kazi tangu asubh ila kula duuh shida. But kazi nzuri sana
Ila me kuwa wa kwanza leo imekuwa shughuli kweli😂😂ila naamini nitapata hata like ndaro hapo 🎉🎉🎉
Nyoko bahati Yako 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ruclips.net/video/Xe4oBnM6-tc/видео.htmlsi=avqVkwtOD13rRM3X
@@Jaydannychawaboy. 😂😂nigga wht u say about men gadamnnn 😂😂😂
Nzuri Ku toka Congo🇨🇩 naomba liké moja
Mamb
@@Maka_veli69 bm
Much love kwa Steve like zenu kwa Steve hata kumi Tu👍👍👍
❤❤❤
Nikushauri kitu stive Siku umekata nyole zako basi umekwisha! Kwakifupi hizo ndizo kipaji chako usikate kwaushauri wakipumbavu labda🧏 yule ameniunga mkono anipe likes zangu basi👋🏾
haha kwel😊
😂😂😂😂😂
Steve anaweza 😂😂😂 wallah
Waloskia mkoa wa katavi kuwa Steve ndo mkaz wa huko gonga liked👍👍
Stve tunakukubali mnooo..
Ila badili vionjoo vya ect broo vingi vinafanana utuongezee burudani. Bg up sana
Nzuri sana ...nimeipenda...kutoka Mozambique🇲🇿
nimeamka nakucheka leo mungu bariki wote wawe ba furaha leo
🤣🤣
Mmmmh ilo jicho la boss ........ second 16
Mjitahidi. Matamshi mnapishanisha but good job
Jamani Steve unachekesha..
Love 💕 you all Steve and ndaro from Zambia
Mko vizuri St ndaro
Much love from kenya🇰🇪💕💕✊
Léo mimi WA kwanza, nipeni likes ZANGU
Ndaro umenifurahisha kwamba alikujakuomba kazi kaa akapata kazi sasa hizi anaona kazi kufanyazi kuendeleakufanya kazi
Naomba likes leo jameni,,show love from kenya
Huyo mdada mamma ntilie apewe mauwa yake 👏👏👏
Steve mayai umendaa honga kwa yule cheupe dogo2 😂😂😂
Kazinzuli sana sitv nawapenda wew natimu😍❤❤ yako mnguawape uzima mzidi kutuletee kaz zaid yaizi
Love from Qatar steve na ndaro il like so much❤❤❤
Ndaro burundi unatuwuw kaza uko unafany vizuri san✌️
Wakwanza kuiona
Wanangu mnajua sana 😂
From 254 ,, napende kazi wafanya, man Steve
Ndar kaza baba
ila Aziza maa shaa Allaah amefanya mashavuuuu
Duuuhhh!!!,eti kazi kazi kupata kazi ,😀😀😀😀😀😀😀😀😀🇨🇩💪💪💐💪seen by mwanacongo's shop💪💐💪💐🇨🇩💐🇨🇩youths's efforts💯💖💯💐💪💪much💓💓💓💖💖🇨🇩🇨🇩
Nakukubali sana stivu
Steve kaka unatisha mbaya
Ndaro sahani fek hiyo😂😂😂😂
Hahahahaha oya Steve wewe umeshindikana na ndaro
😢cjawahi kupata like jmn ata tatu
Ila nakukubali sana kaka Steven kiasi kwamba siku ukifa nikikosa hata kipande Cha nyama naharibu mazishi🤗
😂😂😂😂
Kazi zote umekataa umeamua kuuza sumu sasa unadhani wadudu watakuchukuliaje “😂😂😂😂😂
Hahaha eti nikupe namba ya Kamchape😂😂😂🔥🔥🔥👏👏👏👏👏
Katavi imesha mumiss aludi tu 😂😂😂😂😂
Good job Steve na ndaro 🎉🎉🔥🔥
following from malawi 🇲🇼
Steve mweusi na ndarotz nawakubali sana nyie 😢😢😢😢❤❤❤❤❤.... yaani mimi hapa nikiudhiwa na yeyote yule huwa nanunua bundle na hata sipokuwa na kibunda najitahidigi niazime tuh😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤
Uko saw bwana Steve mweus napenda vituko zako
Kali sanaaaa
Stivo thanks for supporting my friend daro Minnesota
😂😂😂😂 Mas força irmãos meus adoro vosso trabalho
Hahaha good work
Good Job Mr Steve With Your Team
Steve ww duuh 😂😂😂 umetisha sana kaka
Steve tenaa😅😅😅 Never disappoint!!!
