MPAKA HOME KWA MZEE ABDUL| HAYA NDO MAISHA YAKE HALISI| AELEZEA CHANZO CHA KUTOSWA| SINA TATIZO NAO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 90

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 2 года назад +9

    Mtangazaji vaa smart kidogo unachanganya mno mavazi...! Allah yuko pamoja nawe mzee Abdul

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 2 года назад

      Wewee nawe kwani kavaa nini kwabara hapo nismart hiyo hakuna shida

    • @Atb300
      @Atb300 2 года назад

      Ila kweli avai vzr uyu dada kama muuza genge🤣🤣🤣

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 года назад +11

    Allah akupe liziki yako mzee Abdul Allah atakupa chako zaidi insha Allah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +13

    Mzee Abdulll lntakillah vipi. Unasokotanywele na kuvaa cheni wakati Hu no kumuombea Mungu msamaa naumriwako no wakumshukuru Mungu ulipofikia tubu tobayonaswiya mzee Kifo Akina odi tu jiandae kwa sote ucha mamboyakisela kwani hayatotusaidia kitu Duniani hata ahela fikilia kabuli fikilia wakatuwakutokaroho fikilia Azabu fikilia kiyama itakuaje Allah atuongoze kwa sote tupate mwishomwema ukumbusho tu huwo lnshaallah

    • @mamiyfeiy
      @mamiyfeiy 2 года назад

      Shukraan kwa ujumbe mzito Dunia inatuhadaa sana

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 года назад

      @@mamiyfeiy AFWAN

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 года назад +1

      Anapenda mambo mengi,huyo alikuwa fresh zamani ila starehe za Duniani zilimteka mpaka leo anapenda ujana .Huyo akiwa na uhusiano na Bi Sandra alimkuta na mimba changa uwezo wa msaada ndio ulimfanya Bibie amwandikishe jina la ubini wa huyu Bro.Lakini yule hakuwa mwanae ndio maana ndani yake anajua hilo.

  • @mamumiyaskitchenvlogs5858
    @mamumiyaskitchenvlogs5858 2 года назад

    Mzee Abdul have healed the pain he was put through, he's now glowing MashaAllah. Move on wakukuoa ni Mola sio Mja InshaAllah one day you'll make it😍

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 2 года назад +4

    Huyu ndo bake diamond kabisa wanafanana sana Tena sana Hadi matege na midomo wanafanana . Khe bi Sanura kweli una roho .

  • @mariammwendakazungu5783
    @mariammwendakazungu5783 2 года назад +5

    Kwa kweli damu ninzito hapa diamond arudi nyuma huyu n mondi kila kitu hata sauti jamani ila pesa itatumaliza sana

  • @elizabwakila2548
    @elizabwakila2548 2 года назад +14

    Huyu mzee kafanana Sana na diamond.

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 2 года назад +3

    yani copy ya dimond alf anamkana baba kisa mama inauma sana😢😢

  • @Mamy49
    @Mamy49 2 года назад +1

    Mzee unataka faida wakati mtaji hukuiwendeleza looh mungu akulipe in shaa Allah

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 2 года назад +3

    Mzee msanii huyu muone nywele zake ,sijui Enzi zake alikuwaje

  • @innocentndikumana216
    @innocentndikumana216 2 года назад

    Mzazi.ni.mungu wapili yule kijana anaye ji ita kama yeye ni simba laa yyle.ni paka tena kimburu ça usiku ata yaona dunuya ina mwanzo ala mwisho ni kwenye sanda

  • @idayamataifakey7813
    @idayamataifakey7813 2 года назад +1

    Pole sana baba kikubwa ni uhai

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 2 года назад +1

    Hilo timbalendi lako dada mtangazaji mmmh haliko pouwa

    • @Atb300
      @Atb300 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @irenewile
    @irenewile 2 года назад +2

