Nimewahi Kutana Na s2kizzy Pluto Studio Mara Kadhaa,Ni Hard Worker,Hana Majivuno,Anapenda Kuona Vijana Wanapambania Ndoto Zao.Kanisaidia Kuimprove Kwenye Production Yangu Kiujumla
Hira mm sijapenda kusuka nywere kutoboa kipini ww mtoto wakislam mungu hamesha kuweka ktk kundi la mashetani hiii dunia tunapita fanya mambo yanayo mpendeza mungu sio binadamu 😭😭😭🤲🙏
@MAHOKA GAMER hahahaha ila waislam ninyi mna vituko kweli, mtu mzima na akili timamu aamue kuishi maisha yake yanayomvutia lawama wapewe mayahudi na manasara? Akili zenu sio timamu
@@Oldskulgemini9991 kweli lakini 2pac na maadili ya nnchi yao inamfanya afanye hivyo na vingine vyingi.. Huku kwetu sio rasmi ila ndio wimbi linawapitia sasa.. kwa muislam yeyote huo ni msiba..
Acha udini ww mzungu hana shida akifanya mbongo tyr mdomo mrefu hizo ni tamaduni hazihusiani na unachowaza wewe na imani yako jifinze kutenganisha imani na life style alafu kila mtu ana maanuzi yake unaweza ona kutoboa pua dhambi sana vipi ww unayetamn mke wa mtu ila unajificha watu hawakuoni? Vipi mwizi? Vipi mwongo? Vip yule mchawi si dhan kam kweny haya yote wewe haupo watch out your mouth
Kwann watu mnashindwa kuelewa kuwa nchi hii ni ya democrasia na haina dini hivyo kila mtu anao uhuru wa kufanya atakalo ila tu asivunje katiba ya nchi. Haya naomba kuwauliza nyote mnaosema S2KIZY kakosea kuweka huo muonekano wake...mmewahi kujua kila baya linalofanywa kwa siri na kila mtanzania? maake kama ni mambo yasiyotakiwa kufanywa na mwanaume ni chungumzima ie kupiga mke, kubaka, kulawiti, kufirana n.k sasa kwakuwa hayo hayaonekani kweupe mnajifanya kuona haya machache yasiyo na kosa lolote dhambi ni dhambi hakuna ndogo wala kubwa zote zinahukumu sawa according to bible. Sasa usimuhukumu mtu kwa kufuata tamaduni nyingine isiyo yako sio lazima awe kama mume wako alivyo ndio maana halisi ya kutofautiana jaman in short jifunzeni kuwa waelewa juu ya mabadiliko ya utandawazi pia. Msifosi tuishi karne ya 18 wakat tupo karne 21. Angalieni katiba muone kama amekosea kama hajakosea mwacheni nyie sio Miungu wengine humu wachawi,mnafirana kila siku, wivu husda zimewajaa,roho mbaya tu, wazinzi, malaya wazuri tu lakini kuongea ya wenzenu sasa moto acheni ushamba wenu bhna alaa nyir vipi basi hameni tanzania katengenezeni sayari yenu makaishi hayo maisha mnayoyataka tuacheni sisi na kina S2KIZY tuendelee kutoa mahit roho ziwaume mfe tuwazike mtupunguzie joto
Wanaume wa sasa sijui wanawaza nn wallahy ivi kweli mwanamme wa kweli unasuka, unatoboa masikio na pua kweli bado kuvaa shanga za kiuno tu allah vinusuru vizazi vyetu na huu upuuzi
HAWA HUWA WANAPESA LKN NI ZILE ZINAZOWATOSHA KULA KUVAA NA KULIPA KODI LKN BAJET YA KUJENGA HUWA NI KUBWA KULIKO KIPATO CHAO UNAWEZA KUTA KWENYE WASANII 100 WALIO JENGA NI WA 5 MAISHA YA SANAAA NA UONGO MWINGI
Boss Me na wewe tunaweza kujenga tuvyumba tuwili na sebule tukaishi. Msanii hawezi kufanya hivyo maana kila kitu kwake ni biashara. Akihitaji nyumba basi iwe ya hadhi yake inayoweza kulinda Brand yake. Hii nyumba ni Ghali sana kiasi hawezi kuaford. Kumbuka ukubwa wa Ustaa kwa bongo sio ndio wingi wa pesa. So ndio Wanapanga kama hivyo. Naamini wengine wana nyumba ila za kawaida so hawakai....wanapangisha labda n.k
@@agreymbwilo5874 Mzee hata hvyo vya kupangisha wengine hawana kabisa...Hvi nani alikuwa anaamini kuwa Kanumba hakujenga?..Aliacha kiwanja chenye maua tu. Sasa hata hawa waliobaki ndo walewale wanabaki oooh nina nyumba 100 jamn uwongo mwingine wa kijinga sana hvi unaanza nyumba ya kwanza hadi ya 100 bado nyumba yako pendwa haipo si uwongo wa kitoto kabisa?..Sasa wakifa wanaacha wazazi wao hata pakukaa mtihani wacha wapange nyumba zenye hadhi zao.
