AFANDE SELE - Dudubaya Alimpeleka Studio Mara ya Kwanza | Alijitabiria Ufalme - Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 окт 2024

Комментарии • 64

  • @greydonalds4286
    @greydonalds4286 2 месяца назад +13

    Afande Sele yuko underrated sana. Ni moja ya wasanaii wenye IQ kubwa sana nchi hii. Ukisikiliza nyimbo zake kwa akili badala ya masikio utaiona IQ yake. #Respect Brother Msindi.

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 месяца назад +1

      Indeed. Ni madini sana huyo bwana

  • @edwinmmari634
    @edwinmmari634 2 месяца назад +11

    Kuna nyimbo moja ya afande Sele inaitwa "Dini Tumeletewa" ukisikiliza ndio utaona kua afande anakipaji kikubwa sana cha kutunga mashairi....Big up sana Afande Sele

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 месяца назад +1

      Sio Dini tu mzazi…zipo nyingi sana: Mtazamo, Darubini Kali, Heshima, Karata Dume…humo kote ni hatari

    • @edwinmmari634
      @edwinmmari634 2 месяца назад

      kweli kabisa ila Hii ya Dini tumeletewa utunzi wake umenyooka sana​@@bongo_project

  • @Planga-v7m
    @Planga-v7m Месяц назад +3

    Brother uko na maono Sana 👊

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Месяц назад +2

    Nakumbuka miaka ya 2000s nikisikiza mziki wa BONGO FLAVA huku Kenya from (Redio free Afrika) ... Darubini Kali na bado naiskiza hapa MAREKANI miaka mingi baadaye... Long live the legends of the TZ rap!! #SEATTLE

    • @bongo_project
      @bongo_project  Месяц назад +1

      That was the golden generation of Bongo Fleva. 2000 - 2010

  • @michaeljohn4204
    @michaeljohn4204 Месяц назад +5

    Katika muziki huu mpaka umefikia hapa serikali itabidi iangalie sana wasanii wa bongo fleva wame fanya kazi kubwa sana kwenye hii nchi na baadhi ya viongozi wetu wengi wame pata kura na nyingi kupitia wasanii hawa.

    • @bongo_project
      @bongo_project  Месяц назад +1

      Wamefanya makubwa sana! Mchango wao inabidi uthaminiwe

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 месяца назад +4

    My brother afande legend still alive.

  • @DansonMtambi-fq2ff
    @DansonMtambi-fq2ff 2 месяца назад +6

    Msanii wangu wa muda wote. King seleman msindi❤

    • @MatimbeJr
      @MatimbeJr 2 месяца назад

      Nadhani wewe haunishindi mimi

  • @amoskoyo4597
    @amoskoyo4597 2 месяца назад +4

    Interview tamu sana hongera sana bro mtangazaji

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga4651 Месяц назад +1

    Nakumbuka kitambo sn

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 месяца назад +2

    BIG UP AFANDE SELE KWA KUTOA MADINI MAZURI🔥🔥🔥👏👏

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 2 месяца назад +2

    Wafaida 👑👑👑

  • @mediking8611
    @mediking8611 2 месяца назад +3

    Very smart, Mungu akupe umri mrefu mfalme

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo 2 месяца назад +4

    Dudu mungu akupe umri

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 2 месяца назад +3

    Mamba & Sele big up

  • @RobertSalu
    @RobertSalu 2 месяца назад +4

    Respct dudu &afande

  • @norobo205
    @norobo205 2 месяца назад +2

    Sele naona unabwia kakisungura kiaina

  • @Yasini-c1r
    @Yasini-c1r 2 месяца назад +3

    Msanii bora wa md wte tz

  • @yahyakabaila
    @yahyakabaila 2 месяца назад +3

    Respect to Dudu Baya❤

  • @TIMOTHMUNDI
    @TIMOTHMUNDI 2 месяца назад +3

    Daaah nimesikia kamtaja fundi Sina, huyo jamaa alikuwa fundi mzuri sana wa kushona Mpira wa gozi.Kipindi hicho Mpira ndani Kuna Breda, sasahivi ni tubeless

  • @DavidChristopherVeronica
    @DavidChristopherVeronica 2 месяца назад +2

    Big up sugu

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 2 месяца назад +3

    Afande smart sana

  • @MENGIEzekiel
    @MENGIEzekiel 2 месяца назад +3

    Miongoni mwa wasanii wangu pendwa kabisa#afande sele

  • @Yasini-c1r
    @Yasini-c1r 2 месяца назад +2

    Msanii bora wa md wte tz 2

  • @SmartDigital-j6s
    @SmartDigital-j6s 2 месяца назад +2

    good

  • @nuhumwasamboma6989
    @nuhumwasamboma6989 Месяц назад +2

    Mtu wa Maana kabisa huyu.

