Maproducer bongo wananyonywa sana..ukitaka kugundua ni hii ngoma ya tetema,jamaa anajisifia kuwa kalipwa pesa nyingi sana nazo ni mil4..kimahesabu na km ingekua kabisa haki za hawa jamaa kwa mgoma ya tetema tu angekua anasumbua mtaani cz kila ngoma inavyoingiza ndivyo na yeye kipato kinatakiwa kuongezeka...
S2kizzy napenda kazi za kwako ....ivi karibuni nakutafuta mtaa wa kwako mimi kama dogo nutty msanii kutoka kenya ....kuna mengi ningependa ukaweze kunishauri
Maproducer bongo wananyonywa sana..ukitaka kugundua ni hii ngoma ya tetema,jamaa anajisifia kuwa kalipwa pesa nyingi sana nazo ni mil4..kimahesabu na km ingekua kabisa haki za hawa jamaa kwa mgoma ya tetema tu angekua anasumbua mtaani cz kila ngoma inavyoingiza ndivyo na yeye kipato kinatakiwa kuongezeka...
Furaha yangu ni kuona vijana wengi hapa Afrika Mashariki wakifanya makubwa kutokana na vipaji alivyowajaalia Muumbaji.
Nakubali s2kizy uko vzuri man
aliyegundua kuwa ule wimbo wa rayvany na vanessa mdee ambayo bado hujatoka umetengenezewa hapa baada ya kuona masofa agonge like
switch generation mwanzo ckujua kwamba switch record ni sehemu ya kutengeneza producers wenye high level big up
Kumbe ni wewe uliipika, congrats S2kz
S2kizzy napenda kazi za kwako ....ivi karibuni nakutafuta mtaa wa kwako mimi kama dogo nutty msanii kutoka kenya ....kuna mengi ningependa ukaweze kunishauri
Bro thanks nakubali sana kaz yako
Hii kazi ngumu watu wengine wanaona kawaida unatumia akili nyingi sana
Tetema inasumbua club mingi sana hapa Finland 👊💪
napenda sana jinsi unavyouliza maswali, S2kizzy
Nimekuelewa sana kaka upo vizur
aliyesikia collaboration ya mtangazaji kwenye dk ya 12. agonge like hapa
Huyu jamaa yuko open sanaaaaaaa
Ufanye ufanyavyo lazima WCB uwatangaze hata Kama hutaki kila uendapo kila umhojie lazima WCB ipaishwe
Yuko good sana salut
Naomba namba
Namkubali sana broo s2kizzy
Unatisha kaka yani wew nimkaliiiiiiiiiiii😊
napenda sanaa kufanya kazi naee