MAISHA YA S2KIZZY NJE YA STUDIO, MJENGO MKALI, HAPA NDIPO ANAPOLALA, AFUNGUKA TUHUMA ZA KUTAPELIWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 215

  • @TariqAziz-sc1lb
    @TariqAziz-sc1lb Год назад +6

    inspiration mahn, allah. bless this guy hez a real one

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo Год назад +20

    Jamaa Yuko talented

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 Год назад +10

    Big up s2kezzy mtu aman sana hana mikogo

  • @iddyamosi153
    @iddyamosi153 Год назад +14

    Zombie anajibu kwa akiri mingi asante anakwepa unafiki adi raha

  • @bakarimatangula7607
    @bakarimatangula7607 Год назад +21

    Vido Vidox ayo tv Entertainment number One. Umeni Inspire kusoma Mass communication and Journalism and Journalism. Big up Vido Vidox

  • @daxmedia9
    @daxmedia9 Год назад +20

    Mshkaji ni creative sana🥇

  • @directorsong
    @directorsong Год назад +41

    Kama unamkubali S2kizzy Gonga Like tuishiii

  • @selebiakapologwe2423
    @selebiakapologwe2423 Год назад +6

    When god say yes no body say no keep it up kijana wa stamico

  • @williamsafari9224
    @williamsafari9224 Год назад +7

    Akidunga kipuli 2 pac ni sawa lkn akidunga mtu wa nyumbani anajidhalilisha..watu bwana

  • @itNeza
    @itNeza Год назад +13

    Unyama S2KZY 💯❤️

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Год назад +2

    Kwa Sasa kama Kuna producer Bora kuliko s2kissy atoke mbele mwambq ni nomaaaa hit song

  • @خسنموس
    @خسنموس Год назад +13

    Iyo ndio shida ya umaarufu, ukipata pesa kidogo unafanya vitu vimetoka nje ya maadili kipini puani unatoboa sikio bdo ulimi uitwe shoga

  • @amourworldbeats
    @amourworldbeats Год назад +13

    Nimewahi Kutana Na s2kizzy Pluto Studio Mara Kadhaa,Ni Hard Worker,Hana Majivuno,Anapenda Kuona Vijana Wanapambania Ndoto Zao.Kanisaidia Kuimprove Kwenye Production Yangu Kiujumla

  • @maryammuhammad2553
    @maryammuhammad2553 Год назад +31

    Hira mm sijapenda kusuka nywere kutoboa kipini ww mtoto wakislam mungu hamesha kuweka ktk kundi la mashetani hiii dunia tunapita fanya mambo yanayo mpendeza mungu sio binadamu 😭😭😭🤲🙏

    • @missmoona4497
      @missmoona4497 Год назад

      Mihata kuendelea kumtizama nimeona 🙌nitoke

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад

      Muislam kumbe

    • @geraldmnaku6951
      @geraldmnaku6951 Год назад +4

      Usiwapangie watu kuishi, wewe ishi kivyako

    • @geraldmnaku6951
      @geraldmnaku6951 Год назад +2

      Usiwapangie watu kuishi, wewe ishi kivyako

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад +2

      @MAHOKA GAMER hahahaha ila waislam ninyi mna vituko kweli, mtu mzima na akili timamu aamue kuishi maisha yake yanayomvutia lawama wapewe mayahudi na manasara? Akili zenu sio timamu

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Год назад +7

    S2kzy jitahidi ujenge mjengo wako kaka.

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Год назад +7

    bora nikae chumba kimoja lakini iwe yangu

  • @muznarashid6301
    @muznarashid6301 Год назад +6

    S2kido sijui S2kizz... nakupenda Ila sipendi hivo unavojisukisha ugentle unapotea

  • @jpkkakudji9402
    @jpkkakudji9402 Год назад +1

    Sio kweli iyo kwanini aja piti na @harmonize

  • @omarjuma4244
    @omarjuma4244 Год назад +2

    Mnaaribu vizazi kwanini tusiweke sharia awa watu wanajifanya kama wanawake tunakoerekea mungu atunusuru

  • @deadliestjourney5962
    @deadliestjourney5962 Год назад +7

    wadau video mpya tayar nishaa pandishaa yotube support yenu wadau

  • @joeyvanrhoussim8738
    @joeyvanrhoussim8738 11 месяцев назад +1

    from DRC nakubali sanaa huy bro

  • @abdalahmwinsheh587
    @abdalahmwinsheh587 Год назад +23

    Ndume alafu unatoboa pua inallilah wahinallilah msiba mzito sana huo..

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Год назад +3

      Mtihani kabisa

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Год назад +3

      @@khadidjasuleiman8006 yaani 😣😣😣

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Год назад +1

      Marehemu 2pac alitoboa pua na ni gangsta duniai😂😎

    • @abdalahmwinsheh587
      @abdalahmwinsheh587 Год назад +1

      @@Oldskulgemini9991 kweli lakini 2pac na maadili ya nnchi yao inamfanya afanye hivyo na vingine vyingi.. Huku kwetu sio rasmi ila ndio wimbi linawapitia sasa.. kwa muislam yeyote huo ni msiba..

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Год назад +8

      Acha udini ww mzungu hana shida akifanya mbongo tyr mdomo mrefu hizo ni tamaduni hazihusiani na unachowaza wewe na imani yako jifinze kutenganisha imani na life style alafu kila mtu ana maanuzi yake unaweza ona kutoboa pua dhambi sana vipi ww unayetamn mke wa mtu ila unajificha watu hawakuoni? Vipi mwizi? Vipi mwongo? Vip yule mchawi si dhan kam kweny haya yote wewe haupo watch out your mouth

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 Год назад +4

    Mashallah azid8 kukaza kamba

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +3

    Amapiano ya Rotimi Bwana! Amejua kuitengeneza hadi haipo kama za wa kwetu wanapoiga mpaka utajua ameiga.

