WEWE BWANA NGUVU ZANGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Shirika la Masista wa THE GRAIL TANZANIA (Mwanga - Kilimanjaro) wanamshkuru Mungu kwa kuweza kutimiza Jubilei ya miaka 50 ya utume wao Tanzania. Katika kuadhimisha Jubilei hiyo, wameandaa Album kwa lengo la Kumshukuru Mungu. Wimbo huu wa WEWE BWANA NGUVU ZANGU, ni miongoni mwa nyimbo zilizopo katika album hiyo inayoitwa CHOMBO CHA UTAKATIFU.
    Karibu usikilize na kutazama na tusali kwa pamoja.
    Kama ungependa kuwasiliana nao, waweza kupiga simu namba +255 783 283 188 , +255 654 680 924, +255 683 226 526
    #kwayakatoliki
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 156

  • @samuelmule1886
    @samuelmule1886 3 года назад +3

    ^^^^"NA MWOKOZI WANGU"-----"FURAHINI, NA KUSHANGILIA, TUMWIMBIE SIFA, KWA KUWA NI MWEMA,PIGENI KELELE ZA SHANGWE ENYI MCHAO, ***YANIGUSA SANA AMINA

  • @ceciliamrita6220
    @ceciliamrita6220 6 месяцев назад

    Soooo nice. Sichoki kuwasililiza wadogo zangu. Soo beautiful and amazing voice

  • @uldawango4047
    @uldawango4047 4 года назад +2

    Hongera sana Ray Ufunguo kwa nyimbo zako pamoja na huu pia. Huu wimbo nimeusilkiliza kama mara 50 hivi, naupenda

  • @lucytarimo8295
    @lucytarimo8295 3 года назад +1

    Hongereni sana masista nabarikiwa pia kaka Ray hongera

    • @rajopro
      @rajopro  3 года назад

      Asante sana Lucy

  • @charlesswai66
    @charlesswai66 5 лет назад +2

    Mwalimu wangu tumain swai hongera sana kwa kupiga kinanda kwa utulivu mkubwa unanikumbusha mbal sana mwalimu

  • @salomemahembega9420
    @salomemahembega9420 4 года назад +2

    Dah, hongera kwa kazi nzuri wimbo huu wa wewe Bwana Nguvu zangu unanitoa machozi nikiuskiliza hasa nikiwa katika nyakati za huzuni pale ninaposongwa na mazito moyoni na ninapoyatafakari maneno hayo yanayosindikizwa na Melody tamu iliyo sanifiwa vema bas napata Nguvu mpya,. Hakika kuimba vizuri ni kusali mara mbilimbarikiwe Sana na Mungu awaongezee maarifa zaidi Kila iitwapo leo🙏🙏🙏

  • @johnmsuya6320
    @johnmsuya6320 5 лет назад +1

    Hongereni Sana sana Masista wa Grail
    Nimekuwa nausikia Wimbo huu kupitia Radio Mwangaza - Dodoma na nilikuwa natafuta jinsi ya kupata wimbo wenyewe.
    Ni wimbo wa unyenyekevu na wenye kutafakarisha. Dah!!!!!! Wimbo huu unanitach mno.

  • @mariammkusa1839
    @mariammkusa1839 3 года назад

    Mungu awabariki sana kwa wasikilizaji wote katika kipindi hiki kitakatifu cha mungu

  • @constanciamagige454
    @constanciamagige454 2 года назад

    Sofa Kwa Bwana peke akee..lakin tcha Ray Ufunguo ana nyimbo nzuri sanaa

  • @josephjmapendo4488
    @josephjmapendo4488 4 года назад +3

    A wonderful work. Mungu na apokee sifa na utukufu kutoka kwa walio wa sura na mfano wake. Am sooooo blessed when I listen the song. Kweli hivi ni vinanda vya mbinguni hapa duniani.

  • @gabrielmikindo4765
    @gabrielmikindo4765 3 года назад

    Nilipoondokewa na mwana wangu nikadhihakiwa na kukejeliwa na watu wa karibu yangu, nafarijika sana kuongea na Mungu kupitia utume kwa njia ya wimbo huu, AWABARIKI BABA WA MBINGUNI. ASANTENI SANA

    • @rajopro
      @rajopro  3 года назад

      Pole sana Gabriel.

