Hivi ni nani mwingine aliyegundua kuwa kutoka episode 1 mpaka hii ya 5 dakika ya 7 sekunde ya 51 ilikuwa ni ndoto😂. Clam katupiga chenga matata season ilivyoanza na inavyokwenda hakuna mtu anayeweza kupredict😂. Sasha alivyo kufa na mwamba alipolipa kisasi nilijua anapoenda jela itakuwa mwisho lakini kumbe ndiyo chuma linaanza. Clamvevo tumpe maua yake
Kaka clam big up 🥳yaan leo nmefatiliya kwa makini 😂hii ep no 5 nmetuliza akili na masikio na macho ,,,lkn kaka mwarabu ulipokosea kusema huyu sio tahira ni rafk yake na Sasha baada ya kusema sanura 🙈nipeni like zanguu🤭💃🏼💃🏼💃🏼
Hii ilikua series tamu sana nimeifuatilia na kuwa na shauku ya lini itatoka dah kumbe ilikua ndoto big up kwako clam vevo natokea los angeles naombeni like zenu watanzania wenzangu🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Sema kaka CLAM hii episode ya 5 umetuchinja dakika 10 , just fanya kama zilizopita angalau kuanzia dakika 20. Ila umeupiga mwingi sana kaka . Proudly much to you.
Daaaaaaah jamani best friend imeisha vizuri sanaaa tuliokua tunafatilia hii series toka episode ya kwanza hadi ya mwisho tupite tukimpongeza clam🎉🎉🎉🎉❤❤❤ kwa kazi nzuri na kumuweka mbele za mungu azidi kuinuka zaidi
Eeeeeeeeeeeeeh bro for really wewe ni baharia idea ni nyingi kweli ata nyimbo inamaana yake katika episode sasa kweli wewe ni number moja, tume zani best friend inaelekeya kuisha kumbi ivi sasa njo mwanzo upya ongera kwa ndoto yako naku fanya promotion ya wa sani wote. Together we gonna do it clam vevo family 🎉🎉🎉🎉
Clam vevo you’re genius nimeweka nukta. Yaani sijawahi kuona creativity ya namna hii kwa kizazi hiki na hata kichopita. Yaani kuanzia epidode one hadi five ni ndoto apa sasa picha lina anza. Respect brother and all the directors 🙏🙏🙏🙏🙏
Jamaniii eeeeh, kama hujauelewa mwisho wa hii story tujuane kwa like.... la like zikiwa nyingi basi bwana clam aangalie namna ya mwendelezo wa story hii😢
Habari zenu wana group hangera sana clam vevo kwa movie nzuri ya best friend pia tupoeeni kwa msiba wa ndugu yetu chammi tuseme innallilah wainna ilayhi rajuun 😭😭😭😭🇴🇲🇹🇿
Huyu mwamba alitumia akiri sana hapo mwanzo alianza kama commedian lengo lake kukamata kwanza masikio ya watu yaan wawe na intention na yeye ili afanye anachokifanya sashivi ,hongera sana na pole pia kwa ajari iliotokea i lv mor clam vevo
Uyu vevo mbona katuchanganya jameni tena vya ndoto, Eeeeeeeee kumbe ndoto umetupiga chenga yahaina yote, vevo kuwa mzee kashika fiti sana. Wakati niliona kashituliwa na baba ye mwakatobe nilishituka tena sana, tena byama ndoto kumbe, vevo weeeeeeehhhhhhh Chukuwa 🎉🎉mahuwa yako kk❤❤❤
Hahahahah kuna watu hawajaskia usikute, binti wanasema anaitwa sanura ila kaka mtu kajichanganya kamwambia mama " huyu so taira ni rafkiake na sasha" na sasha mwenyew kadakia siyo rafkiangu kumaanisha mmejichangany😂
Clam hii imekaa vizuri sana!! Natamani kuona namna story itavyoconnect na maana ya hii reincarnation ya Sasha. Yes ni ndoto but I wish nijue connection na maana yake
Ni series nzuri sanaaa ila jambo dogo 2 mulifanyie kaz Kuweni makini munapoigiza ona uyo blaza anasema tena Sasha wakat ni sanura 03:34 Ongezeni umakin clavo... nakutakia kaz njema kaka
I stopped watching bongo movies because it was so easy to predict what will happen next , but this guy has finally made a very big difference and a unique way of bringing new staff. shout out to all participated and bring unpredictable . Watching u from Canada 🇨🇦🇨🇦