  • @ChejoBuchejo-mm8bb
    @ChejoBuchejo-mm8bb 2 месяца назад +3

    Kama unapenda Pepo ya Nini uogope kifo,,,,,,,aling'atwa na mbu kwenye kisigino😂😂😂VITOTO VYA 2000s havielewi kitu😂

  • @MaulidHimili-vq5df
    @MaulidHimili-vq5df 2 месяца назад +2

    Mwambaaà!

  • @Yasini-c1r
    @Yasini-c1r 2 месяца назад +3

    Msanii bora wa muda wte tz simba zee

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 2 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @gudayakutemile577
    @gudayakutemile577 2 месяца назад +5

    Madogo mabwbw xn😂

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Месяц назад +2

    Sisi vijana wa zamani tukiuikia hivi roho kwaaatu, ni raha tupu😅

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 2 месяца назад +2

    Da Zena alifariki brothers may her soul rest in peace

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 месяца назад +1

      Dah! Shukrani kwa taarifa braza. …Huyu ni MC Koba mwenyewe?

    • @HamzaMduda
      @HamzaMduda Месяц назад +1

      Acha uongo ww zena yupo hai na namba zake ninazo

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Месяц назад +1

      @@HamzaMduda usinihukumu kwa uongo taarifa hizi zilitufikia pia hivyo kama yupo hai ni habari njema na tunashukuru hilo ni jema. Naomba radhi kwa kutoa taarifa ambayo haikuwa na uhakika na asante kwa taarifa sahihi

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 Месяц назад +2

      @@bongo_project ndio ndio kaka

    • @jandaboytzz2755
      @jandaboytzz2755 Месяц назад +1

      Mc koba

  • @PASCHALWILLIAM-w8k
    @PASCHALWILLIAM-w8k 2 месяца назад +9

    Afande kafanya vizuri kimuziki ila less better on socialising techniques

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 месяца назад +1

      Unamaanisha nini hapo kwenye “socialising techniques”?

    • @nasrikileo
      @nasrikileo 2 месяца назад +1

      Tueleweshe hapo kaka, maana yako ni nini

    • @ray45king84
      @ray45king84 2 месяца назад +1

      Ata mimi sijaelewa hapo kwenye socializing techniques.Afande kept it 💯 to himself and his belief.Ww happ umemaanisha nn?

  • @husnakalumba2578
    @husnakalumba2578 2 месяца назад +3

    Madogo wana sintofaham nyingi nyuma ya pazia 😅

  • @DM_15
    @DM_15 2 месяца назад +2

    Duh kumbe ulijaza uwanja na bado ukarushwa, Mungu mwema still unadunda alie kurusha nadhani aliko anakipata

  • @hamiszali1434
    @hamiszali1434 2 месяца назад +2

    Huyu mtangazaji anaitwa nan??

    • @bongo_project
      @bongo_project  2 месяца назад +1

      Anaitwa Bavuga. Unaweza kumpata hapa: instagram.com/bavuga_jr/
      Au hapa: instagram.com/bongo_project/

    • @nasrikileo
      @nasrikileo 2 месяца назад

      ​@@bongo_projectasante sana nimem follow nimerudi kwenye interview, huyu ndugu anajua sana na ana improve kila siku, maua yake

  • @ramamabrok2523
    @ramamabrok2523 2 месяца назад +2

    Nyimbo za sasa hivi ni matus tu afande sele anaongea ukweli kabisa

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 2 месяца назад +3

    Afande sele amesema hana dini kuwa dini ni matokeo ya binaadam vipi kufunga na kusali alifanya kwa maelekezo gani? wakati tunaamini kufunga na kusali ni matokeo ya dini mbili uislam na ukristo