Mzee Abdulll lntakillah vipi. Unasokotanywele na kuvaa cheni wakati Hu no kumuombea Mungu msamaa naumriwako no wakumshukuru Mungu ulipofikia tubu tobayonaswiya mzee Kifo Akina odi tu jiandae kwa sote ucha mamboyakisela kwani hayatotusaidia kitu Duniani hata ahela fikilia kabuli fikilia wakatuwakutokaroho fikilia Azabu fikilia kiyama itakuaje Allah atuongoze kwa sote tupate mwishomwema ukumbusho tu huwo lnshaallah
Anapenda mambo mengi,huyo alikuwa fresh zamani ila starehe za Duniani zilimteka mpaka leo anapenda ujana .Huyo akiwa na uhusiano na Bi Sandra alimkuta na mimba changa uwezo wa msaada ndio ulimfanya Bibie amwandikishe jina la ubini wa huyu Bro.Lakini yule hakuwa mwanae ndio maana ndani yake anajua hilo.
Mzazi.ni.mungu wapili yule kijana anaye ji ita kama yeye ni simba laa yyle.ni paka tena kimburu ça usiku ata yaona dunuya ina mwanzo ala mwisho ni kwenye sanda
Diamond ukiangalia ile nyimbo ya nawaza umejiimba mwenyewe .kioande cha mtoto mkimlea atakuombea kilema ndie wewe huna fadhilaa . Hakuna kitu kizuri kama ihsan
Hata kama si baba yako lkn ulikula chakula chake na alikutunza ukawa kama ulivyo,mama yako asikuongopee kila mtu mpe nafasi yake upate heri duniani na ahera InshaAllah
Sijui hata nikwamn wadishi huwa munapenda sana kurudiya rudiya mambo munakaa kumuliza mambo abayo yasha pita ya kazi ngani piya mzee hawenzi kusema siwenzi kuongeleya mambo abayo yasha pita 🙄🙄🙄🙄
Ulitaka uienjoy saaa hizi uliwatunza? Mana wanaume ni wepesi kulalamika mtoto akikua akawa na mafanikio ndio wanakumbuka kama walikuwa na watoto. Kila mtoto na mama yake na wakati huo ulikuwa na fedha ndio inaonyesha kipindi hicho wakati unacho ulikuwaje.
Mtoto ana kumbukumbuku Sana hata mkigombana wazazi lakini ukitenda mema huwa wanajua . Ungetunza hata kama ungekuwa si Baba mzazi bado angekumbuka lakini anasema alikuwa anakuja na Darlene kariakoo unawafukuza kuwa mnaafikiri nimekuta mke mrithi Mali. Usinisahaulishe mzee. Sema Tu upande wa pili uko kimya hauongei mengi.
Mtangazaji vaa smart kidogo unachanganya mno mavazi...! Allah yuko pamoja nawe mzee Abdul
Wewee nawe kwani kavaa nini kwabara hapo nismart hiyo hakuna shida
Ila kweli avai vzr uyu dada kama muuza genge🤣🤣🤣
Allah akupe liziki yako mzee Abdul Allah atakupa chako zaidi insha Allah
Mzee Abdulll lntakillah vipi. Unasokotanywele na kuvaa cheni wakati Hu no kumuombea Mungu msamaa naumriwako no wakumshukuru Mungu ulipofikia tubu tobayonaswiya mzee Kifo Akina odi tu jiandae kwa sote ucha mamboyakisela kwani hayatotusaidia kitu Duniani hata ahela fikilia kabuli fikilia wakatuwakutokaroho fikilia Azabu fikilia kiyama itakuaje Allah atuongoze kwa sote tupate mwishomwema ukumbusho tu huwo lnshaallah
Shukraan kwa ujumbe mzito Dunia inatuhadaa sana
@@mamiyfeiy AFWAN
Anapenda mambo mengi,huyo alikuwa fresh zamani ila starehe za Duniani zilimteka mpaka leo anapenda ujana .Huyo akiwa na uhusiano na Bi Sandra alimkuta na mimba changa uwezo wa msaada ndio ulimfanya Bibie amwandikishe jina la ubini wa huyu Bro.Lakini yule hakuwa mwanae ndio maana ndani yake anajua hilo.
