WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ANAYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHUKULIA MKOPO BENKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 13

  • @afraeliazaelayo
    @afraeliazaelayo 3 месяца назад +2

    Mh. Waziri J. Slaa.Mungu Azidi kukutangulia kuwasaidia watu wa Mungu waliyodhulumika haki zao Nchini kwetu. Hakika Serikali yetu Inavyoendelea kutenda haki, Mungu Atatuepusha na mabaya yote,na Ustawi wa kweli Nchini kwetu Utakuwepo milele. Msaidie Rais wetu kazi kwa ushirikiano na wote wenye nia njema na Nchi yetu na Mungu Awabariki sana.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 3 месяца назад +2

    Mashallah Mkuu Allahu Akuhifadhi wewe na Family yako❤❤❤❤

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 3 месяца назад +1

    Mama mzembe unamwaminije binadam .

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 месяца назад

    Mmmmh hali ni tete,ivi hii inatokeaje jamani??kwani afisa wa benki huwa hawafuatilii vizuri haya mambo?

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 3 месяца назад +1

    Duh mtihani huu pole mamy

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 3 месяца назад

    Kwanin ulitaka kubadili?

  • @LEHALEI-w8f
    @LEHALEI-w8f 3 месяца назад +1

    Mungu akutangulie kwa kila hatuwa brother silah

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 месяца назад

    Daah aisee watu wana roho mbaya sana😢

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 3 месяца назад +1

    Nyumba haiuzwi ndani ya uongozi huu

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 3 месяца назад +1

    Bank huwa ni rushwa tupu

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 3 месяца назад +1

    Huyu mama mpumbavu kwelii yaan unampa mtu hati eti sabab ni rafiki wa familia😅uliempa hati ndo ameikopea sasa,yan kiukweli io nyumba itauzwa ukilega lega .

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 3 месяца назад

    Jelly uko safi siyo yule mwanamke anaetetea walanguzi bungeni na kusimamixha wenzie😅

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic 3 месяца назад

    Silaa unafanya kazi kwa kutumia hakili kubwa sana hakika mungu akulide maana nimependa unavyo ogea na maswali