OSTAZ JUMA - "ANASHINDA KANISANI ILA ANATOA HELA TU - GOZBERT ANA NINI MPAKA AONGEE na MUNGU?"...
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- OSTAZ JUMA - ''ANASHINDA KANISANI ILA ANATOA HELA TU - GOZBERT ANA NINI MPAKA AONGEE na MUNGU?''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Mh we ostaz juma unasema uzur unachangia wew sio mwanamke bana
1. Angeliuza 2. Au angelitoa na yeye ZAWADI. 3.Angemrudishia 4. Angelipeleka kwenye Mnada
Katika Imani ya kikristo mpaka Leo tuna mtume,nabii.
Ndiyo maana mm sielewekagi leo niko msikitini kesho kanisan kesho kutwa kwa waganga yani ni mvurugano mpaka mwisho wangu point ni moja nataka pesa 😂😂😂
😂😂😂😂pumbavuuu yani umenifanya nicheke kijinga😂😂😂😂😢😢😢😂😂😂
🤣🤣🤣 Bora ww umeongea ukweli mana kuna watu wanafanya mambo ya hovyo sana alafu wanajificha kweny kimvuli cha dini waonekane watu wema. MUNGU ATUSAMEHE TU.
@fanuelykitambule5542 kabisa
@@FatumaMsuya-j5u 😂😂 pole
Huyo jamaa amefanya makosa sana huwezi kuharibu mali ya umma kwa kushikisha imani au dini iyo gari ni mali ya umma