Truly this Madam Speaker of Ours is someone very special, I didn't expect she would have such a precious time of appreciate the presence of her fellow candidates. Congratulations H.E Madam Speaker.
Indeed God is Great. We appreciate your selection to a profiled position of IPU President. As Tanzanian we thank our mama Dr Samia for her facilitation and encouragement Bravo our President. Bravo Tulia Ackson now Ipu President Bravo Tanzania.
Uongo aliandaliwa na kikwete kutoka bunge la katiba na kuwa naibu mwanasheria mkuu makufuli aliipoteza Tanzania kimataifa na aliye irudisha na Mama acha unafiki mpe Mama maua yake haya ni matunda ya Mama
Hongera sana Jembe letu, hakika unaweza. Umejieleza vizuri na wajumbe wamekuelewa na wamekumwagia kura za kishindo. Mungu akutangulie katika jukumu hili jipya.
Hongera Dr tulia kwa ushindi lakini bunge unaloliongoza tz bado utopolo mwingi kwa kushndwa kujadili mambo muhimu yanayohusu ustawi Wa nchi, una deni LA kulipa kwa mama Tanzania
Am happy to see you madam you represents our national to worldwide, We pray to God and we believe that you will performing well your new duties of IPU presidents we as Tanzania we proud of you Madam
Congts Mrs. President of IPU for sure I knew nothing about your capability of giving out a nice and strong speech Infront of the most and popular leaders throughout the world
Dada yangu upo vizuri ila ukiwahapa Tanzania acha tania za kimwingulu chembe watu hawajakupongeza sana kwa sababu za mkataba bandari yetu hapakwetu Tanzania
@@fidelismwakanyamale6787 kwahyo Yuko hapo Kama speaker au Kama Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali? We unajua alivyoingia kwenye unaibu spika? Bila JPM asingekua Naibu speaker
@@user-ki7hd3lg2q Kwa mazuri yapi brother yapi, hivi unaona maisha halisi ya watanzania,nchi Haina mipango, wanaopaswa kutuwakilisha ndio hao hata kitu kinatoa harufu mbaya wao wanasema kinanukia vzr. Nenda Ngorongoro, nenda Serengeti,nenda Nyamongo,nenda Nyarugusu ukaone aina ya mikataba ambayo hao wawakilishi wetu waliridhia wakapitisha then linganisha na maisha halisi ya wananchi au mchango wa hyo mikataba kwny pato la taifa. Mkataba upi ambao serikali inaweza kusimama nao na kusema kwny huu mkataba ni win win situation hakuna hata mmoja.
Kwani hamkuwaona warabu pale mbele mashemeji zake mawifi na mabwana zake rushwa ya bandari hiyo. Bado samia atakuwa rais na malkia wa emirates hapa duniani na ahera. We ngoja utaona tu.
Dunia ambayo imejaa rushwa angalia mashariki ya kati sasa angalia Africa sasa mapinduzi ya kijeshi kila kukicha usiseme Dunia palestina Israel Punin Yukreni acha kabisa 🙈🙈🙈🙈
Many many congraturation Tulia Mwansasu Akson. Viva Tulia Viva Tanzania. Viva to all IPC Members. May God bless you all.
Truly this Madam Speaker of Ours is someone very special, I didn't expect she would have such a precious time of appreciate the presence of her fellow candidates. Congratulations H.E Madam Speaker.
Hongera sana Dr Tulia . You deserve the chair. Mungu ni mkubwa asante Mungu nimefurahi sana
Congratulations, Dr. Tulia. We Tanzanians are very proud of you. We trust you. May God continue to bless and protect you.
Mungu akupe afya njema sana ya kuingiza Ipu na Tanzania yetu
To my dear daughters i want you to make me proud just as how this daughter is making her parents proud
Hongera zako kwa ushindi huo mkubwa hivyo umeliinua Taifa letu Tanzania nimeflai binafsi
Thank you madam speaker! I'm proud of you, I am proud to be Tanzanian
Good uko vzr kichwani tulia mungu akubariki
Tulia is always the best of all..May the Lord keeps uplifting you.
I am so proud of you Dr Tulia Ackson!
congratulation our speaker may God be with you on behalf all Tanzanian good leadership
Indeed God is Great. We appreciate your selection to a profiled position of IPU President. As Tanzanian we thank our mama Dr Samia for her facilitation and encouragement Bravo our President. Bravo Tulia Ackson now Ipu President Bravo Tanzania.
Hongera Sana ndo matunda ya magufuli kwani yeye ndo alikuandaaa
Hakika,hata huko aliko natumaini anashangilia 🤝👏👏
Hivi nyie mnafkiri kaburini ni kunakushangilia eti?
