MEDICOUNTER: HATARI YA KUZIDI KWA KIWANGO CHA ASIDI TUMBONI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Unajua kuwa unaweza kupata ugonjwa wa koo huku chanzo kikiwa ni asidi iliyopo tumboni?
    Unakijua kiwango cha kawaida cha asidi kinachopaswa kuwepo tumboni?
    Je, matumizi ya dawa za koo bila kujua kuwa chanzo cha ugonjwa kinaweza kuwa wingi wa asidi tumboni kuna madhara gani?
    Ungana na Dafrosa Prosper ndani ya Medicounter akijadiliana na daktari bingwa wa magonjwa ya koo, sikio na pua, Goodlove Peter wa hospitali ya Mloganzila.

Комментарии • 241

  • @erickkimaro5282
    @erickkimaro5282 2 года назад +5

    Asante Sana doctor nimekusikiliza kwa makini mi niko moshi.Nilikua na tatizo lakikohozi Cha mudamrefu nimetibiwa Ent nimepewa dawa Sana dawa zikiisha tatizolinajirudia nimemezeshwa kipimo kwenye Koo shida haikuonekana na maranyingi nakohowa usiku nilala mwiliukisha rest.Baadaenilikuja kupatwa na vidonda vya tumbo hadisasa nimefuata mashart ,nimetumiwa dawa nimemapata nafuu Kuna muda nacheua kitukichungu Sana.Shida kubwa ninayo ipata ninasikia vibaya mwlini Hadi kichwani hatakama siumwikokote mwili haurudi kawaida
    Naomba ushauri wako doctor hii Hali imeniadhirj Sana.

  • @carolyneNechesa-d9c
    @carolyneNechesa-d9c Месяц назад +1

    Hili tatizo kweli Lina tesa kweli mungu atupenguvu

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 2 месяца назад

    Yani mi nakuelewa vizuri sana dokta

  • @johndingi2504
    @johndingi2504 10 месяцев назад +2

    Wapo vizuri sana kwenye maelezo ila tiba sasa😢!!? Nyie semeni tu ukweli huu ugonjwa hauna dawa ya moja kwa moja

  • @abalkassim5404
    @abalkassim5404 8 месяцев назад

    Up mziki unazidi sauti ya Doctor

  • @thompsonmkwanda3809
    @thompsonmkwanda3809 10 месяцев назад

    Daktari bingwa ni bingwa tu , nimemuelewa vzr sana

  • @sylviasebastian2016
    @sylviasebastian2016 3 месяца назад

    Nakupataje doc

  • @priscammassy464
    @priscammassy464 Год назад

    Nimejifunza vizuri

  • @tunsumejohnjohnmwalaba4719
    @tunsumejohnjohnmwalaba4719 Год назад

    Asante Mimi tonses zimevimba Kwa ndan jaman dawa naweza kupata

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Год назад +1

    Umeelezea vzr mnooo,lkn mbona cm hampokei jmn madaktari wanajua kuringa na fani zao.

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 2 года назад

    In shaa Allah Huyu doctor nikirudi Tanzanian nitamtafuta maelezo yake mazuri Sana

  • @HosanaCharles-lx1ks
    @HosanaCharles-lx1ks 11 месяцев назад

    Mm ninashida iyooo nakupatajee

  • @amadeusgerald6253
    @amadeusgerald6253 3 года назад +3

    This Doctor🙌🙌🙌🙌

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +2

    Maheka heka haya Mungu atusaidie tu sababu yy ndio mwenye spare za miili yetu. Mm hili tatizo limenitesaaa mno mara madaktari wengine waseme ni asidi mara wengine ni vidonda hata siwaelewagi Mungu tu asaidie

    • @HalimajumaKhamis
      @HalimajumaKhamis 8 месяцев назад

      Vp ulipona

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 8 месяцев назад

      @@HalimajumaKhamis hivyo hivyo tu wakati mwingine vinasumbua wakati mwingine nipo sawa. Yaani hivyo ndg yangu

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu2400 4 года назад +5

    Dr unaeleza vizuri sana hata namba tunaiona lakini nikipiga haipokelewi kila nikipiga inatumika Na tatizo hilo linanitesa naomba Msaada wako

    • @BeatriceFarasi
      @BeatriceFarasi 7 дней назад

      Mfatate mloganzila bila hivyo hutoboi

  • @copacabannaswax5061
    @copacabannaswax5061 4 года назад +6

    Nilikuwa naizo dalili zote nashukulu nimepona kabis asante doctar kwaelimu.

