Mbona hoja zenu zinavunjwa kila siku na bado mumekuwa wagumu kuelewa munarudia point hizohizo? WALLAHI TUWAOMBEE WAISLAMU WENZETU HAWA, SHEKH AONEKANA MKUBWA LAKINI ANAMINYANA NA HOJA DHAIFU SAAANA
Elim gani ambayo mtume hakuifundisha,inatakiwa mtueleze,na kama elimu mtume hakuifundisha lazima itakuwa imefundishwa kwenye qur_an.kwa hiyo kama bidaa ni bidaa tu,acheni hayo mambo.kwani islam ni quran na suna
@@HawaOmary-fb6wo Unaonekana kabisaaa ww sio Mwislam tena ndo kwanza maskini unasukumwa na chuki Nani ktk uislam anapinga Mtume sio Professor!!!!!!!! Yaani Mtume alikua hajui Nahau Balagha Swarfa Mantiq ww ndo hamna kitu kabisa na hiyo mijishekhe ubwabwa biriani na vyeo
@@HawaOmary-fb6wo Kwa sbb masufi hamjasoma Hadith Ya Mtume mwenyewe anasema alikua akifunga siku ya jumatatu kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa ww na mijisufi wenzio hadithi hii hamuioni kwa sbb ya nyali na mipunga
Elimu sio bidaaa ushahidi Sura ya 96 aya 1-6 Allah kasema tusome Elimu ina dalili Tupe ww dalili ya Maulid aya au hadith basi hata maswahaba walifanya Elimu zote uzisemazo ni ili mtu ajuie hadithi ya kweli ajue kusoma Qur an vyema aijue lugha ya kiarabu vyema Sasa ushangaze ulimwengu kwa kutoa mpya elimu nazo zitakua ni bidaa shekh mche Allah Bidaa ktk ibada lolote ambalo hakundisha Mtume ktk ibada ndio uzushi sasa km mustallahu Al hadith ni ibada au balagha mantiq swarfa ni ibada tujuze kipya
Shukran Sana Sheikh Wetu Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera ALLAH Akuingize peponi kabla hujafa shukran sana
Allah akuzidishie elimu shekh wetu na mashekh wot dunian biidhilah
Mashaallah sheikh mafunzo mazuri sanaa kimee elewaka kwa mwenye akili ila wale maduchu shukran sanaa shekhe shukran
Maa shaa ALLAH 💚💚 💚💚💚
الحمدلله الذي رد كيدكم في نحوركم mmechoka sasa
Walid alhadi mabroock, yani maneno mazuri mno
Anafaidika sana ibilisi na wafuasi wake kwa mambo haya yaushindani majibizano katika mitandao
Kweli bhnaaa mawahabi wanataka kujifunza kutoka kwa masufi kiujanja ujanja ila ndo wanaleta mabishano
Endeleeni tu mabidaa mipunga miwali khitma arobaini msisomeshe Wala kusoma
Endeleeni tu kupiga ngoma imbeni nyimbo muone mtaishia wapi
ACHENI UWONGO WENU KUTETEA UGALI NA MADARAKA MLIYOPEWA,HAKUNA JAMBO AMBALO MTUME HAKUFUNDISHA KTK UISLAM,IKIWEMO MAULIDI
Shekh tunakupenda ila unatetea maulidi mpaka unaanza kuharibu kwa mifano sio na hoja hacienda haziendani kutetea maulidi
Endeleeni kutetea bidaa kwa hoja dhaifu
Bidaa baba yako na mama yako bwege ww
Nuru iko kwenye maulidi tu hivi kweli akili ipoo kweli sheitwan ananguvu
Mawaidha mazuri sana but Eco imezidi sana inarudia mara tatu tatu daah khataree
Jamani acheni ulevi wa Madaraka hii ni dunia tu,nyie ndo mnamzushia tu,Leo mnathubutu kuropokwa kwamba kuna Elimu Mtume hakufundisha??
Ma sheikh wakikosa kitabu cha quran na sunaa zamtume ni kujihadhani nae.
