SIRI HII HAKUNA ATAKAE KWAMBIA, NA KAMA UTAIFANYIA KAZI UTASHANGAA NA MATOKEO YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 91

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 7 месяцев назад +1

    MashaAllah,,,Shukran Sheikh

  • @ramlajuma5317
    @ramlajuma5317 8 месяцев назад

    Alhamdulillah Maa shaa Allah tabaaraka llah hakika ni maneno mafupi lakini yenye uzani mzito mbinafsi nasema ahsante saana sheikh Wangu Allah akulipe kheri nyingi na ndugu zangu katika Imani hivi mmesha ambiwa kutafuta elimu nibora kwakila mwisilam mwanaume na mwanamke mnapewa kheri mnaibeza hii ni kwasababu kilichoandikwa hamkijuwi kaeni madarasan muisome dini ili msiwe watu wamabishano yahoja wakati namambo ya manfaa kwenu mwenyewe mjuwe mnachokifanya wanapasa kukifanya wanasiasa nasio sisi waisilamu tutafuteni elimu huo ndio msingi wetu fiddunia wal, akhera

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  8 месяцев назад

      ameen ahsantu sana dadaang allah akuzindue katika din akuzidishie kher.na wanaofuatilia darsa zetu allah awafungue wakamjue na kumtaja kwa wingi ndio allaha anapenda kutajwa sana. shukraan sana

  • @hemedhemed8590
    @hemedhemed8590 8 месяцев назад +1

    Ok inshaaallah asnteeee

  • @salehrwigemagisa81
    @salehrwigemagisa81 9 месяцев назад +5

    سبحان من قسم الأرزاق بين عباده ومن فضله لا ينسى منهم أحدا
    Glory be to Him who divides sustenance among His servants, and from His grace He does not forget any of them

  • @AngoSheriff-be5mq
    @AngoSheriff-be5mq 7 месяцев назад +2

    Tunahitaji dalili kaka

  • @gamalashur5412
    @gamalashur5412 9 месяцев назад +3

    UTUKUFU NI WA ALLAH ANAEGAWANYA RIZKI KWA WAJA WAKE NA KWA FADHLA ZA ALLAH HAMSAHAU KIUMBE HATA MOJA.WOTE WAPATA RIZKI ZAO.
    ALHAMDULI ALLAH

  • @bintimahmoud6436
    @bintimahmoud6436 5 месяцев назад +1

    سُبْحَانَ مَنْ قَسَمَ الرِّزْقَ وَلَمْ يَنْسَ اَحَدًا سُبْحَانَ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ صَاحِبَةً وَلَا وَلَدًا سُبْحَانَ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُولَدْ وَلَمْ يَكُنْ لَهُ كُفُوًا اَحَدٌ مَنْ يَرَانِي وَيَعْرِفُ مَكَانِي وَيَرْزُقُنِي وَلَا يَنْسَانِي
    Share
    Save
    Feedback

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 9 месяцев назад

    Jazakallah Sheikh tuko pamoja insh allah ❤❤umri ❤

  • @ruwaidamohamed
    @ruwaidamohamed 9 месяцев назад +1

    In sha Allah Allah Ameen

  • @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
    @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv 9 месяцев назад +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @AminaHamzaMakenya-uj6zu
    @AminaHamzaMakenya-uj6zu 10 месяцев назад +2

    Shukrani sana kwa darsa

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  10 месяцев назад +1

      ameen yaa rabb allah atupe wepes pilpo na uzito

  • @tausiabdallah6402
    @tausiabdallah6402 9 месяцев назад +1

    Masha allah

  • @khadijah7217
    @khadijah7217 9 месяцев назад +1

    Shukran jaziilah

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 10 месяцев назад +1

    Shukran jazeerah

  • @AishaHamisi-o6w
    @AishaHamisi-o6w 9 месяцев назад +1

    Mashallh

  • @YusraSibanganya-g2u
    @YusraSibanganya-g2u Месяц назад

    Jamani angalieni mashekh wa kuwasikiliza mtapotezwa mpaka mtapotea tena. Na mashekhe jamani kuweni na hekima maneno kama hayo siya kufundisha mitandaoni mtatupoteza, Waislam kuweni makini tafadhalini hayana ukweli hayo shauri yenu

  • @SumailiRachide-kv6xc
    @SumailiRachide-kv6xc 8 месяцев назад +1

    Shukrani

  • @KhadijaJuma-zy8gy
    @KhadijaJuma-zy8gy 6 месяцев назад +1

    Assalam alykum naombeni MWENYE kujua hiyo dua alosoma hapo sheikh andike

  • @AliMohamed-bp5ji
    @AliMohamed-bp5ji 5 месяцев назад

    In God we trusted, maa, shaallah, haha kazikwetu.

