Mjue Chifu wa Wahehe, Adam Abdu Sapi Mkwawa
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Chifu wa Wahehe Adam Abdu Sapi Mkwawa amemkaribisha Rais Magufuli mkoani Iringa kwenye sherehe za Mei Mosi.
Je, unajua ni kwanini yeye amechaguliwa ingawa ni mdogo kuliko ndugu zake wengine? Sababu hizi hapa.
Nimefurahi sana kumuona chifu wa kihehe damu imenisismuka maashaallah
kweli ana asili ya kiarabu
I'd love to tour Iringa kwa heshima za Chief Mkwawa aliyewanyonga wajerumani 300 kule Lugalo ambapo hayo hauwezi yapata ndani ya vitabu vya history maana myahudi hataki ukweli huo ujulikane
Kumbe uchief unalisiwa ha ha ha chief ni handsome
Wahehe wazuri pia wasomi
Niko jina Mkuu nimeshindwa kulokariri! Hongera kwa chief mdogo naipenda Tanzania!
Degeliinge !! Hili jina Limenikumbusha mbali sana, asante.
Jamaa mrembo.kinoma
Chief afaa asome awe mzuri kwa kutoa hotuba
Vipi jamani huu uchifu na u mangi si ulishafutwa au ndio kuna sehemu na sehemu unakubalika.
Hayo majina aliyoyataja hata moja sijakalili
Upuuzi tu huo, et chifu hakuna chifu anaefanania ivo chifu hajui hata lugha ya nyumbani! Upuuuziiiii.....!
Gerrad Tarimo nenda iringa ukaomgee upuuzi huo ndio utajua ni chifu au laa
Hussein H Kitambi Mpuuzi tu huyo hamna chifu apo! Anaonekana hata kihehe hajui! Chifu wa Wahehe alafu yeye anaishi Dar au nje ya nchi pelekeni upumbavu huko na usanii wenu huo kuhadaa watu, chifu gani soft ivo ww!
@@husseinhkitambi1701 hasira za nn wewe sasa? Punguza wivu basi..ni wivu tuu
Ujui maan ndo maana unasema
Mashallah
vzr xn kijan n jamb l heshim kutunz tamaduni mungu awe awe
Nyerere rudi uone machifu wanaanza kurudi
James Jahasa hahahahahahaaaaaa
James Jahasa hahaha kwel arud
Beauty Ibrahim kwanin arudi
jamani hii ni dharau chifu gani huyo labda ni wa ukoo wao mstujumlishe ninavojua mm machifu washakufa kitambo sana mstuletee kiki kwenye pikipiki
Neema Mbuja yaaan mm nilishasahau habar za machifu
Hapo mlifeli kumpa huyu dogo
Nyela munoge
Tetete majina marefu utafikil ya kichina
Tutunze tamaduni: hongera magu
😂😂😂chifu mzr
Hako kachif nilidhan ni kadem
arafa iddy Hahahahaha umenichekesha sana daaah
mohammed abdallah Kweli so utani
Hahahahaha halafu kanaona aibu hakawezi kuzungumza
Wahehe wazuri
Hahahahahaaaaa kachifu kaoga kinoma harafu naomb niulize ivi nikademu au kasela?
Hosiana Sanga wakiume huyo
godfrey mhumba nikajua ni dem nilitaka nianze mchakato wa namba ya simu
Hosiana Sanga hahaha haah sio mbaya wakiume huyo so kazi kwako
godfrey mhumba me mwenyew wakiume kaka
Hosiana Sanga a
KWELI BADO MTOTO
Chifu wa nani bwana hata kujieleza hajui
chifu gan mm skatambui hako kwanin kila sku ni nyinyi2 muwape n.a. wengi
dogo kasoma ulaya then unakuja chief iringa
usilolijua n sawa na ucku wa giza..Alokuambia chief huyo alikuwa akisoma Ulaya n nani?😁😁
Usilolijua litakusumbua
Kumbe machifu bado wapo!!!!