GB AMKALIA KOONI MANGUNGU,ATAKA AJIUZULU, ANAIVURUGA TIMU,YEYE KAPATA WAPI PESA YA JEULI KUSAJILI
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
Mangungu tunataka ajiuzulu
good brother af mangungu amejisahau kama timu yake Yan
Ukoo na akilii nyingiii brooo aiseee, endleaaa kumpaaa mangungu somoooo
Mangungu hafai kuwa Simba ❤❤
Kama humtaki Mangungu toa like❤❤
Mangungu ndio chachu ya kuikwamisha Simba na timu yake msalit uwa anaongea sana na kumtoa mwenzie kafala
tu-like tusi-like mangungu Ang'atuke
GB 64 😂😂❤❤ anganguvu kubwa mpaka naogopa aisee sijui kama hakuna nguvu nyuma yake but and of the day mshindi wa hii game ni GB Na akishinda tumeshinda Mangungu hoiii😂😂😂
SEMA kweli broo
Hafai kuwa kiongozi wa simba sports club
Mangungu mbwa tu, bwege uyooo
Kashidwa kuijenga ndani ya miaka aliyokuwepo ajenge saivi kashatufelisha
Mangungu akibaki simba inashuka daraja. Mangungu hajui mpira ndoo maana hauzulii mechi za simba.
Mangungu ni kirusi pandikizi wa yanga
Mtangazaji kwa Simba ilipofikia hakuna mshabiki Wala mwanachama anaemuunga mkono mangungu mbana Kama mnamtetea tetea? Hem waacheni Wana Simba wafanye maamuzi na uchawa wenu wekeni pembeni kwa sasa
Mtangazaji ludi shule ukasome yamekushinda huna lolote huna uwezo wa elimu ya uandishi unamtesa mwanasimba wetu
Hv we mwandishi umetumwa au
Kwani wanasimba mnaakili?
Uyu mwandish yuko field, hakijui anacho muuliza mtaalam Gb64
Hakuna mwandishi hapa asee GB70 chukua mike jiulize maswali na jijibu.... fullstop
😂😂😂😂😂 asee kweli
😂😂😂😂😂🎉
Wee nae sio taalifa ni taarifa...hiyo taaluma umesomea wapi, kiswahili hovyo maswali ya hovyo.
Muandish kwan umetumwa
Hiyo tv ya mangungu asije tena hapo pumbavu
Mi naona jumapili mbali
Kwan mangungu anataka nn siaondoke wameumia wana simba tumikosa furaa nawengine wamekufa kwa simba Yao atoke atoke
Mimi pia huyu mzee atoke simba imemshinda
Mangungu hatumtaki mwongo mwongo kuna uhuni hapa mangungu anachotaka kuuza club kwa silence ocean
Mangugu hatumtaki na kwanini anang'ang'ania simba akumbuke washapita viongizi kibao na hawapo kwa sasa hebu jitowe kwa heshima tusije kukuvunjia heshima ukawa adui kwetu
Huyu mwandishi wa habari naona hajui kuhoji kabisaaa.. maswali yake yote ni kama yanajirudia tu.. naona anamtetea sana magungu..
Njaa bhna sa mama tena
Mwandishi elimndogo ajui anacho uliza
Anaeweza kusaidia simba kuitisha mkutano wa wanachama ni Mo Dewj coz Bodi ndo inauwezo wa kuita mkutani wa dharula na hapo wanachama ndo wanauwezo wa kuzungumza na kumkataa murtaza hadharani
Yaondokekenge huyu
Wewe mwandishu msenge tuu au mmesha pesaro bahasa za kuisaliti simba
Andikeni barua TFF ili waingilie Kati huo mgogoro umepandikizwa ili mvurugane team ikose mwelekeo alafu haya mambo ya team za wanachama mara nyingi zinakuwa na migigoro mingi wanachama hawana uwezo wa kuendesha team
Mangungu Hana watu wemwandishi mbona kichwa ngum chawa wamangungu kwanza usmuhoji mwamba wetu unamchosha unaakir ndogo sana huendani na Gb64
Mimi simtaki atoke
Sio atoke Bali akwendeeeee
@@mustaphawelder7022 mwanayanga mbwa we
Huyo anayekuhoji naye ni mangungu tu
Jobe amtaftie Tim yake sio smba iv mangungu anajielewa au mbona kama tunaongea namait
Huyu mwandishi katumwa😂😂
HATUWATAKI WAONDOKEEEEEEEEERRRR MANGUNGU ONDOKAAAAAA
Uyo mwandishi hamna kitu
Mangungu aondoke ni mwizi
Kwanialikulazimisheni nanimumchague siwenzenu walihadaika kwapesa zakudangajwa pumbavunjee
Mangungu ni mtu ambae simpend ata kidogo yeye na jobe wake s wakatengeneze team yao sasa na hao vibaraka wake
Chanzo yeye na kamati yake kama wachezaji wanasalit fukuza
Buruduni gani wee mwandishi umetumwa hatumtakiiii aondokeee
Mangungu hatumtaki
Wewe kuma tuu mwandishi
Ajitasmini je yeye ni kirusi kweli
Siro yu upande wa pili
Mangungu aondoke mamluki
Kwanini wandishi huwawanauliza maswali kama wanatumwa nawatuhumiwa wetu wandishi Hawa nichawa wawatu Gb64 hao wandishi wanatumwa nahawata weza SS tu amsimamo wetu hatuwatak watoke
Kwani wewe mtangazaji ni fans wa mangungu au mbona maswali yako kama kakutuma
Mangungu ametumwa kimkakati kwamakusudi , mtu mweusi katika fedha ni hatari sana yupo tayali kuwa msaliti kwasababu ya u-selfish tu
Wewe unamapenzi nasimba wewe nimchumia tumbo tu
Mwandishi...kajinyea....maswali kapangiwa na maboya yake
Mwamba GB 64 unapambaa tupo nyuma yako
Smtaki hata kumwona
Kwani alipowekwa ndani hutu jamaaa hajachezewa matador naana hana adabu mangungu ni sawa na babayako kola cju unamtukana tumekuchoka ww demu mo nwenyewe amekataa matusi, keeling na dharau pinbi ww
we nani usijifanye unajua kuliko sisi wanasimba acha tumfukuze mangungu.
Mwandishi wewe ni lijinga