  • @redemptanyaki6381
    @redemptanyaki6381 5 лет назад +9

    Hongereni saaaana kwa utume,Mungu azidi wapa nguvu na uwezo mkubwa Wa kumuabudu na kuinjilisha.Hongera st Genofeva

    • @benprince1212
      @benprince1212 3 года назад

      dunno if you guys cares but if you guys are stoned like me atm you can stream pretty much all the new movies and series on instaflixxer. Been streaming with my girlfriend for the last months xD

    • @byronaarav2169
      @byronaarav2169 3 года назад

      @Ben Prince Yea, been using instaflixxer for years myself =)

    • @keatonjoey3543
      @keatonjoey3543 3 года назад

      @Ben Prince definitely, have been watching on instaflixxer for months myself =)

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 3 года назад +1

    Mshukuruni bwana kwakuwa nimwema kwamaana fadhili zake nizamilele huo ubeti umenikumbusha mbali

  • @carolykiplimo392
    @carolykiplimo392 5 лет назад +4

    hongera sana rajo good song and very impressive and strengthening our faith amen

  • @josephkobelo5579
    @josephkobelo5579 4 года назад +2

    Mungu wabariki hawa watawa na mtunzi

  • @renaldapeter9466
    @renaldapeter9466 3 года назад +1

    Big up wana Grail hakika huu wimbo unanitia nguvu hasa pale ninapokuwa nimekosa matumaini unanikumbusha kuwa Mungu ndie nguvu yangu na huwa naimarika tena!Mungu awabariki sana

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 4 года назад +2

    Wewe Bwana nguvu zangu
    Asante yesu kwa pumzi kila iitwapo leo. Mbarikiwe sana masista kwa wimbo mzuri

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 5 лет назад +1

    HONGERENI SANA DADA ZETU. MUNGU AWAPE NGUVU YA KUSONGA MBELE, NA UTUMR WENU.

  • @davidmwakilili7496
    @davidmwakilili7496 5 лет назад +1

    NIMEMWONA DADA IMELDA , HONGERA SANA MAMA KWA KUJITOA KIMWILI NA KIROHO

  • @sesiliamanji3912
    @sesiliamanji3912 Год назад

    Wimbo mzuri Sana umenibariki👏👏🙏

  • @edithtemu9606
    @edithtemu9606 5 лет назад +1

    Huu wimbo umenibariki Sana, hongereni nyote

  • @maryodjosephat1237
    @maryodjosephat1237 4 года назад +1

    nawapenda mpaka naumwa!Mwenyezi Mungu adizi kuwaimarisha ktk utume wenu

  • @devothawanna4194
    @devothawanna4194 5 лет назад +2

    Hongereni kwa wimbo mzuri, umenibariki sana, napenda kuusikiliza muda wote

  • @michaelmuimi9811
    @michaelmuimi9811 5 лет назад +3

    Hongereni masista wa the GRAIL,wimbo ni mtamu tu sana,
    mashairi yameimbwa kwa ustadi mkubwa, nayanasikiza mara kwa mara yatuliza roho kweli kweli.
    i really love the album at large.
    Big ups Mwalimu Ray ufunguo kazi yako iko imara twakubali.

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 5 лет назад +3

    Hongera sana RAJO uinjilishaji wako unatuweka karibu Mwenyezi Mungu,ubarikiwe sana.

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 5 лет назад +1

    Hongera kwa producer,masista hongereni kwa shangwela ya miaka 50 hongereni pia kwa uimbaji mzuri na asanteni kwa ujumbe murua.Mzidi kubarikiwa na kudumu katika kuhudumu shambani mwa bwana kupitia utume huo

  • @paschaldionisi1214
    @paschaldionisi1214 5 лет назад +1

    Hongereni sana mama zangu kwa utume uliotukuka
    Mungu awazidishie kila neema na baraka mzidi kudumu katika utume wenu kwa Taifa la Mungu

  • @rebinatharunyoro9588
    @rebinatharunyoro9588 5 лет назад +1

    Asanteni sana hadi natamani nami niimbe nanyi

  • @beatriceshirima6620
    @beatriceshirima6620 5 лет назад +1

    Hongereni Sana Mungu awabariki kazi nzuri sana wimbo hauishi hamu kuusikiliza

  • @fulugutumadoja2360
    @fulugutumadoja2360 5 лет назад +4

    Hongereni sanaa kwa utume mtukufu wenye kujawa na jumbe nzuri na tafakali nzuri, i have enjoyed for sure.