    Wanafanana kutembea,kuongea,,jamani Diamond khaa

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +2

    Mzee umri wako umeshaenda tubu achana na kusokota nywele kumbuka mda wowote na cku yeyote akhera inakuhitaji mungu atuongoze kwa sote inshaallah

  • @pilimusa3217
    @pilimusa3217 2 года назад +8

    Sauti , surah Diamond mtupu

  • @mamiyfeiy
    @mamiyfeiy 2 года назад +4

    Diamond ukiangalia ile nyimbo ya nawaza umejiimba mwenyewe .kioande cha mtoto mkimlea atakuombea kilema ndie wewe huna fadhilaa . Hakuna kitu kizuri kama ihsan

  • @amishambar3418
    @amishambar3418 2 года назад +1

    Yani mnafanana balaa bora uhai baba tazizo kafara ili kataa
    Wajua ata mchawi akishindwa kukuuwa ama kukuroga atakuchukia sana

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 года назад +1

    mungu_atakulipa_mzee_baba yetu abdul

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 года назад +1

    Kwakweli huyu Mzee kadhulumiwa Tu maana Sura sauti amefanana na huyo aliemkataa Ila dunia INA Mambo wametaka kumkataa Tu Ila ni wake

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 2 года назад +1

    Hongera

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 года назад +2

    Yani Huyu Mzee sura ya diamond tupu. diamond ww huyu ni baba yako mzazi .

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 2 года назад

    Mbon mtangazaji yuko rafu hivi kaa mpaka mkitambaa kichwani

  • @munirachangawa2928
    @munirachangawa2928 2 года назад

    Mzee Abdul kama mzee Abdul.

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 года назад

    mtangazaji_nimekupenda_sana

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 2 года назад +5

    Diamond mdg wng nakuomba huyu mzee we msaidie tu hata kama umeambiwa sio babako lkn huyu ni babako pls nakuomba

    • @mariammwendakazungu5783
      @mariammwendakazungu5783 2 года назад +2

      Umeonaee

    • @eshyndibalema1529
      @eshyndibalema1529 2 года назад +2

      Hata kama si baba yako lkn ulikula chakula chake na alikutunza ukawa kama ulivyo,mama yako asikuongopee kila mtu mpe nafasi yake upate heri duniani na ahera InshaAllah

  • @ahmedsule2085
    @ahmedsule2085 2 года назад

    Mzee Abdul ss tunakutafutia dem y kisomali hko tayari sio wacha n

  • @macklinakabyazi3036
    @macklinakabyazi3036 2 года назад

    Nampenda huyu dada

  • @mercykitoto4247
    @mercykitoto4247 2 года назад +4

    Mzee sautivya daimond hatar

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 года назад +2

    Mmmmh kuwa ww bhaanaa usiige wengine....swags muhimu lakinii uwe ww.Ushauri tuu lakini

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 года назад

    Shogaangu ujistiri .mwez wa heshma huuu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +3

    Mzeee ana hishi magomen kumbe

  • @innocentndikumana216
    @innocentndikumana216 2 года назад

    Kwakweli ina umaa

  • @dorahpeter6542
    @dorahpeter6542 2 года назад

    Utavuna ulichopanda kwani ulijua mwanao hatokuwa hukuwekeza acha mama afurahie matunda akifanikiwa ndounasema ni mwanao

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад

    Saizi kanenepa warah

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 2 года назад +1

    Naombeni namba ya baba Abdul

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 года назад

    Tumemuona juzi na zubeda kasema mwanae

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 года назад

    Sijui hata nikwamn wadishi huwa munapenda sana kurudiya rudiya mambo munakaa kumuliza mambo abayo yasha pita ya kazi ngani piya mzee hawenzi kusema siwenzi kuongeleya mambo abayo yasha pita 🙄🙄🙄🙄

  • @lucyheigre3125
    @lucyheigre3125 2 года назад +2

    Naanza kuelewa historia ya ginimbi na vaba yake😳

  • @innocentndikumana216
    @innocentndikumana216 2 года назад

    Ivi uyu mzee akifariki gafla diamand na mama yake yule.mcawi wenaweza kuja msibani bila haya kweli?