You're paying a lot of money per month? Why don't you build or buy your own man? That money you're paying every month put all together for a year and you will be able to build or buy your own home, come on Tz who called themselves stars.
am doin real estate sometimes, wasanii waogope hiyo nyumba mm nshawai kuifanyia udalali ipo bahari beach mwaitenda road na mwenye hyo nyumba anakaa nyumba inayofuata na mm pia sikai mbali na huo mtaa.
@@profortymwamba2081 sikiza interview vizuri mpaka mwisho kuna swali kategwa na @vido vidox akaingia mzima mzima akasema kapanga na analipa hela nyingi, ila nyumba yake atakayo jenga itakuwa kubwa sana
Nilitamani sana nione akielezea ndani sehem moja baada ya nyingine kama studio pale kuona anafanyaje kazi, sehemu ya memory zake ni sehemu ya msingi sana kuona ameanzia wapi badala yake mmepitisha pitisha tu utadhani MB mnatununulia nyie 🤬🤬🤬
Sasa country boy ndo mtu wa kwanza kukuamini ila rank umemuweka Diamond wa kwanza we dogo boya sana na ndo unamuiga diamond unatoboa unavaa helen nilikuw nakukubali ila sasa hv nmekutoa maana umekuwa limbukeni
@@mrambadiana9678 Shida wabongo wengi tunachukulia maisha tunayowaona nayo kwa tv ndio uhalisia,kwa skizzy ni hatua kubwa sana kwa sababu katoka katika vumbi na kujipigania
inspiration mahn, allah. bless this guy hez a real one
Jamaa Yuko talented
Big up s2kezzy mtu aman sana hana mikogo
Zombie anajibu kwa akiri mingi asante anakwepa unafiki adi raha
Vido Vidox ayo tv Entertainment number One. Umeni Inspire kusoma Mass communication and Journalism and Journalism. Big up Vido Vidox
Shukrani sana Kamanda endelea kukoma mzeee baba 👊🏾
Safi sana
Mshkaji ni creative sana🥇
Kama unamkubali S2kizzy Gonga Like tuishiii
When god say yes no body say no keep it up kijana wa stamico
Akidunga kipuli 2 pac ni sawa lkn akidunga mtu wa nyumbani anajidhalilisha..watu bwana
Unyama S2KZY 💯❤️
Kwa Sasa kama Kuna producer Bora kuliko s2kissy atoke mbele mwambq ni nomaaaa hit song
Yupo ndugu mfatilie anae mrekodia jux
Iyo ndio shida ya umaarufu, ukipata pesa kidogo unafanya vitu vimetoka nje ya maadili kipini puani unatoboa sikio bdo ulimi uitwe shoga
Umeonaeeee.
SEMA wewe ni mtumwa wa fikra hebu fatilia asili ya mwafrica ni ipi
@@kurumwagodfrey7052 wew lazima utakuwa CHOKO
Nimewahi Kutana Na s2kizzy Pluto Studio Mara Kadhaa,Ni Hard Worker,Hana Majivuno,Anapenda Kuona Vijana Wanapambania Ndoto Zao.Kanisaidia Kuimprove Kwenye Production Yangu Kiujumla
Aya
Mpe mkundu akufire basi
I love it
Hira mm sijapenda kusuka nywere kutoboa kipini ww mtoto wakislam mungu hamesha kuweka ktk kundi la mashetani hiii dunia tunapita fanya mambo yanayo mpendeza mungu sio binadamu 😭😭😭🤲🙏
Mihata kuendelea kumtizama nimeona 🙌nitoke
Muislam kumbe
Usiwapangie watu kuishi, wewe ishi kivyako
Usiwapangie watu kuishi, wewe ishi kivyako
@MAHOKA GAMER hahahaha ila waislam ninyi mna vituko kweli, mtu mzima na akili timamu aamue kuishi maisha yake yanayomvutia lawama wapewe mayahudi na manasara? Akili zenu sio timamu
S2kzy jitahidi ujenge mjengo wako kaka.
🙆
bora nikae chumba kimoja lakini iwe yangu
S2kido sijui S2kizz... nakupenda Ila sipendi hivo unavojisukisha ugentle unapotea
🤣🤣🤣S2kido.....
