KOMASAVA YA DIAMOND YAMFIKIA DJ KHALID MAREKANI SIMBA NDIO KIBOKO YAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #mrpimbi #diamond #komasava #jasonderulo #video #trendingmusic

Комментарии • 180

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf Месяц назад +23

    Pimbi nae ameingia kwenye mfumo mamae kweli mond ni jin🎉🎉🎉🎉

    • @LilianJoseph-k2e
      @LilianJoseph-k2e Месяц назад

      Ishu sio mondi jini matusi ya wabongo ni meng amtaki mondi kila mtu kutoa mtizamo wake hata yule Armando wa bongo five pindi mondi alipoilaumu ile media kwanzia hapo wakawa na wao machawa kazi kuleta mapungufu ya harmonize tu ila ya mondi hayaleti.

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m Месяц назад +14

    Pimbi ana mupenda sana diamond ile iko konde Gang ki kazi tu ju ya mupunga
    Mais musi saau kama ule muvuta banga ali wayi kumupiga mr pimbi pale awali

  • @marlodemarlove9281
    @marlodemarlove9281 Месяц назад +8

    Tangu uwaze kuongea leo hii do umeongea sasa ❤wcb🔥

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo Месяц назад +25

    Pimbi kaingia kwenye mfumo

  • @raimundovictorinoambrosio3052
    @raimundovictorinoambrosio3052 Месяц назад +4

    Sr. Pimbi falou muito bonito, parabéns pelas sábias palavras. De facto como está é fogo. Moto kabisa

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 Месяц назад +38

    Pimbi akiwa hajavuta bangi anakua poa sana😊

  • @emanueljimwage3567
    @emanueljimwage3567 Месяц назад +7

    Wewe na mwijaku hamueleweki sijui ninjaa

  • @alibinali_
    @alibinali_ Месяц назад +16

    Leo Mr Pimbi amechanganyikiwa na yule mzee musoma huko wapi 😅😂😂😂😂

  • @barakantemi2721
    @barakantemi2721 Месяц назад +20

    Kimeingia kwenye Mfumo 😅😂😂

    • @MagveteBeton
      @MagveteBeton Месяц назад +1

      kimejieneza kweny mfumo kwel 😂😂😂😂😢😢

  • @SaideIdrissa
    @SaideIdrissa Месяц назад +7

    Diamond platinum 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 Месяц назад +36

    Skuiz kinajichanganya kimeingia kwny mfumo 😂😂😂

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 Месяц назад +14

    Daimond platinum Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿

  • @ArmandoShabaniamuri
    @ArmandoShabaniamuri Месяц назад +1

    Diamond plantumz komasava in DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv7030 Месяц назад +4

    ROBBY AWESOME WAS HERE ❤❤❤

  • @Young_boys24609
    @Young_boys24609 24 дня назад +1

    Very good 👍

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi Месяц назад +2

    Pimbi umekubali🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-yd3me5rr2z
    @user-yd3me5rr2z Месяц назад +9

    Mr pimbi sijaamini na maneno unayoongea😂😂 bado yule mchawi dingano nae twamngojea maana mr pimbi kashafika😅