  • @josephwalkerz3797
    @josephwalkerz3797 5 лет назад +3

    Ray uko juu tu sana nipo hapa Nairobi Kenya

  • @lucianohmsabila9636
    @lucianohmsabila9636 5 лет назад +1

    Wewe Ray unachanganya watu,kumbe uko hivo,sarute to you my Brother as well as organist big up.

  • @emmanuelmarko8776
    @emmanuelmarko8776 5 лет назад +2

    Congratulations kwa uinjilishaji mzuri mungu awabariki sana nawatakieni jubilei njema by marcos Emmanuel

  • @janem3806
    @janem3806 4 года назад +1

    Kweli kuimba ni kusali mara mbili

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 5 лет назад +2

    Kweli haiishi hamu kusikiliza Mungu awabariki sana kwa uinjilishaji huo

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 2 года назад

    Hongereni kwa wimbo mzuri, sitachoka kuusikiliza, hakika Bwana ni nguvu zangu, jabali langu na Mwokozi wangu. Be blessed all🙏

  • @thaddeojude7511
    @thaddeojude7511 5 лет назад +3

    Oooh!!!hongeren sana Dada zetu kwa saut nzur na wimbo wenye tafakar.nawatakia maandaliz mazur na shereh njema ya jubile yenu(Br.Jude Thaddeus)

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 4 года назад +1

    Mungu awabariki Waimbaji wote kwa Wimbo huu mzuri wenye tafakari ya kina.

  • @suzanakoroti1098
    @suzanakoroti1098 5 лет назад +4

    Inanikumbusha uimbaji wa zamani, natamani kuimba tena

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 4 года назад +2

    Sauti za malaika, God bless you

  • @selemanmazigwa7673
    @selemanmazigwa7673 5 лет назад +4

    Hongereni sana masista kwa nyimbo yenye tafakari nzuri pia Uimbaji wa unyenyekevu ...
    Mbarikiwe sana Amina

  • @annambokaanatoli9700
    @annambokaanatoli9700 5 лет назад +3

    Asanteni saana wapendwa huu ndio uimbaji tunaotamani kwa kwaya zetu nyimbo TAFAKARISHI NA UNYENYEKEVU.
    Asante sana mpiga kinanda Swai Mungu akubariki na kazi ya mikono yako. Mt. Secilia msimamizi wa waimbaji akufunike na hasa kipaji chako. AMINA

    • @inocentmkude8712
      @inocentmkude8712 3 года назад

      MSHUKURUNI BWANA KWAKUA NI MWEMA MAANA FADHIRI ZAKE NI ZA MILELE.

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 5 лет назад +2

    Sauti inasikika vizuri ( sio hewa tupu) maneno yanasikika, vyombo vipo poa sana kazi safi sana

  • @stellamateru2434
    @stellamateru2434 Год назад

    Naupenda sana unaleta tafakar ya utulivu

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 лет назад +3

    Nice nice. Hongereni sana marafiki zangu katika Bwana. Hapo msalimieni rafiki yangu mpenzi na Wifi yangu the late Sr Regina Simon.

  • @emmanuelmollel3008
    @emmanuelmollel3008 5 лет назад

    kilimanjaro Mwanga kisekibaha......bado nawapenda sana salam kwa st.Aquilline

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 5 лет назад +4

    Love you all. Nimefurahi hadi machozi

  • @josephkanyabwoya1510
    @josephkanyabwoya1510 5 лет назад +2

    Hongereni Masista kwa uimbaji mzuri endeleeni na utume wa bwana kwa uaminifu mkubwa.

  • @jennifermlingi4632
    @jennifermlingi4632 4 года назад +1

    Na mwokozi waaaangu
    Ee Mungu nakushukuru kwa ajili ya hawa wana kwaya.
    Wananibariki sana.