  • @TumainHabibu
    @TumainHabibu 4 дня назад

    Shekhe mim ninatatizo la wasiwa nisaidie

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 9 месяцев назад

    Jazakallahu lkheyr

  • @fatumahamisi1604
    @fatumahamisi1604 9 месяцев назад +1

    Mashallah shekh wetu inshaallah tutayafanyia kazi na Allah atatujalia kheri zake

  • @Ntamba-rq8my
    @Ntamba-rq8my 7 месяцев назад

    A w w sheikh niliolew ila mume wangu nimzinifu sana nilikuwa nampenda sana kudikiya alizini nilifika namchukiya sana Tena sana Tena amazing mke wa rafikiyake niliumiya sana nikaomba Tanaka yangu alinipa nilisha mtukana uchonganishi mwingi mume sutwa

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  7 месяцев назад

      alykum salam pole sana dadaangu allah akuhifadhi
      lakin kwa utatuzi zaid insha allah nitafute kwa hizo namba hapo insha allah

    • @saidmakange2819
      @saidmakange2819 6 месяцев назад

      Kwa sasa ushaolewa???

  • @IssaJuma-rk5qb
    @IssaJuma-rk5qb 8 месяцев назад

    Insshaallah

  • @Marymwabayabaya-k7w
    @Marymwabayabaya-k7w 9 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Месяц назад

    Asante kwa somo ustadhi hassan ❤ je naweza kupata kitabu chenyewe?

  • @سيوابورندي
    @سيوابورندي 9 месяцев назад +1

    Shukurabni❤❤

  • @AdanAbgudo
    @AdanAbgudo 5 месяцев назад +1

    Asc kuna kitu natakuuliza

  • @hajratysaidy
    @hajratysaidy 8 месяцев назад

    Tuko pamoja inshaallah

  • @seifothmanothmanjuma-qr3hj
    @seifothmanothmanjuma-qr3hj 9 месяцев назад +1

    Mashallah❤

  • @Kisra-yw3qz
    @Kisra-yw3qz 9 месяцев назад

    Shukran❤

  • @khalifmohamed1995
    @khalifmohamed1995 9 месяцев назад +2

    Shekh wetu Kuna Hadith yenye husema hivo

  • @HajrahRamadan
    @HajrahRamadan 3 месяца назад

    Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu shehe andika ss hatutaelewa

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  3 месяца назад

      alykum salam angalia kwa hapo chini imetfsiriwa kwa kiswaahili

  • @YusraSibanganya-g2u
    @YusraSibanganya-g2u Месяц назад

    Maalim samahani hapo kwenye salam Hiyo taala ina maana gani?

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 9 месяцев назад

    Frm kenya❤❤❤

  • @Mufti-c7t
    @Mufti-c7t 8 месяцев назад +1

    Mtihani waislam yaani mpaka kumzukur Allah watu wanahofu na kutumbukia kwenye bidhaa? hakika makafir hapa wamefanikiwa yaani kupoteza muda kwa kuchati hatuhitaji dalili lakini kumzukur Allah tunahitaji dalili? Subhana llah kiama hakina mda wWallah waslamu yamebaki majina tu ya kiislam bali yakini imepotea

  • @karimnatu7125
    @karimnatu7125 9 месяцев назад +1

    Hyo..dua sheakh.. Tunaomba uiandike

  • @NdayishimiyeDjuma-is8gg
    @NdayishimiyeDjuma-is8gg 9 месяцев назад +6

    Sheikh tunaomb tuwe tunapew na dalili ili tusiw na hofu yakudumbukiy kweny bidaa

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  9 месяцев назад +1

      أدعون أستجب لكم قال الله تعالي

    • @ندىالعمري-ط7ي
      @ندىالعمري-ط7ي 9 месяцев назад

      Shukran sheikh kwa dua zuri plz nakuomba uniandhikie hiyo dua plz​@@TIBAZAMAALIMHASSAN

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t 9 месяцев назад +1

    Dua nzr ila iandke taf

  • @ShijaMarry
    @ShijaMarry 4 месяца назад

    Tuandikie kwa kiiswaahili

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 9 месяцев назад +1

    Shekhe unatoa duwa tafadhali toa na tafsiri ya duwa tujuwe tunaomba nini

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 9 месяцев назад +1

    Mashaalla😢

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 9 месяцев назад +2

    Tafsir ya dua hyo tafadhali

  • @ruqaiyahrashid4235
    @ruqaiyahrashid4235 3 месяца назад

    Hao wenzetu ansari sugu wasikusumbuwa na kudai kwao dalili hadithi na vitabu hayo ndio masuali yao wote na kila mmoja kila ahlu bidaa hakosi hio hoja. Tafadhali fikisha unalo lijuwa na wakupokea watapokea watafuata na kutafuta Ahsante

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  3 месяца назад

      @@ruqaiyahrashid4235 alaykum salaam shukraan sana ukhty ruqay-ya

  • @Sofhia-fh4pw
    @Sofhia-fh4pw 8 месяцев назад

    Tupe dalili bwana yame tajwa katika kitabu gani? je mtume na maswahaba walifanya hayo? dining imekamilika.

  • @ismaelselemane5798
    @ismaelselemane5798 9 месяцев назад +1

    Masha Allah

  • @eshamohamed9833
    @eshamohamed9833 10 месяцев назад +2

    Mashaallah

    • @TIBAZAMAALIMHASSAN
      @TIBAZAMAALIMHASSAN  10 месяцев назад

      ahsant pia kwa kupata darsa allah akufungulie kher zaid

  • @saumsaum712
    @saumsaum712 9 месяцев назад +1

    Shukran

  • @ZainabuMwambashi
    @ZainabuMwambashi 10 месяцев назад +2

    Mashallha

  • @zainabzash1463
    @zainabzash1463 9 месяцев назад +1

    Mashallah