    • @sospetermsimbe6203
      @sospetermsimbe6203 4 года назад +1

      uliweza kutumia kitu gani tafadhali

    • @neemaeppah2992
      @neemaeppah2992 4 года назад

      Ulitumia nn jamani

    • @albertomary7345
      @albertomary7345 4 года назад +1

      Ulifanya nn mpka ukapona

    • @tumpemwaijande807
      @tumpemwaijande807 4 года назад +1

      Ulitumia dawa gani tusaidie plz tuna shida sana

    • @copacabannaswax5061
      @copacabannaswax5061 4 года назад

      @@tumpemwaijande807 ok inatakiwa kwanza uende hosp kwasababu shid zimetofautian,ili kuangalia ukubwa watatizo lako lipo kiasi gani ndi unapewa dawa kulingan natatizo lako.waone madoct kinywa na masiki na pua tatizo lako litakwisha.

  • @wilsonemanuel9915
    @wilsonemanuel9915 2 года назад

    Asante sana nimekuelewa sana mm nilikua ninayo iyo ila nilikula matunda sana ikapungua? Jeukila matunda kwasana Vp hapo

  • @MissaYahaya-zj9ut
    @MissaYahaya-zj9ut 9 месяцев назад

    Sas tuskiliza vinanda aw doctor vinanda vyann wakat sis tnaskikiza doctor vile anatuambia

  • @softjeanskhakis9993
    @softjeanskhakis9993 3 года назад +2

    Naomba. Number za simu. Tafathali

  • @anitakidola3820
    @anitakidola3820 3 года назад +8

    Je acid ikiwa nyingi mwilini, inaweza kusababisha vichomi kwenye moyo na presha kupanda ?

    • @lovederyare6756
      @lovederyare6756 2 года назад +1

      Ndy mwaya nilipata hali kama hyo ila nikakaa sawa

    • @annamartine9854
      @annamartine9854 2 года назад

      @@lovederyare6756 ulitumia nn

    • @lovederyare6756
      @lovederyare6756 2 года назад

      @@annamartine9854 amoxxiline 4 na omeprazole 1 asubuh na jioni kwa cku 10..

    • @lovederyare6756
      @lovederyare6756 2 года назад

      @@annamartine9854 kama una vidonda vya tumbo lakin ndo unatumia dozy hiyo

  • @susanmuriuki147
    @susanmuriuki147 2 года назад

    Asante sana kwa kazi inzuri. Number yako dactari. Mimi niko Kenya.

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu2400 4 года назад +5

    Namba ulioitoa kila nikipiga majibu inatumika sasa Mimi niliomba kuhusu tatizo la acid Mimi ninalo Na kikohozi cha muda kipo natamani nikuone wewe mwenyewe

  • @kalengemochi1306
    @kalengemochi1306 2 года назад

    Miito obrigado Azama tv

  • @eshabaruti
    @eshabaruti 8 месяцев назад +1

    DOCTOR mbona hamutuwekei no ya ya wastApp sasa sisi ambao tuko mbali cm haingii paka wastApp ukinagalia number nyingj ni call zakawaida tufanyeje ss

  • @abossto
    @abossto 2 года назад +2

    Tumsikilize daktari au instrument

  • @kelvinmichael6203
    @kelvinmichael6203 3 года назад +2

    Natatizo hilo

  • @hamidabwanda9294
    @hamidabwanda9294 9 месяцев назад

    Dokta namshukuru na mimi kija a wangu anatatizo hilo upo dar sehemu gani

  • @clementselestine5308
    @clementselestine5308 2 года назад

    Namba.....

  • @consolatasimon316
    @consolatasimon316 2 года назад +2

    Dr namba haipatikan, namm ninahili tatizo, naomba Nijue upo hospital gn

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 2 года назад

      Hio namba sio ya Dakari ,ni namba MEDICAUNTA, ila ukiwacheki what's up anajibu

  • @RaphaelDaffa
    @RaphaelDaffa 6 месяцев назад

    Mxiki wa nini tena jaman..tunataka kumsikilizs dokta sio kelele za mziki....

