Bando MC Ft One Six - This Time Tomorrow (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #NewMusic #bando #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x One Six
Video directed by Deo Abel
Audio produced by Jay Drama
Follow Bando On:
Instagram: ...
Facebook : web.facebook.c...
Twitter: mu...
TikTok: www.tiktok.com...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Nishakula msoto Sana nieleze kuhusu maumivu Ebwana eeeeeh🔥🔥🙌
Oioi
Bless
Ngoma inaishiii🙌
Nyimbo ambayo yupo Bando na onesix haiwezi kupita hivi hivi bila kisikiliza
Like km unamkubali mchizi wa kiitikio one six a boy from maili.mbili
Mbona mimi ni mvumilivu na sijawai kula mbivu dadeki 💪💪💪
Mwanangu Bando Nimesikiliza Hii Ngoma Sana Na Kwa Umakini Sana Mzee Unajua kuandika Sana Kwanza Hongera Kwa Ilo Pia Umefanya Uamzi Mzuri Sana Corus Kapita One Six Kwa Macho Yangu Mm Mmefanya Kitu Kikubwa Sana Sijui Kama Mnalijua Ilo Hongereni Sana Kwa Ilo👏 "GUYZ LET'S SUPPORT GOOD MUSIC KWA WALE WOTE WALIO UPANDE WANGU WANAOSEMA HILI GOMA NI HIT⛽🔥🚬"
Bless mzee wqng
@@BandoMC oya bando respect Mani kazi nzur
Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dw/видео.html
Mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dwM/видео.htmlwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dwM/видео.htmlwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dwM/видео.htmlwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dwM/видео.htmlwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dwM/видео.htmlwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi mwizi Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dw/видео.html
Nnnnn
Eeehh bana one six is another level ukimshirikisha kwenye ngoma anaweka vitu unique
One 6 chorus killer bando philosophical verses killer✍️
Naam
One six kashindikanaaa huyuuuu jamqqq kwenye kolasi kauwaaa ongera. Mzikiii mzuri Bando (magazito. )
Bless sana wana
This guy is exceptional. He talks about the life we're living today, the reality,..just everything. Another big hit,..not forgetting One Six,..guys just keep the fire burning. We love you from Kenya
Bless sir
Baada ya kukataa kukuona ngoma yangu umeamua kwenda kubadilisha maandishi sio.... Sawa komaaa
Uwezo kama upo itafahamika tu.
ruclips.net/video/0D0hweNX_dw/видео.html
One six ,..... Master wa chorus za nyimbo za hip hop tz... U killed it as usuall
Bless up
one six vocal is from outside ze country🔥🔱
Ewaaap
bando you the best... unaandika sana bro....
You surely have bags of potential in music. This one hit says it all. Bando keep it up....Keep up the Fight. KC Media wishes you well
Tunafungua mwaka kiroho mbayaaaaaaa
Mwangu umeua bonge ra ngoma ongera san
Bando unajua brooo yaan unatisha kinoma yaan mistar yako mikali kinoma yaan kama ile natak kunya na hii ni 🔥🔥🔥 respect sana broo
DONT STOP BRO! KEEP INSPIRING WE LOVE YOUR MUSIC
Blood
Nyimbo kali sana big up sana jamaangu
Always
One love bando 🐘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oyoo
Ww Roma ww
Hv hujuw kama raha zinauwanaga
🙌🙌🙌 🔥 🙌🙌🙌🙌
This time tommorow 💯💯
Mid
Yeyeyeeeeee yayayaaaaa wowowooooo Bandooooo
One six the chorus killer🔥🔥
Ngoma imepikwa ikapikika ndani ya KC Records , mpishi akiwaa jay dram , respect kwakee
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
🔥🔥🔥 so far
Mbelembe
Daah nyimbo yenye ujumbe mkubwa mpka unasisimua Mungu tushike mkono utukomboe watoto wakimaskini
Amen ali
This man iz more than genius 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thanks
🔥🔥🔥🙌🙌
@@BandoMC nakukubali sana rapa mwenzangu
Huwa cckilizagi music kwa zaid ya miaka 15 but nimejikuta naisikiliza hii kazi ithink kuna kitu umenishawishi kurudi kwenye sanaa ambayo nilishaikatia tamaa... good brother
My bro today I'm so happy for what you do💥💥💥💥
Malongo boy
Sanaaaaa mzazi Mc mwenye utam wake
Good idea kwel una bando la mashairi ur namba 1
THIS TIME TOMORROW''🔥🔥🔥🔥🔥
Bofya link hapa kusikilza wimbo wang mpya 👇
This time tommorow
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
🔥🔥🔥🔥🔥🎤
Good music always proud of you Tajiri mwenye ghorofa la tope mjini Matanda songa mbele sordier
Unyama unyaman
philosophical writings
biggest touching verses
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
BRAND NEW VIDEO 🎬👇
THIS TIME TOMMOROW
performed by @bando_tz FT @onesixtz
DIRECTED BY @deoabel
Link ipo kwa bio ya @bando_tz @bobabel_
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
No one likes Bando, Bando we noma
One Six umetisha sanaaa
Full respect bro
Banger✨🔥🔥
Oyoo
One six hujawai niangusha kila ukipewa chorus 💥
Kaua
Sana respect kwake💥
THIS TIME TOMORROW 🔥🔥
Kaka kaka
Ngoma Kali Sana bro bando , umeua Sana kwenye hii song
Asant
Powerful Message 🙏🙌❤️
Kbwa sana
Nakukubli san brother daah yani sana ww ndo mwana hiphop wang bora tz
Bless kaka
Good work 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bless up
Bando kama bando nazidi kukuamini mzeee unajua unajua unajua tena 💥💥💥💥💥 umetishaaaaa sanaa
⛽🔥🚬
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
BRAND NEW VIDEO 🎬👇
THIS TIME TOMMOROW
performed by @bando_tz FT @onesixtz
DIRECTED BY @deoabel
Link ipo kwa bio ya @bando_tz @bobabel_
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
Ngoma ya kiwango cha fryOver Big Time Bro @bandoTz
So Dope 💥
Bless
The masterpiece hip-hop song; unyama wa biti, korasi balaa tupu na rapper mbaya
Aza b
🙌🙌🙌🙌🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Bofya link hapa kusikilza wimbo wang mpya 👇
This time tommorow
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
Unaeze usitengemee cha dungu ile bado ukafa maskini❤
Fire 🔥🔥🔥🔥
Bofya link hapa kusikilza wimbo wang mpya 👇
This time tommorow
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
nafsi inanambia kumcha Mungu tu ndo chanzo cha maarifa.....
