Hapa tumetafutiwa stor iendelee maan si kwa mibisu ile Sas inabidi tuone muendelezo wa jela hili finish ilikua kumkutanisha casto na mkewe pia kisura kweny fumanizi sio kuuwa bonge la wazo af umaliziaj umekua x mtamu kwa mm nilitamani kumuona casto akifumaniwa mbele ya mkewe na kisura
Shida ipo pleple kama ya ngoswe penz kitov cha uzembe 😏uanzaji mzur lakin mwisho mbovu ila yteyte na yte hongeren sana mnajituma na kaz nzur tunainjoy mungu azid kuwabless wte mkojan gang
Movie kali mno kuanziamwanzo mpaka mwisho hapo kamugisha atatoka jela ataendelea namaishayake ila familia ya castle itabakikua mayatima N.B tamaa mbaya
Zingatieni maoni yangu. Story ni nzuri sana, ila mmezingua sana mwishoni! Haikupaswa kuisha hivyo, mahusiano ya Kamugisha na jinsi alivyoyahangaikia hakupaswa kuishia Jela. Tabia za Castle hakupaswa kuishia kaburini, alipaswa kujifunza ili aache hiyo tabia. Kwa maana ya kwamba, Kamugisha alipopanga fumanizi na mpenzi wake Shuu, alitakiwa ampitie mke wa Castle ili kumuaibisha jamaa, na hiyo ingemuacha huru yeye abaki na mpenzi wake uraiani, huku ndoa ya Castle ikiishia kuvunjika. All in all mmejitahidi kufikisha ujumbe ila next time malizeni vizuri. Kati ya watazamaji wenu, kuna waandishi wa story pia, hivyo ongezeni umakini ili msikosolewe zaidi
Kamugisha umejitahid sana ila casto ilibidi akodiwe watu aliwe nyuma na asife ili iwe funzo na mke wake aje alijue ilo na aje amuache casto kwa aibu ili iwe funzo
kitu kizuri kamgisha,lkn naona huyo casto alikuwa wa kulapua makofi tu chari,bisu kama umemuonea tuuu,huyo ni kama mtoto wa mama,unamshika mtu analegea mwenyewe tu,tuletee kitu kingine kijana big up,chumvi nyingi aminia sana japo unakoleza🤣🤣🤣
Ukweli Mkojani na kundi lako mnafanya vizuri sana kwenye sanaa, hii "Yanini Mie" ni nzuri sanaa na inafunzo kubwa sana ndani yake. Ushauri wangu kwa Mkojani na kundi zima ongezeni juhudi zaidi. Kamugisha ameitendea haki nafasi yake ya muhusika mkuu, karibia wasanii woote wamefanya vizuri. Mkojani una deni letu la Episode za Uchawi Uchawi zinachelewa sanaaa. Final imeisha vizuri sanaaaaaaa, huu ndio mwisho uliokuwa unatarajiwa japo sikutarajia mauwaji.
Hongera sna mkojani kwa team yko lkini hio picha imenifunza kitu n hio song naipenda niambieni mwimbaji aitwa nani asanteni imenifunza kitu kikubwa sna
They call me bullet proof (nziki Kali) mkajani na mangengen asantii sana tumejifunza mengi sana . From Kenya you got my support everyday but saii Niko Qatar you make feel nikiwa home 🏡
HONGERENI SAANA AISE NIMEFATILIA MWANZO MPAKA HAPA MWISHO KI UKWELI MMEFANYA KAZI NZURI SAANA WATANZANIA HUWA TUNASHINDWA SAANA KUMALIZA MOVIE ILA HII IMEISHA VIZURI SAANA HONGERENI SAANA TUMEJIFUNZA SAANA
Mwambwende,kamgisha,mandondo this guy can kill me 😂😂😂nawapendanga buree team mkojani gang Star's ✨✨🌟 muniambie jina la hiy song yakumizwa n mapenz Nani kaimba
