DIAMOND KASHINDIKANA AISEE! TAZAMA ALIVYOINGIA UWANJA WA AMAANI ZANZIBAR KWENYE UZINDUZI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
HAKUNA KAMA SIMBA LA MASIMBA DANGOTE 🔥🔥🔥🙌🙌
Hakuna mwana mziki afrika mwerevu ka diamond platnumz,yaki kilasa anakuja na kitu mpya, tz guys like back 70k. Likes much love from Kenya❤
Diamond
Simbaaaaaa tunakupenda mpaka mwisho wa duniya 🦁🦁🦁🔥🔥🔥
Ikifika siku ya kiyama musimlahumu Allah atakapowatia motoni kwasababu yakumpenda kiongozi wa mashetani Tanzania. Aliyewaharibu waja wa Allah.
Omba uhai kwaza
Sasa duniya na diamond vinahusiana Nini 😅😅😅
@@khalfanFarisy😂😂😂 makasiriko punguza ndo yale mchawi ataenda peponi ila muongo ataenda motoni 😂😂itakua ww ni wakara wa shetani kabisa ulimujuaje kama ni kiongozi wa mashetani
Nikweeere man
Atae kuja kumcopare lamasima na msanii yeyote Tanzania na east Afrika nampiga makofi 😂
Kwa hapa nakubali mondi amerudi kma diamond yule namjua Akiwa na zuchu utoto mwingi tu
Halaf huyu sio msanii me naonaga lijini mana Kila cku Lina maajabu 🌟🔥
Ana copy performance ya Chris brown hana lolote l ajabu, bongo copycat tu nilijua ataleta maajabu mapya kumbe hamna kitu
@@MamuduAziz-h1z toka uko
Ka copy kweli KWA Cris brown ..na jayzzzzz aliwaipigaaa shooo nambaaa hiooo
Simba la mazombi❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
You can't compare diamond with other artists in Africa 🦁
Wara wara ni 🦁🙌🙌🙌🙌🇲🇿
Ili ndo jitu la mshoo bn wengine wote ni vikojozi
Diamond uko safiii sana
Kula chuma hichooo❤❤❤
lion of Africa🔥💪🙌. This is love ❤️ from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
Ebanaeee 🙌🏾
@@nagypromsafi Together we can 🤝💪
Congratulations Daddy, kujaza Stadi sio jambo la Kawaida
Mwamba atabaki kuwa mwamba2.
So hapo kilichofanya ASHINDIKANE NI TARUMBETA AU PIKIPIKI????
Nafikiri ndio mtaacha kumcopate simba na vinuka mkojo
We zombie ❤🎉 nakupenda mno from Burundi❤❤❤❤
Mpende anaemtii Mungu. Kisha fuata njia zake.
Iyo ni nikweli alikuwa star sana akesahau mu umba wake
Ebanaeee 🙌🏾🔥🔥 apa kuna kitu 💣🎶💨
Kama upo pamoja na simba like
Tunakubari Sana
Hawamuwezi kweli diamond ni Jabali...
Huyu mwenzetu origin yake ni Congo DR 🇨🇩 tumesha tambuwa. Ndo mana kapenya kiukweli
SIMBAAAA🔥🔥🔥🔥
Usijekusahau uko kwa mkataba na wazee wa ziwani..na ujue utaenda kutumikia hao wazee mwishowe..yaani freemason watakuinua mpaka mwisho lakini maangano lazima utalipa peke yako
Akipayuka asipqyuke ndo mola kashamjaliyq nyota yake kupaa mnaoumiya muumiye tu
Simba la masimba dangoteeee ❤❤❤❤
Kaka kaka ambaye atakutana na wewe ambaye kaka pia nataka unisaidie tu producer
Bro simba kashindikana Adi alikiba kupenda😂 maunyama yake na mwijaku wanapenda maunyama ya mkubwa simba wasanii wote wahapa kwa diamond platnumz awatoboya adi kondeboy ka post kwenye statas yake ana kubali maunyama😅😂 ya mkubwa simba mondi lama zombo ❤❤❤❤❤love from U.S.A🇱🇷🇱🇷
nakupenda Sana sema basi2
Uyu Jamaa Ndio Anasaidia Wasanii Wetu Kutazamwa Bila Yeye Wasanii Wetu Chali Wasanii Wa Kisasa Tutaludi Kwa Wasanii Wetu Wa Zamani
Huyu no mtanzAnia kwel duh unatuwakilisha Sana unaitumia nafas vizur
Haya mmb ndo tulitegemea kuyaona pale Benjamin mkapa 😢😢
Yaan simba anajaza kuliko yeyote nchini ht kampeni za viongoz bado
Hukuna Kama Simba , kama kunae anajiamini , kapeane mkono kwake washindane , Simba ni simba
Mpiga picha tizi lilimhusu😂😂😅
mbona hizi mambo alianza nazo yoooo!!!!
