MOYO WA CHUMA PART 7 FINAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • #frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan

Комментарии • 577

  • @MadadyKibembi
    @MadadyKibembi 21 день назад

    Kazi mzur

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 7 месяцев назад +2

    😭😭💕pole sana kaka GOZI mungu akupe ufumilifu .tumeipenda sana kasi yako mbarikiwe

  • @BarakaAntony-y6j
    @BarakaAntony-y6j 8 месяцев назад +10

    nice movie inapendeza 2nasubili kazi zingine kwa hamu

  • @LatifaRashidi
    @LatifaRashidi 7 месяцев назад +2

    Pole mpendwa mungu akutie nguvu❤❤

  • @israelmlanga9143
    @israelmlanga9143 7 месяцев назад

    Pole sana Mr Gozi

  • @RaqeesOman
    @RaqeesOman 6 дней назад +1

    Daaah lnalila waina lilehi rajiuni 😢pole sn

  • @alinassor391
    @alinassor391 7 месяцев назад +3

    Pole sana kwa kuondokewa na baba m.mungu amjalie kila la kheri ktk sfr yke amsamehe makosa yke amiin amiin

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 8 месяцев назад +4

    Pole sana Gozi Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unacho pitia Bi strong 💪 mtu wangu😢😢😢😊😊😊

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 7 месяцев назад

    Pole sana Gozi kwa kupoteza baba yko munga akutie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mabrouk565
    @mabrouk565 8 месяцев назад +2

    Kaka msiba wa kwetu wote bro pole sana ndugu yangu Allah ampe kauli sabit

  • @khamzdady7977
    @khamzdady7977 7 месяцев назад

    Pole sana brother na pongezi kwa kazi nzur 🙌

  • @QueenbethPetter
    @QueenbethPetter 7 месяцев назад +3

    pole sana bro tulikulaumu pasipo kujua pole

  • @KhadijaHassan-c4h
    @KhadijaHassan-c4h 7 месяцев назад

    Pole sana kaka kazi ya Mungu haina makosa

  • @HassaniKiseyu
    @HassaniKiseyu 7 месяцев назад +2

    pole sana gozi kwa kumpoteza Baba

  • @HadiaSalimu-kh1mj
    @HadiaSalimu-kh1mj 7 месяцев назад

    Pole sana gozi na ongereni kwa kazi nzuri

  • @hamisimatano-hh1uw
    @hamisimatano-hh1uw 7 месяцев назад

    Pole sana kaka Gozi ila hii kitu nime penda sana wallai

  • @annesiaLyakurwa
    @annesiaLyakurwa 8 месяцев назад +2

    Pole sana Mwenyez Mungu awatie nguvu kwa kuonfokewa na mpendwa wenu.

  • @PaulGitua
    @PaulGitua 8 месяцев назад +2

    Pole sana kinara Gozi kwa yaliyo tokea, mungu akupe faraja kwa wakati huu kiongozi wetu.

  • @NillyNilly-fm5pw
    @NillyNilly-fm5pw 7 месяцев назад

    Kweli mapenzi inatawala .. ngozi kutoka nianze kuona series zako sijawai ona ukiwa umefall inlove laki hii series iko top ❤❤ nakupeda sana kutoke 🇰🇪 kenya ... na pole sana kwa kupoteza baba . Roho yake ipumzike mahali pema peponi .. ❤

  • @AminaAli-w3s
    @AminaAli-w3s 7 месяцев назад +2

    Inalilah wainalilah rajuun Pole saaaaan bro ,,, mung akupe nguvu

  • @BenditaRaly
    @BenditaRaly 7 месяцев назад +3

    Pole Sana kaka mungu akutie nguvu

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 8 месяцев назад +2

    Pole sana kaka Gozi Mungu akupe moyo wa uvumilivu katika kipnd hiki kigum , Mungu ampumzishe kwa aman mzee.

