RUNGU ZITO KWA MWIJAKU, ATATAKIWA KULIPA BILIONI 5 KUMCHAFUA KIPANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 110

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 4 месяца назад +3

    Unaweza ukawa umesoma sana ukazidiwa na ambae hajasoma ukimwona mwijaku utajua hamna kitu kichwani Kwa sababu Mr kp ni mtu mmoja2 mstaarabu sana maisha haya yanaitaji kumueshimu Kila mtu na hekima na busara ni siraha tosha Bora at baba levo cio uyo chachandu mwekeni ndani azid kuwa kama mkaa awe na simile na watu cio Kila anaemuona ni boya kama yy kakutana mwamba kp

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 4 месяца назад +10

    Nimeipenda hii iwe fundisho kwa wengine kuropoka ropoka

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 месяца назад +8

    Mimi Ndo maana nampendaga BabaLevo…yeye ukimsema jibu lake ni “KWANI KUNASHIDA GANI!!?”🤣🤣🤣

  • @Mgema001
    @Mgema001 4 месяца назад +11

    Whozu ft mbosso and billnas
    Song; AMEYATIMBA
    😂😂😂

  • @AbeliMembe
    @AbeliMembe 4 месяца назад +4

    Mwijaku anamiliki nyumba ya bilioni 1.5 itabidi mwijaku amwachie nyumba masudi kipanya😅😅😅😅

  • @jimmyhabarugira4232
    @jimmyhabarugira4232 4 месяца назад +1

    Safi sana
    Peleka jela hilo kubwa jinga

  • @zahiruhamisi4162
    @zahiruhamisi4162 4 месяца назад +1

    Anapenda sn sifa,alianz kumchokonoa tajiri Mo,mamae zake alipe tu.Kubwa jinga linapenda sn sifa maku uyu

  • @vero57
    @vero57 4 месяца назад +1

    Mwijaku ana msema sana dotto magari pia, Baba.

  • @nizarmomo4293
    @nizarmomo4293 4 месяца назад +1

    Daaah bilion5😂😂😂😂
    Ivi lisu atalipa ngapi kwa rais?
    Kweli bong mpo vizuli kwa kujiongeza 😂😂😂😂😂

  • @athumanimhanga2053
    @athumanimhanga2053 4 месяца назад +2

    Mwijaku amezoea kuropoka anajifanya kila kitu anajua 😂😂

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 4 месяца назад +3

    Mwijaku wenu huyu nilisha sema njaa ndiyo tatizo na kujipendekeza ili aonekane anajua mimi uwa simpendi

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 месяца назад +2

    Amezoea kumtukana Mondi anakaa kimya! Alijua atawachafua wote! Domo linaponzaga kichwa!😂😂😂

  • @samkoka3
    @samkoka3 4 месяца назад +3

    Hapa mwijaku lazima ulipe pakubwa ata kama wakikuonea huruma utatoa hela nying snaa kaka

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 4 месяца назад +1

    Iwe fundisho kwa mwijaku

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 4 месяца назад +1

    Hapa mwijaku kayatimba

  • @patrickkaite3822
    @patrickkaite3822 4 месяца назад +2

    Kumanina zake ameyatimba mwijaku

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 3 месяца назад

    duuh kaz kweli kweli

  • @DeruDeru-p4t
    @DeruDeru-p4t 4 месяца назад +1

    Mwijaku AISE umeyatimba kaka punguza sifa zako mwisho utakuwa mubaya shauli yako hivi familiya yako watoto wako watabeba nn kutoka kwako au watajifunza nn kwako punguza kulopoka

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 4 месяца назад +2

    Masudi asante sana, kijana hana adabu kabisa na pesa zinapatikana kwa urahis... inampa nguvu sana kudhalilisha. masudi is so smart' na mwelewa sana.
    Kijana amekua too much.!

