Fahamu utamaduni na mila za wahehe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • ‪@ITVTanzaniaTz‬ #chetunichetu #Iringa #Tanzania #hehe #wahehe #culture #localtourism #utaliiwandani

Комментарии • 42

  • @zainabmusa2006
    @zainabmusa2006 Год назад +5

    NAJIVUNIA KUWA MHEHE NAIROB KENYA

  • @SuzanHassan-pz7gt
    @SuzanHassan-pz7gt 3 месяца назад +2

    Ahsante nmepakumbuka kwetu jaman ukitoka hapo nyumba inayofuata ni kwetu

  • @ChristopherChristian-rx5rv
    @ChristopherChristian-rx5rv 3 месяца назад

    Safi

  • @raifahmeshack9133
    @raifahmeshack9133 4 года назад +6

    Hiyo ndio raha ya IRINGA 💖💖💖❤💪💪

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад +3

    Mandhari nzuri Sana naipenda sana

  • @franciscakimbe8124
    @franciscakimbe8124 3 года назад +3

    Im proud to be hehe Tribe

  • @jenniferanton1517
    @jenniferanton1517 Год назад +1

    Weweeeeeee wahehe hoyeee kukaye kunofu vayawe

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад +5

    Jamani mnaosema wahehe wanakula mbwa muache, mmesikia? Wanaotania Ni wivu wao wa ushujaa wa wahehe unawasunbua ndiyo wanaamua kushusha hadhi kwa kutunga wahehe wanakula mbwa, tunaomba waache usemi huo

  • @wemachangula7585
    @wemachangula7585 13 дней назад

    Kuna mwa kivamba na mwa kivembele siyo kivembe

  • @lucykawala5174
    @lucykawala5174 Год назад +1

    Hawajavaa nguo za kimila za hehe wajicheza

  • @isayakahemela4881
    @isayakahemela4881 2 года назад +1

    Wuse unywe na yuveve hahaaaa

  • @LukaSaid-qs1lp
    @LukaSaid-qs1lp Год назад

    ❤napenda sana nakumbuka nyumbanii

  • @elizabethmichael1782
    @elizabethmichael1782 3 года назад

    ITV daima naipenda

  • @davidichaly7483
    @davidichaly7483 Год назад

    Kwakweli nimeipenda sana

  • @janemsilu6818
    @janemsilu6818 2 года назад

    Proud to be mhehe

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 9 месяцев назад

    Hapana chezea muhehe ni mziki mkali

  • @saiddiamondsferuz8189
    @saiddiamondsferuz8189 2 года назад

    Iringa tz

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад

    Mkwawa Ni mhehe maana ujio wake na mchanganyiko huo ndiyo umezaa uhehe, haukuwepo mwanzo, nawashangaa Sana,

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 4 месяца назад

    Iringa oyeeee iringa moja hiyo hakuna

  • @FarajaMalangalila-sn4tr
    @FarajaMalangalila-sn4tr Год назад

    Baba anguu ww

  • @graceamran326
    @graceamran326 Год назад

    Eti ulimunoge iyo ndo yetuuu baba kasema kwakweli tunajivunia kuwa iringa ya viwango

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 Год назад

    Kukaye tuyuge kunosile

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад

    Wahinga Ni watu gani? Naomba unisaidie,

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад +1

    Historia nzuri lakini wachache walihamia sawa si wansongezeka na kupanuka? Tujulishe kabla ya Vita ya pili walikuwa wapi! Au walitokea wapi! Nahitaji kujua baba, naomba namba yako kwa nia njema

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Год назад

    Kila kabila lina historia yake ila nimeipenda historia ya wahehe

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад

    Basi Ni mhehe maana alichanganyika si kishelisheli tu, Ila Asante historia nzuri Sana naomba namba niulize wahehe walitoka wapi? Ila sema asili Ni mhehe aliyechanganya ushelisheli, maana alizaa na mtu wa hapo

  • @athumanisaid8630
    @athumanisaid8630 4 года назад

    Kaka habar Sunday Temba?Naomba namba ya simu ya yule jamaa ambae yuko kwenye shamba la viungo anaitwa Mohamed kikulacho

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 2 года назад

    Kwanini mumeingia na sokisi mahala hapo mkatubu

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад +2

    Unajua wanasema wahehe wanajinyonga kwasababu Mkwawa alijiua basi, lakini ukweli wahehe hawajinyongi, kila kabila Lina wajinga wanaojinyonga, Mkwawa alijishuti kwa sababu ya msingi

    • @benitoxavery1802
      @benitoxavery1802 2 года назад

      Ni ujasiri tu. Hakutaka kukamatwa akiwa hai na wajerumani. Ni kama wale waliitwa Samurai wa Japan.

    • @lilianluhasi5053
      @lilianluhasi5053 2 года назад

      @@benitoxavery1802 kweli kabisa wamepindua Maana

  • @bennyaldo6370
    @bennyaldo6370 2 года назад

    Ni wewe

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад

    Pia nisaidie Mwakivamba ndio Mwakivambe? Naomba namba yako baba kwa Nia njema