BMG TV: Jionee uwekezaji mkubwa ndani ya kiwanda cha dhahabu Mwanza
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Kiwanda cha kusafisha dhahabu cha Mwanza Precious Metals Refinery (MPMR) kilichojengwa kwa ubia kati ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kampuni ya Lozera ya nchini Dubai kina uwezo wa kusafisha kilo 480 za madini kwa siku kwa ubora wa asilimia 99.99 kikigharimu Tsh. Bilioni 16.
BMG Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co...
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
Noma xn aisee
Safi sana. Tanzania ndio hii tunayoitamani. Tusiuze mali ghafi nje
Kabisa
hichi kiwanda kimeanza kufanya kazi ? mbona hatujaoneshwa dhahabu inayosafishwa ?
Kinafanya kazi, ukifika hapo watakuonyesha. Ama tafuta siku ya uzinduzi walionyesha!
kutumia umeme kuyeyusha dhahabu ni garama kubwa, bora ingetumika gas kama mbadala
Wazo zuri
Wazo zuri sana
@@magorymara5515 Kabisa