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад +1

      Yaani Masoud sema chochote nitakupa! Kwa hili umenifurahisha, kumbe ndio maana limekimbilia kuomba msamaha, mtie adabu huyu pimbi

    • @mr.yahzadochuno7914
      @mr.yahzadochuno7914 4 месяца назад +1

      Huyu mwijaku anatia aibu nchi yetu yaan anabwata sheria ichukue mkondo wake iwe funzo

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 3 месяца назад

    Mtaka kutajirika mamae zenu😊😊

  • @WilliamZahabu
    @WilliamZahabu 3 месяца назад

    Mungu ame mlipa hadija kopa alimzalilisha sana huyu mama 🙏

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 4 месяца назад +2

    Tatzo amezoe sana uchawa alikuwa anatafta sifa serekalini

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 3 месяца назад

    tuko pamoja baba kp. tumnyooshe uyo kinega. mfute kabisa kwenye ramani ya ulimwengu tusijue kabisa kama kuliwai kutokea kijusi kinaitwa mwinyaku. mmyeeeeee

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 4 месяца назад +1

    Tunaosema wakili anaenda mbele na kurudi nyumaa huku akijichanganya like za kutosha hapa

  • @stevencharles-di9yc
    @stevencharles-di9yc 4 месяца назад

    uyo mwijaku mwongo m naimani amezidisha ujuaji ila najua ata yeye alop anajutia

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 3 месяца назад

    Acha kuatarisha Mwijako pesa hana yeye njo wakwanza kukosewa acha mitisho TZ inchi ya sheriya

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 месяца назад

    Mwijaku ame zidi shenzi sana huyo

  • @omarikhalfan1079
    @omarikhalfan1079 3 месяца назад

    Nitashangaa kesi ikiishia hewani😂

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 4 месяца назад

    Mwijaku amezidi kuropoka ropoka yan utadhani sio mwanaume.)))Kwa maua sama ulifanya uropokaji ambao baadae ukakucost ukaomba radhi yakaisha saivi tena kwa masudi duuhh ujifunzi wewe ushughulikiwe Asa kwa mujibu wa sheria

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 4 месяца назад

    Kwani Kipanya aliongea kitu gani kibaya kuhusu Mwijaku mbaka Mwijaku kumsema maneno mabaya kiasi kile? Mbona kp aliongea maneno mazuri tu 😢😢😢 imenisikitisha sana aisee

  • @doreenkweka3869
    @doreenkweka3869 4 месяца назад

    Hapo hapo sawa

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent8948 3 месяца назад

    anafkir kila m2 ni diamond
    SIMBA yeye hua anapuuza lakin wengne
    wako serious😂😊

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 4 месяца назад

    Mzee anataka apate pesa patanisha acha kukuza jambo wangapi wamesemwa vibaya hutukisikia Kigomaa

  • @samkoka3
    @samkoka3 4 месяца назад

    Hapa umeyatimba kwa kwel mwanasheria yuko seriously sana yaan hapa hakuna maigizo kabisa kijana mwijaku sema mama atakusaidia

  • @AbeliMembe
    @AbeliMembe 4 месяца назад +1

    Masudi usipo mlipisha mwijaku bas takuchukia Sana😅😅

  • @chire4574
    @chire4574 4 месяца назад

    Iyo ni cinema tu....nothing more

  • @deoluma1706
    @deoluma1706 4 месяца назад

    Saf sana.na mlipe bila kusamehewa

  • @KhalfanSalim-v1x
    @KhalfanSalim-v1x 4 месяца назад

    lisemalo lipo nakama alipo basi linakuja inaweza kua kweli au uwongo sisi atujui ila labda ana ushaidi maana mpaka mtu mzima afikie kusema ivyo maana yake anajua alicho kisema awezi sema maneno kama hayo bila kujua ukweli

  • @jacksonmasoud3205
    @jacksonmasoud3205 4 месяца назад

    Saafi wakili Msomii,ila the fact that it is libel does not accrue from the written form of statements rather the permanent form of them.....

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent8948 3 месяца назад

    anafkir kila m2 anapuuza kama diamond😂

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 3 месяца назад

    baba kp shikilia apoapo usipunguze spidi pita umoumo mpka ajambe mbuzi uyo. si kazoea kupalamia watu mara hii kapalamia mtubwi wa vimbwengo😅

  • @Worldunite
    @Worldunite 4 месяца назад

    Hata billion 6 atalipiwa, sbb ni chawa wa watu maarufu😂😂😂😂

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 4 месяца назад

    Ndio akome kamzidi sana

  • @MeksonyJoseph
    @MeksonyJoseph 4 месяца назад

    Uyu mwana sheria hata mfunga mtu ...na uyo mwijaku aki logwa aombe lazi.....kaisha

  • @saidimega9615
    @saidimega9615 4 месяца назад

    Huyo jamaa anaejita mwanashelia ni mpuuzi tuu anazani ndio itakuwa njia sahihi ya kupata utajili

