Live ▶|| Ibada Ya Morning Glory | 29 - 08 - 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Karibu katika Ibada ya Masifu ya Asubuhi kutokea hapa kanisa Kuu Azania Front Posta Dar Es Salaam.
    ▶ SOMO: MUNGU WA HAKI YANGU.
    ZABURI 34:19
    ..............
    ZABURI 34: 19
    19 Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA humponya nayo yote.
    ........................
    MWANZO 29: 21 -27
    21 Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.
    22 Labani akakusanya watu wote wa mahali pale, akafanya karamu.
    23 Ikawa wakati wa jioni akamtwaa Lea, binti yake, akamletea Yakobo, naye akaingia kwake.
    24 Labani akampa Lea mjakazi wake Zilpa, awe mjakazi wake.
    25 Ikawa, kulipokuwa asubuhi, kumbe! Ni Lea. Akamwambia Labani, Nini hii uliyonitenda?
    26 Sikukutumikia kwa Raheli? Mbona umenidanganya? Labani akasema, Havitendeki hivi kwetu, kumtoa mdogo kabla ya mkubwa;
    27 timiza siku zake saba, nasi tutakupa huyu naye kwa utumishi utakaonitumikia, miaka saba mingine.
    ZABURI 125: 3
    3Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.
    ..........................................
    ▶ Mhubiri: REV. JOASH AILA
    .....................
    👇👇👇
    // NAMBA ZA SADAKA //
    ▶ LIPA KWA [ M-PESA ] - 579 579 4
    ▶ NAMBA YA MPESA - 0757 - 391 - 174
    JINA: KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL
    ▶ MAENDELEO BANK
    A/C NO 0137 9274 6021
    JINA: LUTHERAN CHURCH AZANIA FRONT CATHEDRAL
    TUFUATILIE KWENYE MITANDAO KWA TAHARIFA ZAIDI:
    Instagram page:
    / kkkt_azaniafront_cathedral
    Website: www.azaniafron...
    Facebook:
    / kkkt-azania-front-cathedral-101434162039079
    #azaniafrontcathedral #ibada #lunchhour #morningglory #sundayservice #lutheran

Комментарии • 3