Uo muqaddima uo ni wa kibingwa,,,yani lugha unajua
huyo raisi wako ulimpigia kura mbona ana kuongoza fanya adabu na mashekhe
Hyo ni kufru sasa
Mbona hoja zenu zinavunjwa kila siku na bado mumekuwa wagumu kuelewa munarudia point hizohizo? WALLAHI TUWAOMBEE WAISLAMU WENZETU HAWA, SHEKH AONEKANA MKUBWA LAKINI ANAMINYANA NA HOJA DHAIFU SAAANA
Tuliza makalio kenge we
Acha uzushiii wewe mzeee
Elim gani ambayo mtume hakuifundisha,inatakiwa mtueleze,na kama elimu mtume hakuifundisha lazima itakuwa imefundishwa kwenye qur_an.kwa hiyo kama bidaa ni bidaa tu,acheni hayo mambo.kwani islam ni quran na suna
Unafuata nini huku kwenye Bida'a braza?? ..
Ukiona basi na wewe nae ni BIDAA.
Kwa uelewa wanani
@@abdulimiraji6833 kwa uelewa wa albany na ibnul wahhaabiy na uthaimeen nk
Hiyo ndo hali ya waislam Viongozi wenyewe hawamjui Mtume SAW km ni Professor wa kila kitu Jmn
Duuuu
Masufi kasomeni
KAMA IZO FANI ALISOMESHA MTUME S.A.W TOA DALILI ACHA KUJIFANYA UNAMSIFU MTUME ETI NI PROFESER.JIBU ALISOMESHA IZO FAAANI?
@@HawaOmary-fb6wo Unaonekana kabisaaa ww sio Mwislam tena ndo kwanza maskini unasukumwa na chuki
Nani ktk uislam anapinga Mtume sio Professor!!!!!!!!
Yaani Mtume alikua hajui Nahau Balagha Swarfa Mantiq ww ndo hamna kitu kabisa na hiyo mijishekhe ubwabwa biriani na vyeo
@@HawaOmary-fb6wo Kwa sbb masufi hamjasoma Hadith Ya Mtume mwenyewe anasema alikua akifunga siku ya jumatatu kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa ww na mijisufi wenzio hadithi hii hamuioni kwa sbb ya nyali na mipunga
duh Kumbe Sheykh walid hapo ndio ulipofikia yan hoj zako hazina mashko kabsa wallah 😂😂😂 unaweza kuchekwa ata mtoto wa iptidaaiyah
Je hii Maulidi ndani ya Quran tukufu imo? Je Mtume alifanya Maulidi? Kama hakuna, ijulikane kuwa huo ni UZUSHI.
Sheikh ubwabwa Ibada gani inayofanywa bila quran na hadith wacha uongo viongozi inapelekwa kama Gari mbovu
Acha maneno machafu kwa ndugu yako muislamu ikiwa ww unamuamini Allah na mtume na siku ya mwisho
Hio Qur-an kwanza isome uijue sio kuiimba ikisha ndio utajua kilichomo ndani yake.
We tulia wahabi we umeishia hapo ulipo ishia wenzako wanaendelea kusoma na wanajua bado uko nyuma nenda ukasome
Umma unapata tabu kwa ajili ya uongozi bas
Kivip shehe
@@malimbikaelectricaltv9321 shekhe unauliza hujui hao kupinga kote huwa wanataka uongozi wauchukue wao wanapenda uongonzi ili wafanye yao
Maulidi ni uzushi2 ata mutoe povu gani
Unaposema MAULIDI ni uzushi, YAANI NI SAWA na kusema kuzaliwa NI uzushi hapo we SI hamnazo.
Na wataangamia
Wewe nani kakuchagua mbona hatujakupigia kura yaani waislam tunaendeshwa kama gari bovu
Wew kwan uliwahi kumchagya shekh gan hapa nchin?
Huna elimu ndio maana hujaitwa upige kura. Kura za wanazuoni hupigwa na wanazuoni. Ukiona hujaitwa ujue ni Kopo tupu wewe🤣🤣🤣
Tanzania sijui lini mtapata akili mumezoea kuburuzwa
Elimu sio bidaaa ushahidi Sura ya 96 aya 1-6 Allah kasema tusome
Elimu ina dalili
Tupe ww dalili ya Maulid aya au hadith basi hata maswahaba walifanya
Elimu zote uzisemazo ni ili mtu ajuie hadithi ya kweli ajue kusoma Qur an vyema aijue lugha ya kiarabu vyema
Sasa ushangaze ulimwengu kwa kutoa mpya elimu nazo zitakua ni bidaa shekh mche Allah
Bidaa ktk ibada lolote ambalo hakundisha Mtume ktk ibada ndio uzushi sasa km mustallahu Al hadith ni ibada au balagha mantiq swarfa ni ibada tujuze kipya
Tunajua unatetea kiti na tumbo