WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июн 2024
  • WAZIRI SILAA AINGILIA KATI SAKATA LA MAMA ALIYEDAI KIWANJA CHAKE KUCHULIWA MKOPO BENKI BILA KUJUA...
    Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameingilia kati sakata la kiwanja no. 141/40 kilichopo Ananasifu Kinondoni jijini Dar Es Salaam kilichoachwa na marehemu Abrahamu Isac Mdamo baada baada ya kutokea sintofahamu ya kiwanja hicho kudaiwa mkopo na benki ya NMB kiasi cha shilingi milioni 200 uliochukukiwa na Bwana Michael Mwanda ambaye alikuwa mtu wa karibu na marehemu inadaiwa alifoji nyaraka na kuchukulia mkopo katika benki hiyo na baadae msimamizi wa mirathi Bi. Zainabu Bungire kuitwa benki kwa ajili ya kutakiwa kurejesha mkopo huo.
    Aidha Waziri Silaa baada ya kuona taarifa hiyo kupitia vyimbo vya habari alipitia nyaraka na kumuita ofsini kwake jijini Dar Es Salaam msimamizi wa mirathi ya kiwanja hicho ambaye ni Bi. Zainabu Bungire (Mke wa marehemu Abrahamu Isac) na kumtaka amuachie ili aliwasilishe kwa jeshi la polisi walifatilie kwakuwa kuna baadhi ya nyaraka ikiwemo cheti cha kifo kutofautina na nyaraka za murathi hivyo kuhitaji uchunguzi wa jeshi la polisi.
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 53

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya8146 5 дней назад +5

    Dah mhesimiwa mungu akubarki kwa kazi kubwa

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 49 минут назад

    MwenyeziMungu mzidishie kila la heri mheshimiwa Waziri wa Ardhi Jerry Slaa.

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 5 дней назад +1

    Yaani nimefurahi sana kuona umejaaliwa kufika kwa dr jerry silaa huyu bwana atakusaidia ninaimani alhmdulillahi pole mama

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 5 дней назад +3

    Mashaa الله imefika hapa, inshaa الله mambo yatakua sawa.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 4 дня назад +1

    Jamani vyeti kama vyeti vingi vinatumika feki wako watu wengi wanajua namna ya kutengenenza izo vitu hapo dar ila kama mungu akihitaji upate haki yako utapata ila itachelewa.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 День назад

      Ipo hivi huwezi danganya serikali, unaweza kuwa na karatasi hata ya kutengenezea pesa na mashine, serikali inakuja kukukamata kwenye namba tu za pesa hazitakuwa sawa, hivyo hata fake unaweza tengeneza vyeti kama og, ila kumbukumbu ndio changamoto.

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 День назад

    Hongera waziri🎉

  • @toshindugwa1085
    @toshindugwa1085 2 дня назад +1

    Huyo mama huo ni mchepuko wake inavyoonekana maelezo yake huyo mwamba katumia oppotunity

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 5 дней назад

    Pore sanaa kaka jerry slaaa tunaona utendaji wako uliyotukuka mungu akulinde

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 дней назад +1

    Mungu atambariki Dr slaaa

  • @shariffsagaf2305
    @shariffsagaf2305 5 дней назад

    Mungu akulinde mheshimiwa kwa kazi unayofanya na umakini wa kusikiliza.

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 3 дня назад

    Jerry mungu akutunze baba🙏🙏

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 5 дней назад

    Ni kijana mdogo lakini Mungu amemua Mhe Jery hakika wewe ni Daudi Mungu akubariki sanaa

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 5 дней назад

    Nmefurah sana kuona uyu mtoto Dotto kukutana na waziri Silaaa

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota 5 дней назад +1

    Dr slaaa kura yangu ya huku ujinga nakupa tena mapemaaa

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 5 дней назад

    Mungu akupe faraja wazili kutetea wanyonge

  • @ibrahimdaudi5823
    @ibrahimdaudi5823 5 дней назад +5

    mama unaleta uswahili kwenye mali unampa mtu hati.kirahisi tu

    • @user-ye3fy9kk6r
      @user-ye3fy9kk6r 5 дней назад

      Hao ndio wanawake,ndiomaana Mh alimwambia kimtego ukaribu huo wa aina gani,kwani ni babu yao na akina hawa yani Dotto,mana ni ujinga,kwani wizarani hupajui mpaka umkabidhi mtu hati kiholela