Tokea jirani zenu huku Kenya, naweza sema tu Clam ni chizi mkubwa na Mungu atamkumbuka ipo siku tu. Yaani katupiga chenga toka mwanzo wa kipindi hadi mwisho bila kufahamu anakoelekea😂😂😂
Please Clam vevo together with the team the episodes are really good. I always take time to learn something from your videos for the reason being please Next time we are here for it please. Congratulations all to what you are doing for your funs More Love From Kenya
Vraiment si fahamu mwisho ya ile filamu Best friend kama ulikuwa ndoto unge onesha toka mwazo lakini si furaie mwisho kabisa apana parfois il faut arranger les choses Mr Clam vevo
Wangapi tumeumia na kifo cha charming charlz. Mwenyez Mungu ampe makazi mema amen 🙏🏼🙏🏼
Aminiiiii ya rabby
Weee niache mimi bado nikiona post zake nalia wallah
Amen
😭😭😭😭
Sure
Hivi ni nani mwingine aliyegundua kuwa kutoka episode 1 mpaka hii ya 5 dakika ya 7 sekunde ya 51 ilikuwa ni ndoto😂. Clam katupiga chenga matata season ilivyoanza na inavyokwenda hakuna mtu anayeweza kupredict😂. Sasha alivyo kufa na mwamba alipolipa kisasi nilijua anapoenda jela itakuwa mwisho lakini kumbe ndiyo chuma linaanza. Clamvevo tumpe maua yake
😅
😂
Aiseee na mm ndioo nikagungua
Hat mm najiuliz kulukuw kun wanafunz
😂
Kaka clam big up 🥳yaan leo nmefatiliya kwa makini 😂hii ep no 5 nmetuliza akili na masikio na macho ,,,lkn kaka mwarabu ulipokosea kusema huyu sio tahira ni rafk yake na Sasha baada ya kusema sanura 🙈nipeni like zanguu🤭💃🏼💃🏼💃🏼
Umeona kama mm😊😊😊😊
Bahat mbayaa buana 😂😂😂 ila Huwez Jua wanamaana Yao
Pia kaka alimuita Sasha mgen wako huyu😅😅😅
Kweli nimeligundua hili
Ndio maana ikawa nindoto
Clam mkari waooooooo big up sana Bro waua sana kijana tunakupenda zaidi ya saana tuko nyuma yako❤
Mbona mbaya nzuri kidogo😢😢😂😂😊😊
Kila safari huwa na mwisho na huu ndio mwisho wa BEST FRIEND It was ameizing work
Nipeni like zangu mashabiki wa clam mimi wakwanza leo
😂😂😂😂
unastaili
ruclips.net/video/YLwdhY3Tw2Q/видео.html
Nyoko usilie😂😂🖕
Like sa nyoko sa nini tuki hangishwa hapa kila kipindi inaishia mahali papaya
Wazi Clam series ya ngumu. Aminia .🇰🇪🇺🇬imepokelewa kwa uzuri na uzito. 💪
Salute sana kwak clam unaweza chukua maua yak🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh nyieeee .... Hiii ndotooo atariii . Uyoo mtot wa mlandiz katuwezaa😁😁
Hii ilikua series tamu sana nimeifuatilia na kuwa na shauku ya lini itatoka dah kumbe ilikua ndoto big up kwako clam vevo natokea los angeles naombeni like zenu watanzania wenzangu🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Hey
Clam vevo wewe ni next level kwenye comedy. Wangapi tunakubaliana na hii 👏🏼👏🏼🙌🏼
We bwege upewe like kwa lipi kwani umecheza sini gani hapo kwenda
@@Kabeya410 🤣🤣🤣🤣 Mxiiuuuuu 🤨😏
Liliana nani anakuchokoza tumshape😂😂😂👍👍👍👍👍👍👍👍
@@SophlaJackson-nt1nc 🤣🤣 si huyo Hussein ananiambia me bwege. Afu ukiangalia ni Mtoto wa kiume Tena wakiislamu🤗🙊
@@lilianalmas5911 wamezoea safii sista langu liliana kaipata hiyo🙏🥰🥰🥰🥰👍👍👍
Kenyan tuned❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 was eagerly waiting for this wa Kwanzaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯
Pitia kwangu team Kenya
Kumbe kenyans tuko wengi huku👏👏
Respect 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯
Ila kamahuyo mama ndo sasha mwenyew
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Umenichosha kaka 🎉🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🥳🥳🥳
Sema kaka CLAM hii episode ya 5 umetuchinja dakika 10 , just fanya kama zilizopita angalau kuanzia dakika 20. Ila umeupiga mwingi sana kaka . Proudly much to you.
