Bando MC Feat Nay wa Mitego - Nimesamehe (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 22 ноя 2023
- #NewMusic #bando #epicjourney #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x Nay wa Mitego
Katika haya maisha jifunze kusamehe ila usisahahu. Karibu kusikiliza official audio ya Bando MC akimshirikisha Nay wa Mitego (Nimesemehe)
Contact info:
EMAIL- bandomc0@gmail.com
INSTAGRAM: / bando_tz
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
asanteni sana Wanangu kwa upendo WENU toka siku ya kwanza naanza game mmekuwa wadau wakubwa sana wakuhakikisha nafanikiwa!!
Sina chakuwalipa zaidi ya mziki MZURI kila siku Haya hii hapa “NIMESAMEHE” share na wengine 👇👇👇
ruclips.net/video/Q15nj7XeVPg/видео.htmlsi=CaKyVYJ0deM6UvCi
Bleesed
Mtoto msenge bando TANESCO 😂😂😂😂😂😂😂😂
Umtishaaaa
We love u bando
Unyama nimwingi hujawahi tuangusha alaf unajua kaka
Aliyesikia kama mimi 😂kwamba atasamehe wote lakn sio tanesco😂agonge like apa
Kama umeikubali nyimbo hii like nyingi na hongera sana Kwa waimbaji nyimbo ya kuingilia nao Christmas na mwaka mpya
Kuyooi
Mkubwa Mungu Fela tu Diwani wa Kiringule nani kaipata hii 🎉🎉🎉
😀😀
Before I was not listening to nay but nowadays I do listen to him everyday
Sio poah
Kila siku unavotoa ngoma , unazidi kuonyesha unyama, tunakubali sana kazi zako Bando Mc🎤
Hii sio poah
Bro ake🥰🥰🥰
Nimesamehe wote mtakaoninyima Likes😂
😂😂😂
Sema we bando unasemehe San bhana..... wengne wakatae hakuna msamaha
Miamba miwili👊👊👊
Mungu hajawahi mtupa mja wake umetoa hint la heshima na bado litaendelela kuwa la heshima mungu akuzidishie na azd kukupa nguvu pale unapo kutana na mafarao bas uwashinde nimesameh 😅wewe je unaye iskiza umesamehe
Hii sio poah
Mh Ila mwanao aliyesema tutoke magetoni nae ametuchongea vimbao😂😂😂😂😂mmetisha sna wanetu Kaz nzur endleen kutufunza hip hop4 life🙏
😂😂😂
Walimaanisha nn huo mstari,,,,,, nimeirudia weeh nimeona nisikichoshe kichwa
@@BandoMC Nakukubal sana kaka simu yngu nimejaza verse zako tu naskiliza madini makali big up sn👊🙏❤️
@@godfreymagoso5334 Kuna mwana hv alikua akitusihi Wana tutoke home tusake maokoto huku akituonyesha maokoto yke baada ya yeye kutoka magetoni lkn Cha ajab Hana mtonyo anatumia vimbao kuvitengeneza km pesa ili kujifny anazo ye mpmbnaji sn kumbe kiande tu watu tunapmbna na tunatoboa fresh na hatusemi 😂😂😂😂
Bravo my best Rapa ujawai kuniangusha, nakubari iyi kazi respect nipo CONGO Bukavu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asante sana fam
Kwenye vimbao hapo mmetisha sana Toka magetoni❤
😂
Mimi binafsi nimechagua kukuheshimu maaan sio kwa utunzi huu💐💐💐🔥🔥🔥🔥
Ayee
Nyimbo Kali kama hii ilitakiwa on Trending ishike number 1
Noma
The answer is with stamina his video
track underrated solo Project.
