Bila Babu Njenje Kilimanjaro Band ikoje? Waziri Ally afunguka kwa huzuni kifo chake kilivyowaathiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Kiongozi wa The Kilimanjaro Band (Wana Njenje) Waziri Ally anaelezea pengo lililoachwa na marehemu Mabrouk maarufu kama Babu Njenje
    #ChillnaSky

Комментарии • 30

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 4 года назад +3

    Sky thank you kutuletea gwigi wa the kilimanjaro band wana, njenje Waziri Ali,Poleni pia kwa kuondokewa na kipenzi chetu mabrouck, Allah ilaze pema peponi roho take,(amin)tunapenda sana nyimbo zenu,na midundo yenu ipo 🔥🔥ni adimu sana kupata hii ni kwenu tu, tupeni burudani tafadhali

  • @gabrielbahat9107
    @gabrielbahat9107 4 года назад +2

    This is the best interview 😇😎

  • @ndimilaalbert6671
    @ndimilaalbert6671 4 года назад +2

    One of the best interviews.

  • @fatmasayid8895
    @fatmasayid8895 4 года назад +1

    Interview bora ya mwaka ubarikiwe 😘😘😘😘

  • @ethanethan4437
    @ethanethan4437 3 года назад +8

    Tuliokuja hapa baada ya waziri Ali kufariki tujuane

  • @hakibaferuzi502
    @hakibaferuzi502 4 года назад +1

    Wa kwanza kwa kutazama 👌

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад

    Waoo I miss njenje walaah hasa mzee waziri na mkewe ❤🇹🇿🇨🇭

  • @danstanpanga8490
    @danstanpanga8490 3 года назад

    Daah jaman Mungu awapokee wazee wetu wapendwa.
    Hawa walikuwa mahiri sana

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 3 года назад +1

    Allah amlaze peponi amin

  • @bandanahmiqassa
    @bandanahmiqassa 3 года назад

    This man was a pure genius musican rest well mr waziri

  • @raymondngamilo9226
    @raymondngamilo9226 3 года назад +1

    Nmeiludia hii interview rip babu wazir

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад +1

    R.I.P Mzee Waziri Ally mpigajj wa kinanda mahiri.

  • @rodgersmbaga8081
    @rodgersmbaga8081 2 года назад

    Amakweli tumepoteza moja ya mboni ya jicho la muziki Tanzania. Mungu amuepushe na adhabu ya kaburi. Nakumbuka niliwahi mualika Kibo Palace Hotel Arusha mwaka 2010 ktk mwaka mpya na hakusita kuja na bendi ya Wana Jenje na walitumbuiza usiku kucha. Kifo chake kimeacha kovu kwangu; maana kabla hajaenda kutembelea mbuga za wanyama na familia yake alinipa CD ya Wana Njenje. Mpaka sasa ninayo.

  • @عليحمد-غ6ر9ظ
    @عليحمد-غ6ر9ظ 4 года назад +2

    Hawa jama mziki wao ulitingisha sana yani atari nakumbuka enzi hizo njenje ilivyo vuma

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 4 года назад +1

    Sky mtafute na nguli mwingine anaitwa Bob Rudala wa In Africa Band alitamba sana. Sasa hvi nasikia yupo Australia.

  • @evodiamsinje8789
    @evodiamsinje8789 3 года назад +1

    Daaah nimeumiaa jamanii ulikuwa unakuja job kwetu huna shida na mtu jamani lazima utamsalimia kila binti unamuitaa binti ako kila kijana pale kazini unamuita kijana pumzika

    • @hawasabra1191
      @hawasabra1191 3 года назад

      Weacha ndugu mm mpk leo bad nahuzunika hap yenyewe narudiarudia hayamahojiano yake

  • @fatumahelmers1763
    @fatumahelmers1763 4 года назад +2

    Safisana

  • @willykhalid640
    @willykhalid640 3 года назад

    Dah R. I. P

  • @christopherhaule908
    @christopherhaule908 3 года назад

    R.I.P WAZIR ALLY

  • @FatumaSaidishaban
    @FatumaSaidishaban 4 года назад +1

    Munqu amrehemu babunjenje

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏

  • @saumukibaja1295
    @saumukibaja1295 4 года назад

    Kweri kabisa

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 4 года назад +1

    Nipenda huyu baba anamadini sana

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 3 года назад

      Umesema hilo akiwa hai
      Vizuri sana
      ❤🇹🇿

    • @tanzaniaoman6423
      @tanzaniaoman6423 3 года назад

      MwenyenziMungu amrehemu na amuondolee adhabu ya kabri

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 3 года назад

      @@tanzaniaoman6423 Aamiin

  • @jamesjjoseph5908
    @jamesjjoseph5908 3 года назад

    R.I.P