Sio kweli iyo kwanini aja piti na @harmonize
Mnaaribu vizazi kwanini tusiweke sharia awa watu wanajifanya kama wanawake tunakoerekea mungu atunusuru
wadau video mpya tayar nishaa pandishaa yotube support yenu wadau
from DRC nakubali sanaa huy bro
Ndume alafu unatoboa pua inallilah wahinallilah msiba mzito sana huo..
Mtihani kabisa
@@khadidjasuleiman8006 yaani 😣😣😣
Marehemu 2pac alitoboa pua na ni gangsta duniai😂😎
@@Oldskulgemini9991 kweli lakini 2pac na maadili ya nnchi yao inamfanya afanye hivyo na vingine vyingi.. Huku kwetu sio rasmi ila ndio wimbi linawapitia sasa.. kwa muislam yeyote huo ni msiba..
Acha udini ww mzungu hana shida akifanya mbongo tyr mdomo mrefu hizo ni tamaduni hazihusiani na unachowaza wewe na imani yako jifinze kutenganisha imani na life style alafu kila mtu ana maanuzi yake unaweza ona kutoboa pua dhambi sana vipi ww unayetamn mke wa mtu ila unajificha watu hawakuoni? Vipi mwizi? Vipi mwongo? Vip yule mchawi si dhan kam kweny haya yote wewe haupo watch out your mouth
Mashallah azid8 kukaza kamba
Amapiano ya Rotimi Bwana! Amejua kuitengeneza hadi haipo kama za wa kwetu wanapoiga mpaka utajua ameiga.
Tatizo anaiga sanaaa
Wewe usiyeiga una shingapi kwenye account yako??
Ngoma ulizohusika ni kali,tisha sana chalii
Lakin utajeng kaka. Zombii jah bless
Subhannallah, mtoto wa kiislam ni sheeeeeedah!
I wanna be in ur label man🔥🔥🔥
Wa Bongo munapenda sifa sana uyo anamaisha gani ss akingali dj mdogo ajawanachohote uyo Hana swag
DJ??
sifa kibaooooo.....
Kawaida sana
Nakubar sna
Kwann watu mnashindwa kuelewa kuwa nchi hii ni ya democrasia na haina dini hivyo kila mtu anao uhuru wa kufanya atakalo ila tu asivunje katiba ya nchi. Haya naomba kuwauliza nyote mnaosema S2KIZY kakosea kuweka huo muonekano wake...mmewahi kujua kila baya linalofanywa kwa siri na kila mtanzania? maake kama ni mambo yasiyotakiwa kufanywa na mwanaume ni chungumzima ie kupiga mke, kubaka, kulawiti, kufirana n.k sasa kwakuwa hayo hayaonekani kweupe mnajifanya kuona haya machache yasiyo na kosa lolote dhambi ni dhambi hakuna ndogo wala kubwa zote zinahukumu sawa according to bible. Sasa usimuhukumu mtu kwa kufuata tamaduni nyingine isiyo yako sio lazima awe kama mume wako alivyo ndio maana halisi ya kutofautiana jaman in short jifunzeni kuwa waelewa juu ya mabadiliko ya utandawazi pia. Msifosi tuishi karne ya 18 wakat tupo karne 21. Angalieni katiba muone kama amekosea kama hajakosea mwacheni nyie sio Miungu wengine humu wachawi,mnafirana kila siku, wivu husda zimewajaa,roho mbaya tu, wazinzi, malaya wazuri tu lakini kuongea ya wenzenu sasa moto acheni ushamba wenu bhna alaa nyir vipi basi hameni tanzania katengenezeni sayari yenu makaishi hayo maisha mnayoyataka tuacheni sisi na kina S2KIZY tuendelee kutoa mahit roho ziwaume mfe tuwazike mtupunguzie joto
Kunywaa sodaa nalipaaa
@@dianaonesmo6951 nishaagiza diana bill kwako mrembo
nilizan nyumb yako. Kumbee umepang daaah.
S2kizzy nakubali Sana jembe intonshino unauwa
Mwaka 2022 Top 10 yangu ya wasanii ni:
10. Dayoo
9. Ibrah
8. Weusi
7. Lunya
6. Zuchu
5. Jay melody
4. Nandy
3. Kiba
2. Diamond
1. Harmonize
Safi 👏
Anamaisha ya kihuni anafanya interview amevaa singland anaonyesha kwapa🤣🤣🤣
Khaaa Kumbe Nyumba ya Kupanga 🙄😯 Sasa Anatamba Nini 😂😂😂
😂😂😂😂
Ndio nashangaa
Wanaume wa sasa sijui wanawaza nn wallahy ivi kweli mwanamme wa kweli unasuka, unatoboa masikio na pua kweli bado kuvaa shanga za kiuno tu allah vinusuru vizazi vyetu na huu upuuzi
noma saana mjus hapa
Amiiin
Kila mtu aishi maisha yake.
