Hivi ndivyo Kilimanjaro Band (Wana Njenje) ilivyoundwa.. Waziri Ally asimulia alivyojiunga na Msondo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 27

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 4 года назад +7

    Hawa ndio walikuwa wanamuziki sasa /mwenyezi mungu awapunzishe kwa amani waliotangulia mbele ya haki

  • @abdoulliuguya7324
    @abdoulliuguya7324 3 года назад +1

    Dah Mungu ampumizshe salama legend Waziri Ally & Babu njenje...

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni 3 года назад +2

    Story Yake Nzuri inaweza hata ikawa Movie kabisa Aisee kaka Fred

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 3 года назад +1

    Mungu amsameh mapungufu yake na awalaze Mzee Njenje, Waziri na wote walotangulia mahala pema penye wema 😭😭😭😭😭

  • @abdallahabdul8684
    @abdallahabdul8684 2 года назад

    Nilikuwa najiuliza sana kuhusu mixing iliyofanyika kwenye boko , leo ndo nimepata majibu kumbe ilifanyika UK.inna lillah wainna ilyh rajiun. legends

  • @ethanethan4437
    @ethanethan4437 3 года назад +8

    Tuliokuja hapa baada ya kifo cha Ali tujuane

  • @fourkeys9235
    @fourkeys9235 2 года назад

    miss you kaka 🥰

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 4 года назад +2

    Nawakubali sana hawa wazee.

  • @kitoto8
    @kitoto8 3 года назад +1

    Mahojiano mazuri sana. Ahsante. Na wewe mtangazaji, wa jina wangu, Frederick Bundala, ulifanya utafiti wa kutosha. Ndiyo maana maswali yako mazuri sana. Yalimfanya gwiji Waziri Ali kuonekana Makini kama ALIVYOSTAHILI. Maana alikuwa ( na bado) Makini!!!!

  • @Shammy-rn3tn
    @Shammy-rn3tn 3 года назад

    Alikuwa anajua kujiexpress vizuri sana. Inalilah wainaileih Rajiun.

  • @frankkaaya9450
    @frankkaaya9450 3 года назад

    Rest easy my old man and best musician Waziri Ally "kisinger"

  • @mikemunda
    @mikemunda 3 года назад

    hizo ndio muziki za kweli.nakumbuka

  • @missyjuma7155
    @missyjuma7155 3 года назад

    Innalillah wainalilah rajiown. Vizuri havidumu.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 9 месяцев назад

    R.I.P Legend

  • @adeelhaji1574
    @adeelhaji1574 3 года назад +2

    Rest in Peace Mzee Waziri...

  • @jonathananiceth6868
    @jonathananiceth6868 3 года назад

    Already missed bro!

  • @yusufsong9158
    @yusufsong9158 4 года назад

    Kanikumbusha mzee Akida jumanne na Mzee Jumbe na Mwinyi kitamboo wazee wetu awo na kina Shomanga apana chezea tanga apa Luke star kule gold star

  • @amoskijangwa7095
    @amoskijangwa7095 3 года назад

    Da!

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 3 года назад

    Amen

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 3 года назад +1

    Rest in peace babu njenje

  • @mamakefarhat5220
    @mamakefarhat5220 3 года назад +1

    Watangazaji wa sasa wote wanapaswa waangalie haya maujiano kisha wajifunze,kwasababu huyo mwendesha kipindi yuko saaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 4 года назад

    Tanga hatari

  • @bintykigan6236
    @bintykigan6236 3 года назад

    Nyota waziri nimke wake ama mtoto wake?

  • @nenadurra8477
    @nenadurra8477 3 года назад +1

    Rest in peace brother Waziri.