THE CLASSIC PNC : NDOTO ZA MUZIKI ZILZOKWAMA LICHA YA KIPAJI/SAFARI YA CHANGAMOTO YA MUZIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Pnc ni moja ya wasanii waliofanya vizuri katikati mwa miaka ya 2000,hata hivyo safari yake ya kimuziki ina hadithi za kusisimua,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yake akizungumza na Rashid Mbegani

Комментарии • 31

  • @alibinali_
    @alibinali_ Месяц назад +2

    PNC sema tu ukweli Mr.Blue ndie alikutambulisha kwenye Gema ukajulikana Africa kenya,Uganda, Burundi, Congo na nchi zengine za Africa

  • @arafathswaleh
    @arafathswaleh Месяц назад

    Shukrani zote ziende kwa Ustazi juma hatari Sana Legend

  • @JuliusMakaya
    @JuliusMakaya Месяц назад

    Nimefurahi Sana Kumuona Tena PNC ni msanii mwenye kipaji sana, Binafsi Namkubali sana na nina shauku ya kumuona akirejea kwa kasi kwenye muziki

  • @mu9tz639
    @mu9tz639 Месяц назад

    Kaka unajuasana ila pombe inakufelisha sana duu.ugolo pia 😂😂😂❤❤❤

  • @MichaelJohn-lb6uu
    @MichaelJohn-lb6uu Месяц назад +1

    Pnc mwamba kweli

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Месяц назад +2

    Tatizo lauyu jamaa nikama la DULAYO pombe kali sana.

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 Месяц назад +1

    Jabir Saleh yupo wapi leo😢

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +2

    Mwamba mkali xna lakin uteam unaua vipaji vya hawa vijana ...

  • @TeamSelekta
    @TeamSelekta Месяц назад

    Jabiri kashaenda 👑

  • @adamswafi5149
    @adamswafi5149 Месяц назад

    Pnc aka shino

  • @binseif2216
    @binseif2216 Месяц назад

    Rekebisha bas Meno yko

  • @KikundaHassan
    @KikundaHassan Месяц назад +1

    tatizo madogo wanazimwa kisa kuwanyenyekea watuwanaojifanya Mungu mtu

  • @willehardkimbi5645
    @willehardkimbi5645 Месяц назад

    Kuvi yupo wapi??! #FreeSalehJabir

  • @Marjeby
    @Marjeby Месяц назад

    Dogo hajui kabisa kuongeaa wala kujieleza aiseee

    • @DaudijofreyMsipi
      @DaudijofreyMsipi Месяц назад

      Kuma ww unajua nn wek yako tuone amby unajua

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t Месяц назад +5

    Huyu ukiwa nae ata wiki 2 ndo utamjua alivyo kama hujakaa hutamuelewa jamaa ni msumbufu sana huyu ni mlevi wa kuzima kulala kubebwa mda wte ni ugolo mdomoni, huyu kama mpo sehem mmepanga msafili kaa nae karibu nilishawai kusafili nae bus linaondoka saa12 asubui tunamuamsha mwenzetu kalewa chakali ilibidi tumbebe hivohivo tumlushie kwenye bus pombe zilikata baada ya masaa6 mbele ya safali hilo ndo shida ya huyu jamaa labda kama amebadilika sasa hv akishika tuu hela akili yake ni pombe na pesa zinakata anazima simuongelei kwa mabaya watu wa karibu wa huyu wanamjua pia tabia zake akuwa na namba zako yan ujiandae kupigwa vibom vya pesa ndio maana washkaji huwa wanamkimbia namshauli ajirekebishe

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Месяц назад +3

      Hata kama kutakuwa na ukweli hukupaswa kuongea hapa....

    • @Kushgang-cr4pv
      @Kushgang-cr4pv Месяц назад +1

      kweli anatwaza utu wa m2​@@MtuSafi

    • @ricklifetz1828
      @ricklifetz1828 Месяц назад

      FUTA HII COMMENT BRO ,IMEKAA KIUCHAWI SANA KWENYE SAFAR YA MAFANIKIO YA M2. Ukiona hujapitia Changamoto hadi ukahis kuconfuse ,utakuwa Bado hujabarehe ,ILA nahisi wamekutuma umchafue

    • @RichWise671
      @RichWise671 Месяц назад +2

      Huu ndo uchawi mamae 😊

    • @dicksonkobbo4152
      @dicksonkobbo4152 Месяц назад

      Kwanza Kwa nn uweke effect za mtu kwenye mitandao jamani mbona mnakuwa sy wa aminifu kwenye maisha ya watu