Uongo aliandaliwa na kikwete kutoka bunge la katiba na kuwa naibu mwanasheria mkuu makufuli aliipoteza Tanzania kimataifa na aliye irudisha na Mama acha unafiki mpe Mama maua yake haya ni matunda ya Mama
Hongera sana Jembe letu, hakika unaweza. Umejieleza vizuri na wajumbe wamekuelewa na wamekumwagia kura za kishindo. Mungu akutangulie katika jukumu hili jipya.
Kama hutakuwa Spika Tena na utafanya kazi huko huko NI afadhali tutapumua kidogo maana mkataba wa Bandari umetutapisha wengine
Kaa huko huko!!!
Mafala mtaendelea kutaabika.
Wala walisema hatujui kidhungu,hiyo ni nini ,hiyo ni nini ????😂😂😂😂
Hongera sana Dr tulia MUNGU aendelee kukusimamia
Congratulations madam Spika Tulia.Umetuwakilisha vema
If God say yes no one can say no, congratulations Dr Tulia Akson.
Congratulations ur amazing thanks u so much ❤❤❤❤
Hongera sana Tulia ni dada anayejitambua. Hongera kwa ujasiri wako.mungu akulinde
Barikiwa spika wetu wa TZ .
By Mch Alex Mkwama wa mbande kiponza.
Tunakuombea
Hongera Dr tulia kwa ushindi lakini bunge unaloliongoza tz bado utopolo mwingi kwa kushndwa kujadili mambo muhimu yanayohusu ustawi Wa nchi, una deni LA kulipa kwa mama Tanzania
Hongera sana Dr Tulia Akson umetuheshimisha
Dr Tulia Mungu akusaidie kwa Kila jambo
Wabongo tunaupiga mwingi balaa👏👏👏👏
Hongera sana mhs Tulia Ackson 🌍💪🇹🇿
Tulia Hoyeeee Tanzania juuuu❤
Wakenya mpooo mnasemaga tumezoeya kichaga na kisw sikilizeni sasa
Acha ujinga. Sasa hii inatusaidia nini kama Watanzania?
Vijembe havina nafasi, tuchape kazi.
Hahahaaaa
Am happy to see you madam you represents our national to worldwide, We pray to God and we believe that you will performing well your new duties of IPU presidents we as Tanzania we proud of you Madam
Hongera sana sana dr tulia unafiti kwenye hiyo nafasi utaitendea haki na kupeperusha bendera ya Tanzanai
Hongera sana Tulia
Mungu akulinde mda wote nimefurai Sana kwa ushindi mkubwa mwenyezi mungu awe nawe amina
Nyaq gal😊 congratulations mom❤
Wanyakyusa!!!!! Mwandosya,Mwabukusi,Mwaijumba! Tulia Mwansasu Tanzania Oyeeee
Huo uspika unamsaada gani na tanzania?
all the way from israel congatulation to you
Safi sana speaker wetu god bless you
Congts Mrs. President of IPU for sure I knew nothing about your capability of giving out a nice and strong speech Infront of the most and popular leaders throughout the world
Chawa wengi
Dada yangu upo vizuri ila ukiwahapa Tanzania acha tania za kimwingulu chembe watu hawajakupongeza sana kwa sababu za mkataba bandari yetu hapakwetu Tanzania
Hongera kwake ushindi wake ni heshma kwa tZ
She knew how to make her fellow contesters feels victories too ,
Bravo mrs. Tulia
Congratulations Dr Tulia!!
Viva Tanzania Viva Africa!!
Jina la TANZANIA ndio lilombeba yeye mwenyewe si maarufu kivile
lla kuna kiongozi mmoja ilitaka kushusha hadhi ya nchi kimataifa
@@mohamedisalimu wenye wivu kama ww,hata kipindi cha Yesu na Mtume Muhammad walikuwepo.
@@mohamedisalimumarehem anakutesa we jamaa mpaka huruma
HONGERA MH .TULIA AKSON HONGERA TANZANIA.
Hongera Ila punguza maneno
Keep pushing madam all the best
Wow this is wonderful
Hongera ila mungu anajua!
Hongera sana Super Woman Tulia Akson
Ingependeza mweshimiwa Tulia akson angezumza kiswahili
❤❤ so proud madam Dr tulia god blees you,
Congratulations dr Tulia Ackson 🔥🔥🔥🔥🔥
We have had Jamani kiingereza changamoto Kwa wabongo.
The IPU family have had
Waoo hongera sana
Safi sana dada
Hongera sanaaaa
Mbona nimeona wadada wanne tu toka Africa? Ndiyo dunia?
Hongera sana Dr. Tulia
Congratulations Tulia Akson I m proud of you
Congratulations to you Dr Tulia Aksoni for that position.
