Safi White films, ilianza ikaboa,ikaja ikawa inavutia baadae ikawa inachelewa ila kazi nzuri sana. Tunategemea kazi nzuri zaidi big up sana white films
Dah tini ww fundi sana bonge la series hili nimejifunza mengi hongera sana japo wengi waliibeza hii filamu lkn ndo changamoto za kazi hazikosekani, pia priscilla na chivaro nimewakubali sana usiwaache big up sana tini❤❤❤🎉🎉🎉
jamani tuna hamu na vitu vipya nakama Kuna compte mpya ambayo mumefunguwa tufahamishini jamani kazi zenu ndo tunatizamaga manyumbani nakwenye ma sim zetu sababu hazinaga mambo ya uhuni na utuzi wenu unatupatia mafunzo Fulani ya maisha tukumbukeni jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Safi White films, ilianza ikaboa,ikaja ikawa inavutia baadae ikawa inachelewa ila kazi nzuri sana.
Tunategemea kazi nzuri zaidi big up sana white films
Mbaya kuliko zote alizowahi toa
Good ending martin white #zunde zindeki zombwa malingaweye😊😊# your number 1 from Kenya 🤝
Masalama 😂😂mgeni nani
Sipendi kibonge na kitoto chake
Tho penye tin ako kazi ni safi❤❤
Kazi nzur tulianza wote na tumemaliza wote
Timu mweupe🎉❤
Aaaah weee sitak kuwa wa mwisho kila sku leo na me nipoo mapemaaa kbsaa 😂 WHITE FILMS THE ONE THE ONLY
Congratulations to my brother martin god bless you
safi sana tinn bonge la kazi by dj niakhan
Wakwanza nipate likes nami jaman
Congrants to all team for good work 💥💥💥 team tini likes apo
Dah tini ww fundi sana bonge la series hili nimejifunza mengi hongera sana japo wengi waliibeza hii filamu lkn ndo changamoto za kazi hazikosekani, pia priscilla na chivaro nimewakubali sana usiwaache big up sana tini❤❤❤🎉🎉🎉
Wa nane mim like plz
Mashaa Allah❤
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ hongera kwenu wote
Jamni naombeni like ata tano
Ilivo kua tam tn finali aaah
Jaman kwan mnataka like za nini. Au zina faida gani. Niambien ili nijue nimipe hizo like
Hongera Sana kk tin
Good job ❤🔥🔥🔥🥰
Tukutane wakati mwengine 👋🚶
Nice one
Congratulations 🎊🎊🎊 tam san
❤❤❤
Team tinwhte good job
Tulianza pamoja tumemaliza pamoja
Nice end
Good job
Yes
Mtoto wa tin ana mguu
Comment jmn series ya mwisho😅
Sijawahi Kuwa Wa1
wakwanza 🎉🎉
Kwaiyo 😏
@@AbuumansuurTv naombaa like
Kaz nzur xana
Good luck for ended
Tunaisubiri nyingine.
nice
😂😂😂😂kijijini😂
🔥🔥🔥🇸🇦🇸🇦🇰🇪👍💯💯❤️❤️
Unabayaa ten..
Mkaka nzur kafa dh😢😢
Hakuna season 2
Karibu😅😅😅😅😅
Oe white vip kaka mbona Kama tunakusahau
Devi 😭😭😭 R.I.P
jamani tuna hamu na vitu vipya nakama Kuna compte mpya ambayo mumefunguwa tufahamishini jamani kazi zenu ndo tunatizamaga manyumbani nakwenye ma sim zetu sababu hazinaga mambo ya uhuni na utuzi wenu unatupatia mafunzo Fulani ya maisha tukumbukeni jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩
😂😂😂😂😂
Wahuni peponi salute shivarooo🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Part 2 jamn😢
❤❤❤