    • @rajopro
      @rajopro  4 года назад

      Thank you Jennifer. Barikiwa sana.

    • @jennifermlingi4632
      @jennifermlingi4632 4 года назад

      @@rajopro Amina Amina
      Tubarikiwe sote

  • @jacintherbekker332
    @jacintherbekker332 4 года назад +1

    Hongereni Sana Masister kwa kuimba vizuri Mungu Awabariki sana.

  • @KahabiZeChaka
    @KahabiZeChaka 2 года назад

    Hongereni sana kwa kazi nzuri na iliyotumika. Mwenyezi MUNGU azidi kuwabariki zaidi na zaidi. Mko juu sana.

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 5 лет назад +3

    WanaGrail hongereni sana.
    Nyimbo nzuri mno.

  • @mcdoubleatv306
    @mcdoubleatv306 5 лет назад +3

    Naisikiliza na Kuitazama Mara Mbili Mbili

  • @livinusjacob4729
    @livinusjacob4729 5 лет назад

    hakika mnanifanya nijisikie Niko pepon wakati mwingine nikikaa kuusikiliza wimbo huu mpaka najisahau kua bad nipo duniani nawaombea uimbaji wenu uendane na matendo yenu ili muone utukufu wa mungu ulivo na tumaini La mwito wake jinsi lilivo Be blessed

  • @benedictalucian7026
    @benedictalucian7026 4 года назад +2

    Congratulations saan, Mwenyez Mungu aendelee kuwatunza daima..See u my headgirl from Ifunda girls( Sr Sarah)

  • @revocatusbenezeth2282
    @revocatusbenezeth2282 5 лет назад +1

    Mungu awabariki sana ujumbe mzuri ,unyenyekevu uimbaji mzuri

  • @graciousbaligumya2381
    @graciousbaligumya2381 5 лет назад +2

    Hongera kaka Ray kwa tungo yenye fukuto rohoni napia hongera Rajo kwa production, go on brother

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe 2 года назад

    Huu wimbo 🔥🔥🔥🔥🔥👏🏽.Bwana ni mwokozi wangu.

  • @StMonicaChoirJuja
    @StMonicaChoirJuja Год назад

    Bwana ni jabali langu...
    We feel nourished by your beautiful singing 🙏

  • @stevederich
    @stevederich 5 лет назад +3

    Ray ufunguo Ahsante, Barikiwa sana

  • @jonathanntare4787
    @jonathanntare4787 5 лет назад

    Hongereni Dada zetu na Mama zetu wa kiroho , Mungu awabariki Mmeacha yote Mazuri na Kuamua kufuatana na Mama Bikra Maria.

  • @elizabethkatikiro5148
    @elizabethkatikiro5148 5 лет назад +2

    Ujumbe mzuri Sana hongereni sana

  • @martinmatias6090
    @martinmatias6090 5 лет назад

    mko vizur aise mungu aendelee kuwa bariki katika utume wenu

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 5 лет назад +1

    Hakika umefanya kazi tamu Rajo. Kipaji chako cha pekee sana bro

  • @bonaventurasheshe961
    @bonaventurasheshe961 5 лет назад +2

    Congratulations dear brothers and sisters in Christ through this strong song with strong message in it. May the Almighty God shower You with blessings and strengthen You on your missions. 아멘. 축합니다.

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 5 лет назад +1

    penda sana mabinti wa Mungu mzidi kubalikiwa daima amen.