Mzee Abdul have healed the pain he was put through, he's now glowing MashaAllah. Move on wakukuoa ni Mola sio Mja InshaAllah one day you'll make it😍
Huyu ndo bake diamond kabisa wanafanana sana Tena sana Hadi matege na midomo wanafanana . Khe bi Sanura kweli una roho .
Kwa kweli damu ninzito hapa diamond arudi nyuma huyu n mondi kila kitu hata sauti jamani ila pesa itatumaliza sana
Huyu mzee kafanana Sana na diamond.
Sana
Umeona we ?
Wamemuonea Sana huyu mzee.
yani copy ya dimond alf anamkana baba kisa mama inauma sana😢😢
Mzee unataka faida wakati mtaji hukuiwendeleza looh mungu akulipe in shaa Allah
Mzee msanii huyu muone nywele zake ,sijui Enzi zake alikuwaje
Mzazi.ni.mungu wapili yule kijana anaye ji ita kama yeye ni simba laa yyle.ni paka tena kimburu ça usiku ata yaona dunuya ina mwanzo ala mwisho ni kwenye sanda
Pole sana baba kikubwa ni uhai
Hilo timbalendi lako dada mtangazaji mmmh haliko pouwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanafanana kutembea,kuongea,,jamani Diamond khaa
Mzee umri wako umeshaenda tubu achana na kusokota nywele kumbuka mda wowote na cku yeyote akhera inakuhitaji mungu atuongoze kwa sote inshaallah
Sauti , surah Diamond mtupu
Kabisaa damu ninzito kuliko maji sema pesa ndo zimefanya akataliwe
Pesa fitina sanaa
Hadi vidole vya mikono. Ila yule mtoto siyo bule wenda kapewa mashart huko ugangan
@@reginapiusi6750 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@reginapiusi6750 😂😂😂😂kabisaa
Diamond ukiangalia ile nyimbo ya nawaza umejiimba mwenyewe .kioande cha mtoto mkimlea atakuombea kilema ndie wewe huna fadhilaa . Hakuna kitu kizuri kama ihsan
Yani mnafanana balaa bora uhai baba tazizo kafara ili kataa
Wajua ata mchawi akishindwa kukuuwa ama kukuroga atakuchukia sana
mungu_atakulipa_mzee_baba yetu abdul
Kwakweli huyu Mzee kadhulumiwa Tu maana Sura sauti amefanana na huyo aliemkataa Ila dunia INA Mambo wametaka kumkataa Tu Ila ni wake
Hongera
Yani Huyu Mzee sura ya diamond tupu. diamond ww huyu ni baba yako mzazi .
DNA kirahisi atajua ukweli
Mbon mtangazaji yuko rafu hivi kaa mpaka mkitambaa kichwani
Mzee Abdul kama mzee Abdul.