To Director of the series: I’ve been watching the series and I got to tell you, it’s been a pleasure and quiet entertaining. However, couple of points I would like to pint out. This FINAL was 20min long but we enjoyed 15 and 5min of black screen. Through out the movie, there’s a waste of times especially when someone is walking towards other people or places. Why we don’t fill in those seconds with conversation/ interactions instead of background musing only? If you decided to create something like this, you should be thinking about what to do with those downtimes . All and all , ✊ respect to all the actors . Kiswahili changu si imara ndo maana nikumia lugha geni. Thanks
Kamugiiiiiiiiiisha wewe ni nyokooooooooooo kakaaaaaaaa umetisha nakukubaliiiiiiiii ila hii move inalizaaaaa 😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 umetishaaaaaaa
Mm kiukweli umalizikaji wake sijaupenda ilitakiwa kutokana kamugisha kasha haso sana na mapenzi alitakiwa asimuue alitakiwa amfanyiw kitendo na yeye jamaa apate tabu kwenye maisha yake
Hapa tumetafutiwa stor iendelee maan si kwa mibisu ile
Sas inabidi tuone muendelezo wa jela hili finish ilikua kumkutanisha casto na mkewe pia kisura kweny fumanizi sio kuuwa bonge la wazo af umaliziaj umekua x mtamu kwa mm nilitamani kumuona casto akifumaniwa mbele ya mkewe na kisura
Daaaah sema hii movie imenitowa machozi kwakweli muko vzr
Daaa hiii stori umeniumiza Sana pia imenifuza nn maana ya mapez ubarikiwe Sana na Kila siku muendelee kutuletea madini mapyaa❤️🙏❤️
Movie imeanza vizuri lkn mwisho mbaya kamugisha angetakiwa kumleta mke w Castro amfunanie mume wake Castro n co kuuliwa kwa steering
Kweli aisee ❤
Daa hii kal cn nineangalia nyng ila hii kiupandee wng no1 good luck
Kuna story ya uyu demu aliyepigwa risasi mwanza.. Gang Gang najua mshanielewa, fanya ivo
Yo that’s was insane bro damm eti una ni chafuwa kweli brother demu ana uma kaka acha masiala basi
Tamaa mbele kifo nyuma baba mwanamke wa mtu sumu kisu kinakuhusu sasa bati nisnema ingekuwa kweli hivi watu wanasema mengine kazi nzuri inafundisha
wasabi wote mpo vizur m mangu awape nguvu zaidi
Chumvi kamtia kamugisha bangi 😂😂Sasa wacha kesto alale mahali pema peponi 🔥
Shida ipo pleple kama ya ngoswe penz kitov cha uzembe 😏uanzaji mzur lakin mwisho mbovu ila yteyte na yte hongeren sana mnajituma na kaz nzur tunainjoy mungu azid kuwabless wte mkojan gang
Asanta sana naenjoy sana hatimae finly nakubali life yako bro kaza 🙏🏿🙏🏿🙏🏿👏🤝✌️
IKOVIZULI Sana na fuzi kwavijana tunaopenda waremb wa wa2 , MAPEZ YANAUMA
Mkojani bn darueshi nakukubali sawa bro kaz konk zidi kutuletea vtu vikali kama yanini mie frank from nairobi Kenya
Movie kali mno kuanziamwanzo mpaka mwisho hapo kamugisha atatoka jela ataendelea namaishayake ila familia ya castle itabakikua mayatima N.B tamaa mbaya
Ahsanteni mko vizuri sana kazi iendelee 👏👏👏👌👌
Haya sasa...Tunasubiria Hapa Samofi na mkojani ...😅😅😅..twende kazi na Mtoto Wa Dalali
Nimecheka zezet samofi Cha ukolofi mkojani
Chumvi katoa wazo 😄😄 Castle anyolewe ndevu😂😂😂
Chumvi fala Sana kamugisha Leo ana pigwa bangi😀😀dah chumvi akili zako zilo
Tuko pamoja endeleeni kutuletea store mzur zaid mungu awasimamie katika kazi zenu mungu vizur sana 💯🙏🙏🙏
😂😂😂😂 chumvi Nyingi Acha Bangeee Eti Kisuraaa Daaaah.!