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 2 года назад

    Safi omeongea vzr sana doctor (Baba Chelsea

  • @salvanandsonsfinanciallimi2831
    @salvanandsonsfinanciallimi2831 2 года назад +2

    Msiwe mnaweka miziki anapokuwa anaelezea dokta maana usikivu unaatofautiana Kati yetu

  • @rehemadickson8730
    @rehemadickson8730 3 года назад +1

    Doctor naomba nisaidie kwa hapa Arusha nitawapataje Hilo tatixo ni la muda mrefu nimeenda kila hospital wameshindwa

  • @rizikisimai5140
    @rizikisimai5140 3 года назад +2

    Tunaomba no ya doct

  • @RestitutaNjau-k8x
    @RestitutaNjau-k8x Месяц назад

    Dr mimi koo langu linakauka sana mara kwamara ninishidà

  • @rehemadickson8730
    @rehemadickson8730 3 года назад +4

    Doctor samahan Bibi yangu anasumbuliwa Sana na tatizo la tumbo kujaa gesi imesababisha Hadi koo imekuwa na vidonda na sasa hv anashindwa Kula kitu chochote je nifanye nini niweze kumsaidia aweze kupona

  • @mwh8547
    @mwh8547 3 года назад +1

    Dr. Tuandikie izo dawa tukanunue wengine tuko mbali

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +2

    Dr mim nina shida na ww napataje namba zako?

  • @sophiatengeza8010
    @sophiatengeza8010 2 года назад

    Noted

  • @stailekiko1512
    @stailekiko1512 4 года назад +4

    Tunaomba namba yako dr, tunashukuru, ila hili ttz naona madr wengi hawalijui tiba yake.

    • @dafrosaprosper7165
      @dafrosaprosper7165 4 года назад

      POLE SANA NO YA DACTARI HII 0713 159133

    • @isentrudikomba5825
      @isentrudikomba5825 4 года назад

      Naomba namba tafadhali

    • @roselynerwezaula8519
      @roselynerwezaula8519 2 года назад

      Jamani jamani docta kwenye watu wakusaidia zaidi nimimi .yaani ukiniangalia ulimi utakimbia.sauti ilishabadilika meno yanaoza nimeshangoa meno matano .nikupate je jamani .Doctor watoto wangu ni wadogo sana

  • @joharimadua8342
    @joharimadua8342 4 года назад +5

    Sasa tiba ya acid ni ipi

  • @annakimario-rw6rd
    @annakimario-rw6rd Год назад

    Mm naitwa anna nipo dar es salaam naumwa tumbo atari usiku silali nimepiga utrasaund mbili nimeambiwa ni vidonda vya tumbo pia aside nyingi dawa nimemaliza ila bado tumbo lina niuma sana naomba msaada

  • @aishtan2745
    @aishtan2745 3 года назад +1

    Shukrani

  • @mammymammito5524
    @mammymammito5524 2 года назад +1

    Niko na hili tatizo miaka mingi sana naomba msaada.

  • @dinacharokiwa4849
    @dinacharokiwa4849 Год назад +1

    Huo mziki uatupotezea kumsikiliza vizur doctor

  • @ruqayahaloraimi4007
    @ruqayahaloraimi4007 4 года назад +2

    Habari doctor. Mimi ninalo Hilo tatizo na pia Niko Oman unaweza kunisaidiaje angalau nipate advice. Kwa kweli madoctor wengi hawayajuwi hayo.

    • @neemaeppah2992
      @neemaeppah2992 4 года назад +2

      Kabisa wengi hawaelewi ,wanaishia kutupa midawa tuuu mpaka nimechoka

    • @aishakhadija4002
      @aishakhadija4002 3 года назад +1

      Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh VP ruqaya ulipata ushauri kuhusu acid unisaidie na mm please

    • @rosedickson8202
      @rosedickson8202 3 года назад

      Nishada

  • @macstar3608
    @macstar3608 4 года назад +5

    docta mimi nina tatizo hilo pia naomba no yako

  • @CatherineCatjoh
    @CatherineCatjoh 6 месяцев назад

    Je vinaweza sababisha vidondo mdomoni

  • @MelisiannaCharles
    @MelisiannaCharles 2 месяца назад

    naomba namba ako doct nna magonjwa Kam yote

  • @Noahlembris-zi6co
    @Noahlembris-zi6co 6 месяцев назад

    Dokta naomba namba yako nikwelekeze kwa umakini Sana kuusu vidonda vyangu Mimi ya vimekisili

  • @sharifumanili8627
    @sharifumanili8627 4 года назад +2

    Badilishen namba za simu Mnazo zitoa kwani ni zangu

  • @jokhaabdallah7724
    @jokhaabdallah7724 4 года назад +3

    Jaman tunaomba namba ya huyu Dr au tuelekezeni hospital aliyopo na jina lake pia

    • @kelvinchaula5075
      @kelvinchaula5075 2 года назад

      Hata ukipewa no.yake kuipokea Simi yako kaziipo

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 2 года назад +2

      Nenda hospital ya MLOGANZILA ,sema nata kuona daktari speshalist wa Koo ,au kama unamtakq huyo anaitwa Doctor mfuko