  • @user-nj8pb4bz4j
    @user-nj8pb4bz4j Месяц назад +2

    Das ist richtig

  • @ImaniMsafi
    @ImaniMsafi Месяц назад +2

    Skuizi Mr pimbi ananyoosha karura

  • @lucksonrupa3618
    @lucksonrupa3618 Месяц назад +1

    Kweli kabisaa umeongea pont

  • @GabbyRomnize
    @GabbyRomnize Месяц назад +2

    Karibun wizz b . Tunajuwa Huna msimamo murete meneja dingano😅😅😅

  • @user-iy3uz5tc9b
    @user-iy3uz5tc9b Месяц назад +2

    Hakika 😊

  • @brotherIdi-rp4tx
    @brotherIdi-rp4tx Месяц назад +1

    Mr.pimbi umeongea vyema sana kwashauri ya wasani

  • @pro-edudaladala3428
    @pro-edudaladala3428 Месяц назад +2

    Fact ni fact baba

  • @godymastermind9534
    @godymastermind9534 Месяц назад +10

    Kumbe kuna mda Pimbi hua ana akili😂

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 Месяц назад +13

    Nimeamini pimbi umeanza kulefuka

  • @KasichanaKaingu-wx7kr
    @KasichanaKaingu-wx7kr Месяц назад +5

    leo pimbi amekomaa bdo mwijaku n dingano xx

  • @CamweziKarrashnekov
    @CamweziKarrashnekov Месяц назад

    First song in the world is KOMASAVA , kuangusha komasava haiwezekani. Izo singo egeni zenu peleka chitoholi

  • @juliusmachaku
    @juliusmachaku Месяц назад +2

    Pa1

  • @jabirshomar8247
    @jabirshomar8247 Месяц назад +3

    Bado hajasemaaa...!!!

  • @TarikymbaroukAkida
    @TarikymbaroukAkida Месяц назад +2

    🔥✌🏾

  • @shabanimohamedi9533
    @shabanimohamedi9533 Месяц назад +3

    Hiv leo anakubal moments za #simba duh, mond jini

  • @AmericainWashington
    @AmericainWashington Месяц назад +2

    Ameongea vizuri Leo naku nyosha musemo 🇨🇩

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho Месяц назад +5

    Hahahaaaaa,,pimbi nmekukubali kwa kuwa kunawakati unakubali kushindwa

  • @LuckyboyOg
    @LuckyboyOg Месяц назад +4

    Kumbee ukiwa hujavuta bangii unakuwa mkweri

  • @DozenKizzyElias
    @DozenKizzyElias 12 дней назад

    Umekubali sasa

  • @HawaSimai
    @HawaSimai Месяц назад +3

    Daah yani hili pimbi kweli yaani yupo huku na huku 😢😢😢😢😢😢

  • @AimeTongoto
    @AimeTongoto Месяц назад +5

    Chris Brown

  • @allymombo1392
    @allymombo1392 Месяц назад

    Pimbi leo nimekukubali umeongea ukweli mungu akubariki

  • @ibraimoselemane17ibraimo29
    @ibraimoselemane17ibraimo29 Месяц назад +3

    Komasava nikiboko nimekubali leo kidogo ameongeya facti

  • @RenzoJofre-my9lz
    @RenzoJofre-my9lz Месяц назад +1

    Nikwel 🎉

  • @MomadeabdulAbdul-i3w
    @MomadeabdulAbdul-i3w Месяц назад +2

    Kuma mnafiki mkubua

  • @frankluhu5322
    @frankluhu5322 Месяц назад +3

    yaani single again ikasumbue komasava😅😅😅😅

  • @CostaKyungu-uj7nf
    @CostaKyungu-uj7nf Месяц назад

    Je suis au Congo Kinshasa, wewe uko kigehugehu

  • @Jerusalem119
    @Jerusalem119 Месяц назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣bureeeeeeeeekiiiiiiii from tktok

  • @saidihamad-fj7bk
    @saidihamad-fj7bk Месяц назад

    That is what I need

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 Месяц назад +6

    Ukianza kuongea hiv ujuwe kabisa kila mtu atakusifu na atakupenda lakini kama ukiwa unamsifu yule hamonarz mvuta bangi nawewe tutakuona mvuta bangi na tutakutukana kila siku ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NguzaPlatnumz-jf4sc
    @NguzaPlatnumz-jf4sc Месяц назад +1

    Mr pimbi kwani wew niatar san 😅😅

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Месяц назад

    B level baaa yuko pazuriii

  • @GustaveBeana
    @GustaveBeana Месяц назад +3

    Toka uzaliwe leo ndo umeingeya ya maana

  • @paizinhosaide-cv9pm
    @paizinhosaide-cv9pm Месяц назад

    Komassava❤❤❤❤

  • @IssaTayari
    @IssaTayari Месяц назад +5

    Ukiwa unafanya ivo tutakufatilia. Au ptv ndo wanakuleteaga ochoko

  • @AbdallahSalum_dullayo
    @AbdallahSalum_dullayo Месяц назад +2

    Pimbi km pimbi kajaaaa😂😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Месяц назад +3