  • @nassiburaufu
    @nassiburaufu 7 месяцев назад

    Mnajua sana naeshim sana kazi yenu

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 7 месяцев назад

    Hongeren sana ❤chado umeumbuka.poleni sana kwakumpoteza baba

  • @NeliaDaniel-h9s
    @NeliaDaniel-h9s 8 месяцев назад +4

    pole sana na Mungu akawe mfariji wenu ktk nyakati hizi ngumu za majonzi

  • @Aisha-f2g
    @Aisha-f2g 7 месяцев назад

    Pole sana kwa kumpoteza baba.pamoja toka 🇰🇪 twasubiri kaz ingine

  • @FrancisNyoike-r8u
    @FrancisNyoike-r8u 6 дней назад

    Pole sana gozi tunapenda movi zako sana

  • @HajraIddy
    @HajraIddy 7 месяцев назад

    Pole sanaaa director gozi mwenyezi mungu akupe uvumilivu na subra

  • @RUKIAOmar-f9i
    @RUKIAOmar-f9i 7 месяцев назад +2

    Pole snaaa gozi

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 7 месяцев назад

    Kazi nzuri sana kaka yangu ❤❤❤

  • @SofiaMussa-be6cy
    @SofiaMussa-be6cy 8 месяцев назад +4

    Pole San broo mungu akmpe kauli thabit n akusmamie katk kazi zko appreciate 🫡🥰

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 7 месяцев назад +2

    Pole sana chado mwenyezi mungu akupe nguvu ujasili na amani pole sana❤🇹🇿

  • @NuruKasim-nz1fc
    @NuruKasim-nz1fc 8 месяцев назад +24

    Pole sanà Gozi mungu akupe faraja na pia pongezi Kwa kazi nzuri

    • @directorgozi5509
      @directorgozi5509  8 месяцев назад +3

      🙏🙏🙏

    • @ChimamyChimamy-e3x
      @ChimamyChimamy-e3x 7 месяцев назад

      Pole sana kakq goz Allah akupe ujasi akufanyiebwepesi kwakila zito linalo kufikai​@@directorgozi5509

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 7 месяцев назад

      dah pole sana gozz wetu mungu akuzidishie moyo wa subra na hongera mchezo ni mzuri sana

    • @SwaaumuRashid
      @SwaaumuRashid 7 месяцев назад

      Nicheki tufanye kaz

    • @directorgozi5509
      @directorgozi5509  7 месяцев назад

      @@SwaaumuRashid nakucheki vipi🤔

  • @mkumbwatv8087
    @mkumbwatv8087 8 месяцев назад +2

    Pole Sanaa GOZI Kwa kumpoteza baba

  • @MwajuJuma
    @MwajuJuma 7 месяцев назад +1

    Inna lillah pole sana gozi kwa msiba wa mzee wetu allah akupe moyo wa subra katika kipindi hichi gimu na hongera sana kwa kazi nzuri

  • @Zubeda-zx7wt
    @Zubeda-zx7wt 7 месяцев назад +1

    Pole sana gozi kwakimupoteza baba yako Ila nagupongeza sana kwa kazi ilikuwa nzuri kabx from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 chukraan kwamafunzo!!

  • @AminaSikwala
    @AminaSikwala 7 месяцев назад

    Pole kakq mzuri, unayejua kuigiza uhalisia❤

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu 7 месяцев назад

    Polee sana gozi M/Mungu ampunguzie hadhabu ya kabri baba etu

  • @Abuuhamda256
    @Abuuhamda256 7 месяцев назад +1

    Pole sana bro Allah amfanyie wepes huko aliko

  • @LuluMiii-d2x
    @LuluMiii-d2x 8 месяцев назад +2

    Inalillah wainalilah rajiun pole san kaka goz

  • @liwazaomary106
    @liwazaomary106 7 месяцев назад

    Wapi chado mwisho wa ubaya aibu)pole sana Gozi kwa kuondokewa na mzazi

  • @saladinkawis
    @saladinkawis 7 месяцев назад +3

    pole bro

  • @zaitunimwandetele4400
    @zaitunimwandetele4400 8 месяцев назад +1

    Inna Lilah wa Inna Lilah Raji un hakikaka sis n wake n kwake tutalejea apumzike kwa aman baba,n honger pia kwa kipaji japo umepitia changamoto ngumu kwenye hii move

  • @AminaMohammed-u7j
    @AminaMohammed-u7j 7 месяцев назад +1

    Asanteni sana kazi nzuri hii gozi tuletee nyengine

  • @MaulidAbood
    @MaulidAbood 7 месяцев назад

    Kazi yako nzuri sana

  • @philipogabriel6056
    @philipogabriel6056 7 месяцев назад

    Pole sana kijana Mungu akupe faraja ktk kipindi hiki kigum tuko na wewe lete kazi mpya sisi ni wadau wako kiindak ndiki

  • @jovithatibatekeleza6598
    @jovithatibatekeleza6598 8 месяцев назад +4

    Pole sana Gozi Mungu amlaze mahali pema peponi mzee

  • @Fedda258
    @Fedda258 8 месяцев назад +3

    Pole Sana kaka
    Tunaisuburi season 2 ya moyo wa chuma. Shabiki yako Niko🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @RaphaelKandege-l4h
    @RaphaelKandege-l4h 8 месяцев назад +1

    Hongera sana got kwa move hii hadi mwisho ila Pole sana kwa kuondokewa na mzaz wako

  • @MaryamMaryam-ru1qt
    @MaryamMaryam-ru1qt 7 месяцев назад

    Pole. Xna brooo na ninakupa pongez xna kwa kaz yako sisi team strong 2po mbli lkn 2nakupa pongez xna kwa kaz nzurr allah akujalie ufanikiwe