mtangazaji_nimekupenda_sana
Diamond mdg wng nakuomba huyu mzee we msaidie tu hata kama umeambiwa sio babako lkn huyu ni babako pls nakuomba
Umeonaee
Hata kama si baba yako lkn ulikula chakula chake na alikutunza ukawa kama ulivyo,mama yako asikuongopee kila mtu mpe nafasi yake upate heri duniani na ahera InshaAllah
Mzee Abdul ss tunakutafutia dem y kisomali hko tayari sio wacha n
Nampenda huyu dada
Mzee sautivya daimond hatar
Na sura ya diamond
Mmmmh kuwa ww bhaanaa usiige wengine....swags muhimu lakinii uwe ww.Ushauri tuu lakini
Shogaangu ujistiri .mwez wa heshma huuu
Mzeee ana hishi magomen kumbe
Kwakweli ina umaa
Utavuna ulichopanda kwani ulijua mwanao hatokuwa hukuwekeza acha mama afurahie matunda akifanikiwa ndounasema ni mwanao
Saizi kanenepa warah
Naombeni namba ya baba Abdul
Tumemuona juzi na zubeda kasema mwanae
Sijui hata nikwamn wadishi huwa munapenda sana kurudiya rudiya mambo munakaa kumuliza mambo abayo yasha pita ya kazi ngani piya mzee hawenzi kusema siwenzi kuongeleya mambo abayo yasha pita 🙄🙄🙄🙄
Naanza kuelewa historia ya ginimbi na vaba yake😳
Ivi uyu mzee akifariki gafla diamand na mama yake yule.mcawi wenaweza kuja msibani bila haya kweli?
Mbona km anasokota Rasta hizo nywele
Mmh hata mimi nimeona hivyo kama ni hivyo nimasikitiko atakuwa kafell
Rasta na chain hapo shingoni
Rasta na chain hapo shingoni
Kwa raha zake,what makes him happy why not!
Hata mutoto wa Tanasha amechukuwa puwa ya babu yake kiukweli!!!
Ooh
Wee mzee acha kusokota nywe na kuvaa vyeni wee mkubwa bwanaaa wee
Maskini Mzee Abdul ,, anauza viatu ila saiv kashapoa machungu ya diamond
Ulitaka uienjoy saaa hizi uliwatunza? Mana wanaume ni wepesi kulalamika mtoto akikua akawa na mafanikio ndio wanakumbuka kama walikuwa na watoto. Kila mtoto na mama yake na wakati huo ulikuwa na fedha ndio inaonyesha kipindi hicho wakati unacho ulikuwaje.
Vaa kujistili mwezi mtukufu huu please
Pengine mkristo
@@pilimusa3217 ao wakiristo mwez huu wanavounyenyekea waweza tu shida sie waislam
@@khdigahk4246 🙄🙄🙄🙄 Tunaunyenyekeaje Wakati ni mfungo wa waislam? Alafu wakristo tuko kwa Resma siku 40 kaaa utulie nahuyo dada ni mwislam
Mtoto ana kumbukumbuku Sana hata mkigombana wazazi lakini ukitenda mema huwa wanajua . Ungetunza hata kama ungekuwa si Baba mzazi bado angekumbuka lakini anasema alikuwa anakuja na Darlene kariakoo unawafukuza kuwa mnaafikiri nimekuta mke mrithi Mali. Usinisahaulishe mzee. Sema Tu upande wa pili uko kimya hauongei mengi.
mzee anapend kuhojiwa huyu
Sasa alikwambia kama anapenda eeee au unamsemea
Usilalamike. Mzee. Rizika. Nikidongo. Unachopata. Usiharibu.jina. LA. Dai. Nimusanii. Mukubwa. Ukivyamaza. Utapewa. Utasaidiwa. Usiongee
Eti msani mkubwa asiharibiwe yy km Anajuwa ni mkubwa mbona asitimize basi Hadi Mzee aseme mbona Huko kwengine yuwatowa million dollars anamwaga pesa
Mond huyu ni babako mtunze unawapa watu Baki magar babako ateseka kuuza midundo,au pesa za kichawi maana misikuelewi simba
Ndo maana asha anza kupata misuko suko mond yutub wameifuta nyimbo yake imefugiwa ni laana hiyo kumtupa mzee wako
pga kerele kwa nomber moja
weuweeee
👏👏👏👏👏
Yani uyu dada hana muonekano wa kuwa mtangazaji😆anavaa very cheap
Ulikuwa unataka avae aje? Hauna akili
uyu ndo babaharisi wadiamondi
Asubuuutuu 😮😆😆
namungu_akuwe
It
.
)8