NABII MSWAHILI Part 5 - Madebe Lidai (Official Bongo Movie)
HTML-код
- Опубликовано: 15 авг 2018
- Nabii Mswahili Full Movie Part 5 (Madebe Lidai)
Watch Part 1 Here: • NABII MSWAHILI Part 1 ...
Watch Part 2 Here: • NABII MSWAHILI Part 2 ...
Watch Part 3 Here: • NABII MSWAHILI Part 3 ...
Watch Part 4 Here: • NABII MSWAHILI Part 4 ...
Watch Part 6 Here: • NABII MSWAHILI Part 6 ...
CAST: Madebe Lidai, Nasor Thomas, Alvin Caparao, Hamisi Korongo, Jamila Mahege
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
Subscribe to Africa Movies on RUclips here: bit.ly/AfrichaMoviesSubs
Bongo Movies, Tanzania Movies, African Movies, Movie, Comedy, Bongo Comedy, comedy, film #AfrichaMovies #AfrichaEntertainment #MadebeLidai
Nabii mswahili you are best of the best salamu kutoka Kenya una maneno ya hekima
mze madebei lidai nimehukubali sana maneno yako makali
Namkubali sana uyu jama
Madebe Mashallah Mungu aibariki kazi ya mikono yako you are wonderful....
😀😀😀😀wakati watalala njaaa
Atakama nimechelea Madebe mungu akubaliki sana
Jamaa anajua
Napenda kazi zako kaka
Turikuwa Oman gonga laki kwa kuangaria nabii mswahili😍
Mmmmmh
We madebe,big up sana bro
Nabii mswahili nime kukubali kaka I'm from Kenya watching from Saudia Arabia mungu abariki kazi yako bro madebe
That's great brother keep it up
Endelea kutuelimisha baba
Kazi zako zote ni nzuri. Pliz pia tunakiomba Madebe tafuta Sofia wa kanumba mcheze naye we miss sofia
Jamaa noma mung amzidishiy
Jamanieee nileteeni Wi-Fi mana naona bundles zinanikazia zataka kuninyima utamu
Safi sana broo
Hongeren rkn madebe mafumbo makal punguuza tupate kuelewana
Hii nzuri dah!
kweli kabisa madebe,ukifa uku unaumwa,utazikwa na ugonjwa wako.hahahaa uko vizuri broo 🔥👌
Hata mimi Nimependa. Broo
Nakubal 💯👍
unaakisi hali ya maisha halisi ya sasa na mazingira yetu na siyo kuvaa vichupi na kuzalilisha dada zetu wanaojizalilisha. UKO VIZURI KWENYE KAZI HII
Madebe we kweli ni bomba
Hakika
Hongera sana
Umedusua sana madebe lidai pamoja bro
Iko vizuri 🤙😛
Yani madebe kalakofi adimacozi kwambali🤣🤣🤣🤣🤣😀😀😀wallah nimeceka
Nomaaaaa
Rehema Rehema nipe location nikuletee Wi-Fi...watching from kenya mombasa gud job bro
nice
Ikosafi,kabisa
Safii budaa
Unastahili kuongeza make una ekhima sana
Ivi baada ya miaka mbili Kuendelea madebe nahisi sisi zote ni Mang'ombe haha kwaio sijui tufanyeje kwa swala hilohhehe.
Thanks for the info
Madebee....kali iyo
Uko vizuri nabiii
daaah nabii mswahili una misemo mikali aki
Sheela Ngida penda sana kazi yako madebe
Misemo mikali yenye maana thabiti
Unapendwa na wengi
Genius mwenzangu mungu akubariki
Nakuelewa bb
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mwanangu nakuelew sana ujue dah..
Ikosafi
Madebe nakukubali Sana kwa kutufunfisha
😂😂😂😂😂😂wemadebe ww mbavuzangu mie
Muvi tam
jamni madebeeeeeeeeeeeee🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰😉😉😉
Nabiiiii wewe
Nice
PW da
Kaka madebe hogera bara letu la Afrika linahitaji watu jasiri kama wewe kisha wingi maana unaithamini lugha, heshima na thamaduni za Afrika
Thanks for providing.
What is the background music played at the end of this movie?
Madebe baba Mi sisemi mengi unanikosha mndengereko wewe
Unajitahidi
uko poa
kibiliti xehem 4
😂😂😂😂
Safi sana
U ar the best
Joshuaegidiyo
Akili ya ng'ombe
Kweli nabii hapo kama usiku mwema mpaka uhakikishe je ni usiku kweli?
I.km
Mh hatereeeeee
Yav cvvbb bag s😂😂😂😂
Kazi zako zote ni nzuri. Pliz pia tunakiomba Madebe tafuta Sofia wa kanumba mcheze naye we miss sofia
I.km