Bado hawajasema
na watasema
Yaaaaan mpaka wasemeeee😅
😂😂
Oe Bando pokea maua Yako brother!!! Sema hii umeupiga mwingi na Baba Yaga😂😂😂😂
Anaesema tutoke magetoni nae anatuchongea vimbao😂😂
🔥🔥 tumesamehe
Kabsa
Nimesamehe mmeweza sana raisi wa kitaa na mc bando...bamburi Mombasa
Nay I respect u mzee wa ukweli utaki mapenzi God bless you
KWENYE BATO KAMA IZIIII NAY NI WA MOTO SANA
Sana
Kwa hili dude nimelizia kusamehe kila kitu
Kabsa
Tanzania mzima nawapenda wasanii watatu(Bando, nay wa mitego na Roma), Nyie ndiye mnaoujua maana ya demokrasia Tanzania mzima, fanya hima mje hapa Nairobi kenya, huku Kuna Uhuru WA kila kitu, hatumuogopi yoyote. Tundu lissu tupo naye hapa Nairobi.
❤❤❤🎉🎉🎉 nikweli muda hauendi ila kwasasa unasogea sogea noma kaka hii sijaipenda bhana maaana mumeua sana yani mumenitisha namimi aduibyenu nimeweka tayari silaha chini na kunyoosha mikona kwamba sikuzote bando umekua mchanaji safi wakucheza na maneno vema ney nae ana maua yake kwangu mimi nimmoja wa mitoto isiopendwa mitaana ila sindio tunaishi nao kwaakili changamoto zipo watabhana mwishoe wataachia ukiona unatolewa kasoro jiulize mala mbili mbili maana utakua tayari sio masikini tena yani moja kwamoja unaenda kufanikiwa msaka buku mwenzangu 🎉 fanya kazi vizuri alafu maneno tuachie sisis mashabiki chai na mandazi 😂😅😊
Tuko katak wakt ambao sisi binadamu tunaukataa ukweli tunakubali uongo ila kka mabumo stay high ♥️
Blood
Umetisha sana my brodah hii ngoma niliisubili kwa hamu sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 one love forever @bando
🔥🔥🔥🔥🔥
Imesepa
Mmetisha sana wanetu hasa kwenye BASATA hp😢😢
TumesameheTukupe mauwa yakoooOne luv from burundiii we luv you nay
Ewaaa
Bando wew ni mc mkali
I like your lyrics
Floors
Na comb ji perfect
Nakubari Kaka Mkubwa 👏👏👏👏👏🙏🙏
Mtanange
Tumesamehee! Tuendelee Kuvunjika kwa mwiko sio mwisho wa Mapishi!
Kabsa kaka
Bandoooo umeuwaaaTumesameheTukupe mauwa yakoooOne luv from burundiii we luv you nay
Aye
Dem akipaka blich hakikisha naww umepaka mkongO,,,,, Mr neY bado upo baba😂
Nimeiskiliza ,pia ahsante kwa kuwachana Basata na wajinga wengine wanaotuvuta mashati ktk safari zetu🔥🔥🔥🔥
😀😀
Nimesamehw❤❤❤❤
Huu Unyama Lazm Uwe Mwingi Coz Amjawah Kutuhangush Nin Wawil , I'm So Proud Of You Brothers🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Noma
Shy town boy!
Ngoma kali Mzee...
Wa kwanza kuview na kukoment❤❤
Wakiifungia na hii najua pakuitolosha🔥🔥🔥👏🏼🙌🏾🙌🏾
Noma sana
@@BandoMC kazi nzr my brother
Bandoooo umeuwaaaTukupe mauwa yakoooOne luv from burundiii we luv you nay
Sio poah
Unyama sana bando uswazi Bwoy was here 🔥🔥🔥
Mauaji
Kazi kubwa
Magetoni iz typing vibao deleting oya wakurugwa mmetisha san na BOM🇹🇿
Brother umetisha Tena upo na msema kweli Ngoma kali
Nomaa mwanangu 💥💥
Sio poah
Bando . nakubalii
Rais Wawili Wakutana Sinza😁✌️
Bg song it kqbs 🙌🙌brother BANDO
Unyamwezi sanaa
tumesamehe🤲🤲
let's goooo
Kabsa
Hii ngoma inafaaa usikilize ukiwa pekeyako gheto ndo utaelewa kuna ujumbe gani imebeba @bando mc u kill it ma gee🔥🔥
