THE CLASSIC PNC : NDOTO ZA MUZIKI ZILZOKWAMA LICHA YA KIPAJI/SAFARI YA CHANGAMOTO YA MUZIKI
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Pnc ni moja ya wasanii waliofanya vizuri katikati mwa miaka ya 2000,hata hivyo safari yake ya kimuziki ina hadithi za kusisimua,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yake akizungumza na Rashid Mbegani
PNC sema tu ukweli Mr.Blue ndie alikutambulisha kwenye Gema ukajulikana Africa kenya,Uganda, Burundi, Congo na nchi zengine za Africa
Shukrani zote ziende kwa Ustazi juma hatari Sana Legend
Nimefurahi Sana Kumuona Tena PNC ni msanii mwenye kipaji sana, Binafsi Namkubali sana na nina shauku ya kumuona akirejea kwa kasi kwenye muziki
Kaka unajuasana ila pombe inakufelisha sana duu.ugolo pia 😂😂😂❤❤❤
Pnc mwamba kweli
Tatizo lauyu jamaa nikama la DULAYO pombe kali sana.
Jabir Saleh yupo wapi leo😢
Mwamba mkali xna lakin uteam unaua vipaji vya hawa vijana ...
Jabiri kashaenda 👑
Pnc aka shino
Rekebisha bas Meno yko
tatizo madogo wanazimwa kisa kuwanyenyekea watuwanaojifanya Mungu mtu
Kuvi yupo wapi??! #FreeSalehJabir
Dogo hajui kabisa kuongeaa wala kujieleza aiseee
Kuma ww unajua nn wek yako tuone amby unajua
Huyu ukiwa nae ata wiki 2 ndo utamjua alivyo kama hujakaa hutamuelewa jamaa ni msumbufu sana huyu ni mlevi wa kuzima kulala kubebwa mda wte ni ugolo mdomoni, huyu kama mpo sehem mmepanga msafili kaa nae karibu nilishawai kusafili nae bus linaondoka saa12 asubui tunamuamsha mwenzetu kalewa chakali ilibidi tumbebe hivohivo tumlushie kwenye bus pombe zilikata baada ya masaa6 mbele ya safali hilo ndo shida ya huyu jamaa labda kama amebadilika sasa hv akishika tuu hela akili yake ni pombe na pesa zinakata anazima simuongelei kwa mabaya watu wa karibu wa huyu wanamjua pia tabia zake akuwa na namba zako yan ujiandae kupigwa vibom vya pesa ndio maana washkaji huwa wanamkimbia namshauli ajirekebishe
Hata kama kutakuwa na ukweli hukupaswa kuongea hapa....
kweli anatwaza utu wa m2@@MtuSafi
FUTA HII COMMENT BRO ,IMEKAA KIUCHAWI SANA KWENYE SAFAR YA MAFANIKIO YA M2. Ukiona hujapitia Changamoto hadi ukahis kuconfuse ,utakuwa Bado hujabarehe ,ILA nahisi wamekutuma umchafue
Huu ndo uchawi mamae 😊
Kwanza Kwa nn uweke effect za mtu kwenye mitandao jamani mbona mnakuwa sy wa aminifu kwenye maisha ya watu