Biga up snaa kamgsha Ila chumv nying et bange😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zingatieni maoni yangu. Story ni nzuri sana, ila mmezingua sana mwishoni! Haikupaswa kuisha hivyo, mahusiano ya Kamugisha na jinsi alivyoyahangaikia hakupaswa kuishia Jela. Tabia za Castle hakupaswa kuishia kaburini, alipaswa kujifunza ili aache hiyo tabia. Kwa maana ya kwamba, Kamugisha alipopanga fumanizi na mpenzi wake Shuu, alitakiwa ampitie mke wa Castle ili kumuaibisha jamaa, na hiyo ingemuacha huru yeye abaki na mpenzi wake uraiani, huku ndoa ya Castle ikiishia kuvunjika. All in all mmejitahidi kufikisha ujumbe ila next time malizeni vizuri. Kati ya watazamaji wenu, kuna waandishi wa story pia, hivyo ongezeni umakini ili msikosolewe zaidi
Kaka naungana na wewe maana hapo mwisho inatufuza tuue tu.tukiingiwa kwenye mahusiano kitu ambacho sio sawa
Ni kweli kabisa aisee
Nimekuelewa sana
Ushauri mzuri sana huu
We mwamba unajua aiseeeeee
Kamugisha umejitahid sana ila casto ilibidi akodiwe watu aliwe nyuma na asife ili iwe funzo na mke wake aje alijue ilo na aje amuache casto kwa aibu ili iwe funzo
Mapenz ya Kisha ingiliwa na watatu nishida sana maumivu ya natupa mtu kujifunza mengi sana
Hasanteni sana team mkojani gang ⚓⚓⚓ mumefanya kazi nzuri
🤣
Thanks bro for this history....nimejifunza kitu kikubwa sana apa...Allah akupe uwezo wakuandika history nzuri zaidi 🙏🙏🙏🇰🇪🤝
Nice Move ....Nice Action And Nice Story Lakin Na Imani Hii MOVE Ingelikuwa Tamu Sana Kama MKOJANI Na SAMOFI Angelikuwepo Mngetisha SANA BIG UP
Finishing mbovu sana tofaut naulivoanzia.
Mwenyezi mungu awaongoze mutoe zaidi ya hii asante kwa somo mzuri
Daaah jmn tunatakiwa tujifunze hapo kutulia na mtu mmoja tamaa mbaya,tamaa mbele maut nyuma ndo hayo yaliyomkuta Castle
Huyu cesto anajua mpaka anakera😂😂😂😂👏🏿
Iv myinyi maon afatilii mnatumalzia mb mnazngua
Uwezi shindana na ulipo toka wanaume waeshimuni wanawake pia wanawake punguzeni tamaa
Team Kamugisha tukale kodi za watu wa uraiani kwani iko nin🏃🏃😜
Daaah kweli mitiyani hasila hasalaa
Wallahy kazi nzuri sanaa .... please endeleeni
Kwa kweli u guys u made it de movie its good en more blessing to de director good idea
Big up team mkojani aki nimejifunza sana Allah bless you All
Kamugisha n chumvi nyingi 😂😂😂👏👏👏
Heshima kwako Director Plenty Salt
Nzuri sana, nasubiri kazi mpya 🔥🔥👍
Endelrzeni kasto apone na kamugisha atoke tuone adabu ya kasto itakuwaje
kitu kizuri kamgisha,lkn naona huyo casto alikuwa wa kulapua makofi tu chari,bisu kama umemuonea tuuu,huyo ni kama mtoto wa mama,unamshika mtu analegea mwenyewe tu,tuletee kitu kingine kijana big up,chumvi nyingi aminia sana japo unakoleza🤣🤣🤣
Gonga like hapa kama umeipenda🇰🇪😘
Ukweli Mkojani na kundi lako mnafanya vizuri sana kwenye sanaa, hii "Yanini Mie" ni nzuri sanaa na inafunzo kubwa sana ndani yake.
Ushauri wangu kwa Mkojani na kundi zima ongezeni juhudi zaidi. Kamugisha ameitendea haki nafasi yake ya muhusika mkuu, karibia wasanii woote wamefanya vizuri. Mkojani una deni letu la Episode za Uchawi Uchawi zinachelewa sanaaa.
Final imeisha vizuri sanaaaaaaa, huu ndio mwisho uliokuwa unatarajiwa japo sikutarajia mauwaji.