  • @wanjalaopwora4040
    @wanjalaopwora4040 5 лет назад +4

    A great song I must say...pongezi

  • @happymgasa3876
    @happymgasa3876 Год назад

    Wewe bwana nguvu zangu, niokoe na mtu asie haki

  • @emanuelmark7419
    @emanuelmark7419 4 года назад +1

    Mungu uhimidiwe milele

  • @asumpterkirahuka2821
    @asumpterkirahuka2821 3 года назад

    Mungu awabariki kwa utume

  • @noelamtesigwa6819
    @noelamtesigwa6819 2 года назад

    Najikuta machozi yanatoka tu..😭

  • @mariameena5248
    @mariameena5248 5 лет назад

    wimbo mzuri na unainjilisha sna pongez kwao mabint masista wa mwanga

  • @oswaldgerelo477
    @oswaldgerelo477 5 лет назад +3

    hongereni saaana Masister

  • @anatorydesdery4654
    @anatorydesdery4654 5 лет назад

    Mungu awe pamoja nanyi masista na watawa wote kwa ujumla

  • @kurwasteven4333
    @kurwasteven4333 5 лет назад +3

    safi sana,namuona pacha wangu nimefurahi sana

  • @francisgeorge5520
    @francisgeorge5520 5 лет назад

    Rajo has never ever led me down. A good one again. I love you people of God.

  • @rosenyabokee2209
    @rosenyabokee2209 3 года назад +1

    Nice song. May God bless 🙏 you all.

  • @happinesschilongani1635
    @happinesschilongani1635 5 лет назад +1

    This is song is so emotional good...congrat rajo production

  • @whitneykimeu9089
    @whitneykimeu9089 5 лет назад

    This is a very good song. However it should be sung with radiance of hope because it is a worship song. we should be happy when we sing for our Lord God

  • @wamuriithi2122
    @wamuriithi2122 5 лет назад +2

    That's a nice song. Be blessed

  • @angelangel672
    @angelangel672 5 лет назад

    Asante sana mbarikiwe kwa wimbi wenye ujumbe mzuri

  • @felistadaniel5664
    @felistadaniel5664 3 года назад +1

    Nimependa meimba boksi nzuri maneno yote mnayatamuka

  • @dessystanley5586
    @dessystanley5586 4 года назад +1

    amina mungu azid kuwatunza

  • @kelvingeorge9049
    @kelvingeorge9049 3 года назад +1

    Naipataje hii dvd niko Moshi mjini

    • @rajopro
      @rajopro  3 года назад

      Nenda pale Moshi book shop Kristo Mfalme utaipata

  • @josephmagnus6865
    @josephmagnus6865 5 лет назад

    Daaah Ray ubarikiwe kwautunzi ulio tukuka

  • @nuruluvingo7356
    @nuruluvingo7356 5 лет назад +1

    Good work..! Am blessed with it

  • @alphonsinashiyo9572
    @alphonsinashiyo9572 5 лет назад +1

    sauti zimetulia sana jamani daaah

  • @melaniachambala675
    @melaniachambala675 11 месяцев назад

    Sauti tamu mpaka unahisi uko mbinguni

  • @alphoncebucheye6424
    @alphoncebucheye6424 5 лет назад +2

    Hongereni sana

  • @augustinopulagi3047
    @augustinopulagi3047 5 лет назад +1

    Hii Album naipataje

    • @anthonypancrasy1058
      @anthonypancrasy1058 5 лет назад

      Sijawai kusikia wimbo wenye vionjo vitam kama huu hongereni masister wa the grail mwanga

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 3 года назад +1

    Wonderfully done.

  • @petervntntan1434
    @petervntntan1434 2 года назад

    Bwana wewe mungu wangu

  • @robert.maganya1051
    @robert.maganya1051 5 лет назад

    bwana atubariki sote na tudumu ktka upendo wakristu

  • @KirumwaK
    @KirumwaK Год назад

    Baraka tele

  • @willey_brandtrue9966
    @willey_brandtrue9966 5 лет назад

    Wewe bwana nguvu zangu! Nakupenda sana!

  • @estherwanjiru6001
    @estherwanjiru6001 4 года назад +2

    I love you all be blessed

  • @cynthiawanyama2987
    @cynthiawanyama2987 5 лет назад

    i love the singing ~very clear voices and diction.

  • @adelaidashayo372
    @adelaidashayo372 5 лет назад

    Hongereni sana kwa ujumbe mzuri

  • @beatusshayo2037
    @beatusshayo2037 4 года назад +2

    Angel voices

  • @getrudamnzele3710
    @getrudamnzele3710 5 лет назад

    Hongera kaka kazi nzuri nakuelewasana kwenye nyimbo zako huwa ni nzuri sanaa Mungu akuhifadhi rajo. Pigeni kelele za shangwe enyi mumchao hahahahaaaa