    Broh pimbi upo makin
    Kinomaa yan unaeleza
    Ukweri uliopo kwnye moyo
    Wako paspo na chuki yoyote

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Месяц назад +3

    Kipimbi kimeona moja haikai mbili haikaii kamerudi kajibwa flan

  • @JoelsonDarabiamanuel
    @JoelsonDarabiamanuel Месяц назад +4

    Mimi siamimi pimbii kunogea na komasava

  • @Vescaphilip
    @Vescaphilip Месяц назад +2

    Leo mpaka pimbi😂😂😂😂

  • @DooOsang
    @DooOsang 18 дней назад

    The fact❤

  • @DaddyIssa-x9q
    @DaddyIssa-x9q Месяц назад

    Kumbe uwaga wenimkweli tnx bro pimbi😂😂😂❤❤❤❤

  • @RichardDaudimbogo
    @RichardDaudimbogo Месяц назад +2

    Kimeingia kwenye mfumooo hakinaakilisanaaa

  • @user-ft5es2jq5y
    @user-ft5es2jq5y Месяц назад +2

    Leo jamaa😂😂 mpunga mpaka mate kwa diamond umeingia kwenye k18😂😂😂

  • @ngunjasngunja1811
    @ngunjasngunja1811 Месяц назад +2

    Pimbi nilikwambia subiri leo umekaa kwenye mfumo acha tuwashone kudadeki

  • @MuvuyaKav
    @MuvuyaKav Месяц назад +2

    CV umeongeya ukwili

  • @AntishowMkNk
    @AntishowMkNk Месяц назад +3

    Pimbi sema tuh ukweli unamkubali uyo njo Simba aujuwi😅😅😅😅😅

  • @kibibisafi3331
    @kibibisafi3331 Месяц назад

    Mzee wa FACT ameacha TUMBAKU😂😂😂😂❤

  • @sadikiballack1631
    @sadikiballack1631 21 день назад

    Pimpi fresh unaonyesh u fact wako

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 Месяц назад +4

    Mfumo 😂😂😂😂😂😂

  • @haidaryhabibu1394
    @haidaryhabibu1394 28 дней назад

    Pimbi wew bangi sana mwanangu Acha bangi bangi mbaya ndio maana serekari inakataza mshenzi ww

  • @PalukuMakasi-d6l
    @PalukuMakasi-d6l Месяц назад

    Yes but dont forget harmonie is Fest,hi now vert the musique

  • @user-gr9kx8hz6t
    @user-gr9kx8hz6t Месяц назад

    Kime kubali

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140 Месяц назад +2

    Leo pimbi kalewa pombe za kienyeji.

  • @user-uh6cg7ey9k
    @user-uh6cg7ey9k Месяц назад

    😊😊

  • @TangaMashewa-qe8kk
    @TangaMashewa-qe8kk Месяц назад +2

    NIKWASABABU AKIMPONDA DIAMOND HANA WATAZAMAJI WENGI

  • @user-ue8rz3om4h
    @user-ue8rz3om4h Месяц назад +1

    Sasa naona umeaza kuwa kama mtu akona akili zake ....kumpiga mondy ni kama mtu ajielewi .... at least umeboga kitu ya maana

  • @mimibusarachibu
    @mimibusarachibu Месяц назад +1

    KILA kitu ulichosema Kiko sawa ila kusema eti Harmonize kumchallenge Mondy, ni Ndoto ya kipuzi sana;mtakubali tu na mnyooke,hakuna mtu hii TZ aliye na uwezo wa kumchallenge Mondy Hadi astaafu muziki

