Unaweza ukawa umesoma sana ukazidiwa na ambae hajasoma ukimwona mwijaku utajua hamna kitu kichwani Kwa sababu Mr kp ni mtu mmoja2 mstaarabu sana maisha haya yanaitaji kumueshimu Kila mtu na hekima na busara ni siraha tosha Bora at baba levo cio uyo chachandu mwekeni ndani azid kuwa kama mkaa awe na simile na watu cio Kila anaemuona ni boya kama yy kakutana mwamba kp
Mwijaku AISE umeyatimba kaka punguza sifa zako mwisho utakuwa mubaya shauli yako hivi familiya yako watoto wako watabeba nn kutoka kwako au watajifunza nn kwako punguza kulopoka
Masudi asante sana, kijana hana adabu kabisa na pesa zinapatikana kwa urahis... inampa nguvu sana kudhalilisha. masudi is so smart' na mwelewa sana. Kijana amekua too much.!
tuko pamoja baba kp. tumnyooshe uyo kinega. mfute kabisa kwenye ramani ya ulimwengu tusijue kabisa kama kuliwai kutokea kijusi kinaitwa mwinyaku. mmyeeeeee
Mwijaku amezidi kuropoka ropoka yan utadhani sio mwanaume.)))Kwa maua sama ulifanya uropokaji ambao baadae ukakucost ukaomba radhi yakaisha saivi tena kwa masudi duuhh ujifunzi wewe ushughulikiwe Asa kwa mujibu wa sheria
Kwani Kipanya aliongea kitu gani kibaya kuhusu Mwijaku mbaka Mwijaku kumsema maneno mabaya kiasi kile? Mbona kp aliongea maneno mazuri tu 😢😢😢 imenisikitisha sana aisee
lisemalo lipo nakama alipo basi linakuja inaweza kua kweli au uwongo sisi atujui ila labda ana ushaidi maana mpaka mtu mzima afikie kusema ivyo maana yake anajua alicho kisema awezi sema maneno kama hayo bila kujua ukweli
Ukiweza kuthibitisha Mahakamani kuwa maneno ya udhalilishaji yamekupa hasara ya kifedha ukiachilia mbali athari zingine, bila shaka Mahakama itatoa hukumu kuwa umedhalilishwa na hatimaye utapata fidia. Hivyo Mwijaku ajiandae kufilisiwa.
Kipanya usichukulie poa. Issue alizoziongea ni hatarishi au dangerous kwa Taifa. Inatakiwa atiwe adabu kama Siprian Msiba alivyotiwa adabu na Membe kwa kuropoka yasiyofaa. Asicheze na Maisha ya watu. Imeniuma sana kwa Ally Masudi kupoteza deal mbalimbali.
Tunapokuwa katika taasisi moja si kigezo cha wewe kunishushia heshma. Funzo tuheshimu kila mtu kwa nafasi yake na hata mawazo yake ilhali tu aliyoyatoa hayakuathiri, KP nampa hongera kwa hatua hii na naendelea kujifunza mengi kupitia yeye.
AKIIJIBU HIYO BARUA HASA HAYO MASWALI YALIVYOTEGWA,NA AKAKIRI NI UZUSHI,BAASI HAPO UCHUNGUZI NA UPELELEZI HAUTACHUKUA MUDA,HUYU JAMAAA ANGEPASWA HATA VYOMBO VYA USALAMA,VINGESHAANZA NAYE KULIKO WALE WANAOZUIA MAANDAMANO YAKINA LISSU , MWABUKUSI NA KINA ASKOFU MWANAMAPINDUZI.
KAMA UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona kama hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu. Sasa kama unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0784161431 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.
Unaweza ukawa umesoma sana ukazidiwa na ambae hajasoma ukimwona mwijaku utajua hamna kitu kichwani Kwa sababu Mr kp ni mtu mmoja2 mstaarabu sana maisha haya yanaitaji kumueshimu Kila mtu na hekima na busara ni siraha tosha Bora at baba levo cio uyo chachandu mwekeni ndani azid kuwa kama mkaa awe na simile na watu cio Kila anaemuona ni boya kama yy kakutana mwamba kp
Nimeipenda hii iwe fundisho kwa wengine kuropoka ropoka
Mimi Ndo maana nampendaga BabaLevo…yeye ukimsema jibu lake ni “KWANI KUNASHIDA GANI!!?”🤣🤣🤣
Whozu ft mbosso and billnas
Song; AMEYATIMBA
😂😂😂
😂😂😂
Mwijaku anamiliki nyumba ya bilioni 1.5 itabidi mwijaku amwachie nyumba masudi kipanya😅😅😅😅
Safi sana
Peleka jela hilo kubwa jinga
Anapenda sn sifa,alianz kumchokonoa tajiri Mo,mamae zake alipe tu.Kubwa jinga linapenda sn sifa maku uyu
Mwijaku ana msema sana dotto magari pia, Baba.
Daaah bilion5😂😂😂😂
Ivi lisu atalipa ngapi kwa rais?