Respect bro
Nooma
Unaweza husigemee Cha ndg na bado ukafa masikini
Yeeeees The Return Of Our Best Rappa in this Generation @BandoMC we missed you broo🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
Bless man
TUMEUA NA KUZIKA.KABISAAA !!! HUMU 💥💥🤘
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
Brother @bando we kill them let’s keep moving ✊🏻
Oyoo
Haichoshi kuskiliza na kuangaliaaa mmeuaaa🔥
Oioi
Bando nimeanza kukuelewa Sasa,,,,one six one love bro unajua
mirabaha yako isicheleweshwe Mandoza⚡⚡⚡⚡⚡
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
BRAND NEW VIDEO 🎬👇
THIS TIME TOMMOROW
performed by @bando_tz FT @onesixtz
DIRECTED BY @deoabel
Link ipo kwa bio ya @bando_tz @bobabel_
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
Hili goma kali sana audio kali, content kali, video kali, BANDO umeua sana inabidi uwe unatoa ngoma kila baada ya wiki mbili
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
🙌🙌🙌🙌🙌 puch line
Linajua sana wala hata halingi 🙏🙏🙏 Mungu anaona kaz yako bro
Amen fam
Mungu nipe Kesho Njemaa
Mwalimu uko Baba mba ka BRC congo
Sema @onesix jamaa ajawah alibu kiitikioo oyyaaaaaa🙌🙌🙌
Bonge la ngoma....hatar hii ngoma ya mwaka
Famm
Shy town boy, Bando uko vzuri pia One six umeitendea haki corus
Bando hatari sana Aisee!.Flow za Hatar
Hili Balaaaaaa Ziiiiiiiiito
Mungu nipe kesho ambayo Nitawin👑👑
Hatari Ngoma kali broo ☆
Aiseeee hii ngoma imesimama kinouma nouma
Bless
Hili jiwe la mwaka🙏🙌🙌🙌🙌🙌King one six👑
Ngoma kali sanaa brother 💥💥💥🔫
🎬🎬
Mmh one six kama umemeza dictionary ya korus mzee .we jamaa ni noma sana
Chuma la mwezii hilii yaani wamekutana matalent 1+1=Akili moja bando vs one six🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kichambo
Njoeeeenii. Huyu Jamaa
Kwahyo unajiona mjanja jambazi mkubwa ww😂😂😂
Daaah hii mistari inapaswa kuwekwa kwny wimbo wa taifa
Oyooo
Mzee bando mm tang nikujue mzee baba ujawai kua na kazi mbaya yaan hiii nyimbo utazani umeniandikia mm dah this life....
KICHWA.CHA FAMILIA YA HU MZIKIII💥💥💣✊
ruclips.net/video/9vaRd3pEdvg/видео.html
Hatariiii tulikumis sana kaka
Kibao kilicho niletea uwezo wa kuendeleo kupigana until I succeed 🙏thank you mc bando
Bando ajawai kukosea
Streetcodee on the track tuko nyuma yakooo🎶🎧🎵
Ewaaa
@@BandoMC mchanaji wa taifa
Sema unyamaaaa kabisaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu nipe kesho! Unaweza kutegemea cha ndugu na usife maskini!!!! %usiache KUTABASAMU%
Blesss
One Six kaua san kweny chorus 🔥🔥🔥
Mmetosha sana wanangu much respect🐐🐐
Oi oi msela wa masela.mwana wa wana...bonge moja ngomaaaaaaa mamae
Bando You Need Respect 🎉🎉🎉🎉
Bando cjawahi kukupinga mziki unajua bless sn
Bandoooo🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯one six 🙌🏿🙌🏿🚶🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Industry inaficha vipaji vikubwa mnooo. Leo nimejionea.
Unyamaaaaaaaaaaaaaaa
Keshoooo njema mi ntawin🤑🤩🤗🤩
❤kali sana iyo daaa ivi vipaji vina tolewa wapi
Bonge Moja la hit song toka kwa huyu kijana chini chorus killer
Hii ngomaa mim kama zeze siwez kuchokaa mwanangu wa faida hii ngomaa kaliiii 💥💥💥
Blesss mlongo
One six mzee wa huzuni🙏 you kill it bro
Bless up
Mimi nadhani huyu One Six tumchunguze vizuri,sio kiumbe wa kawaida huyu.
😅😅
@@BandoMC Daah hii ni hatari Kaka,ujue nimekaa nasikiliza hii ngoma basi nikawa mpole sanaaaa ila mwenye matumaini kwasababu verse ya kwanza vile umedondoka kwa hisia,..ile sijakaa sawa mara One six huyu hapa kaja kumaliza kila kitu.
May be tomorrow, daaah bonge moja la ngoma🙏🙏🙏
Noma sana
Kaziii imekuwa kaziiii sanaaa😭😭😭😭
Jua yangu mvua yangu mungu nijalie kesho