  • @zephaniazacharia519
    @zephaniazacharia519 Месяц назад +5

    Leo umeamua kuongea ukwel

  • @JosephTristan-n1u
    @JosephTristan-n1u Месяц назад +2

    We pumbavu unapinga vibaya

  • @brotherIdi-rp4tx
    @brotherIdi-rp4tx Месяц назад +1

    Leo pimbi amekubali

  • @ChadrackOloolo
    @ChadrackOloolo Месяц назад +6

    Nipeni likes apo

  • @MaliamZakayo
    @MaliamZakayo Месяц назад

    😂😂😂😂 sana pimbi

  • @mwarabuofficial5241
    @mwarabuofficial5241 Месяц назад +2

    Muacheni pimbi aende kwa mkewe bwana! Sema wakina dada mnahuruma sana..😂

  • @user-ly3du6ox5l
    @user-ly3du6ox5l Месяц назад +3

    Kuani ki mé tokea nini na pimpi au ni muenda wazimu au á menguia kwenhe mfumo?🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @user-ig2fm8pj1z
    @user-ig2fm8pj1z Месяц назад +4

    Ww hauna fact yyte ww ni chawa tu Tena chawa ww ni muoga

  • @KipimoEsdrasbenjaboy
    @KipimoEsdrasbenjaboy Месяц назад

    Nakupenda kwahili sio ukiendelea hivi nitakusapost

  • @JohnBaleke
    @JohnBaleke Месяц назад

    huyu jamaaa mamae zake kabisa leo hii ndo amekubali jinga sana hili

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 Месяц назад +2

    Hichi ki MTU kisenge sanaaa

  • @CamweziKarrashnekov
    @CamweziKarrashnekov Месяц назад

    Iyo single again imeenda duniya gani pimbi ww !!! Kinyumbo kilizungukiya hapo hapo kwenu kweny vikundi vya wapumbavu kisha mntatarika kama kuku wakutaga. KOMASAVA hta mkiroga je hamtaweza

  • @abdulmsuya8542
    @abdulmsuya8542 Месяц назад +1

    😂😂😂 pimbi sasa umeingia kwenye mfumo, 😮😮😮 ulikua unajifanya kama humuoni diamond!!!! Bado mwijaku kaweka masikio pamba!!!!

  • @user-tw3jc4zz3m
    @user-tw3jc4zz3m Месяц назад +3

    Atakubari nabado kilasiku anamponda sana mond😂😂😂
    Utasema nabado😅😅😂

  • @JamesMwakyonde-mc7ed
    @JamesMwakyonde-mc7ed Месяц назад +1

    Lazm aingie kwenye mfumo mna diamond ni jini inkuja colabo na chrisbrown lzm nae aje akubl mzk pumbvu

  • @EspoirSimbi-ph1go
    @EspoirSimbi-ph1go Месяц назад

    kameanza kujielewa😂😂

  • @user-pk9oy5hw4d
    @user-pk9oy5hw4d Месяц назад

    mwenye sifa mpesifa bwana

  • @Tupake
    @Tupake Месяц назад

    Tagu uliaziyaka kusema leo do umeogeya neno sasa

  • @JoanKipchumba-r6t
    @JoanKipchumba-r6t Месяц назад

    Njaa imemleta

  • @WilondjaCesar-c1d
    @WilondjaCesar-c1d Месяц назад

    Kwakweli naamini Mr pimbi uko mukweli 😀😀😀🙏🙏Auna mnafiki nilikua na subiria commenti Yako👍👍👍👊👊

  • @LayimuBody-n5h
    @LayimuBody-n5h Месяц назад

    100

  • @user-ji5pb8ro4r
    @user-ji5pb8ro4r Месяц назад

    Jifunze na wewe mond ni mond tuuu by mayoka the great

  • @mahamoudmroivili16
    @mahamoudmroivili16 Месяц назад

    Yupo kwenye mfumo

  • @PaulPogba-wo7mt
    @PaulPogba-wo7mt Месяц назад

    😂😂😂😂 haujuwi

  • @KevindebruyneRubayimisi
    @KevindebruyneRubayimisi Месяц назад +2

    Pimbi tangu uanze kufanya interview imekua mala ya kwanza kuongea ukweli