SHEIKH WALIDI | TUSOMENI JAMAA | KIGEZO HICHI NDIO KINAIFANYA MAULID BIDAA? | KISA MTUME HAKUFANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 50

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl Год назад +1

    Shukran Sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana

  • @maimunaabdallah5304
    @maimunaabdallah5304 Год назад +2

    Allah akuzidishie elimu shekh wetu na mashekh wot dunian biidhilah

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh

    Mashaallah sheikh mafunzo mazuri sanaa kimee elewaka kwa mwenye akili ila wale maduchu shukran sanaa shekhe shukran

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Год назад +1

    Maa shaa ALLAH 💚💚 💚💚💚

  • @huseynmaitaya9002
    @huseynmaitaya9002 Год назад

    الحمدلله الذي رد كيدكم في نحوركم mmechoka sasa

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 Год назад +1

    Walid alhadi mabroock, yani maneno mazuri mno

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 Год назад +1

    Anafaidika sana ibilisi na wafuasi wake kwa mambo haya yaushindani majibizano katika mitandao

  • @abubakarhussein2186
    @abubakarhussein2186 Год назад

    Kweli bhnaaa mawahabi wanataka kujifunza kutoka kwa masufi kiujanja ujanja ila ndo wanaleta mabishano

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 Год назад

    Endeleeni tu mabidaa mipunga miwali khitma arobaini msisomeshe Wala kusoma
    Endeleeni tu kupiga ngoma imbeni nyimbo muone mtaishia wapi

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Год назад

    ACHENI UWONGO WENU KUTETEA UGALI NA MADARAKA MLIYOPEWA,HAKUNA JAMBO AMBALO MTUME HAKUFUNDISHA KTK UISLAM,IKIWEMO MAULIDI

  • @JumaKhamis-cw8ec
    @JumaKhamis-cw8ec Год назад

    Shekh tunakupenda ila unatetea maulidi mpaka unaanza kuharibu kwa mifano sio na hoja hacienda haziendani kutetea maulidi

  • @allymnzava3818
    @allymnzava3818 Год назад +2

    Endeleeni kutetea bidaa kwa hoja dhaifu

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад

    Nuru iko kwenye maulidi tu hivi kweli akili ipoo kweli sheitwan ananguvu

  • @allyalhussainy1216
    @allyalhussainy1216 Год назад

    Mawaidha mazuri sana but Eco imezidi sana inarudia mara tatu tatu daah khataree

  • @twahirburhan3726
    @twahirburhan3726 Год назад

    Jamani acheni ulevi wa Madaraka hii ni dunia tu,nyie ndo mnamzushia tu,Leo mnathubutu kuropokwa kwamba kuna Elimu Mtume hakufundisha??

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 Год назад

    Ma sheikh wakikosa kitabu cha quran na sunaa zamtume ni kujihadhani nae.

  • @kasumunigwasa
    @kasumunigwasa Год назад

    Uo muqaddima uo ni wa kibingwa,,,yani lugha unajua

  • @SuleimanAbdul-q9r
    @SuleimanAbdul-q9r Год назад

    huyo raisi wako ulimpigia kura mbona ana kuongoza fanya adabu na mashekhe

  • @sittacharlesmaendeleo778
    @sittacharlesmaendeleo778 Год назад

    Hyo ni kufru sasa

  • @abuutamiimattanzaaniy8676
    @abuutamiimattanzaaniy8676 Год назад

    Mbona hoja zenu zinavunjwa kila siku na bado mumekuwa wagumu kuelewa munarudia point hizohizo? WALLAHI TUWAOMBEE WAISLAMU WENZETU HAWA, SHEKH AONEKANA MKUBWA LAKINI ANAMINYANA NA HOJA DHAIFU SAAANA

    • @akambi482
      @akambi482 Год назад

      Tuliza makalio kenge we

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl Год назад +1

    Acha uzushiii wewe mzeee

  • @SalumMwishehe-l5d
    @SalumMwishehe-l5d Год назад +5

    Elim gani ambayo mtume hakuifundisha,inatakiwa mtueleze,na kama elimu mtume hakuifundisha lazima itakuwa imefundishwa kwenye qur_an.kwa hiyo kama bidaa ni bidaa tu,acheni hayo mambo.kwani islam ni quran na suna

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Год назад

      Unafuata nini huku kwenye Bida'a braza?? ..
      Ukiona basi na wewe nae ni BIDAA.