  • @Noahlembris-zi6co
    @Noahlembris-zi6co 6 месяцев назад

    Dokta naomba namba nikwelekeze kwa umakini

  • @malkiawanguvu3150
    @malkiawanguvu3150 2 года назад +1

    Yaani leo nimekutana na somo linalonisumbua🤔 xray nimepigwa za kutosha! Hivi karibuni nimeambiwa ninavidonda vya tumbo dawa natumia za vidonda vya tumbo lakini wapiii. Mwaka wa 2 sasa ni kukohoa tu😭😭😭 dr help me

  • @raymondbudodi4766
    @raymondbudodi4766 3 года назад +2

    Mimi pia nateseka Sana na hii shida,Aisee Dr.nakupataje?

    • @mahmoudsaleh230
      @mahmoudsaleh230 3 года назад

      Raymond budodi . Vip umeenda hospital kuchek

    • @halimamvungi1
      @halimamvungi1 2 года назад

      @@mahmoudsaleh230 MLOGANZILA mi nimeenda leo

    • @mgangaevarist9760
      @mgangaevarist9760 2 года назад

      @@halimamvungi1 vp umepata huduma?

  • @ndeshilema339
    @ndeshilema339 2 года назад +1

    Dr Nina tatizo Hilo na ni muda mrefu naomba namba yako tafadhal

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu2400 4 года назад +2

    Naomba namba yako Dr

  • @pendojohn9994
    @pendojohn9994 2 года назад

    Namba dockt

  • @gladyskitonyi6636
    @gladyskitonyi6636 2 года назад +1

    Mnapatika wapi?

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 5 лет назад +18

    Tunaomba muwe mnatuondolea huo mziki madaktari wakiwa wanaongea

  • @MelisiannaCharles
    @MelisiannaCharles 2 месяца назад

    naomba namba yako doct

  • @PaulineNerima-kq5tf
    @PaulineNerima-kq5tf Месяц назад

    Huyu Daktari ni wa kenya

  • @azizaalnaamani753
    @azizaalnaamani753 2 года назад

    Jamani mnaporusha vipindi muhimu km hv mnatoa namba km huyu dkt wengi tunashida tunataka tumueleze matatizo yetu hatujui tutampataje namba mlio weka hapo haipatikani

  • @kelvinchaula5075
    @kelvinchaula5075 2 года назад +1

    Tibayake ninini?

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 Год назад

    Naomba namba ya doktari tafadhali🙏

  • @kambalegulbert210
    @kambalegulbert210 2 года назад

    Godd

  • @sakinahamza5325
    @sakinahamza5325 2 года назад +1

    Mm kidg nafuu mana ilikuwa hatali wamenitowa mpk matonses vidonda vya tumbo shikamoo

  • @dorinaamiri6448
    @dorinaamiri6448 3 года назад +1

    Nisaidieni

  • @iddyhamisi6056
    @iddyhamisi6056 2 года назад

    Huyu dr anapatikana kwa no ipi

  • @NuruSaid-w9s
    @NuruSaid-w9s 8 месяцев назад

    Doctor iko kipimo huwa ni shingapi ukipiga cm hupokei

  • @wilsonemanuel9915
    @wilsonemanuel9915 2 года назад

    Jena nikila mbonga mbonga kwa wingi Vp hapo

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Год назад

    Tumia homa prozo

  • @zuwenanamoo4776
    @zuwenanamoo4776 4 года назад +2

    Doctor naomba namba ya sim manake mie sipati amani kakiba kwa tatizo ili ninalo na pia niko huku zanzibar

  • @joyceshandu2400
    @joyceshandu2400 4 года назад +1

    Hiyo namba haipokelewi

  • @marymaleko5377
    @marymaleko5377 Год назад

    Hogereni tunaomba huduma yenu kuwapata kukoje.

