Tulia Trust Yatoa Msaada kwa Wahanga wa Mafuriko Kyela, Mbeya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 апр 2024
  • aasisi ya Tulia Trust imetoa msaada wa vyakula kwa wahanga wa mafuriko yaliyotokea Wilayani Kyela Mkoani Mbeya kutokana na mvua zinazoendelea Kunyesha hapa nchini.
    Vyakula vilivyotolewa na kukabidhiwa kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Josephine Manase ni mchele Kg 300, maharage Kg 50, sukari Kg 75 pamoja na unga wa ugali Kg 125.
    Tulia Trust chini ya mkurugenzi wake ambaye ni Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU), Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mhe.Dkt. Tulia Ackson inatoa pole kwa wale wote waliokumbwa na Janga hilo la mafuriko.

Комментарии • 1

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 Месяц назад

    Safi sana dr tulia mungu akujalie sana kuwasaidia mikoa ya nyanda za juu kusini magharibi