😂😂😂😂😂😂😂nihatari ya steve
Amazing
Hii? Imehenda kabisa ndoro and Steve mweusi niatari sana 🥰🥰🥰
Hapo mwisho ndaro ame weka sura ya huruma kweli....hebu akule chochote nitalipa
Ni wakatavi sehem gan uyo
Nawapenda xana
Acha kazi uone ilivyokazi kupata kazii 😂😂😂
Kuna wakat ukikaa bila bando unaboeka sana yan vitu kama vya stiv na ndaro vinafanya paji la uso liwe la kunawili zaid mungu akupeni ubunif zaid
Mimi ni mkenya 🇰🇪 napenda ndaro na steve kwa kazi zuri mnaofanya
Nawapenda sana steven
Ila watu mpanda bhn wehu sana😂😂
😂😂😂😂anadhan ng'ombe tunaziokota Ndaro bhana❤❤
Pumbavu zako steve😂😂😂 ati elfu 6,elfu 7 mara elfu 8 humo humo katikati 🙌 🙌 🙌
Léo ni mimi wa kwanza Vincent kutoka Congo drc
Kazi nzuri sana nawakubali 🫡🫡🫡
😅😅😅😅 vichaaaaa mmekutana wamwisho wa relii😅😅😅😅 kigoma to mpanda 😅😅😅😮😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤
Leo wa kkwanz nipen like
Kwn watu walala RUclips naona mm ndio wa kwanza jmni nipeni jpo like ✌️
Iko poa sana ❤
mimi wa kwanza leo naomba ata 10 liké
Kauli ya ndaro ya mwisho imenigusa sama kwani ni maisha ambayo wengi tunaishi. Mtu anafanyishwa kazi tangu asubh ila kula duuh shida. But kazi nzuri sana
Ndaro na Steve mweusi maua yenu nawapati
Nampendag aziza anavyoongea
Nampenda Aziza na kasura kake la upole...❤❤❤
Nakubali sans
Steve mweusi tuna kupenda sana Congo
Kenya🇰🇪 we love Tanzania
We love you too, ❤🇹🇿
Mie hapa Toka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪..lakini nimekuwa addiction WA steve😂😂😂😂....yaani madrama tu
lkopoa sana
Nakupenda steve❤ fom 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wew steve hii part 2 haitoki au mbn haitoki
Eti ampe namba ya kamchape🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣, Steve Mweusi na Ndaro kwanini msiwe karibu na Tin white mtupe comedy series classic?
steve na ndaro huo dada ana talent, huo Steve kasema eti amempa numba ya kamchape.
Washamba wamejaa humu na malimbukeni unataja ulipotoka umeulizwa😎😎
We Steve ni kichaa totally.....😂😊
Sema ndaro na Steve mkikutana Ni Mashine sahani Original aipasuki😂😂😂😂
Anatish sana stev❤😮😮😮
STEVE NA NDARO JIUNGENI NA TIN WHITE.
Mbona ka sielew
😂😂😂😂😂😂😂😂atiiiii haturogiiiii hahahhahaa mbavu zangu
Hhhhhhh tangu asubuhi 😅hujala lakini kwa hoteli ni ukweli huo wanaapitia
Nimeipenda
Aha day Mimi was kwanza leo angusha like yako kama video hii imekupendezaa
Nawakumbali sana steve+ndaro
😂😂😂😂😂 Steve ww
Kazi nzuri❤ from Kenya 🇰🇪
😂😂😂😂yan steve na ndaro hatar sana
Hatari xana
Katavi kweli imakuita unaonja supu ya mteja
We Steve ni kichaa totally.....😂
Ila nyie mbwa vipaji sana bas tu na siku steve ukiwa boss siangalii iyo scrept kwakweli🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Movie kali sana msichelewe kutoa yapili
Iko nondo nasubiri sehemu 2😂😂😂😂
Steve bhana kumbe mteja mwenyewe😂😂😂😂
😂😂😂😂 wanao amini uchawiii tujuane