Mjue Chifu wa Wahehe, Adam Abdu Sapi Mkwawa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Chifu wa Wahehe Adam Abdu Sapi Mkwawa amemkaribisha Rais Magufuli mkoani Iringa kwenye sherehe za Mei Mosi.
    Je, unajua ni kwanini yeye amechaguliwa ingawa ni mdogo kuliko ndugu zake wengine? Sababu hizi hapa.

Комментарии • 48

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 6 лет назад +6

    Nimefurahi sana kumuona chifu wa kihehe damu imenisismuka maashaallah

  • @charlesabere
    @charlesabere Год назад +1

    I'd love to tour Iringa kwa heshima za Chief Mkwawa aliyewanyonga wajerumani 300 kule Lugalo ambapo hayo hauwezi yapata ndani ya vitabu vya history maana myahudi hataki ukweli huo ujulikane

  • @shanynyalusi1507
    @shanynyalusi1507 6 лет назад +5

    Kumbe uchief unalisiwa ha ha ha chief ni handsome

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 5 лет назад +4

    Wahehe wazuri pia wasomi

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад +2

    Niko jina Mkuu nimeshindwa kulokariri! Hongera kwa chief mdogo naipenda Tanzania!

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 5 лет назад

    Degeliinge !! Hili jina Limenikumbusha mbali sana, asante.

  • @stevenkapugi4209
    @stevenkapugi4209 2 года назад +1

    Jamaa mrembo.kinoma

  • @oyay2821
    @oyay2821 6 лет назад +1

    Chief afaa asome awe mzuri kwa kutoa hotuba

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 6 лет назад +1

    Vipi jamani huu uchifu na u mangi si ulishafutwa au ndio kuna sehemu na sehemu unakubalika.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 7 месяцев назад

    Hayo majina aliyoyataja hata moja sijakalili

  • @gerradtarimo3077
    @gerradtarimo3077 6 лет назад +2

    Upuuzi tu huo, et chifu hakuna chifu anaefanania ivo chifu hajui hata lugha ya nyumbani! Upuuuziiiii.....!

    • @husseinhkitambi1701
      @husseinhkitambi1701 6 лет назад

      Gerrad Tarimo nenda iringa ukaomgee upuuzi huo ndio utajua ni chifu au laa

    • @gerradtarimo3077
      @gerradtarimo3077 6 лет назад

      Hussein H Kitambi Mpuuzi tu huyo hamna chifu apo! Anaonekana hata kihehe hajui! Chifu wa Wahehe alafu yeye anaishi Dar au nje ya nchi pelekeni upumbavu huko na usanii wenu huo kuhadaa watu, chifu gani soft ivo ww!

    • @hildascorner2327
      @hildascorner2327 4 года назад +1

      @@husseinhkitambi1701 hasira za nn wewe sasa? Punguza wivu basi..ni wivu tuu

    • @nasragora8188
      @nasragora8188 4 года назад +1

      Ujui maan ndo maana unasema

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +1

    Mashallah

    • @givasmwananzumi5941
      @givasmwananzumi5941 6 лет назад

      vzr xn kijan n jamb l heshim kutunz tamaduni mungu awe awe

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 6 лет назад +2

    Nyerere rudi uone machifu wanaanza kurudi

  • @neemambuja435
    @neemambuja435 6 лет назад +3

    jamani hii ni dharau chifu gani huyo labda ni wa ukoo wao mstujumlishe ninavojua mm machifu washakufa kitambo sana mstuletee kiki kwenye pikipiki

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 6 лет назад

      Neema Mbuja yaaan mm nilishasahau habar za machifu

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Год назад

    Hapo mlifeli kumpa huyu dogo

  • @nicksonthevet
    @nicksonthevet 4 года назад

    Nyela munoge

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 6 лет назад +1

    Tetete majina marefu utafikil ya kichina

  • @megapain33
    @megapain33 6 лет назад

    Tutunze tamaduni: hongera magu

  • @maryamdounga2290
    @maryamdounga2290 6 лет назад +7

    😂😂😂chifu mzr

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 6 лет назад +5

    Hako kachif nilidhan ni kadem

  • @hosianasanga356
    @hosianasanga356 6 лет назад

    Hahahahahaaaaa kachifu kaoga kinoma harafu naomb niulize ivi nikademu au kasela?

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 6 лет назад

    KWELI BADO MTOTO

  • @mgavinyimsilulwibako4277
    @mgavinyimsilulwibako4277 6 лет назад +1

    Chifu wa nani bwana hata kujieleza hajui

  • @emanuelkikoti8022
    @emanuelkikoti8022 6 лет назад

    chifu gan mm skatambui hako kwanin kila sku ni nyinyi2 muwape n.a. wengi

  • @deus8629
    @deus8629 6 лет назад

    dogo kasoma ulaya then unakuja chief iringa

    • @kherryserera9451
      @kherryserera9451 4 года назад

      usilolijua n sawa na ucku wa giza..Alokuambia chief huyo alikuwa akisoma Ulaya n nani?😁😁

    • @nasragora8188
      @nasragora8188 4 года назад

      Usilolijua litakusumbua

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 6 лет назад

    Kumbe machifu bado wapo!!!!