Kwel mam
Nakubali sana Hii Blaza 😂😂
Mc Bando n..........🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪🏾🎧🥰
Naam
Shytown mabegani🔥
Mabega
Hata mm pia nimewasamehe. Walio kuwa hawaja nisamehe✌️✌️
Noma
daaaah we ni noma bando mc sema nataka collabo na wewe
One of the Best song 🔥🔥
Kabsa
TumesameheOne luv from burundiii we luv you nayTunaonaaa chuoa zakooo kaka
Kila noma
Nay bado ni king wa bongo flavor namukubali sana
Hatariii 🔥💥
Ewaa
Ngoma ni kubwa in short mmetisha sana 🎉
Sana
@@BandoMC naqbal sana kaz zako mungu aendelee kukulinda kaka 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mh ila mwanao! Anasema tutoke magetoni nae anatuchogea vimbao 🙌🙌🙌
🙏🙏🙏
❤😂🎉😢😮😅😊umeuwa mwamba bandoooooo
Hit after Hit🔥🔥🔥
Nooma saana
Umetisha sana
Sana
Video bro
One luv from burundiii we luv you nayTunaonaaa chuoa zakooo kakaCongrats tenaaa
Noma
Unyama sana, shy town boy ,wakifungia na hii tuna andamana ,
😅
@@BandoMC au we unasemaje , natoka bugweto nakuja dar kuandamana
Le's go Blood
Twende
New hit hip-hop song in town❤
Noma
Tukupe mauwa yakoooOne luv from burundiii we luv you nay
Noma
Daaaah rais wa kitaaa unatisha sanaaaa
Naam
NIMESAMEHE 🔥🔥🙌🙌
Kaka kaka
Wakwanza mimi
Big up kaka uko vzr mungu andelee kukubariki uzid kutupa ngoma nzuri
Kali sana
Noma
Unajua sanaaaaa
Sana
ngoma kari💪💪💪
Kinyama
Tukupe mauwa yakoooOne luv from burundiii we luv you nayOne luv from burundiii we luv you nay
Ayeee
Vichwa vimekutana nilijua tu itakua bonge la goma 🔥🔥🔥💪
Ila noma
My favourite rapper 😢❤🙌🙌🙌
🔥🔥🔥
What a hit broda🎶...👿 wanaojua wakijutana hua unyama
2take nini tena mose, bonge moja la ngoma💃
Rapper wa karne😂
Omg........ Ni nouma sana
Sana
Ngoma iendelee Kutembea Mjini Ngoma Kali sana ikae juu hapo Namba Moja
Kabsa
Ney hunagabaya mungu akupe myaka buku (1000)
Bonge la ngoma s🙌🙌🙌🔥🔥
Kali saana
Saana
KWANZA KUSAMEHE NI IBADA ❤
Kabsa
oya myamba ngoka kali sana nakubali ❤❤❤❤❤ love from Drc Congo Lubumbashi🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢😢😢😂😂😂
Hii noma
mwambaaa napenda jinsi uko na ubunifu wako unique kaka ,,,napenda sana ngoma zako
Hii ndo rap collab iliyokuw imebaki kwa mwaka huuu
Ewaa
On fireee ❤
Fire
Kaka unandika vizuri, unaimba vizuri, mtazamo wangu km sio ushauri, acha kusuguana na wenye mkono mrefu🙏🏿
Sawa mtu wakusugua
@@BandoMC sana mzazi
Ngoma kubwa,ya moto kabisa...
You're the legend in the making.
This song will live on.
Too Generational.
Sio poah
Wimbo mzuri, na production nzima, hasa verse ya kwanza🔥 kwasababu imejaa ujumbe na imebeba hisia.
Kabsa
Big up bro ukweli unafika wanaziba masikio
Jamaa anajua pia mjanja sana ndo maana amemshirikisha Ney anaelewa Ney ni dhahabu lazima ang'ae.
Yes mmetisha sana wazee✊
Ewaa
Oyaaah mwanetu tayar goma hewani lifike Sasa views 500,000+, like comment share !!
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma Kali Sana ❤
Noma
Naelewa sana mashahiri yako mwanetu asa pale kwenye tuongeee
Nimesameh❤❤❤❤
Ngoma ni Kali than I expected
Hii noma
💐💐💐 chukua maua Yako 💐