GB64-HATUMTAKI MANGUNGU,MWENYE PESA ZAKE KAJA,SPA NA WENZIE WASEME PESA ZA SIMBA ZIKOWAPI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июн 2024
  • #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 45

  • @HamisiMichael
    @HamisiMichael Месяц назад +6

    Yeah lazima Simba iludi katika nguvu Moja ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +1

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @richardnyarugenda9769
    @richardnyarugenda9769 Месяц назад +3

    Mtangazaji hajui kuuliza maswali.
    G64 uko sawa kwa kujibu maswali yako.

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 Месяц назад +1

    GB 64 uko vizuri sana, kauli zako zimenyooka na ni mpenzi kweli wa Simba Sports, huna makondo makando

  • @yusuphchingwi3754
    @yusuphchingwi3754 Месяц назад +1

    Mtangazaji bado haupo vzuri unauliza maswali ya kujirudia na ulishajibiwa awali alafu tafuta koti la suite zuri🤸🤸suite laki na 50 tu

  • @venancemartin6734
    @venancemartin6734 Месяц назад +1

    Iyo suti (suit) aliyovaa mtangazaji bhana utazani umeletwa na silent ocean kutoka nyumbani kwa mangungu.
    NOTE,, Mangungu tupishe kama vipi kamwongeze Shafii.

  • @amanifadhi
    @amanifadhi Месяц назад +1

    Wanaitaji Simba iferi zaidi

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Месяц назад +2

    Baadhi ya waandishi wanalazimisha migogoro idumu Simba,mtake mistake itaisha tu.

  • @user-sq3cu7dv7c
    @user-sq3cu7dv7c Месяц назад +5

    Wanataman kuiyona simba ikizdi kuzama zaid😂😂

    • @BilaliBilaliamri
      @BilaliBilaliamri Месяц назад

      Wanatamani wakina na nani nawakati mnatiana vidole wenyewe acheni utahira nyie mmeshakuwa misukule

  • @SamuMushi-gk7jy
    @SamuMushi-gk7jy Месяц назад

    Kama ujasoma uwezi kuelewa safi sana Gb 70 unajua San 🎉

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 Месяц назад

    Nipo na MANGUNGU kwa 100%😂😂😂

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri Месяц назад

    Mnahoji uyo kengele ya kanisa anasumbuliwa na njaa tu uyo bwege

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 Месяц назад +1

    Sawa nimesubscrbe tayari 🎉🎉🎉

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 Месяц назад

    Kama mnamsifia saivi boss kaja msije kugeukana badae,mana matajir wanafikir mara tatu maskini mara Moja huwez jua mana mo na try again ndo huyuhuyo

  • @edsonhiza8519
    @edsonhiza8519 Месяц назад

    Hizi sio GB64 ni zaidi ya GB 100%🔞☢
    hawa CPA hawaaa..... wanatakiwa wasituchanganye kabisa yanii... wao ni Certified public Accountants ambao hawajui wanachokifanya shenziiii.... watupisheee njaaa tuuu

  • @Afsah90
    @Afsah90 Месяц назад

    Wee mtangazaji hujui matumizi ya r na l..?? Taalifa ndo nini..??

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Месяц назад

    Mtangazaji hujitambui unashindwa kutofautisha kati ya Mwenyekiti wa Simba na Mwenyekiti wa Board.
    MO sio Mwenyekiti wa Simba yeye ni Mwenyekiti wa Board. Mwenyekiti wa Board anatoka upande wa mwekezaji kwa hiyo upatikanaji wake unatoka upande wa mwekezaji kwa hiyo hakuna tatizololote kwa MO kuwa Mwenyekiti wa Board.
    Mwenyekiti wa Simba ni Mangungu anachaguliwa na wanachama ila kwenye Board hana sauti yeye ni member wa board tu. Labda katiba ingempa power juu ya member wengine Kwa kuwa anawakilisha wanachama ambao Wana shares 51%