Namupend rakin nyimbo Zazaman ndotam kuzidia iz
Ameshindikana jama mwendo tuu
Hana wengina kama simba kiukwe❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Raha sana,Simba anafahamu kaziake kwakweli
Kashindikana kweli
Uongo baba Tanzania Hakuna pesa.
Mi ni Autriche the power from drc goma.
Simba la msimba dangote😂❤😢😅
V🔥🔥🔥❤❤❤
Ok mmepiga kazi
Eu sou muito fã desse cara simbaaaaaaaaaa🔥🔥✈✈
Huyujamaa atakja kuuwa watu
Aende zake uko Hana jpy
Daah maisha ni kupambana sio kupambaniwa
Hakuna km uyu mtu mondi ni motoooooooooo
Fire kali
We zombi
Ww watishamwanangu
Hapatakuja kutokea kma diamond tena afrika
We mondi haujui
Wasaf
Hsaa❤❤❤
Kaingia kifalme
Joooo kawaida yake
Hukuna kama wewe
wafus kama ote afu kamand kam chuma
La masimba hakuna wa kufanana nae❤❤❤
Alafu kna ling'ombe linakurupuka huko linamfananisha Simba na makobe ya hovyo hovyo!!
Nitakuja nimlime mtu mtama wa Adamu Mchomvu.
Aise uyo ndo Simba
Mh"makubwa"
very impressive
Dah jamaa kashindikan
Simba 1
Wacha🤗🤗
WE ZOMBIEEE❤❤❤❤
Camera man 😂😂😂😂
namsikilia huruma cameraman, wange mpa ata na yeye ki honda🤣
😂😂😂😂
Waooooo ila wenye roho kubwa watapinga na hapa wapo😂
😊
maskini mchukuwa kamera na yeye si angekuwa na kihonda na yeye 😅😅😅
Kuwatesa maceraman tu
Bsr
Yani ilo ndosimba
❤❤❤q
Vlp
Asake wa Tantale❤❤
Mmmmm
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Simbaaaaaaaa🤣
Nomaaa San
❤❤❤p
ol
.
Huenda nikwer Kama wamefanya hivo wamekosea Sana na watalaniwa na mungu kuhalibu yota ya huyo mtoto anatafutia family yake wao walishapata pesa kwnn lakn mond lakn afu wakwenu mnatabia mbaya Kama kunaukwer mungu awalan nyinyi na kizaz chenu
Mwambien wakaida sana u see like michael jackson chrixx brown
❤❤❤❤i love you❤❤❤❤😊😊my favourite artist EA
We zombie haujui
Simbaaaa
❤❤❤❤🏆🏆🏆
Simbaaa
sasa mbona mziki una kwama kwama???......
shida ni umeme? au shida ni DJ??.....
Najua mtasema anatumbuiza, lakini hapo ni chenga kabisa....!
❤❤❤❤❤❤❤
Vkatana
Upo money 1:38
Aisee nime kuba wewe ni mshinde 2023-2024
🔥🔥🔥
Is number onnne Simba dangote