MOYO WA CHUMA PART 7 FINAL
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- #frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan
Kazi mzur
😭😭💕pole sana kaka GOZI mungu akupe ufumilifu .tumeipenda sana kasi yako mbarikiwe
nice movie inapendeza 2nasubili kazi zingine kwa hamu
Pole mpendwa mungu akutie nguvu❤❤
Pole sana Mr Gozi
Daaah lnalila waina lilehi rajiuni 😢pole sn
Pole sana kwa kuondokewa na baba m.mungu amjalie kila la kheri ktk sfr yke amsamehe makosa yke amiin amiin
Pole sana Gozi Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unacho pitia Bi strong 💪 mtu wangu😢😢😢😊😊😊
Pole sana Gozi kwa kupoteza baba yko munga akutie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏
Kaka msiba wa kwetu wote bro pole sana ndugu yangu Allah ampe kauli sabit
Pole sana brother na pongezi kwa kazi nzur 🙌
pole sana bro tulikulaumu pasipo kujua pole
Pole sana kaka kazi ya Mungu haina makosa
pole sana gozi kwa kumpoteza Baba
Pole sana gozi na ongereni kwa kazi nzuri
Pole sana kaka Gozi ila hii kitu nime penda sana wallai
Pole sana Mwenyez Mungu awatie nguvu kwa kuonfokewa na mpendwa wenu.
Pole sana kinara Gozi kwa yaliyo tokea, mungu akupe faraja kwa wakati huu kiongozi wetu.
Kweli mapenzi inatawala .. ngozi kutoka nianze kuona series zako sijawai ona ukiwa umefall inlove laki hii series iko top ❤❤ nakupeda sana kutoke 🇰🇪 kenya ... na pole sana kwa kupoteza baba . Roho yake ipumzike mahali pema peponi .. ❤
Inalilah wainalilah rajuun Pole saaaaan bro ,,, mung akupe nguvu
Pole Sana kaka mungu akutie nguvu
Pole sana kaka Gozi Mungu akupe moyo wa uvumilivu katika kipnd hiki kigum , Mungu ampumzishe kwa aman mzee.
Mnajua sana naeshim sana kazi yenu
Hongeren sana ❤chado umeumbuka.poleni sana kwakumpoteza baba
pole sana na Mungu akawe mfariji wenu ktk nyakati hizi ngumu za majonzi
Pole sana kwa kumpoteza baba.pamoja toka 🇰🇪 twasubiri kaz ingine
Pole sana gozi tunapenda movi zako sana
Pole sanaaa director gozi mwenyezi mungu akupe uvumilivu na subra
Pole snaaa gozi
Kazi nzuri sana kaka yangu ❤❤❤
Pole San broo mungu akmpe kauli thabit n akusmamie katk kazi zko appreciate 🫡🥰
Pole sana chado mwenyezi mungu akupe nguvu ujasili na amani pole sana❤🇹🇿
Pole sanà Gozi mungu akupe faraja na pia pongezi Kwa kazi nzuri
🙏🙏🙏
Pole sana kakq goz Allah akupe ujasi akufanyiebwepesi kwakila zito linalo kufikai@@directorgozi5509
dah pole sana gozz wetu mungu akuzidishie moyo wa subra na hongera mchezo ni mzuri sana
Nicheki tufanye kaz
@@SwaaumuRashid nakucheki vipi🤔
Pole Sanaa GOZI Kwa kumpoteza baba
Inna lillah pole sana gozi kwa msiba wa mzee wetu allah akupe moyo wa subra katika kipindi hichi gimu na hongera sana kwa kazi nzuri
Pole sana gozi kwakimupoteza baba yako Ila nagupongeza sana kwa kazi ilikuwa nzuri kabx from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 chukraan kwamafunzo!!
Pole kakq mzuri, unayejua kuigiza uhalisia❤
Polee sana gozi M/Mungu ampunguzie hadhabu ya kabri baba etu
Pole sana bro Allah amfanyie wepes huko aliko
Inalillah wainalilah rajiun pole san kaka goz
Wapi chado mwisho wa ubaya aibu)pole sana Gozi kwa kuondokewa na mzazi
pole bro
Inna Lilah wa Inna Lilah Raji un hakikaka sis n wake n kwake tutalejea apumzike kwa aman baba,n honger pia kwa kipaji japo umepitia changamoto ngumu kwenye hii move
Asanteni sana kazi nzuri hii gozi tuletee nyengine
Kazi yako nzuri sana
Pole sana kijana Mungu akupe faraja ktk kipindi hiki kigum tuko na wewe lete kazi mpya sisi ni wadau wako kiindak ndiki
Pole sana Gozi Mungu amlaze mahali pema peponi mzee
🙏🙏🙏
Pole Sana kaka
Tunaisuburi season 2 ya moyo wa chuma. Shabiki yako Niko🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hongera sana got kwa move hii hadi mwisho ila Pole sana kwa kuondokewa na mzaz wako
Pole. Xna brooo na ninakupa pongez xna kwa kaz yako sisi team strong 2po mbli lkn 2nakupa pongez xna kwa kaz nzurr allah akujalie ufanikiwe
Pole Sana Gozi. Sisi sote niwaja wa mungu mungu akimwitaji mja wake ananchukuwa. Pole sana
Gozi moyo wa chuma pongezi dana jazi safi i seey
Pole sana dr gozi nachangamoto ulizopitia na ongera kwa kazi mzuri akika unatupa kitu moyo unataka
Pole kWa kumpotezaa Baba. MUNGU AWatie Moyo.
Daaaah so sad news Pole sana rafiki yangu kwa kuondokewa Na Baba yako Mungu akawe mfariji kwenu.by the why Hongera sana kazi nzuri sana.
pole sana kk gozi mungu akutie nguvu kk na kukumbali sana kk
Moyo wa chuma.... Mwishooooo
Pole kwa kuondokewa na baba
Pole san kak kwa yaliyokukut
Mungu awe nawe katika hiki kipindi kigumu unachopita naipenda kazi yako mm Niko mkoa wa Mara lakin nafuatilia kazi zako God bless you
Mungu halaze roho yake mahali pema peponi n pia asanteni sana Kwa kazi nzuri niko imara kungoja season 2
Dah pole sana Mr Gozi
Nimefuraaahi sana walivosameheana kama Kweli vile 😊,lla pole sana kwa kumpoteza baba,sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea,.
Pole sana Mr Gozi kwa msiba 😭😭😭
Pole Sana goz kwa kuondokewa na baba yako
Pole sana broo Allah upupe faraja wakiti huu mgumu ila kazi ya mungu haina makosa sote njia ytu moja lkn pia tuna hamu n shauku ya sehemu ya pili uko vizuri kaka pamoja na kua ulikua unachelewa lkn ukutoka inje ya mada nimeipenda ina mafunzo na changamoto kwenye maisha
Wah kama namuona hanifa wangu😂😂😂 jaman mnajua sana kubeba uhusika ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉
Kazi kubwa Sana gozi kk I really appreciate your work 🙏 mungu akupe umri mrefu kwenye maisha yko Ili uzidi kufanya makubwa,,pia pole kwa kuondokewa na mzee mungu akutie katika kipindi hik kigumu
Pore sana kaka mungu akuogeze kwenye wakati mgum kaka kazi ninzur
Pole cn gozi kz yamungu Aina makona innalillah Rajiun
Bongezi sana kwa kazi nzuri
Duh jamani muna chelewesha muendelezo mno. Anyways hongereni
Congratulations sana bro ❤❤
Pole Sana gozi kwa msiba. Napiga nakupa maua yako kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Pol sana kaka angu utupe nyingine🎉🎉🎉🎉❤
Pole sn kaka mungu akusimamie vyema na akufanyie wepes na awape subra ktk hili
daa kaka gozi pole sana kwa msiba mungu akutie guvu pole sana
Wakwaza Mimi Moçambique nahomba ❤
Gozi kazi nzuri 🎉🎉🎉
Movie fupi nzuri
Pole sana Mungu akupe subra sote ndio njia 😢😢
Duuuh pole sana kaka mwenyez mung akutie nguvu katka kipindi hiki kigum
❤❤❤ nzuri sana 🔥 hongera kwa kz nzuri 😢😢ohoooo pole Sana kaka kazi ya mungu Haina makosa 😭
Walaikum msalam innalilah wainnaillah rajiuni 😭 pole san kaka Mungu amlehemu mzee wetu ina asante sana kwa kazi nzuri mashaallah Mungu akubaliki sana buroo ❤❤❤
Poleee sana kwamusimba
Nikupe hongera sanna na mungu awalinde naawape hisiya kali pamoja na chando
Kazi nzuri from Oman brother kozi imekwisha vizuri iyi movie ya moyo wa chuma
Pole sana gozi Mungu ailaze roho ya baba mahali pema😭😭na pia pongezi kwa kazi nzuri moyo wa chuma inamafunzo nzuri sana❤❤natokea kenya 🇰🇪
Nakubal mwanetu
Pole sana mwamba. Maisha yana realities zake. Mungu alimpenda mzee kuliko wewe na familia nzima. Mwenyezi Mungu akutie nguvu na roho ya mzee wetu kipenzi ipumzike kwa amani. Amin
Pole sana my dear mungu akupe faraja ktk kipind iki kigum
Pole sana gozi mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu kwa kuondokewa na baba yako
Pole sana kaka umepata msibakubwa pole sana Alla alaze roho yake pahala pema baba
Pole sana kk
Nimesikitika sana hapo mwisho, Mungu akupe roho wa faraja bro.
Ila movie imekuwa poa sana, endelea kupambana na kazi. Mengine mwachie Mungu tu.
Pole sana kaka kwakufiwa na baba
Pole Sana Gozi Kwa Kufiwa Na Baba yako.Mwenye Ezi Mungu Akupe Moyo wa Subra.Na Hongera kwa Kazi Nzur Kaka.
Pole sana mungu akupe faraja na hongera kwa kazi zuri ❤❤
Pole Sana kaka ...Alf move zako ni zuri Sana na zina mafunzo Kwa maisha
Uko vizuri Sana kaka nimeipenda iyo na pole sana
Poleni sana Gozi kwa kupoteza baba mungu aiweke roho yake pahali pema na apumzike kwa amani😢😢😢😢😢😢 much love from kenya congrats kwa kazi nzuri twaingoja season ya pili❤❤🎉🎉
Aqui Chamado Dha Masta Só Moçambicano 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Vive Província de Cabo Delgado Cidade de Montepuez Ruby Mining, Querias Dizer que gostei muito de essas filmes mais força 💪
Pole sana gozi mungu yupo nawe
Pole sana,kazi ya mungu haina makosa,na mungu akubariki