  • @jamalalfereabdulcarimo1011
    @jamalalfereabdulcarimo1011 7 месяцев назад +1

    Pole Sana Gozi. Sisi sote niwaja wa mungu mungu akimwitaji mja wake ananchukuwa. Pole sana

  • @SalmaKassim-jg8lp
    @SalmaKassim-jg8lp 2 месяца назад

    Gozi moyo wa chuma pongezi dana jazi safi i seey

  • @masoudjongo
    @masoudjongo 7 месяцев назад

    Pole sana dr gozi nachangamoto ulizopitia na ongera kwa kazi mzuri akika unatupa kitu moyo unataka

  • @josephelemash
    @josephelemash 7 месяцев назад +3

    Pole kWa kumpotezaa Baba. MUNGU AWatie Moyo.

  • @CzaSuzan
    @CzaSuzan 7 месяцев назад

    Daaaah so sad news Pole sana rafiki yangu kwa kuondokewa Na Baba yako Mungu akawe mfariji kwenu.by the why Hongera sana kazi nzuri sana.

  • @MwinulaCharles
    @MwinulaCharles 7 месяцев назад +1

    pole sana kk gozi mungu akutie nguvu kk na kukumbali sana kk

  • @HuseniSabiti
    @HuseniSabiti 7 месяцев назад

    Moyo wa chuma.... Mwishooooo
    Pole kwa kuondokewa na baba

  • @MellicaAman
    @MellicaAman 7 месяцев назад +2

    Pole san kak kwa yaliyokukut

  • @jamesnokwe3650
    @jamesnokwe3650 7 месяцев назад

    Mungu awe nawe katika hiki kipindi kigumu unachopita naipenda kazi yako mm Niko mkoa wa Mara lakin nafuatilia kazi zako God bless you

  • @calebomariba-we3yk
    @calebomariba-we3yk 7 месяцев назад

    Mungu halaze roho yake mahali pema peponi n pia asanteni sana Kwa kazi nzuri niko imara kungoja season 2

  • @demaestro4599
    @demaestro4599 8 месяцев назад +2

    Dah pole sana Mr Gozi

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 7 месяцев назад +1

    Nimefuraaahi sana walivosameheana kama Kweli vile 😊,lla pole sana kwa kumpoteza baba,sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea,.

  • @KephaRobert
    @KephaRobert 8 месяцев назад +6

    Pole sana Mr Gozi kwa msiba 😭😭😭

  • @IreneZacharia-p5w
    @IreneZacharia-p5w 8 месяцев назад +1

    Pole Sana goz kwa kuondokewa na baba yako

  • @SalimGori-fs2iz
    @SalimGori-fs2iz 7 месяцев назад

    Pole sana broo Allah upupe faraja wakiti huu mgumu ila kazi ya mungu haina makosa sote njia ytu moja lkn pia tuna hamu n shauku ya sehemu ya pili uko vizuri kaka pamoja na kua ulikua unachelewa lkn ukutoka inje ya mada nimeipenda ina mafunzo na changamoto kwenye maisha

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 8 месяцев назад +1

    Wah kama namuona hanifa wangu😂😂😂 jaman mnajua sana kubeba uhusika ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉

  • @mrben227
    @mrben227 7 месяцев назад

    Kazi kubwa Sana gozi kk I really appreciate your work 🙏 mungu akupe umri mrefu kwenye maisha yko Ili uzidi kufanya makubwa,,pia pole kwa kuondokewa na mzee mungu akutie katika kipindi hik kigumu

  • @AbdallahIddy-s6w
    @AbdallahIddy-s6w 7 месяцев назад

    Pore sana kaka mungu akuogeze kwenye wakati mgum kaka kazi ninzur

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 7 месяцев назад +1

    Pole cn gozi kz yamungu Aina makona innalillah Rajiun

  • @MosesWamalwa-jf2ip
    @MosesWamalwa-jf2ip 7 месяцев назад +2

    Bongezi sana kwa kazi nzuri

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 8 месяцев назад +1

    Duh jamani muna chelewesha muendelezo mno. Anyways hongereni

  • @ElenaBertha
    @ElenaBertha 7 месяцев назад +1

    Congratulations sana bro ❤❤

  • @HadijaLipindi
    @HadijaLipindi 7 месяцев назад

    Pole Sana gozi kwa msiba. Napiga nakupa maua yako kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @ininahazwedaniella7948
    @ininahazwedaniella7948 7 месяцев назад +1