Umeua Sana Mzee wangu VEVO🔥🔥👑👑 REVOLUTION OF BONGO MOVIE🙌
Daaaaaaah jamani best friend imeisha vizuri sanaaa tuliokua tunafatilia hii series toka episode ya kwanza hadi ya mwisho tupite tukimpongeza clam🎉🎉🎉🎉❤❤❤ kwa kazi nzuri na kumuweka mbele za mungu azidi kuinuka zaidi
Heeeh inaishaje kifupi hivyo
Yan kila mara wanangu wananiambia baba angalia kama amesharusha Mpyaaaaa...
Real nilianzia kmfuatilia na BIG BOSS
@@samwelngilangwa1227 hiyo imeenda my wangu
@@PeterMbago-t2q ni fire
GOD BLESS YOU YOUNG MONEY ! HUU MCHEZO SITAKI NIUKOSE HATA KIDOGO NORA TU NIGOMBANE NA WAARABU RAKINI SIYO KUKOSA HAKA KAMCHEZO
Clam fara kweli😂😂😂 daaah🙌🏻…..kaka unajua balaaa 😂😂😂
Daah nmecheka kwa sauti..... Lakin huku c tulipita guys asee 🔥 🔥
Oyah we nani umenitangulia mimi hapa kwa sababu huwa kila mara mimi ndo wa kwanza 😢😢😢❤❤❤... ila kilichobaki nataka like zenu hapa...😂😂😂
Hizo hapo jmn😅😅😅😅😅
Iyo like sasa😂
@@buritya6125 ndio mbwa mimi 🤣
😂😂😂😂
@@DianaMajiji ndio mbwa mimi 🤣🤣🤣
Eeeeeeeeeeeeeh bro for really wewe ni baharia idea ni nyingi kweli ata nyimbo inamaana yake katika episode sasa kweli wewe ni number moja, tume zani best friend inaelekeya kuisha kumbi ivi sasa njo mwanzo upya ongera kwa ndoto yako naku fanya promotion ya wa sani wote.
Together we gonna do it clam vevo family 🎉🎉🎉🎉
Let me show love to this guy , amebarikiwa huyu na kipawa❤❤ much love from Kenya 🇰🇪+254
Afu clam unazingua😂😂😂😂😂😂😂 kumbe siku zote unaota,,,,,,,,,umetieha akili zako azifikii mtu yeyote kwa bongo yetu
@@YoungsHilary-xd2ml baana tunapambika huku Kenya 🇰🇪
😢namfuatilia huku Rwanda 🇷🇼😮😂😂😮😮 mwamba huyu ni mkali sana hongera kbs kuwa na motisha
Wahi wahi bwana mdogo Clam vevo we kiboko moja moja vp ndg yng ongeza basi ziwe 3❤❤❤ unatuacha namautamu kinomaaaaaaaa😊😊😊😊
Daaah..!!! umetisha mzeeh inamaana matukio yote yalikuwa ndoto
Clam vevo you’re genius nimeweka nukta. Yaani sijawahi kuona creativity ya namna hii kwa kizazi hiki na hata kichopita. Yaani kuanzia epidode one hadi five ni ndoto apa sasa picha lina anza. Respect brother and all the directors 🙏🙏🙏🙏🙏
Sio yeye mwenyewe sema yeye na team yake hizi kazi zinaushirikiano pamoja na ideas wanatoa kwa pamoja, kwenye sanaa hakuna nguvu ya peke yako
Much love❤❤ from +254🇰🇪 lakini sema Clam ume2cheza sana movie yote kumbe ndoto salute bro
Clam unajua kaka nataman nimjue anekutungia story ni clever sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimekuelewa ❤❤❤❤❤🎉🎉 nimeipenda ndoa kama imeanza nko mkao wa kula bgap sana
Jomba unatisha unatisha Sana mpaka unatisha Clamu ❤️❤️❤️❤️ unawakimbiza mbaya 2023
This is what we call extra ordinary talent you can't predict the end of movie, huge of congratulations to this Tanzanian talent
Kuna mafeelings flani vile,Pale mwamba kuonekana tahira,Baada ya yote haya....