  • @Emanueli-vz6fd
    @Emanueli-vz6fd 4 месяца назад

    Yaan apo ni swa uwambiwe unafungwa miaka 300 ila sio kifungo cha maisha😅😅😅😅

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 4 месяца назад

    Bwana masud nipigie simu mimi mwijaku simpendi nimuongo sana

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Yaani nimefurahi sana, hili pimbi little adabu

  • @MeksonyJoseph
    @MeksonyJoseph 4 месяца назад

    Ame yatimba yaani mpka akome msenge sana mwija

  • @macroziannalyimo1808
    @macroziannalyimo1808 3 месяца назад

    Msm seand kumbe ndio jamaa yuko hivyo

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 4 месяца назад

    Hakuna suala ilo njaa tu wameona kile kijumba ndio anakinyemelea tu. Hakuna faini hiyo Bilioni 5

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 4 месяца назад

    Ukiweza kuthibitisha Mahakamani kuwa maneno ya udhalilishaji yamekupa hasara ya kifedha ukiachilia mbali athari zingine, bila shaka Mahakama itatoa hukumu kuwa umedhalilishwa na hatimaye utapata fidia. Hivyo Mwijaku ajiandae kufilisiwa.

  • @RoseMtupa
    @RoseMtupa 4 месяца назад +3

    Yeye mwenyewe chawa atazitoa wapi hizo b 5

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 4 месяца назад

    Kumamayo b5.unazijua wewe kpanya ata m10 hana atamweza chawa wa taifa analipwa hadiii na nchi huyo panyaa aache hiyo kaziiii yakuiba unga

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 4 месяца назад

    Kwa kusemasema wanaume wenzake hivyo sasa huko Makkah alifuata nini😮

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 4 месяца назад

    Mfungeni amezoea ujinga mwanaume mzma kushobokea wanaume wenzake kazi yake kumsema kila mt km vile shoga alokosa soko

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 4 месяца назад

    CCM kesi hana mwijaku

  • @StrongbowArrow2004
    @StrongbowArrow2004 4 месяца назад

    Huyo kipanya tangu azaliwe alishawah kuiona au hata kuigusa tu kwa vidole vyake hiyo billion 5 mxuuuu😏

  • @babuwajinaommy725
    @babuwajinaommy725 4 месяца назад

    Acheni njaa nyinyi mawakili njaa nikweli or sio kwel masud my brother for given him please

  • @djmaxmnyamaglobal7744
    @djmaxmnyamaglobal7744 4 месяца назад

    Laaaana izo za kuhama hama media

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 4 месяца назад

    Maskini mwijaku ndio tumemkosa hivo

  • @Electri-ambi
    @Electri-ambi 4 месяца назад

    Apunguze mdomo Sasa maana anaongea bila kutazama nni anasema

  • @dianafredrick8830
    @dianafredrick8830 4 месяца назад

    Duuuh

  • @danielKitomary
    @danielKitomary 4 месяца назад

    We mnasheria unachelewa usiongee na mwijaku tena panda kizimbani

  • @Muhammedually
    @Muhammedually 4 месяца назад

    Atauza banda lake analoringa nalo na bado deni

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад +2

    Kipanya usichukulie poa. Issue alizoziongea ni hatarishi au dangerous kwa Taifa. Inatakiwa atiwe adabu kama Siprian Msiba alivyotiwa adabu na Membe kwa kuropoka yasiyofaa. Asicheze na Maisha ya watu. Imeniuma sana kwa Ally Masudi kupoteza deal mbalimbali.

  • @MusaNgao
    @MusaNgao 4 месяца назад

    Tunapokuwa katika taasisi moja si kigezo cha wewe kunishushia heshma. Funzo tuheshimu kila mtu kwa nafasi yake na hata mawazo yake ilhali tu aliyoyatoa hayakuathiri, KP nampa hongera kwa hatua hii na naendelea kujifunza mengi kupitia yeye.

  • @YangaNews
    @YangaNews 4 месяца назад

    Wakili mwenye unang'ang'ania nn sasa

  • @SEBASTIANIMAZIGO
    @SEBASTIANIMAZIGO 4 месяца назад

    Kiukweli simzungumzii vibaya mwijaku wala simuombei mabaya hila msingi awena mipaka kwenye uchawa wake maana hata maua sama aliambiwa ni malaya

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Ana maneno machafu sana, atiwe adabu,

  • @vintz338
    @vintz338 4 месяца назад

    Mwijaku kayakanyaga😂😂😂😂

  • @kelvinwilfred-p2e
    @kelvinwilfred-p2e 4 месяца назад

    bilioni tano jamani mbona rungu la kimataifa jmani hahahahah uwiih

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Lile ghorofa lake shilingi ngapi