    Pol sana kaka angu utupe nyingine🎉🎉🎉🎉❤

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 7 месяцев назад

    Pole sn kaka mungu akusimamie vyema na akufanyie wepes na awape subra ktk hili

  • @MaryamNurru
    @MaryamNurru 8 месяцев назад

    daa kaka gozi pole sana kwa msiba mungu akutie guvu pole sana

  • @Ramaassane
    @Ramaassane 8 месяцев назад +2

    Wakwaza Mimi Moçambique nahomba ❤

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 3 месяца назад

    Gozi kazi nzuri 🎉🎉🎉
    Movie fupi nzuri
    Pole sana Mungu akupe subra sote ndio njia 😢😢

  • @aminareila7136
    @aminareila7136 7 месяцев назад

    Duuuh pole sana kaka mwenyez mung akutie nguvu katka kipindi hiki kigum

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 7 месяцев назад

    ❤❤❤ nzuri sana 🔥 hongera kwa kz nzuri 😢😢ohoooo pole Sana kaka kazi ya mungu Haina makosa 😭

  • @HusnaMasenga
    @HusnaMasenga 7 месяцев назад

    Walaikum msalam innalilah wainnaillah rajiuni 😭 pole san kaka Mungu amlehemu mzee wetu ina asante sana kwa kazi nzuri mashaallah Mungu akubaliki sana buroo ❤❤❤

  • @MatambishiBaila
    @MatambishiBaila 7 месяцев назад

    Poleee sana kwamusimba
    Nikupe hongera sanna na mungu awalinde naawape hisiya kali pamoja na chando

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 7 месяцев назад

    Kazi nzuri from Oman brother kozi imekwisha vizuri iyi movie ya moyo wa chuma

  • @charydnasey9678
    @charydnasey9678 7 месяцев назад

    Pole sana gozi Mungu ailaze roho ya baba mahali pema😭😭na pia pongezi kwa kazi nzuri moyo wa chuma inamafunzo nzuri sana❤❤natokea kenya 🇰🇪

  • @HarithJobe
    @HarithJobe 8 месяцев назад +2

    Nakubal mwanetu

  • @upendofamily7127
    @upendofamily7127 7 месяцев назад

    Pole sana mwamba. Maisha yana realities zake. Mungu alimpenda mzee kuliko wewe na familia nzima. Mwenyezi Mungu akutie nguvu na roho ya mzee wetu kipenzi ipumzike kwa amani. Amin

  • @tressaomeme9384
    @tressaomeme9384 7 месяцев назад

    Pole sana my dear mungu akupe faraja ktk kipind iki kigum

  • @AsiaAbdalaMpotite
    @AsiaAbdalaMpotite 7 месяцев назад

    Pole sana gozi mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu kwa kuondokewa na baba yako

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 7 месяцев назад

    Pole sana kaka umepata msibakubwa pole sana Alla alaze roho yake pahala pema baba

  • @SaedaAlbreki
    @SaedaAlbreki 8 месяцев назад +2

    Pole sana kk

  • @victormkello9575
    @victormkello9575 7 месяцев назад

    Nimesikitika sana hapo mwisho, Mungu akupe roho wa faraja bro.
    Ila movie imekuwa poa sana, endelea kupambana na kazi. Mengine mwachie Mungu tu.

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 7 месяцев назад +1

    Pole sana kaka kwakufiwa na baba

  • @RamadhanKihalaDalali
    @RamadhanKihalaDalali 7 месяцев назад

    Pole Sana Gozi Kwa Kufiwa Na Baba yako.Mwenye Ezi Mungu Akupe Moyo wa Subra.Na Hongera kwa Kazi Nzur Kaka.

  • @Ftwm-ew3up
    @Ftwm-ew3up 7 месяцев назад

    Pole sana mungu akupe faraja na hongera kwa kazi zuri ❤❤

  • @PatrickKaundu
    @PatrickKaundu 7 месяцев назад

    Pole Sana kaka ...Alf move zako ni zuri Sana na zina mafunzo Kwa maisha

  • @BasraMaisara-ke8kk
    @BasraMaisara-ke8kk 7 месяцев назад

    Uko vizuri Sana kaka nimeipenda iyo na pole sana

  • @BrendaKenzie
    @BrendaKenzie 8 месяцев назад +1

    Poleni sana Gozi kwa kupoteza baba mungu aiweke roho yake pahali pema na apumzike kwa amani😢😢😢😢😢😢 much love from kenya congrats kwa kazi nzuri twaingoja season ya pili❤❤🎉🎉

  • @DhaMasta
    @DhaMasta 7 месяцев назад

    Aqui Chamado Dha Masta Só Moçambicano 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Vive Província de Cabo Delgado Cidade de Montepuez Ruby Mining, Querias Dizer que gostei muito de essas filmes mais força 💪

  • @JoelKemei-g8z
    @JoelKemei-g8z 8 месяцев назад +1

    Pole sana gozi mungu yupo nawe

  • @winielema-lf9kz
    @winielema-lf9kz 7 месяцев назад

    Pole sana,kazi ya mungu haina makosa,na mungu akubariki