GB64-HATUMTAKI MANGUNGU,MWENYE PESA ZAKE KAJA,SPA NA WENZIE WASEME PESA ZA SIMBA ZIKOWAPI.
HTML-код
- Опубликовано: 11 июн 2024
- #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
Развлечения
Yeah lazima Simba iludi katika nguvu Moja ❤❤❤❤❤❤❤
SIMBA NGUVU MOJA
Mtangazaji hajui kuuliza maswali.
G64 uko sawa kwa kujibu maswali yako.
GB 64 uko vizuri sana, kauli zako zimenyooka na ni mpenzi kweli wa Simba Sports, huna makondo makando
Mtangazaji bado haupo vzuri unauliza maswali ya kujirudia na ulishajibiwa awali alafu tafuta koti la suite zuri🤸🤸suite laki na 50 tu
Iyo suti (suit) aliyovaa mtangazaji bhana utazani umeletwa na silent ocean kutoka nyumbani kwa mangungu.
NOTE,, Mangungu tupishe kama vipi kamwongeze Shafii.
Wanaitaji Simba iferi zaidi
Baadhi ya waandishi wanalazimisha migogoro idumu Simba,mtake mistake itaisha tu.
Wanataman kuiyona simba ikizdi kuzama zaid😂😂
Wanatamani wakina na nani nawakati mnatiana vidole wenyewe acheni utahira nyie mmeshakuwa misukule
Kama ujasoma uwezi kuelewa safi sana Gb 70 unajua San 🎉
Nipo na MANGUNGU kwa 100%😂😂😂
Mnahoji uyo kengele ya kanisa anasumbuliwa na njaa tu uyo bwege
Sawa nimesubscrbe tayari 🎉🎉🎉
Kama mnamsifia saivi boss kaja msije kugeukana badae,mana matajir wanafikir mara tatu maskini mara Moja huwez jua mana mo na try again ndo huyuhuyo
Hizi sio GB64 ni zaidi ya GB 100%🔞☢
hawa CPA hawaaa..... wanatakiwa wasituchanganye kabisa yanii... wao ni Certified public Accountants ambao hawajui wanachokifanya shenziiii.... watupisheee njaaa tuuu
Wee mtangazaji hujui matumizi ya r na l..?? Taalifa ndo nini..??
Mtangazaji hujitambui unashindwa kutofautisha kati ya Mwenyekiti wa Simba na Mwenyekiti wa Board.
MO sio Mwenyekiti wa Simba yeye ni Mwenyekiti wa Board. Mwenyekiti wa Board anatoka upande wa mwekezaji kwa hiyo upatikanaji wake unatoka upande wa mwekezaji kwa hiyo hakuna tatizololote kwa MO kuwa Mwenyekiti wa Board.
Mwenyekiti wa Simba ni Mangungu anachaguliwa na wanachama ila kwenye Board hana sauti yeye ni member wa board tu. Labda katiba ingempa power juu ya member wengine Kwa kuwa anawakilisha wanachama ambao Wana shares 51%
Kumbe
Shida ni kwamba watu wanamaumivu zaid ya maumivu mamae zao tumewapiga za uso Simba nguvu moja
Mangungu asijioshe nae anasubir nn atembee maombietu yatajibiwa tu tumechoka
Gb 64 naendelea kukufat kila uendako Nimefrah kuskia Mo wetu karud mzigon
Uyujamaa anajierewa sana
Mo dewji amerud mzigon furaha inarud hongera mo kwakurud
Alitupwa ndani anaogopa nyosha maelezo yako mo aliikuta simba kwani katiba hiya nani Alitunga katiba mbovo hiyo
Waifute tu katiba kama imeruhusu maandamano hlf wakipewa rushwa yanageuzwa kuwa uvunjifu wa Amani😅😅😅😅
Achatuwapelekee moto mpaka mseme
Iko cku hao wanaoikwamisha Simba tutawajua mchana kweupe
Jaaamaaaa ajuikuhuriza maswari kabisa
Hao watu wanaohosi mambo ya Simba ni kina nani?Waandishi upotoshaji na uchonganishi.....acheni Simba itulie
Acha ufala wew yanga anakua bingwa kw sababu amejipanga
Jifunze historia na siasa za mpira wa Tanzania kuliko kumtukana mtu vyema kuleta hoja kupangua zake
Tatizo kubwa ni katiba
Kattiba ya nini hapo ww mtangazaji? acha simba irudi kwenye reli , hayo mengine baadae
Kwani huwajui wanao ikwanisha simba ni bosi mbona unasema wataonekana peupe rudia akaunti ya Kigwangalla hajapindisha hata kido
WEWE MUANDISHI NDO SIYO MUELEWA KAMWAMBIA MO ALUDI KWENYE UWENYE KITI KWENYE ASIRIMIA 49 SASA WEWE UNATAKA ACHAGULIWE NANANI KWANI HUYO TRY AGEY ALICHAGULIWA NANANI
Mmh umaskini ni utumwa
Na kiongozi uking,ang,ania unakua dictoter
Wewe ni miongoni mwa wa hochezi kama kimya huo ni upande wake wewe huna hoja. siyo kukaimishwa Bali Madara yapo kwa MO kawaambie waliokutuma wamefeli,gb 64, heko.
Muuliza swali wewe hujui.kitu mwandishi wahabari hujui lolote. Anaetakiwa kuchaguliwa nimwenyekiti wa wana chama .nasio upande wa muwekezaji .muwekezaji anateua mwenyewe mtuwake hana kundi lak8mpigia kura. Acheni uzwazwa
Huyu GB ni mwehu na anatumika kumlinda mo ni mwehu huyo jamaa
Kwan mo ana shida gan
Mamlaka anayo iyo timu alishainunua wasijitoe akili
Bodi hii Ina wiki moja sasa au inamiaka Hadi sasa