  • @YangaNews
    @YangaNews 4 месяца назад

    Kwahyo hizo bilioni 5 mnataka za nn

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 4 месяца назад

    Bwana alipe iyo billion 5 ili tuone

  • @KamugishaErnest
    @KamugishaErnest 4 месяца назад

    Wakili naomba namba zako unisaidie

  • @jeremiahmsangi8215
    @jeremiahmsangi8215 4 месяца назад

    AKIIJIBU HIYO BARUA HASA HAYO MASWALI YALIVYOTEGWA,NA AKAKIRI NI UZUSHI,BAASI HAPO UCHUNGUZI NA UPELELEZI HAUTACHUKUA MUDA,HUYU JAMAAA ANGEPASWA HATA VYOMBO VYA USALAMA,VINGESHAANZA NAYE KULIKO WALE WANAOZUIA MAANDAMANO YAKINA LISSU , MWABUKUSI NA KINA ASKOFU MWANAMAPINDUZI.

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 4 месяца назад

    Uchawa umezidi mipaka.

  • @damasmassawe3601
    @damasmassawe3601 4 месяца назад

    upele umempata mkunaji

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 4 месяца назад

    ile house imeend

  • @DoroselaBijandi-os9bn
    @DoroselaBijandi-os9bn 4 месяца назад

    Kutoa bilioni tano si bora tu mninyonge

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 4 месяца назад

    Hivi Msiba aliishia wapi

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 4 месяца назад

    Sasa izo bilion 5 atatoa wap golofa lake bilion 1

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 4 месяца назад

    Anajifanya mjuaji sana! Mshughulikieni pimbi huyu!

  • @AziCure
    @AziCure 4 месяца назад

    Kayatimba😂😂😂

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 4 месяца назад +2

    Kwa mnavyoona Mwijaku ana hiyo B5???

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 4 месяца назад

      😂😂😂😂 hana yule ana mdomo tu 😏😏

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 4 месяца назад

    Akome kuropoka

  • @vero57
    @vero57 4 месяца назад

    Akauze gorofa lake

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 4 месяца назад

      Hilo la milioni mia 2 ndio zitafika

  • @Esquire266
    @Esquire266 4 месяца назад

    Si Jana Tu ameomba msamaha au kumekuaje?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 месяца назад +1

      Kuomba radhi ni kudhibitisha kosa. Acha tuendelee nae.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Baada ya kuandikiwa barua

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Aliambiwa aombe radhi kupitia maandishi!

    • @Esquire266
      @Esquire266 4 месяца назад

      @@judyngowi391 Ila hawawezi kumpeleka Mwijaku popote.Anajuana na wakubwa serikalini.

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Kwahiyo hao wakubwa serikalini wataenda kumtetea mahakamani!

  • @vero57
    @vero57 4 месяца назад

    Mwijaku, anapenda kuongea sana kujisifia vitu vya kijinga, utakoma sasa Mwijaku una muiga mange kimambi????

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Yaani walikomeshe hilinpimbi silipendi

  • @ramadhanihamisi5596
    @ramadhanihamisi5596 4 месяца назад

    KAMA UKO HIVI UTAACHWA NA KILA MWANAMKE
    Leo nimeona niongele hili swala wanaume wengi kutodumu kwenye Mahusiano au kuachwa mara kwa mara
    Kuna sababu zinaweza kuchangia lakini kuna wakati wanamke anaamuwa tu kutoka na mwanaume mwengine. Wanaume wengi huona kama hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanamke ila ukweli wa mambo kuna sababu moja kubwa ukiwanayo hiyo lazima mwanamke akuwache nayo ni kushindwa kurudia tendo au ukiwa mtu wa kimoja tu chali, au kuwahi haraka kufika kileleni yani hapo hapo hakuna mwanamke atakae dumu labda kubaki na familia tu.
    Sasa kama unatatizo hilo au bado hujui ila unahisi basi usipaniki nimekuandalia Elimu nzuri ya kufanya utatuwe hiyo aibu hapo hapo nyumbani kwako bila ya kwenda hospital
    Katika somo hilo nimeleza jinsi ya kufahamu saikologia ya kufanya kuwa mshindi mechi zote kitandani nitumie ujumbe
    Tuma ujumbe neno AFYA BORA kwenda whatsApp namba 0784161431 nitakutumia Audio ya suluhisho bila malipo yoyote.