PART7:PASTOR ISACK JINSI YA KUJUA KAMA NAFSI YAKO IMETEKWA KICHAWI,DALILI NA JINSI YA KUJINASUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 10

  • @collinsndenga6843
    @collinsndenga6843 Месяц назад +2

    Ujumbe mzuri ,mtiriko wa agenda apewe muda zaidi ndio tuelewe

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 Месяц назад

      Ana darasa zuri sana, natamani afungue RUclips Channel atufundishe hatua kwa hatua, somo kwa somo

  • @josephinekadesa8006
    @josephinekadesa8006 Месяц назад

    Amen 🙏

  • @judithkoku5254
    @judithkoku5254 Месяц назад

    Davistar..Je unaweza kutusaidia clip ikawa ndefu yaani dakika 45-60..Inakata pale ambapo inahitaji kupata elimu zaidi..

  • @esterabonga7947
    @esterabonga7947 Месяц назад

    Kaka davidasta uwe naandika seemu izo point anazoziacha maan mda mwingine anaweza sahau kuziongelea

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Месяц назад

    Mi naomba mtumishi ajibu ilo swali la Davista kuwa Yale maneno yanayo tamkwa huwa nana enda wapi?? Maana ulisema ikitamkwa inakuwa

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 Месяц назад

    Asante sana mchungaji jitaidi kupokea cm

  • @judithkoku5254
    @judithkoku5254 Месяц назад

    Mchungaji Isack.Je waweza kutusaidia maandiko zaidi na ufafanuzi wa maombi kuhusu nafsi..kutokana na mafundisho yako ni wengi tumeokoka .tunafunga na kuomba na kujitenga na dhambi,maombi ya toba na rehema ila ni vita na vitu haviendi

  • @joelboy3460
    @joelboy3460 Месяц назад +1

    😂

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤🎉