Mjadala: Matukio ya Utekaji Tanzania

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Waathiriwa wa Kutoweka kwa Kulazimishwa yamefanyika leo ulimwenguni kote.
    Maadhimisho haya hufanyika ifikapo Agosti 30 kila mwaka.
    Katika kuliangalia suala la matukio ya utekaji nchini Tanzania, Land Dwellers imemwalika Wakili Tito Magoti na Mansour Jumanne ambaye ni Mjumbe wa Baraza la Wazazi CCM na Mkoani Mwanza.
    Fuatilia Mjadala huu.

Комментарии • 7