Kweli bong mpo vizuli kwa kujiongeza 😂😂😂😂😂
Mwijaku amezoea kuropoka anajifanya kila kitu anajua 😂😂
Mwijaku wenu huyu nilisha sema njaa ndiyo tatizo na kujipendekeza ili aonekane anajua mimi uwa simpendi
Amezoea kumtukana Mondi anakaa kimya! Alijua atawachafua wote! Domo linaponzaga kichwa!😂😂😂
Hapa mwijaku lazima ulipe pakubwa ata kama wakikuonea huruma utatoa hela nying snaa kaka
Iwe fundisho kwa mwijaku
Hapa mwijaku kayatimba
Kumanina zake ameyatimba mwijaku
duuh kaz kweli kweli
Mwijaku AISE umeyatimba kaka punguza sifa zako mwisho utakuwa mubaya shauli yako hivi familiya yako watoto wako watabeba nn kutoka kwako au watajifunza nn kwako punguza kulopoka
Masudi asante sana, kijana hana adabu kabisa na pesa zinapatikana kwa urahis... inampa nguvu sana kudhalilisha. masudi is so smart' na mwelewa sana.
Kijana amekua too much.!
Yaani Masoud sema chochote nitakupa! Kwa hili umenifurahisha, kumbe ndio maana limekimbilia kuomba msamaha, mtie adabu huyu pimbi
Huyu mwijaku anatia aibu nchi yetu yaan anabwata sheria ichukue mkondo wake iwe funzo
Mtaka kutajirika mamae zenu😊😊
Mungu ame mlipa hadija kopa alimzalilisha sana huyu mama 🙏
Tatzo amezoe sana uchawa alikuwa anatafta sifa serekalini
tuko pamoja baba kp. tumnyooshe uyo kinega. mfute kabisa kwenye ramani ya ulimwengu tusijue kabisa kama kuliwai kutokea kijusi kinaitwa mwinyaku. mmyeeeeee
Tunaosema wakili anaenda mbele na kurudi nyumaa huku akijichanganya like za kutosha hapa
uyo mwijaku mwongo m naimani amezidisha ujuaji ila najua ata yeye alop anajutia
Acha kuatarisha Mwijako pesa hana yeye njo wakwanza kukosewa acha mitisho TZ inchi ya sheriya
Mwijaku ame zidi shenzi sana huyo
Nitashangaa kesi ikiishia hewani😂
Mwijaku amezidi kuropoka ropoka yan utadhani sio mwanaume.)))Kwa maua sama ulifanya uropokaji ambao baadae ukakucost ukaomba radhi yakaisha saivi tena kwa masudi duuhh ujifunzi wewe ushughulikiwe Asa kwa mujibu wa sheria
Kwani Kipanya aliongea kitu gani kibaya kuhusu Mwijaku mbaka Mwijaku kumsema maneno mabaya kiasi kile? Mbona kp aliongea maneno mazuri tu 😢😢😢 imenisikitisha sana aisee
Hapo hapo sawa
anafkir kila m2 ni diamond
SIMBA yeye hua anapuuza lakin wengne
wako serious😂😊
Mzee anataka apate pesa patanisha acha kukuza jambo wangapi wamesemwa vibaya hutukisikia Kigomaa
Hapa umeyatimba kwa kwel mwanasheria yuko seriously sana yaan hapa hakuna maigizo kabisa kijana mwijaku sema mama atakusaidia
Masudi usipo mlipisha mwijaku bas takuchukia Sana😅😅
Umewaza vyema sana😂
Iyo ni cinema tu....nothing more
Saf sana.na mlipe bila kusamehewa
lisemalo lipo nakama alipo basi linakuja inaweza kua kweli au uwongo sisi atujui ila labda ana ushaidi maana mpaka mtu mzima afikie kusema ivyo maana yake anajua alicho kisema awezi sema maneno kama hayo bila kujua ukweli
Saafi wakili Msomii,ila the fact that it is libel does not accrue from the written form of statements rather the permanent form of them.....
anafkir kila m2 anapuuza kama diamond😂
baba kp shikilia apoapo usipunguze spidi pita umoumo mpka ajambe mbuzi uyo. si kazoea kupalamia watu mara hii kapalamia mtubwi wa vimbwengo😅
Hata billion 6 atalipiwa, sbb ni chawa wa watu maarufu😂😂😂😂
Ndio akome kamzidi sana
Uyu mwana sheria hata mfunga mtu ...na uyo mwijaku aki logwa aombe lazi.....kaisha
Huyo jamaa anaejita mwanashelia ni mpuuzi tuu anazani ndio itakuwa njia sahihi ya kupata utajili
Yaan apo ni swa uwambiwe unafungwa miaka 300 ila sio kifungo cha maisha😅😅😅😅
Bwana masud nipigie simu mimi mwijaku simpendi nimuongo sana
Yaani nimefurahi sana, hili pimbi little adabu
Ame yatimba yaani mpka akome msenge sana mwija
Msm seand kumbe ndio jamaa yuko hivyo
Hakuna suala ilo njaa tu wameona kile kijumba ndio anakinyemelea tu. Hakuna faini hiyo Bilioni 5
Ukiweza kuthibitisha Mahakamani kuwa maneno ya udhalilishaji yamekupa hasara ya kifedha ukiachilia mbali athari zingine, bila shaka Mahakama itatoa hukumu kuwa umedhalilishwa na hatimaye utapata fidia. Hivyo Mwijaku ajiandae kufilisiwa.
