Mama yake Abuutwalib Mshery wa Yanga asema mwanae hamjui baba yake
HTML-код
- Опубликовано: 15 май 2024
- Mama yake Abuutwalib Mshery amebainisha kuwa mwanaye hajawahi kumuona baba yake kwa kuwa mzazi wake huyo alifariki wakati yeye akiwa na ujauzito wa Abuutwalib.
Kaka zake Abuutwalib Mshery wampa ushauri mdogo wao ya kwamba ajifunze kutoka kwa Djigui Diarra.
Dada zake nao wazungumza kuhusu mdogo wao
Timu ya #AzamTV ikiongozwa na Fatma Chikawe, imefika nyumbani kwa Mshery, Mwang’ombe jijini Tanga ikiwa ni shamrashamra za kuelekea mchezo wa nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup - Спорт
Kikubwa Allah amembariki anaupendo kutoka kwa familia yake na namuombe kwa Allah azidi kukikuza kipaji chake big up kaka👊
Vila nampenda mshery wallah kila siku namuombe Allah amzidishie baraka
Daa mwenyezimungu azidi kumjaalia msheri inshaallah kocha ampe nafasi kipaji chake kizidi kukua ila mama jamani acheni aitwe mama mlokua nao watunzeni nasisi ambao wakwetu wametangulia mbele ya haki tusichoke kuwaombea wapumzike kwa amani 😊😊😊😊
Hapo kwa Asmah! Mshery tutayajenga vizuri
Ila dadake mshery mwenye gauni la dongo jekundu mzuri kama umeshtukia ilo gonga like apa
Weeee mbayaaaa..😀😀😀
Mshery ver charming❤
Allah azidi kukubariki mdogo wangu Butwalib
😢😢kama mm tu hapa ckumuona ety alifariki nikiwa na miaka 2 jmn ila Mungu ni mwema sai niko 23yrs namuombea mama angu umri mrefu
Mama ❤❤❤❤ familia 🎉🎉🎉
Hapo kwa Max Nzengeli. The young man is good, a very good Player. Young Africans supporter from Nairobi Kenya 🇰🇪
Mzee Hamidu Mshery Allah amrehemu
mashaal mshery una dadaa mzuriii
Safi sana mwamba Abutwalib Mshery
Mungu amemleta msheri yanga
Dah mapenzi mazuri kwa mama mashallah
Abu twalibuh mshery pole Sana mdogo wangu muhim hongeza juhudi mdogo wangu umetoka mbali lkn usjl mungu atakujalia
Nimependa familia yake inavyompa moyo 🙏🙏🙏
Waoow
Nic san
Tatizo lipo kw a mama
ASALAAM WALKHUM ASMAH!!
nimejikuta nalia
Honestly 😢 Azam tv broadcast u have done better thing ... Mpaka machozi yamentok
Hiyo simu ya msher na mama imenitoa machozi nimemkumbuka mama yangu aliyeyangulia mbele za haki
rekenisheni kichwa kwamba alifariki kabla Msheri hajazaliwa, kusema mtoto hamjui baba yake ina maana nyingi sana zikiwemo zenye kumjengea picha mbaya mama.
@timcee2670 hapo kuna ajenda gani ya kuuliza hayo elewa hamjui baba,ujuwe umri wa mtu kutambua.
Mbona me nimejikuta nalia 😭😭😭
So do I 😢
Me too 😢
Me pia
Kwaiyo ata wewe mama umjui baba yake c umtajie ili amjue
Elewa uyo niwa mwisho ko mzee alifariki akiwa mdogo Sana ata mwaka bado
Ahsante kwa kumuelewesha
yeye anamjua amwabie au amuoneshe, haina afya ata kidogo kutuambia upumbavu uo
Inaonekana wewe ndio mpumbavu sasa maana umewahi kukoment bila kusikiliza kilichozungumzwa, Mama anasema Baba yake alimuacha tumboni yaani Baba alifariki akiwa hajazaliwa.
Tatizo la Afya ya akili inaongezeka bila ya jamii kujua,hili ni tatizo unatukana pasi na kuskiliza kwanza hili ni tatizo ndugu Mtanzania Mwenzangu...Mungu akujalie upate matibabu kabla hali haijakuzidia
@@evdsam7286lakin wametuchanganya mwishon Huyo alieongea wameandika jina hamidu mshery wakasem mzee ndomn wametuchanganya
Hivi huyu Mshery baba yake ni yule mchezaji aliecheza Yanga Abdallah Mshery
hapana baba yake ni mzee mmoja hivi alikuwa kiongozi wa african sports ya huku tanga kwa sasa ni marehemu jina alikuwa anatumia mwanzo mgumu
@amoursuleiman9773
39 minutes ago
hapana baba yake ni mzee mmoja hivi alikuwa kiongozi wa african sports ya huku tanga kwa sasa ni marehemu jina alikuwa anatumia mwanzo mgumu
Asante kwa Taarifa mdugu yangu amoursuleiman.