WEWE unayetaka watu waishi maisha yako achaupuuzi hunaakili
@@kakorejrboyz6447 mwenye akili ni ww unashabikia mambo ya kishoga kwedraaaa
@@khadijambarouk2983 je 2pac alikuwa shoga??
✓ duniani tupo mara moja tukitafuta maisha tujue na kumtafuta Mungu sana,maana tunapita na wengine walipita pia
Amen
GoodBoi
Wavaa hereni, vikuku, watoboa pua, what a disgrace.
mzee unatudanganya kweli vyumba nane unakaa mwenyewe hahaha
Tafta hela
@@MfizoCrypto mwambie kwel han hela
Uyu kiumbe ni hatari 🔥 🔥 🔥
Anamuiga sana wizkid
Anafanana na beki 3 wangu
Kwanini hawa watu hawajengi kwakweli? Hawa watu wana hela so kwanini hawafanyi mambo ya maana?😣
Masharti
Hawana hela hzo unazowaza wewe...Halafu shida yao wanatafuta nyumba za ndoto zao na kuzifikia ndo ngumu ndo wanaishia kupanga.
HAWA HUWA WANAPESA LKN NI ZILE ZINAZOWATOSHA KULA KUVAA NA KULIPA KODI LKN BAJET YA KUJENGA HUWA NI KUBWA KULIKO KIPATO CHAO UNAWEZA KUTA KWENYE WASANII 100 WALIO JENGA NI WA 5 MAISHA YA SANAAA NA UONGO MWINGI
Boss Me na wewe tunaweza kujenga tuvyumba tuwili na sebule tukaishi. Msanii hawezi kufanya hivyo maana kila kitu kwake ni biashara. Akihitaji nyumba basi iwe ya hadhi yake inayoweza kulinda Brand yake. Hii nyumba ni Ghali sana kiasi hawezi kuaford. Kumbuka ukubwa wa Ustaa kwa bongo sio ndio wingi wa pesa. So ndio Wanapanga kama hivyo. Naamini wengine wana nyumba ila za kawaida so hawakai....wanapangisha labda n.k
@@agreymbwilo5874 Mzee hata hvyo vya kupangisha wengine hawana kabisa...Hvi nani alikuwa anaamini kuwa Kanumba hakujenga?..Aliacha kiwanja chenye maua tu. Sasa hata hawa waliobaki ndo walewale wanabaki oooh nina nyumba 100 jamn uwongo mwingine wa kijinga sana hvi unaanza nyumba ya kwanza hadi ya 100 bado nyumba yako pendwa haipo si uwongo wa kitoto kabisa?..Sasa wakifa wanaacha wazazi wao hata pakukaa mtihani wacha wapange nyumba zenye hadhi zao.
hii ya kutoboa pua mm sijapenda
Sasa uanze kumix mwenyewe, jifunze zaidi ukamilike.
kweli.....mkali wao ni Keyz Morento.....
Kweli
Nataman nifate nyayo za S2KIZZY asee yuko poa sana yan
Makinii
Vido waandishi mnajielewa sana cheki wenzenu mambo yote ya kike wameiga kusuka kutoboa pua
jenga broo
Mbona mimi nimelala kwenye kochi hapa na sipiganii kitu🥲
😅😅
Mbona yupo kama demu😂😂
Jina na mnekano tofauti kabisa,
#kweri kabis
❤❤
Hope c y kupanga,ni afadhali ulale kw nyumba ndogo uku ukiweke akiba ujenge y kwko, nyumba y kupanga haitawahi kua yko Abadan
I see! now I understand kwa nini hana tattoo ya Harmonize! Poor mindset ni ugonjwa wa wengi.
...country wiz uxhamxahau akt ndo m2 alyekuw ankuamin kabla..
Country wiz ndo country boy si yupo mkononi apo kamchora? Usichanganye
Kwa mziki upi
Gonga like apa kama unaelewa mapambano ya mwamba
Bangiiii
blessing🙏
Yan hela ya kununua magari unayo lakini umepanga na unalipa Kodi ndefu Yani unafeli zombi
Hapo kwenye
👌✌️
Siyo. Powa. Unakaa. Kama. Demu
You're paying a lot of money per month? Why don't you build or buy your own man? That money you're paying every month put all together for a year and you will be able to build or buy your own home, come on Tz who called themselves stars.
