Mzee Waziri Ally, sura ya Kilimanjaro Band, wakali wa album ya njenje........... japokuwa hii chaneli yao imetengenezwa hivi majuzi na hakupata kula matunda ya nyimbo zao kam ipasavyo, twamuombea thawabu kwa kutukonga nyoyo zetu na kutuachia kitu cha kumkumbukia na kumuenzi
Rip af hiz nyimbo nilkuw naskiliza kwenye ledio ya baba yangu hak ya Mungu yakale ni dhahabu pia vionjo vya huu wimbo ni utamu mtupu hapo wasanii wa kisasa wafanye remix ya huu wimbo hasa hapa mwishoni patamu kweli yaani😋😋😋
They delivered the massage as well as entertaining , so beautifully to understand , it will never be denied to those who hear , thank you for your efforts Kilimanjaros .
Amefariki,alikuwa anaitwa waziri ally R.i.p ,na alikuwa Mtanzania halisi, lugha labda zifanane kwakuwa alikuwa mdigo na wadigo wapo tanzania na kenya pia, ila huu muziki kama namna hii wakenya mnautolea wapi bhana 😆.
Naisikiliza apa mwaka 2024 mwezi wa tano tareh 3
Wadigo wote peponi wadigo hoye🔥🔥🔥🔥
Wadigo oyeeeeee wadigo tujuane jmn
Mtutafsirie basi
❤❤❤
Nan yuko apa 2021??
Tuliokuja baada ya kifo cha waziri Ali tujuane
Wadigo big up 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mzee Waziri Ally, sura ya Kilimanjaro Band, wakali wa album ya njenje...........
japokuwa hii chaneli yao imetengenezwa hivi majuzi na hakupata kula matunda ya nyimbo zao kam ipasavyo, twamuombea thawabu kwa kutukonga nyoyo zetu na kutuachia kitu cha kumkumbukia na kumuenzi
true
kweli ndugu
alazwe mahala pema peponi
Amina
Leo mwez wa 9 tarehe 14 juma mosi nasikiliza boko 2024
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah akusamehe madhambi yako😭😭
Naangalia hapa leo tarehe 7/7/2024 jumapili Niko home daressalaam Tanzania 🇹🇿
Nipo home leo juma mosi tarehe 13 /9/2024
Innalillah wainna ilahim rajuun poleni ndugu zangu wa tanga mjini msiba wetu sote brbr 1mpaka21
Rip af hiz nyimbo nilkuw naskiliza kwenye ledio ya baba yangu hak ya Mungu yakale ni dhahabu pia vionjo vya huu wimbo ni utamu mtupu hapo wasanii wa kisasa wafanye remix ya huu wimbo hasa hapa mwishoni patamu kweli yaani😋😋😋
Nan alyekuja hapa baada ya kuskia mzee kafariki
Thanks for the good music. The music will live forever. Rest easy champ.
Wadigo oyooooo
Mungu akuhifadh fundi wa mziki kila nafs itaonja mauti
Pumzika kwa aman legendary ....ili dude lilikuwa noma
Daah nyimbo zisizo weza kusahulika kamwe maishani,,tangia nikiwa mdogo hadi leo huu wimbo bado still have a heart touch"find peace legend ally😪😪
They delivered the massage as well as entertaining , so beautifully to understand , it will never be denied to those who hear , thank you for your efforts Kilimanjaros .
Wa digo tuna msiba mzito san
Rest in peace legeng
Daah jamaa kafaliki. Apumzike kwa amani
Daah💔
I've been listen this song since I was a kid.good music will live forever
Me too dude cjajua ilikua inaruka sana dtv ama wapi but you sound like my age tho
Rest in peace Waziri, ulijua kutuburudisha washabiki zako.
Mtaoangalia 2070 jueni mimi niliangalia 1.08.2024 nikiwa daslam tanzania ila mimi ni mnyamwezi wa tabora
Wale wadigo tujuane
Inna lillahi wa inna ilaiyhi rajiun
Allah akusameh makosa yako akupe qauli thabit
Nmekuja Kwa ajil ya mnyesheni
Inaalillah wainna ilaih rajioun
❤❤❤❤❤my favorite
Daah Pumzika kwa Amani fundi kwa muziki.
legend never live long, RIP waziri I like the song, African flute...
2024 nimeanza na song kama hili
Nyimbo hii nakumbuka mbali sana na mpka leo hii bado naipenda sana 2022
Old is gold beautiful song tchaweee ucherenagoooo my mother language
Which dialect is this?
@@Ed-ov4jp Digo language, spoken in Tanga, Tanzania
Sure it is an amazing song and not easy to forget
@@MyFadhili and kenya
Watu wa Maza bay hoyeeee
Allah akurehem mzee wetu
Hatutokusahau daima.
@@geraldsanga7093 ndio kabisa
Old is Gold i remember when i was a young boy
This song is still good in 2022
Wadigo mpooooo
Tupoo
2022
Innalilahi wa inailahi rajiun.
Vumba Uchirya😙🤗
Nilikua nauogopa wimbo huu nilivokuwa mdogo😂😂.has pale wakioneshwa viboko.
Tutakukumbuka daima.
Ndugu yangu masanja kambenga alikuwa kama dancer wa njenje😂😂
Pinga malimba rest well mzee waziri
2022 still my 🔥song
Good music will live forever 2024 still 🔥
R.i.p😭😭😭🙄
2024 🔥 🔥 🔥 🔥
Rip legend
Sad 😢
💎💎💎💎💎🎶🎶🎶🎶 longtime 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pumzika kwa amani
Innalilah wainnailah rajiun
2022 and I am back
I miss dem times wallah....Boko nawe undariwa....
Iremember long time
Pumzika kwa amani 😭😭😭 sidhani Kama kuna mtu atakuwa anaimba vizuri Kama wewe hatokuja kamwe
Uncle R.I.P 🙌❤️
The Legend is gone
2024 still vibe with this sounds
Acha kabisaaaaa❤❤
huyuni mtanzania mkenya maana maneno ni ya kimijikenda
Amefariki,alikuwa anaitwa waziri ally R.i.p ,na alikuwa Mtanzania halisi, lugha labda zifanane kwakuwa alikuwa mdigo na wadigo wapo tanzania na kenya pia, ila huu muziki kama namna hii wakenya mnautolea wapi bhana 😆.
Ni mdigo wa tz imagin
Mdigo wa Tanzania
Rest In Peace Legende Waziri
Innalillah wainna ilayhi rajiun
2024 am here
R.I.P
Rip😭
Innalillah Wainna Illah Rajoon
Kiboko wala wenzio
🔥
Hhhhh
2024 still banging
2024
Rest in peace
1
Boko wala wenzio boko nawe utaliwa Tu
2023❤❤
damn....
I wanna challenge the song dear
Good
R.i.p fadher
❤❤2023 gonga like ❤❤
Tanga mpoo?mambo yenu hayo
UCHERENAGHO
😂😂😂😂
2022
2024 am here