  • @christinatarimo6026
    @christinatarimo6026 2 года назад +5

    Mbona km anasokota Rasta hizo nywele

  • @cecilebuhoro7763
    @cecilebuhoro7763 2 года назад

    Hata mutoto wa Tanasha amechukuwa puwa ya babu yake kiukweli!!!

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +2

    Ooh

    • @mwanakhatib5825
      @mwanakhatib5825 2 года назад +1

      Wee mzee acha kusokota nywe na kuvaa vyeni wee mkubwa bwanaaa wee

  • @queenhuu2852
    @queenhuu2852 2 года назад +2

    Maskini Mzee Abdul ,, anauza viatu ila saiv kashapoa machungu ya diamond

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 года назад

    Ulitaka uienjoy saaa hizi uliwatunza? Mana wanaume ni wepesi kulalamika mtoto akikua akawa na mafanikio ndio wanakumbuka kama walikuwa na watoto. Kila mtoto na mama yake na wakati huo ulikuwa na fedha ndio inaonyesha kipindi hicho wakati unacho ulikuwaje.

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 года назад +2

    Vaa kujistili mwezi mtukufu huu please

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад +2

      Pengine mkristo

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 2 года назад +2

      @@pilimusa3217 ao wakiristo mwez huu wanavounyenyekea waweza tu shida sie waislam

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 2 года назад +3

      @@khdigahk4246 🙄🙄🙄🙄 Tunaunyenyekeaje Wakati ni mfungo wa waislam? Alafu wakristo tuko kwa Resma siku 40 kaaa utulie nahuyo dada ni mwislam

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 года назад

    Mtoto ana kumbukumbuku Sana hata mkigombana wazazi lakini ukitenda mema huwa wanajua . Ungetunza hata kama ungekuwa si Baba mzazi bado angekumbuka lakini anasema alikuwa anakuja na Darlene kariakoo unawafukuza kuwa mnaafikiri nimekuta mke mrithi Mali. Usinisahaulishe mzee. Sema Tu upande wa pili uko kimya hauongei mengi.

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 2 года назад +2

    mzee anapend kuhojiwa huyu

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 2 года назад +1

      Sasa alikwambia kama anapenda eeee au unamsemea

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 2 года назад

    Usilalamike. Mzee. Rizika. Nikidongo. Unachopata. Usiharibu.jina. LA. Dai. Nimusanii. Mukubwa. Ukivyamaza. Utapewa. Utasaidiwa. Usiongee

    • @zainabnassoro1109
      @zainabnassoro1109 2 года назад

      Eti msani mkubwa asiharibiwe yy km Anajuwa ni mkubwa mbona asitimize basi Hadi Mzee aseme mbona Huko kwengine yuwatowa million dollars anamwaga pesa

  • @elizabethachi3049
    @elizabethachi3049 2 года назад

    Mond huyu ni babako mtunze unawapa watu Baki magar babako ateseka kuuza midundo,au pesa za kichawi maana misikuelewi simba

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 2 года назад

      Ndo maana asha anza kupata misuko suko mond yutub wameifuta nyimbo yake imefugiwa ni laana hiyo kumtupa mzee wako

  • @dianafaith6623
    @dianafaith6623 2 года назад +3

    pga kerele kwa nomber moja

  • @pilimusa3217
    @pilimusa3217 2 года назад

    👏👏👏👏👏

  • @Atb300
    @Atb300 2 года назад

    Yani uyu dada hana muonekano wa kuwa mtangazaji😆anavaa very cheap

  • @maimonamaimona1177
    @maimonamaimona1177 2 года назад

    uyu ndo babaharisi wadiamondi

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid4823 2 года назад

    namungu_akuwe

  • @ahluljazira2259
    @ahluljazira2259 2 года назад

    It
    .
    )8