Tunamukubali
Ate
. kipini. Puani. Rasita
Kweny kutoboa pua na heren piah kisukaa na mitatu ndo amenikeraa
MSHKAJ ANAJIONA MZURI KINYAMAA😂😂
Gonga like kwa O.M.G
Uyu ni mwanaume au
Kumbe kapanga 😂😂😂😂
Uko pouw sana kaka
Bd kuvaa shanga 😁😁
Wamasai wanavaa shanga inakuwaje wanatoga masikio mpaka yanataka kukatika hayo mayo yamekaaje?
@@mwanaidimuhamed6540 kwhy unataka uhalalishe kwa sbb kuna watu wanafanya??!
Katoboa pua uyo
Asa c ujenge uwe na kwako mzee mbona mbanga mnapata mnaishia kulipa kodi na kununua mandinga..
Mjengo wake sasa au ndio kapanga
Is he really a muslim ? 🧐 INALLILLAH WAINA ILLAHI RAJIUUN
Kizzy
Jamaa smart xn
Nilidhani amejenga mmh!
Nimeanza pata ushahidi kuwa mziki wa bongo unalipa sasa
Kama pesa unayo ,yote hayo ya nini kusuka kutoboa pua, masikio, kwani usipo fanya hiyo pesa zinapotea eeeh
mbona anarembua rembua au hivyo vipini na ereni vimemuaribu😂😂
Oya ! S2kizzy pesa hizo za dollar kwa mwezi,zichunge akajenge!!!
Haters utawasikia yakipanga sio yake 😂
am doin real estate sometimes, wasanii waogope hiyo nyumba mm nshawai kuifanyia udalali ipo bahari beach mwaitenda road na mwenye hyo nyumba anakaa nyumba inayofuata na mm pia sikai mbali na huo mtaa.
kwa hiyo amepanga?
@@realrealtor4873 kwa hiyo atakuwa amepanga,,,wanatupiga changa tu
Amepanga inabidi ajenge hapo atakua analipa Kodi parefu kinoma 🤕🤕 uwezo wa Kujenga anao huyu Dogo tena mkato mkali sana tu!!
@@profortymwamba2081 sikiza interview vizuri mpaka mwisho kuna swali kategwa na @vido vidox akaingia mzima mzima akasema kapanga na analipa hela nyingi, ila nyumba yake atakayo jenga itakuwa kubwa sana
Yan hereni wameona hazitoshi mpk pua sasa Zinatobolewa msiba huu wallah
Huyu ni beat maker syo producer
Copy copy nyingi ndomana
Nilitamani sana nione akielezea ndani sehem moja baada ya nyingine kama studio pale kuona anafanyaje kazi, sehemu ya memory zake ni sehemu ya msingi sana kuona ameanzia wapi badala yake mmepitisha pitisha tu utadhani MB mnatununulia nyie 🤬🤬🤬
🤣🤣🤣🤣
Umeharibika unamidhalilisha na muonekano wako,,,kipini na hereni mtoto wa kiume kweli?
mbona na ww matako yako yana kipini?
@@lampadshigonko3006 😆😆😆😆daaah bongo🙌
@@lampadshigonko3006 acha matusi ndugu tangu sika sema ukweli
Kajenge kwenu katubuka😃
@@kijakazinyalinga7003 sasa kwani mm nimesema uongo?
Na unachobisha ni kipi au umekagua matako yake ukakosa kipini?
Sasa country boy ndo mtu wa kwanza kukuamini ila rank umemuweka Diamond wa kwanza we dogo boya sana na ndo unamuiga diamond unatoboa unavaa helen nilikuw nakukubali ila sasa hv nmekutoa maana umekuwa limbukeni
Uko sahihi
Boss unaonekana haumpendi Mondi kinoma noma 🤣
s2kizzy
Du hii kitu hata Kama msanii hapana pua kutobolewa du sema nni pita huku sio ridhiki hapa nni😂
S2kizzzy1
Tattoo ya aliyemleta kwa Mondi liser
Sasa hii nyumba ni yake ama amepanga
Kapanga
Wewe hiyo inakuhusu nini
Hata kupanga hapo ni maendleo wengine tumepanga tandale😀
@@mrambadiana9678 Shida wabongo wengi tunachukulia maisha tunayowaona nayo kwa tv ndio uhalisia,kwa skizzy ni hatua kubwa sana kwa sababu katoka katika vumbi na kujipigania
Wewe unauliza sawali hilo hujafuatilia mpaka mwasho mazungumzo yanavyoendelea?
Zombie…🥥