  • @MonicaSepeku-oy4mu
    @MonicaSepeku-oy4mu Год назад

    Jamani naomba namba yako Dr please

  • @marysilver7550
    @marysilver7550 3 года назад +2

    Dr mi koo linanikauka sana na matonsi pia

  • @fatmatwalib8408
    @fatmatwalib8408 Год назад

    Hongera sana Dr kwa kutuelimisha.
    Mimi nina shida hiyo naombA niandikie da

  • @jijiomar2430
    @jijiomar2430 3 года назад +2

    Niko na hiyo shida kwa miyaka 16 nashindwa kupumua kila ifikapo usiku haswa naweza kuwapata wapi plz

  • @MonicaSepeku-oy4mu
    @MonicaSepeku-oy4mu 10 месяцев назад

    Dr naww basi upoke simu watu wanamatatizo umeweka namba lakini upokei kaah😢

  • @alimachutv6297
    @alimachutv6297 Год назад

    Tuna pataje namba za simu

  • @SaumuJasho-bs9fk
    @SaumuJasho-bs9fk Год назад

    Doct mim Nina aliyakuwkama ninamabak kweny koo nitakuptje

  • @cialyzool8949
    @cialyzool8949 2 года назад +1

    Jmn mm acid inantesa,,, mwil unaishiw nguv moyo unaend mbio nahs kma nakosa pumz , Kuna muda nashindwa kubeua ..tusaidiane kitu gn kinasaidia kupunguz acid

  • @samsonkomba1439
    @samsonkomba1439 4 года назад +1

    Mimi koo langu linashida iv sicheuwi vzuli km vile limeziba ivi navyokula chakula maji y kunywa yawe jilani sijajua titzo nini nisaididie dr

  • @lrene4442
    @lrene4442 Год назад

    Dokta naomba namba yako jamani me nadalilizote nisaidie mimi jamani

  • @dariaevance4258
    @dariaevance4258 2 года назад

    Ni miezi sita Sasa nahangaika bila mafanikio,nahisi kama kohozi kooni ,ukitoa halitoki,ukila nikama chakula kinakwama,na kupaliwa ovyo ovyo

  • @amadeusgerald6253
    @amadeusgerald6253 3 года назад +1

    Ekenywa Hospital wanatibu hii shida..wamebobea kwenye E.N.T

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 года назад +3

    Dr. Tusaidie namba tunaumwa yaani hadi 😭😭😭 nipo Oman

  • @tumpemwaijande807
    @tumpemwaijande807 4 года назад +2

    Mimi nilifanyiwa kipimo cha endoscopy niliambiwa ninamichubuko kwenye koo la chakula na njia ya chakula imesababishwa na asidi nyingi tumboni nikapewa dawa lakini hakuna mafanikio naomba msaada nateseka kwani mpk sasa meno yote yanauma na masikio yanaziba

  • @gladyskitonyi6636
    @gladyskitonyi6636 2 года назад

    Venye unaelezea ndivyo nahisi,,,,nielezee niwapi nitakupata

  • @nembua
    @nembua 2 года назад +1

    Doctor naomba namba yako tafadhali

  • @ezekielmgao5860
    @ezekielmgao5860 Год назад

    Ezeboy

  • @khaulaalliy8876
    @khaulaalliy8876 Год назад

    Sorry tunaomba namba za uy doc

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 2 года назад

    Huyu Dr.uhakika anchokielezea ni vitu vya kwel kabisa

  • @salmankya7019
    @salmankya7019 2 года назад +2

    Jamani mi pia kuna kitu kama kimenukwama kwenye koo.dah mda mrefu sana...alafu nacheua kwa sauti sana kila saa hata kama sjala

  • @kamuuaristarick5954
    @kamuuaristarick5954 2 года назад

    Nataka namba zako

  • @fildausally5855
    @fildausally5855 4 года назад

    Tunna shids nying tusaidie

  • @mozeebinorgenes5527
    @mozeebinorgenes5527 4 года назад +2

    Naomba no yako doctor ninashida ya acidi nyingi tumboni

    • @neemaeppah2992
      @neemaeppah2992 4 года назад

      Jamani ni tatizo la wengi mm mpaka nikila tumbo linaniuma Sanaa,hata kutembea naumia mpaka kichwa kinauma Sana

    • @tumpemwaijande807
      @tumpemwaijande807 3 года назад

      Vp kaka ulifanikiwa kutibu tatizo la asidi nyingi tumboni

    • @tumpemwaijande807
      @tumpemwaijande807 3 года назад

      Vp ulitibiwa tatizo lako kaka? Unisaidie na mimi ulitibiwaje?

    • @agnesmwita2474
      @agnesmwita2474 3 года назад

      @@tumpemwaijande807 vp dada umepata tiba maana na mm ni hilo tatizo linanisumbua sana.

    • @tumpemwaijande807
      @tumpemwaijande807 3 года назад

      @@agnesmwita2474 nope namba yako may dear

  • @jamilaayahya650
    @jamilaayahya650 2 года назад

    Docta naomba unisaidie niandikie dawa mipo mwanza

  • @fildausally5855
    @fildausally5855 4 года назад +1

    Dr tunaomba namba zako weng tuko na shida hiyo