USTADHI KONDOBUNGO ATOA SIRI ZA MASHEIK NA WAISLAMU WENGI KUVAA PETE, DR SULLE NA MBOGO WAPEWA SOMO
HTML-код
- Опубликовано: 4 июл 2024
- TUMEPATA NAFASI YA AKIZUNGUMZIA PETE NA NGUVU ZAKE KATIKA OFISI YA SHEIK KANDABUNGO NA TUMEPATA SOMO LA KUJIFUNZA TAZAMA HAPA
Sheikh Yuko, vizuri Sanaa..
Hayaa ni maarifa makubwa sana
Msikilize sheikh anachokiongea usikurupuke kwenye uchawi. Msikilize Kwa umakini ili umuelewe.
Hata utajiri mtu anaweza kufanya maalifa ukawa tajiri hii haipingwi kabisa
Tusiuhukumu uislamu Kwa kutojua linaloongelewa.
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
Uislamu ni Raha ona sheikh anavyoichambua Pete na madini yaliyomo kwenye hiyo Pete.😊
4NIPE NAMBARI YA SHEIKH
HAPO HAKUNA USOMI WA DINI ZAIDI YA USHIRIKINA UKIONA MAPETE HAYO UJUE NI MSHIRIKI NA, WAEPUKENI HAO.
VIONGOZI WA DINI ACHENI MAMBO YENU BINAFSI FUNDISHENI IMANI YA DINI. MAJINI MAJINI WHAT IS MAJINI BWANA.
Msingi wa uisilamu ni kupenda wenyewe kwa wenyewe na kusaidiana na majini ndugu zao.
wewe ni mpumbavu huelewi hujui Mungu kaumba nini
Kwani wewe una utofauti Gani na majini
Sawa
Nishawahi kusema narudia tena shetani hana uwezo wa kusema kitu kuwa lakn ana uwezo wa kufanya chochote kupitia vitu mfano pete,cheni,bangili na mengineyo
Hapo kwenye neno "kuwa lakn" umeniacha kidogo tafadhali naomba ufafanuzi kidogo
@@bilid4128 sijaweka mkato ndo maana unasema nimekuacha (kitu kuwa)
Kwahyo wewe mzee kati yahawo walio toa elimu ya falaki na wewe mwenyeelimu ninani yani umejikanyagakanyaga sana
@@ayubutwalbu6594 yeye huyo mwalimu amejitoa katika ushirikina, lakn inabidi ufahamu kuwa hiyo elimu ya farak ni ushirikina amabo sheh yoyote lazima asome
Misir ndo uchaw ulipoupatia😮😮
Uislamu ni uchawi mtupu
Acha chuki za kidini
wewe huelewi uislam ndio dini ya kweli hakika kama unataka kujua nitafute
Uislamu sio uchawi, uislamu ni dini ya haki ambayo imeridhiwa na Mwenyezi Mungu, uislamu unakataza kufanya uchawi, uislamu unatambua kuwa uchawi upo lkn uislamu hauruhusu kufata na kufanya uchawi, kwaiyo usiuchafue uislamu kwa chuki zako, pinga kielimu na sio kichuki
Uislaam ni mfumo wa maisha anayoyaridhia Allah hapa duniani wala sio uchawi. Kuuchukia kwako uislaam ni khasara kwako.
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
NIPE NAMBARI YA SHEIKH
@@SIMULIZIZONENafikiri ulirusha hii kipindi part 2 mbele badala ya part 1
Acha kughulika na washirikina hawa utapoteza muda wako na kupigwa vijisenti vyako.Hawa ndo matapeli kwa kivuli cha dini,na ndo wanachafua uislamu