Big love to you clam vevo
Unatisha kinoma.
Namuona Steven kanumba ndani ya clam bro big up san🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nilivyotarajia iishe na imevoisha vitu tofaut kabisaa kiufupi umetishaaaa💥💥💥💥
Jamaniii eeeeh, kama hujauelewa mwisho wa hii story tujuane kwa like.... la like zikiwa nyingi basi bwana clam aangalie namna ya mwendelezo wa story hii😢
Kwa kweli hii imezidiwa uwezo na no 4
Habari zenu wana group hangera sana clam vevo kwa movie nzuri ya best friend pia tupoeeni kwa msiba wa ndugu yetu chammi tuseme innallilah wainna ilayhi rajuun 😭😭😭😭🇴🇲🇹🇿
Innalilah wainailah rajiun 😭
Hahaahhah dah wee riziki wa oman
Umetoka kwa mkojani umekuja na huku dah haya bana
@@salimaziz9858 jaman mm comedia wte wangu
Inallilah wainallilah rajiun
Bongo movie ya kwanza kwa huu mwaka 2023 nimeikubali Sana 💯🔥🔥🔥🔥🔥🔥 msicheleweshe kutoa mwendelezo basi wakuu 🔥💯💯💯
Ushaambiwa mwisho mwendelezo gani tena unaoutaka😂
@@Johanah7721 😂😂😂 usimuumbue mwenzako sasa
Mwendelezo gani tena? 😂
Huckii imeisha😂😂
Ndo imeisha hyo,akuna ten cha mwendelezo
Uwiiii unajua mpak unajua tenaa nashukuruu ujatuacha njiani clam Bomba limeeleweka chukua maua yakoo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu mwamba alitumia akiri sana hapo mwanzo alianza kama commedian lengo lake kukamata kwanza masikio ya watu yaan wawe na intention na yeye ili afanye anachokifanya sashivi ,hongera sana na pole pia kwa ajari iliotokea i lv mor clam vevo
Wakwanza kuangalia leo ❤❤❤ clam vzur sana kwa uwepo wako kaka. Nipeni likes leo❤❤
Mimi hiii sikosi clam vevo best friend to the moon wapi love ya Clam vevo wadau ♥️♥️♥️
Waoh nilikuwa naisubili kwa ham nikiskia tuu ile nyimbo iiiii aaaaa kifungo huruu ❤❤
Yuko vzur sana huyu mwamba 🎉
Uyu vevo mbona katuchanganya jameni tena vya ndoto, Eeeeeeeee kumbe ndoto umetupiga chenga yahaina yote, vevo kuwa mzee kashika fiti sana. Wakati niliona kashituliwa na baba ye mwakatobe nilishituka tena sana, tena byama ndoto kumbe, vevo weeeeeeehhhhhhh
Chukuwa 🎉🎉mahuwa yako kk❤❤❤
Mimi Leo nimekuwa wakwanza naomba like ata mbili tu 😅😅🔥🔥🔥🔥
Kweli kabisa
Yan umakini nilioweka kwnye movie hii ilikua Zaid ya chumba Cha Mtihan umetupatia kk Ila kazi nzuri sana Allah awatie nguvu kwenye Kazi zenu🙏🙏❤️
Big up clam. Mola akupe afya na umri utafika mbali. Na usiache kumuomba mungu sana
Clam wewe umetuchezea bn ndoto😂😂😂😂😂❤ tulitaka uangaike baba
Kazi hih Huna hiweza mbona hachatu hupewe🎉 yako tu nipo Cong 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
big up tu sana ila sijatarajia itaisha hivyo tempo kidogo imeshuka ila kazi nzuri
The best actor in Africa , clam vevo is number 1
Wow💕❣️.
