Vipande vifupi sanaaa tena sanaa me ningeomba ufanye kitu kimoja tin kwa ss ambao hatupendelei vipande vifupi ukimaliza series post full film ili ss ambao hatufagilii vipande vifupi tutakuwa tunakuja kuangalia full film ukipost
Kweli kbsa kuna siku nlisema hii point maku moja akasema jifunze kulizika kulizika wapi hamna makomedian ni wengi sema tu tunasapoti white film kwa sababu tin yko kwenye game long time sema lazma ajirekebishe au kma vpi mwishoni atoe movie full
jamani tuna hamu na vitu vipya nakama Kuna compte mpya ambayo mumefunguwa tufahamishini jamani kazi zenu ndo tanatizamaga manyumbani nakwenye ma sim zetu sababu hazinaga mambo ya uhuni na utuzi wenu unatupatia mafunzo Fulani ya maisha tukumbukeni jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Umeweza bro kwa mwendo wa sharo 😂😂😂😂😂😂😂
Vipande vifupi kama nyimbo za Msagasum 😭😭
Watu wabaya nipeni like zangu mtu wa mapema hapa ku view
Tin unatisha kaka nakukubari sana endelea kutuletea move kali❤❤❤❤
Unachelewesaha sana move
Leo nimejitahid nipeni like 2 tu
❤❤❤
Mfungueevtin white mdomo hataa hatuchekii
Vipande vifupi sanaaa tena sanaa me ningeomba ufanye kitu kimoja tin kwa ss ambao hatupendelei vipande vifupi ukimaliza series post full film ili ss ambao hatufagilii vipande vifupi tutakuwa tunakuja kuangalia full film ukipost
WAMWISHO jamani like zangu bacii
🎉🎉no1
Team tinwhte matungunya
USIPOKUA MAKINI TIN UNAJISHUSHIA MAANA UNATOA VIPANDE VIFUPI SANA NA UNACHUKUA MUDA MREFU KUTOA TUSEME UMEISHIWA
Kweli kbsa kuna siku nlisema hii point maku moja akasema jifunze kulizika kulizika wapi hamna makomedian ni wengi sema tu tunasapoti white film kwa sababu tin yko kwenye game long time sema lazma ajirekebishe au kma vpi mwishoni atoe movie full
Tin white uko juu bos 😂😂
Team Whit ambae Hagong kimkono Nayeye Asigongewe
Imalize basi imetuchosha utuletee nyingne
Matungunya kayakanyaga🤣🤣🤣
Tini muvi mbaya hiii,
Hatari kbs😢😢
Siamini kama devi amefariki😭😭😭😭😭😭
Matungunya😂😂
Tin white 🔥🔥
jamani tuna hamu na vitu vipya nakama Kuna compte mpya ambayo mumefunguwa tufahamishini jamani kazi zenu ndo tanatizamaga manyumbani nakwenye ma sim zetu sababu hazinaga mambo ya uhuni na utuzi wenu unatupatia mafunzo Fulani ya maisha tukumbukeni jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jamani tamsana ilafupi
😀
MATUNGUNYA UNANICHEKESH
❤❤❤❤❤😅😅😅
Good job
😂😂😂
Safi mzigo mapema umeingia
Wa kwanza leo
ila tin unavituko
Commedy imepoa
❤❤❤
😂😂😂😂😂
Safi sana
Ngoja tuone mwisho
matungunyaaaa 🤣🤣