    • @abdulimiraji6833
      @abdulimiraji6833 Год назад

      Kwa uelewa wanani

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 Год назад

      @@abdulimiraji6833 kwa uelewa wa albany na ibnul wahhaabiy na uthaimeen nk

  • @MkindiJujan
    @MkindiJujan Год назад

    Hiyo ndo hali ya waislam Viongozi wenyewe hawamjui Mtume SAW km ni Professor wa kila kitu Jmn
    Duuuu
    Masufi kasomeni

    • @HawaOmary-fb6wo
      @HawaOmary-fb6wo Год назад

      KAMA IZO FANI ALISOMESHA MTUME S.A.W TOA DALILI ACHA KUJIFANYA UNAMSIFU MTUME ETI NI PROFESER.JIBU ALISOMESHA IZO FAAANI?

    • @MkindiJujan
      @MkindiJujan Год назад

      @@HawaOmary-fb6wo Unaonekana kabisaaa ww sio Mwislam tena ndo kwanza maskini unasukumwa na chuki
      Nani ktk uislam anapinga Mtume sio Professor!!!!!!!!
      Yaani Mtume alikua hajui Nahau Balagha Swarfa Mantiq ww ndo hamna kitu kabisa na hiyo mijishekhe ubwabwa biriani na vyeo

    • @MkindiJujan
      @MkindiJujan Год назад

      @@HawaOmary-fb6wo Kwa sbb masufi hamjasoma Hadith Ya Mtume mwenyewe anasema alikua akifunga siku ya jumatatu kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa ww na mijisufi wenzio hadithi hii hamuioni kwa sbb ya nyali na mipunga

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 Год назад

    duh Kumbe Sheykh walid hapo ndio ulipofikia yan hoj zako hazina mashko kabsa wallah 😂😂😂 unaweza kuchekwa ata mtoto wa iptidaaiyah

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Год назад

    Je hii Maulidi ndani ya Quran tukufu imo? Je Mtume alifanya Maulidi? Kama hakuna, ijulikane kuwa huo ni UZUSHI.

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад +1

    Sheikh ubwabwa Ibada gani inayofanywa bila quran na hadith wacha uongo viongozi inapelekwa kama Gari mbovu

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 Год назад

      Acha maneno machafu kwa ndugu yako muislamu ikiwa ww unamuamini Allah na mtume na siku ya mwisho

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Hio Qur-an kwanza isome uijue sio kuiimba ikisha ndio utajua kilichomo ndani yake.

  • @amritwaha-kp3hu
    @amritwaha-kp3hu Год назад

    We tulia wahabi we umeishia hapo ulipo ishia wenzako wanaendelea kusoma na wanajua bado uko nyuma nenda ukasome

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 Год назад

    Umma unapata tabu kwa ajili ya uongozi bas

    • @malimbikaelectricaltv9321
      @malimbikaelectricaltv9321 Год назад

      Kivip shehe

    • @farijalaidd-sv8zb
      @farijalaidd-sv8zb Год назад

      @@malimbikaelectricaltv9321 shekhe unauliza hujui hao kupinga kote huwa wanataka uongozi wauchukue wao wanapenda uongonzi ili wafanye yao

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 Год назад

    Maulidi ni uzushi2 ata mutoe povu gani

    • @HawaOmary-fb6wo
      @HawaOmary-fb6wo Год назад

      Unaposema MAULIDI ni uzushi, YAANI NI SAWA na kusema kuzaliwa NI uzushi hapo we SI hamnazo.

    • @JumaaMwatela-b5g
      @JumaaMwatela-b5g Год назад

      Na wataangamia

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад

    Wewe nani kakuchagua mbona hatujakupigia kura yaani waislam tunaendeshwa kama gari bovu

    • @dullaone454
      @dullaone454 Год назад

      Wew kwan uliwahi kumchagya shekh gan hapa nchin?

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      Huna elimu ndio maana hujaitwa upige kura. Kura za wanazuoni hupigwa na wanazuoni. Ukiona hujaitwa ujue ni Kopo tupu wewe🤣🤣🤣

    • @fay9687
      @fay9687 Год назад

      Tanzania sijui lini mtapata akili mumezoea kuburuzwa

  • @MkindiJujan
    @MkindiJujan Год назад

    Elimu sio bidaaa ushahidi Sura ya 96 aya 1-6 Allah kasema tusome
    Elimu ina dalili
    Tupe ww dalili ya Maulid aya au hadith basi hata maswahaba walifanya
    Elimu zote uzisemazo ni ili mtu ajuie hadithi ya kweli ajue kusoma Qur an vyema aijue lugha ya kiarabu vyema
    Sasa ushangaze ulimwengu kwa kutoa mpya elimu nazo zitakua ni bidaa shekh mche Allah
    Bidaa ktk ibada lolote ambalo hakundisha Mtume ktk ibada ndio uzushi sasa km mustallahu Al hadith ni ibada au balagha mantiq swarfa ni ibada tujuze kipya

    • @MkindiJujan
      @MkindiJujan Год назад

      Tunajua unatetea kiti na tumbo