Clam jameni 🔥🔥🔥🔥🔥
Yafaa utunzwe kama best actor wa mwaka jameni 🤣. Hongera sana 🥰.
Kumbe toka mwanzo mwisho ilikuwa ndoto😅😅 chukuwa maua yako kaka🎉🎉🎉🎉
🤣🤣🤣clam hii ndoto yako ni kali saana🤣🤣🤣itabidi nirudi kuitazama vizuri juu hii ni kali saana
Clam mpùuzi sana...Yaani yote haya yamekuwa maoto tuu😂
😅😅😅😅😅😅
Form 3 tulivyofundishwa sana tuliambiw igizo linawez kuanzia mwanzo kwnd mwisho au Mwisho kwend mwazo ndio ichi clam kafny😂😂🎉🎉
*Best friend ni on fire 🔥 kwa kweli Clam VEVO unajua sanaaa gonga like kwa team Clam VEVO na kwangu pia ❤*
Clam ni mwamba Sana hapa amejua kuzishika akili zetu yan namkubali Sana God bless you broo clam vevo
dah mama eeee huyu jamaa ni noma alinivuruga kabisa hii kichwa 😂😂😂😂😂
Kilamutu niwa kwanza apana kwajisi hiyi movie nikali na mimi nita kuwa wa kwanza atakama niwa mwisho 😊😊 ,naomba like za watu wa mwisho 😅😂😊❤
Wakwanza kabisa like za wakenya🇰🇪 nipeni😢😢😢
Hahahahah kuna watu hawajaskia usikute, binti wanasema anaitwa sanura ila kaka mtu kajichanganya kamwambia mama " huyu so taira ni rafkiake na sasha" na sasha mwenyew kadakia siyo rafkiangu kumaanisha mmejichangany😂
Kwel aiseeeeee😂
@@ahmadshaban8863 😅😅😅
Yaani alivyo tuacha marehemu charming idea ya best friend imekosa muendelezo
Imeisha kimandazi sana.
Yaani mwanzo mzuri mwisho mmbaya
Hapa clam amenipiga chenga, hadithi ndani ya hadithi, hadithi yenye kisengere mbele 👍👍👍
The along awaited episode is finally out nipeni likes zangu Jameni kutok kenya🎉🎉
Nmeielewa sana hii
Clam hii imekaa vizuri sana!! Natamani kuona namna story itavyoconnect na maana ya hii reincarnation ya Sasha. Yes ni ndoto but I wish nijue connection na maana yake
Movie imeixhaa
No one can predict what follows in a continuation. Big up ClamVevo❤
Watching from Simiyu Tanzania🇹🇿
Oya simiyu pande zp I am from this region too
Khaaaa ndoto Tena 🤣🤣🤣🖖
Voce é um cara, tem talento enorme, criatividade magica. Acho voce é um novo Kanumba ❤❤❤❤
.mamaee clam kawanyoosha bongo movie maan wanalla kma kuku mdondo saf san tkutane sheli 😅😅😅😅😅
Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tuko tuned sana twakupenda sana clam VEVO 🎉🎉
Wa Kwanza naomba like zang team Clam Vevo
Ni series nzuri sanaaa ila jambo dogo 2 mulifanyie kaz
Kuweni makini munapoigiza ona uyo blaza anasema tena Sasha wakat ni sanura 03:34
Ongezeni umakin clavo... nakutakia kaz njema kaka
Aah babekiiiii uyu clam ni genius Jiniiiiii😂😂😂🙌
Clam wewe ni hero kama hii yote ndoto you 😂😂😂😂 basi usingizi ulikuwa mrefu sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I stopped watching bongo movies because it was so easy to predict what will happen next , but this guy has finally made a very big difference and a unique way of bringing new staff. shout out to all participated and bring unpredictable . Watching u from Canada 🇨🇦🇨🇦
Ahahahhaha he is bravo
