HILI NDIO SOKO KUU LA DHAHABU GEITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 20

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +5

    Big up Ayo TV kwa kuendelea kutuonyesha vitu vya MSINGI........

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 3 года назад +1

    Kazi ya magu. Mk oka mpumzishe baba yetu,🙏🏼🙏🏼

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +3

    Doh good job maana dhahabu ilikuwa inaenda tu bila kujua au kuzisikia hizi pesa...... big up Serekali 👍

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 4 года назад +3

    Keep going Tanzania

  • @emmanuelbonifase1114
    @emmanuelbonifase1114 4 года назад +6

    Hayo ndio maendeleo piga makofi kwa JPM tafazali duu tulikua giant sleeps

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 года назад +1

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @barakaisaka7064
    @barakaisaka7064 7 месяцев назад

    Ninja nijambozuli sana

  • @georgewilliam6001
    @georgewilliam6001 4 года назад +5

    Acheni kuandika bei kwenye whilte board...NUnuna big screen or monitor kuonyesha hizo bei

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 года назад +1

      Mbona NASDA wanaandika kwenye board kabla ya kuweka kwenye screen na hujasema lolote? Vipi ndugu yangu?

    • @georgewilliam6001
      @georgewilliam6001 4 года назад +1

      @@kambamazig02024 Ingependeza kama mgefanya vizuri zaidi NASDA kidigitall zaidi. Wazo langu sio kwamba nakandia najaribu kuchangia kwenye uboreshaji zaidi..mmefanya kazi nzuri na inaonekana kama feza ipo wekeni screen kubwa inonyesha hizo bei

    • @abasroja
      @abasroja 2 года назад

      ata pete za dhahabu mnanunua

  • @rodsonItanisa
    @rodsonItanisa 8 месяцев назад

    kazini kuna kazi

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 4 года назад +2

    Safi sana!!

  • @peterlukuba5857
    @peterlukuba5857 4 года назад +4

    Hii ndo raha ya kupiga kura yako ikaleta manufaa kwa nchi, najivunia kumchagu jpm

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 4 года назад +2

    Safi sana

  • @mohamedkulaga8131
    @mohamedkulaga8131 6 месяцев назад

    Okey !

  • @barakaisaka7064
    @barakaisaka7064 7 месяцев назад

    😮

  • @rashidngosha6219
    @rashidngosha6219 4 года назад

    Saf san jpm