USTADHI KONDOBUNGO ATOA SIRI ZA MASHEIK NA WAISLAMU WENGI KUVAA PETE, DR SULLE NA MBOGO WAPEWA SOMO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA

Комментарии • 29

  • @user-ft8cb3rq2k
    @user-ft8cb3rq2k 15 дней назад +1

    Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 11 дней назад

    Hayaa ni maarifa makubwa sana

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 13 дней назад +1

    Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b 12 дней назад +1

    Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 5 дней назад

    Tusiuhukumu uislamu Kwa kutojua linaloongelewa.

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 15 дней назад

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 5 дней назад

    Uislamu ni Raha ona sheikh anavyoichambua Pete na madini yaliyomo kwenye hiyo Pete.😊

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 15 дней назад

    4NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 15 дней назад

    HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 9 дней назад

    VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 14 дней назад +1

    Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 15 дней назад

    Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo

    • @bilid4128
      @bilid4128 15 дней назад

      Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 15 дней назад

      @@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 15 дней назад

    Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 15 дней назад

      @@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome

  • @user13375
    @user13375 15 дней назад

    Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 15 дней назад +3

    Uislamu ni uchawi mtupu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 13 дней назад

      Acha chuki za kidini

    • @mussashaha-iv7gg
      @mussashaha-iv7gg 13 дней назад +1

      wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute

    • @batashqiraa9936
      @batashqiraa9936 13 дней назад

      Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki

    • @othmaniddikilongokilongo7890
      @othmaniddikilongokilongo7890 8 дней назад

      Uislaam ni mfumo wa maisha anayoyaridhia Allah hapa duniani wala sio uchawi. Kuuchukia kwako uislaam ni khasara kwako.

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 15 дней назад

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

  • @sospetermwakoma910
    @sospetermwakoma910 15 дней назад

    NIPE NAMBARI YA SHEIKH

    • @joezeno8
      @joezeno8 15 дней назад

      @@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1

    • @JumaAthuman-bk6hx
      @JumaAthuman-bk6hx 14 дней назад

      Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu