Hernia ni ugonjwa gani??

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • hernia ni ugonjwa ambao ni common sana, watu wengi khaswa wanaume wapata sana.. katika hini video naeleza hernai ni kitu gani, na yatibiwa vipi..
    Asanteni
    Like, subscribe and share
    Music: Bensound.com

Комментарии • 62

  • @ZulfatAbdallah-o8u
    @ZulfatAbdallah-o8u 25 дней назад

    Dah nimekuelewa dokta maana kwa kweli nilikua siujui huu ugonjwa ila kwa sasa nimeufahamu na shukran sana jazakallahu lkheir

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 года назад +6

    Maashaallah somo zur

  • @FridaBaraka-oz2bj
    @FridaBaraka-oz2bj 24 дня назад

    Asante doctor nimesikia Nina Hilo tatizo

  • @chaterassk6967
    @chaterassk6967 2 года назад +3

    Nzuri sana ahsante kwa kutuelimisha

  • @MariamNecmi-cy2jl
    @MariamNecmi-cy2jl Год назад +1

    Dr asanteee sana Kwa somo

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 7 месяцев назад +3

    Somo zuri mno mawasiliano muhimu mno.

  • @swabramaro8900
    @swabramaro8900 Год назад +1

    Allahbarik dada

  • @dottomboye972
    @dottomboye972 Год назад +1

    nimekuelewa sana dk

  • @absonngata5830
    @absonngata5830 2 года назад +2

    asante kwa somo na mm mwanangu ana huu ugonjwa wa hernia mpaka tuliambiwa na doctor tutafute mesh ili afanyiwe hyo tiba

  • @ramamakelo5374
    @ramamakelo5374 2 года назад +2

    Asante Dr

  • @NeyShayo-c3c
    @NeyShayo-c3c 11 месяцев назад +2

    😢😢 doctor mwanangu kavimba korodani moja naomba nisaidie mwanangu apone

  • @KatisaKamwela
    @KatisaKamwela 7 месяцев назад +2

    Mtoto Wang anasumbuliwa na hernia

  • @ShukuruJulliasi-gj1pw
    @ShukuruJulliasi-gj1pw Год назад +1

    asante san

  • @ommydec2887
    @ommydec2887 7 месяцев назад +2

    Ndugu yangu raha kabisa kwasababu ya hio ngiri

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 3 месяца назад +1

    🙏🙏

  • @DonataJoachimu
    @DonataJoachimu 4 месяца назад +1

    Dokta unapatikana wapi asante kwa ushauri na mwanangu anasumbuliwa ana miaka 10

  • @ommydec2887
    @ommydec2887 7 месяцев назад +1

    Ndugu yangu hana raha kabisa sababu ya ernia

  • @elizabethlinus4952
    @elizabethlinus4952 Год назад +1

    Jama mi niko mombasa shanzu mwanangu ako na hio shida kitovu chake kimetoka sana

  • @petrodenice8406
    @petrodenice8406 3 года назад +3

    DKT. Unapatikana, wapi,mm,nina,tatizo,hilo,la,ennia

  • @ommydec2887
    @ommydec2887 7 месяцев назад +1

    Mnapatikana wapi

  • @areenkasongo5568
    @areenkasongo5568 Год назад +1

    Dawa yake ni ipi

  • @BenjaminPatrick-j6e
    @BenjaminPatrick-j6e 2 месяца назад

    Mawasiliano yako doctor

  • @NeyShayo-c3c
    @NeyShayo-c3c 11 месяцев назад +1

    Mwanangu kavimba korodani moja doctor nisaidie mwanangu apone

  • @davidburuma
    @davidburuma Год назад +1

    Baada ya oparesheni je kunauwezekano wakuendelea kutoa mbegu kwausahihi ama ?

  • @betricealifrred3926
    @betricealifrred3926 Год назад +1

    Mimi mtu mzima na harnia

  • @anndaniel4055
    @anndaniel4055 Год назад

    Kama nimepatika nayo ni fanye nini Dr , nalia 😭😭😭🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 7 месяцев назад +1

    Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Месяц назад

    Nina hili ttizo nimepata huu ni mwaka wa nne nimepata kwa upasuaji wa uzazi

  • @meaningoflife651
    @meaningoflife651 2 года назад +1

    Mwanangu ana 6weeks aisee kitovu kimetoka nje naogopa naona kinaongezeka sasa sijui nifanye nini

  • @VeronicaKimaro-eh5xj
    @VeronicaKimaro-eh5xj Месяц назад

    Sasa madam mtu akishazeeka na akijulikana Ana uginjwa huo opareshen ikishindikana kinachofwata

  • @lilianMigide
    @lilianMigide 4 месяца назад +1

    Mm nina harnia na nina mimba kwasahi nimekohoa nanimefura nifanyeje

    • @dr.maryambadawy7063
      @dr.maryambadawy7063  4 месяца назад

      @@lilianMigide nenda hospitali upimwe na daktari ndio ajue kama ni emergency au laa

    • @salmaally2252
      @salmaally2252 16 дней назад

      Mambo lilian

  • @estamwangolombe1372
    @estamwangolombe1372 2 года назад

    Mwanangu anatatizo hilo nakupataje ana mwaka mmoja na nusu

  • @beatricepasience3101
    @beatricepasience3101 3 года назад

    Doctor naomba nitumie namba zako

  • @athumanmvungi4527
    @athumanmvungi4527 4 года назад

    Asante

  • @AminaHamis-zo6mm
    @AminaHamis-zo6mm 9 месяцев назад +1

    Mimiaminahamisi nijibu

  • @nyangokapono1609
    @nyangokapono1609 3 года назад

    Wapatikana wapi

  • @AminaHamis-zo6mm
    @AminaHamis-zo6mm 9 месяцев назад

    Namadokta hao wako spitali gani

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 9 месяцев назад

    Mwapatikana wapi wewe

  • @petrodenice8406
    @petrodenice8406 3 года назад +2

    Unapatikana wapi dk mm nina tatizo hilo au namba.ya.simu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 9 месяцев назад

    Dokta una balaa wewe

  • @AminaHamis-zo6mm
    @AminaHamis-zo6mm 9 месяцев назад

    Spital take ikowapi

  • @haythamchimamy9076
    @haythamchimamy9076 2 года назад

    Vp kwa mtoto,wangu ana miezi kumi ana kitovu kikubwa km kdole cha katkat

    • @dr.maryambadawy7063
      @dr.maryambadawy7063  Год назад

      Hiyo pia ni hernia, waeza kumleta tumpime, piga simu 0789105555 kuweka appointment

    • @TawufiqKaijage-ri8dt
      @TawufiqKaijage-ri8dt 7 месяцев назад

      @@dr.maryambadawy7063 mi niko Tanzania tunafanyaj

  • @stivinpatrick4476
    @stivinpatrick4476 2 года назад

    We unapatikana wap mm ninayo iyo shida 0782123684

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 7 месяцев назад

    Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 7 месяцев назад

    Kuna mtu mmoja nilimsikia akisema ikikaa miaka mingi inatumbuka hapo ni kifo tu hakuna tiba je, ni kweli?