Ndio Tanzania tujue tuna dahabu ila tuna zidarau tu hongera San mama tulia
Congole mama congolee stay blessed my dear
Mungu Baba wa mbinguni akuzidishe
Congratulations our Tulia, we Tanzanians we are proud of you, your the next Tanzanian President
Umeandika English au kiingereza😮
Ukiwa rais wa hilo bunge itafaa zaidi maana mikataba mibovu haita ingizwa tena bungeni
Congratulations Sis.
Madam Tulia, umetutendea haki watanzania.
Mungu aendelee kukuongezea hekima
Congratulation dkt Tulia for that position
Magufuli alikuwa kwa kweli anachagua watu kwa kuangalia uwezo wa akili zaidi, haya ndio matunda
Ujuwi huyu aliibuliwa na kikwete kwenye bunge la katiba na baadaye kuwa naibu mwanasheria mkuu ahsante
Hongera kwa kuwafahamisha watu wengi wanakosea kila kitu kizuri wanaona kimefanywa na magu peke yake
@@fidelismwakanyamale6787 kwahyo Yuko hapo Kama speaker au Kama Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali? We unajua alivyoingia kwenye unaibu spika? Bila JPM asingekua Naibu speaker
Hongera Sana sana Tulia
Taa au 1m
Yani siku izi wanaume wanashangilia kuongozwa na wanawake
Congratulations Tulia, Be calm more.
Congratration madam ...Tanzania tunazid kung'aaaa.yote hayo ni kwamsaada pia wa RAIS WANG MAMA SAMIAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!
Am proud of you madam
Congratulations my leader
❤❤hongera sana dada yetyu
Jamani mwandishi acha kuchapia, sio duniani, sikilizaga kwa makini.
Washamba hawa kazi zao kutukuza watu kujipendekeza
Congratulations Mrs. Tulia
Iv walienda na wabunge wetu kupiga kura
ZAWADI ALIYOPEWA BAADA YA KUUZA NCHI YAKE. HIVI NDIVYO DUNIA INAVYOFANYA KAZI. UKIWATOSA WENZIO UNAZAWADIWA, BILA AMANI MOYONI KWAO NI KAZI BURE
Mmeshawauzia nchi yetu si ndo maana wanawazubaza na hayo mamlaka ambayo hayana manufaa Kwa nchi.
Basi wew mariamu ndiyo unayejua kuliko wengine.
Mpongeze mtu kwa mazuri yake ww mkataba unaujua vizuri au unawafuatisha watu wa kupinga kila kitu.
@@user-ki7hd3lg2q Kwa mazuri yapi brother yapi, hivi unaona maisha halisi ya watanzania,nchi Haina mipango, wanaopaswa kutuwakilisha ndio hao hata kitu kinatoa harufu mbaya wao wanasema kinanukia vzr.
Nenda Ngorongoro, nenda Serengeti,nenda Nyamongo,nenda Nyarugusu ukaone aina ya mikataba ambayo hao wawakilishi wetu waliridhia wakapitisha then linganisha na maisha halisi ya wananchi au mchango wa hyo mikataba kwny pato la taifa. Mkataba upi ambao serikali inaweza kusimama nao na kusema kwny huu mkataba ni win win situation hakuna hata mmoja.
Hongera za dhati mama
Tulia ni mwanamke wa soko.hongera sana
Hongera
Huyu ni miongoni mwa wanaoliburuza taifa letu kupitia hilo libunge lao wala hapo hatuna chetu.
Wanatupamba ili waje wajizolee ,Zambia tayari wameahidiwa Ardhi huku wenyewe kwa wenyewe tunaipigania nchi ina vituko hii
❤
Kwani hamkuwaona warabu pale mbele mashemeji zake mawifi na mabwana zake rushwa ya bandari hiyo. Bado samia atakuwa rais na malkia wa emirates hapa duniani na ahera. We ngoja utaona tu.
Simba imechangia kuchaguliwa
Congratulations Madame
Yeeeeeeeeh
Inanisaidia nn mm raia wa kawaida?
Ongera sana CCM pamoja na kuongoza kushawishi CCM kuuza Bandari wana Mbeya kazi mnayo Bandari
Mwabukusi ajitambuwi na wanyakyusa mwenzangu tuache wivu huyu ni lulu ya Dunia kwa sasa jimbo mbeya tukae kimya Mungu yuko upande wetu tumuache Tulia
@@fidelismwakanyamale6787 🤣🤣🤣🤣unacheza wewe Dunia 😂😂🤣🤣
Dunia ambayo imejaa rushwa angalia mashariki ya kati sasa angalia Africa sasa mapinduzi ya kijeshi kila kukicha usiseme Dunia palestina Israel Punin Yukreni acha kabisa 🙈🙈🙈🙈
Congratulations
Tanzania 🇹🇿 juu
mama hongera
HONGERA MADAM
Hi❤