Very true, most bongo movies are easy to predict but this guy is just, wow
Daaah clam unatisha me mwenyew huwa sipendi kucheki movies za nyumbani lkn kwako🙌🏾🙌🏾
@@nazaeljohn7143😂😅
Mimi wa Kwanza apa Kenya tafadhali wapi likes zenu
Much support from Uganda 🇺🇬 ❤️, much respect Clam 🙏 🫡
Clam unatuchanganya kaka ngoja tukupe maua yako🎉🎉🎉❤❤❤ second the great 👏👏👏👏
Tokea jirani zenu huku Kenya, naweza sema tu Clam ni chizi mkubwa na Mungu atamkumbuka ipo siku tu. Yaani katupiga chenga toka mwanzo wa kipindi hadi mwisho bila kufahamu anakoelekea😂😂😂
These guys took the industry by storm...much love. Waiting for part 6. Kindly drop them haraka haraka. From KISII,KENYA.
Ndo imeisha Mzee 😂😂😂
imeisha
Inaishaje sasa na ndo ata imeanza kunoga..daah!
This is the end
Uyu clam ni hatari naomba hapa Kenya tungekuwa na mwigizaji hodari kaa yeye,,anyway mi mkenya kutoka kakamega bro
🎉🎉 fan number one from 254🇰🇪 (kenya) it's lit 🔥🔥 guys 👏👏
Wakwanza Nipeeni like mashabiki wa clam vevo from Kenya ❤❤❤❤
Mungu akulinde clam kazi unafanya kweli❤❤❤❤🇦🇽🇦🇽🇦🇽
apa bwana clam anatupiga na anatumalzia mb ndoto tangia movie inaanza ndoto gan hyo
mbona hii filam yanichanganya walai hadi pia mie nimesaau 🤣🤣😹😂 but much love from 🇰🇪
The way clam is taking us just for granted .. can u imagine that we r just starting it we have been dreaming all those days
Aaaaaaa jamani jamani hii haiwezi kuwa mwisho , CLAM tafadhali kabisa ongeza episode ya 6 plz. Much love from ZAMBIA 🇿🇲🇿🇲❤️❤️❤️
Hahahahahaaaaa we glori umezingua
Nilikuwa nasubiri kwaamu nakukubali sana clam vevo❤❤❤❤
🤣🤣🤣 nimesahau
Uyu mwamba ni fundi wa filamu atapeperusha bendera ya tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Hii ni Episode Bora sana kwangu 🥳 nakupa Maya yako Clam🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌😅
bongo movie inazaliwa upya
Please Clam vevo together with the team the episodes are really good. I always take time to learn something from your videos for the reason being please Next time we are here for it please.
Congratulations all to what you are doing for your funs
More Love From Kenya
Likes nying kwa Vevo Clam🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
We mpuuzi nimenyoosha mikono juu kijiti Cha kanumba chukua kaka🙌🙌🙌🙌 love u broh
Vraiment si fahamu mwisho ya ile filamu Best friend kama ulikuwa ndoto unge onesha toka mwazo lakini si furaie mwisho kabisa apana parfois il faut arranger les choses Mr Clam vevo
Clam mm naomba unipe jina la iyo nyimbo tafadhali🔥🔥
Wakwanza kutoka kenya..Naombeni Likes zenu jamani for the love of Marehem wa scene 4😭😭
Usijali tupo kwaajili yko
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 unatangaza vyema sana Tanzania katika uigizaj❤
Duuùh atali kweli kona kubwa tmupe maua clamu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh hii Sasa hatar maan CYO kwa ndoto hii daah wabongo nyoso daadeck zako clam 🤣😃🤸🏃