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 5 дней назад

      Wanawake ni dhaifu

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 5 дней назад +2

      Sema bwana jambo likiamua kukutokea linakutokea tu haijalushi ww ni nani af baada ya hapo ndo akili inakujia kwann nilifanya hivi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 дней назад

    Hy ni bonge la tapeli khaaa amejua akajua tena slaa mungu akubariki sn

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 5 дней назад

    Mngu akulinde mh waziri na mh mama yangu mh raisi

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 5 дней назад +5

    Huyo Mama inaonekana alikuwa mtu wake huyo chalii

  • @user-we7jq1rj9u
    @user-we7jq1rj9u 5 дней назад

    Mungu akubariki sana

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 дней назад

    Inshaallah namm najiandaa kukamilisha makaratasi yangu najuwa haki yangu nita ipata

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 10 часов назад

    Inaonekana kweli amefoji Kwanini barua nyingi za kuomba hati zilikataliwa hapo ndo harakati za kufoji zilikuwa zinaendelea

  • @khalifakyabitara4761
    @khalifakyabitara4761 2 дня назад

    Dr silaa unashati moja tuu au zipo nyingi lkn rangi na dizain moja?

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 дней назад +1

    swali cheti cha ndoa amekitoa wapi?

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 5 дней назад

    Safi sana mkuu

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta3579 День назад +1

    Huyu mama atakua alipewa mgao kidogo kwenye mkopo😂😂😂

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 5 дней назад

    HATARI SANA HAWA MATAPELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU KUPITIA KWA MH. SILAA AKUSAIDIE WEWE NA WATOTO WAKO.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 День назад

    Vp kuhus yule mama wa manzese cjui vile anaelala nje ?😢

  • @lwakainaza
    @lwakainaza 4 дня назад

    Slaa ni waziri mwenye roho ya utu, msikivu na mwenye busara.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 5 дней назад

    Dr Slaaa kweli wakili msomi, anasikiliza kwa makini.

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 5 дней назад

    Uaminifu kuwaamini watu zetu wakarbu una tuumiza sana😢😢😢😢

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 4 дня назад

    Tangu Zamani Baadhi Yawatu Walikuwa Wakiamini Nawalikuwa Siwaaminifu Kwa Siwaadilifu. Kwa Nyakati Zetu Ndio Kabisa. Wamaaminifu Wamebaki Wachache.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 5 дней назад +1

    mbona kama kuna kizungu mkuti hapa

  • @JuniorNyamatwi
    @JuniorNyamatwi День назад

    Huyu mama anapewa ulinzi Gani ili kutunza ushahidi?

  • @maimunahemedi6491
    @maimunahemedi6491 2 дня назад

    Huyo mwizi achkuliwe hatua kali, wako wengi hawa matapali, wanawsonyanyasa wenye mali

  • @khadijamasele9005
    @khadijamasele9005 День назад

    Dunia imeisha watu hawana utu

  • @selemankindamba9485
    @selemankindamba9485 4 дня назад

    Kwaharaka minaona kama uyo mama na tapeli walikuwa wapenz

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola 5 дней назад +1

    Mhhh

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 5 дней назад

    😅😅😅😅jerry ameisha juu bdo anaendelea kumjaza kwnye mfumo.

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 4 дня назад

    Huyo bibi nae unawezaje kumuamin mtu ukampa hati ya nyumban, Kuna uongo hapo

  • @jacksonkoisi6189
    @jacksonkoisi6189 5 дней назад

    Mimi namkubali.jeri.silaha na makonda makufuli.ndogo.

  • @user-ih9xy5vd5d
    @user-ih9xy5vd5d 5 дней назад

    Hakuna mwanamke mpumbavu kama huyu duniani, unatoa vipi hati kwa sababu eti umeishi vizuri na watu? Jinga kabisa hili mama, kuna vitu watanzania sisi kaaaa hivi unashindwa kubadilisha hati mwenyewe unampa mtu? Kweli