Yeye mwenyewe chawa atazitoa wapi hizo b 5
Ccm😅
Kwahiyo CCM ndiyo wanafadhili mapimbi hawa
Kumamayo b5.unazijua wewe kpanya ata m10 hana atamweza chawa wa taifa analipwa hadiii na nchi huyo panyaa aache hiyo kaziiii yakuiba unga
Kwa kusemasema wanaume wenzake hivyo sasa huko Makkah alifuata nini😮
Mfungeni amezoea ujinga mwanaume mzma kushobokea wanaume wenzake kazi yake kumsema kila mt km vile shoga alokosa soko
CCM kesi hana mwijaku
Huyo kipanya tangu azaliwe alishawah kuiona au hata kuigusa tu kwa vidole vyake hiyo billion 5 mxuuuu😏
Acheni njaa nyinyi mawakili njaa nikweli or sio kwel masud my brother for given him please
Laaaana izo za kuhama hama media
Maskini mwijaku ndio tumemkosa hivo
Apunguze mdomo Sasa maana anaongea bila kutazama nni anasema
Duuuh
We mnasheria unachelewa usiongee na mwijaku tena panda kizimbani
😂😂😂
Atauza banda lake analoringa nalo na bado deni
Kipanya usichukulie poa. Issue alizoziongea ni hatarishi au dangerous kwa Taifa. Inatakiwa atiwe adabu kama Siprian Msiba alivyotiwa adabu na Membe kwa kuropoka yasiyofaa. Asicheze na Maisha ya watu. Imeniuma sana kwa Ally Masudi kupoteza deal mbalimbali.
Ilikuaje kwani
Tunapokuwa katika taasisi moja si kigezo cha wewe kunishushia heshma. Funzo tuheshimu kila mtu kwa nafasi yake na hata mawazo yake ilhali tu aliyoyatoa hayakuathiri, KP nampa hongera kwa hatua hii na naendelea kujifunza mengi kupitia yeye.
Wakili mwenye unang'ang'ania nn sasa
Kiukweli simzungumzii vibaya mwijaku wala simuombei mabaya hila msingi awena mipaka kwenye uchawa wake maana hata maua sama aliambiwa ni malaya
Ana maneno machafu sana, atiwe adabu,
Mwijaku kayakanyaga😂😂😂😂
Ameyatimba
bilioni tano jamani mbona rungu la kimataifa jmani hahahahah uwiih
Lile ghorofa lake shilingi ngapi
Kwahyo hizo bilioni 5 mnataka za nn
Bwana alipe iyo billion 5 ili tuone
Wakili naomba namba zako unisaidie
AKIIJIBU HIYO BARUA HASA HAYO MASWALI YALIVYOTEGWA,NA AKAKIRI NI UZUSHI,BAASI HAPO UCHUNGUZI NA UPELELEZI HAUTACHUKUA MUDA,HUYU JAMAAA ANGEPASWA HATA VYOMBO VYA USALAMA,VINGESHAANZA NAYE KULIKO WALE WANAOZUIA MAANDAMANO YAKINA LISSU , MWABUKUSI NA KINA ASKOFU MWANAMAPINDUZI.
Uchawa umezidi mipaka.
upele umempata mkunaji
ile house imeend
Kutoa bilioni tano si bora tu mninyonge
Ndo usijekashifu watu sasa
Hivi Msiba aliishia wapi
Sasa izo bilion 5 atatoa wap golofa lake bilion 1
Anajifanya mjuaji sana! Mshughulikieni pimbi huyu!
Kayatimba😂😂😂
Kwa mnavyoona Mwijaku ana hiyo B5???
😂😂😂😂 hana yule ana mdomo tu 😏😏
Akome kuropoka
Akauze gorofa lake
Hilo la milioni mia 2 ndio zitafika
Si Jana Tu ameomba msamaha au kumekuaje?
Kuomba radhi ni kudhibitisha kosa. Acha tuendelee nae.
Baada ya kuandikiwa barua
Aliambiwa aombe radhi kupitia maandishi!
@@judyngowi391 Ila hawawezi kumpeleka Mwijaku popote.Anajuana na wakubwa serikalini.
Kwahiyo hao wakubwa serikalini wataenda kumtetea mahakamani!
Mwijaku, anapenda kuongea sana kujisifia vitu vya kijinga, utakoma sasa Mwijaku una muiga mange kimambi????
Yaani walikomeshe hilinpimbi silipendi
KAMA UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE
Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara
Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona kama hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.
Sasa kama unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital
Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe
Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0784161431 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.