Ila story ni nzuri sana
Naipenda filamu ya ugai gai ni nzuri sanaa na saramu zangu zimfikie bwana mambwende
Et kula bangi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 chumviiii kamugishaaaaaa umetisha sana broo
Chumvi nakubali sana bro....mlishebange
Mdunge kisu amezidi mjeuri sana 🤣🤣🤣🤣🤣nimependa hio
Hongera sna mkojani kwa team yko lkini hio picha imenifunza kitu n hio song naipenda niambieni mwimbaji aitwa nani asanteni imenifunza kitu kikubwa sna
They call me bullet proof (nziki Kali) mkajani na mangengen asantii sana tumejifunza mengi sana . From Kenya you got my support everyday but saii Niko Qatar you make feel nikiwa home 🏡
Ila siku ya kifo maiti huwa na kiburi sana
Sjapenda kamugisha alicho fanya sizon iendelee jelaa huko huko uone had madem wanavyoliwa kindez ndez🙌🙌🙌
Nakubali story inzuli sanaa jamani ishiishe
Big up sana mkojani gang
Hongeren San mkoja na team yakoo hii kazii imenifunza kitu kikubwa sana
Mkojani na Mkojani gang big up Mungu awasaidie 🔥🔥🔥
Big up Mkojani Gang 💪
Much love from 🇶🇦🇰🇪
Duuh? Story tamm tam. Ahsanten sana
HONGERENI SAANA AISE NIMEFATILIA MWANZO MPAKA HAPA MWISHO KI UKWELI MMEFANYA KAZI NZURI SAANA WATANZANIA HUWA TUNASHINDWA SAANA KUMALIZA MOVIE ILA HII IMEISHA VIZURI SAANA HONGERENI SAANA TUMEJIFUNZA SAANA
Castor Apewe Ulinzi 😀😀😀😀😀😀
Pamoja sana ndugu zanguu
Daaaah so good so creativity I like that coz I learn many thing
Ilikuwa nzr xna idea nzr keep it up mkojani gang forever
Nice kazi nzuri,
Kazi nzur Sanaa 👊🇹🇿❤️
Kamugisha umetisha sana namna iyo tia bisu tu mtu afie mbali
Bonge la movie japo nilitaman casto afurie na kisura apate ukimw wajutie alafu kamugisha apate hela nying sana afurhie maish ila nzir sana
Nice broo thank you bro for me
Ah mchezo mbovu Bora wangembaka ungeisha uzuri
Love you kamugisha thanks for updating final episode one love
Kwakweli kabisa hapo Kuna cha kujifunze natuelewe story nzur hongera zenu
Kazi nzuri sana wameji tahid sanaa
Sema huyu Mndengeleko Chumvi anajua Sana
Kumbe mndenge chumvi
Mwambwende,kamgisha,mandondo this guy can kill me 😂😂😂nawapendanga buree team mkojani gang Star's ✨✨🌟 muniambie jina la hiy song yakumizwa n mapenz Nani kaimba
HISTORY NZURY 👏👏👏👏👏👏👏👏
Yeah kamugisha nakubaliii kk new steve kn
Movie nzuri sana 🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri mkojani gang
To Director of the series:
I’ve been watching the series and I got to tell you, it’s been a pleasure and quiet entertaining. However, couple of points I would like to pint out.
This FINAL was 20min long but we enjoyed 15 and 5min of black screen.
Through out the movie, there’s a waste of times especially when someone is walking towards other people or places. Why we don’t fill in those seconds with conversation/ interactions instead of background musing only? If you decided to create something like this, you should be thinking about what to do with those downtimes .
All and all , ✊ respect to all the actors .
Kiswahili changu si imara ndo maana nikumia lugha geni. Thanks
Very true, too many gaps in the movie. I appreciate what you guys tried to deliver, but u better be more creative for your own good
Bro hamza appreciate to you ✊
If they will work out on your points in the future it will be incredible....!!! Thanks much brother
Namba ya ya Shu huyo castle kaipateje hapo pamenichanganya sana
Mkojani kakangu hii story bado sana haijaishia hapo kuna story ndefu bado inaendelea mbele
Chumvi nyingi umeharibu ona sasa baaria kaua 😆😆😆😆😂 Anyway its a good creativities keep goin 👌👌👌😊
brother kamugishe naona brother Kila siku upo kwenye ubora mxuri hongera kaka tuna enjoy na burudani zako
Mmetisha sana kitu bomba hii
hiyo nyimbo hebu tupandishie kwanza mana ipo cool sana
KENYA TUMEIPENDA MOVIE
Chumvi unamuita mwenzio kisura🤣🤣🤣🤣
Asee Kamugisha mm namkubali sna uyu jamaa yup serious sna
Yaani mmemaliza vizuri sana
Usiuwe kwa sa babu ya mwanamke
Nakubali kazi zenu
Kamugiiiiiiiiiisha wewe ni nyokooooooooooo kakaaaaaaaa umetisha nakukubaliiiiiiiii ila hii move inalizaaaaa 😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 umetishaaaaaaa
Story nzur sana big up mkojan gang
Asante sana kwa kaz nzur tumeinjoy sana
Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥
Mafunzo kibao big up bro 💪
Ahahah kamugisha mko.vzur sana mnatupa vitu vitam😋😋😋
Mm kiukweli umalizikaji wake sijaupenda ilitakiwa kutokana kamugisha kasha haso sana na mapenzi alitakiwa asimuue alitakiwa amfanyiw kitendo na yeye jamaa apate tabu kwenye maisha yake