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf Месяц назад

    Kumbe

  • @user-gb2pl3ln9m
    @user-gb2pl3ln9m Месяц назад

    Shida ni kwamba watu wanamaumivu zaid ya maumivu mamae zao tumewapiga za uso Simba nguvu moja

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Mangungu asijioshe nae anasubir nn atembee maombietu yatajibiwa tu tumechoka

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Gb 64 naendelea kukufat kila uendako Nimefrah kuskia Mo wetu karud mzigon

  • @othumanambae761
    @othumanambae761 Месяц назад

    Uyujamaa anajierewa sana

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Mo dewji amerud mzigon furaha inarud hongera mo kwakurud

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад

    Alitupwa ndani anaogopa nyosha maelezo yako mo aliikuta simba kwani katiba hiya nani Alitunga katiba mbovo hiyo

  • @simeonmazigo5918
    @simeonmazigo5918 Месяц назад

    Waifute tu katiba kama imeruhusu maandamano hlf wakipewa rushwa yanageuzwa kuwa uvunjifu wa Amani😅😅😅😅

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg Месяц назад

    Achatuwapelekee moto mpaka mseme

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Месяц назад

    Iko cku hao wanaoikwamisha Simba tutawajua mchana kweupe

  • @othumanambae761
    @othumanambae761 Месяц назад

    Jaaamaaaa ajuikuhuriza maswari kabisa

  • @francomohamed-dh2rc
    @francomohamed-dh2rc Месяц назад

    Hao watu wanaohosi mambo ya Simba ni kina nani?Waandishi upotoshaji na uchonganishi.....acheni Simba itulie

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq Месяц назад

    Acha ufala wew yanga anakua bingwa kw sababu amejipanga

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Месяц назад

      Jifunze historia na siasa za mpira wa Tanzania kuliko kumtukana mtu vyema kuleta hoja kupangua zake

  • @user-je9ek9mo3i
    @user-je9ek9mo3i Месяц назад

    Tatizo kubwa ni katiba

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo6641 Месяц назад

    Kattiba ya nini hapo ww mtangazaji? acha simba irudi kwenye reli , hayo mengine baadae

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Месяц назад

    Kwani huwajui wanao ikwanisha simba ni bosi mbona unasema wataonekana peupe rudia akaunti ya Kigwangalla hajapindisha hata kido

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn Месяц назад

    WEWE MUANDISHI NDO SIYO MUELEWA KAMWAMBIA MO ALUDI KWENYE UWENYE KITI KWENYE ASIRIMIA 49 SASA WEWE UNATAKA ACHAGULIWE NANANI KWANI HUYO TRY AGEY ALICHAGULIWA NANANI

  • @abbasisudi6899
    @abbasisudi6899 Месяц назад +1

    Mmh umaskini ni utumwa

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u Месяц назад

    Na kiongozi uking,ang,ania unakua dictoter

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Месяц назад

    Wewe ni miongoni mwa wa hochezi kama kimya huo ni upande wake wewe huna hoja. siyo kukaimishwa Bali Madara yapo kwa MO kawaambie waliokutuma wamefeli,gb 64, heko.

  • @DM_15
    @DM_15 Месяц назад

    Muuliza swali wewe hujui.kitu mwandishi wahabari hujui lolote. Anaetakiwa kuchaguliwa nimwenyekiti wa wana chama .nasio upande wa muwekezaji .muwekezaji anateua mwenyewe mtuwake hana kundi lak8mpigia kura. Acheni uzwazwa

  • @kakururubambula7270
    @kakururubambula7270 Месяц назад

    Huyu GB ni mwehu na anatumika kumlinda mo ni mwehu huyo jamaa

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg Месяц назад

    Mamlaka anayo iyo timu alishainunua wasijitoe akili

    • @beatusharald56
      @beatusharald56 Месяц назад

      Bodi hii Ina wiki moja sasa au inamiaka Hadi sasa