  • @dreammedia2555
    @dreammedia2555 Год назад +6

    Tatizo anaiga sanaaa

  • @testarguy8609
    @testarguy8609 Год назад +6

    Ngoma ulizohusika ni kali,tisha sana chalii

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 Год назад +2

    Lakin utajeng kaka. Zombii jah bless

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +1

    Subhannallah, mtoto wa kiislam ni sheeeeeedah!

  • @joerush3886
    @joerush3886 Год назад +9

    I wanna be in ur label man🔥🔥🔥

  • @mbelecimukandama6688
    @mbelecimukandama6688 Год назад +4

    Wa Bongo munapenda sifa sana uyo anamaisha gani ss akingali dj mdogo ajawanachohote uyo Hana swag

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 Год назад +9

    Kawaida sana

  • @stonefiremrbumbada
    @stonefiremrbumbada Год назад +3

    Nakubar sna

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Год назад +6

    Kwann watu mnashindwa kuelewa kuwa nchi hii ni ya democrasia na haina dini hivyo kila mtu anao uhuru wa kufanya atakalo ila tu asivunje katiba ya nchi. Haya naomba kuwauliza nyote mnaosema S2KIZY kakosea kuweka huo muonekano wake...mmewahi kujua kila baya linalofanywa kwa siri na kila mtanzania? maake kama ni mambo yasiyotakiwa kufanywa na mwanaume ni chungumzima ie kupiga mke, kubaka, kulawiti, kufirana n.k sasa kwakuwa hayo hayaonekani kweupe mnajifanya kuona haya machache yasiyo na kosa lolote dhambi ni dhambi hakuna ndogo wala kubwa zote zinahukumu sawa according to bible. Sasa usimuhukumu mtu kwa kufuata tamaduni nyingine isiyo yako sio lazima awe kama mume wako alivyo ndio maana halisi ya kutofautiana jaman in short jifunzeni kuwa waelewa juu ya mabadiliko ya utandawazi pia. Msifosi tuishi karne ya 18 wakat tupo karne 21. Angalieni katiba muone kama amekosea kama hajakosea mwacheni nyie sio Miungu wengine humu wachawi,mnafirana kila siku, wivu husda zimewajaa,roho mbaya tu, wazinzi, malaya wazuri tu lakini kuongea ya wenzenu sasa moto acheni ushamba wenu bhna alaa nyir vipi basi hameni tanzania katengenezeni sayari yenu makaishi hayo maisha mnayoyataka tuacheni sisi na kina S2KIZY tuendelee kutoa mahit roho ziwaume mfe tuwazike mtupunguzie joto

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 Год назад +4

    nilizan nyumb yako. Kumbee umepang daaah.

  • @milazoomilazoo4494
    @milazoomilazoo4494 Год назад +1

    S2kizzy nakubali Sana jembe intonshino unauwa

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 Год назад +2

    Mwaka 2022 Top 10 yangu ya wasanii ni:
    10. Dayoo
    9. Ibrah
    8. Weusi
    7. Lunya
    6. Zuchu
    5. Jay melody
    4. Nandy
    3. Kiba
    2. Diamond
    1. Harmonize

  • @markokulanga5503
    @markokulanga5503 Год назад +3

    Anamaisha ya kihuni anafanya interview amevaa singland anaonyesha kwapa🤣🤣🤣

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Год назад +6

    Khaaa Kumbe Nyumba ya Kupanga 🙄😯 Sasa Anatamba Nini 😂😂😂

  • @khadijambarouk2983
    @khadijambarouk2983 Год назад +15

    Wanaume wa sasa sijui wanawaza nn wallahy ivi kweli mwanamme wa kweli unasuka, unatoboa masikio na pua kweli bado kuvaa shanga za kiuno tu allah vinusuru vizazi vyetu na huu upuuzi

  • @HighzackMichael
    @HighzackMichael Год назад +1

    ✓ duniani tupo mara moja tukitafuta maisha tujue na kumtafuta Mungu sana,maana tunapita na wengine walipita pia

  • @harmonymattondo4042
    @harmonymattondo4042 Год назад +3

    GoodBoi

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Год назад +2

    Wavaa hereni, vikuku, watoboa pua, what a disgrace.

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Год назад +8

    mzee unatudanganya kweli vyumba nane unakaa mwenyewe hahaha

  • @sekahmusic
    @sekahmusic Год назад +1

    Uyu kiumbe ni hatari 🔥 🔥 🔥

  • @anthonysindabaha7517
    @anthonysindabaha7517 Год назад +5

    Anamuiga sana wizkid

  • @nasserrr90
    @nasserrr90 Год назад +3

    Anafanana na beki 3 wangu

  • @alb7727
    @alb7727 Год назад +7

    Kwanini hawa watu hawajengi kwakweli? Hawa watu wana hela so kwanini hawafanyi mambo ya maana?😣

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Год назад

      Masharti

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад

      Hawana hela hzo unazowaza wewe...Halafu shida yao wanatafuta nyumba za ndoto zao na kuzifikia ndo ngumu ndo wanaishia kupanga.

    • @yusuphsanga7194
      @yusuphsanga7194 Год назад +2

      HAWA HUWA WANAPESA LKN NI ZILE ZINAZOWATOSHA KULA KUVAA NA KULIPA KODI LKN BAJET YA KUJENGA HUWA NI KUBWA KULIKO KIPATO CHAO UNAWEZA KUTA KWENYE WASANII 100 WALIO JENGA NI WA 5 MAISHA YA SANAAA NA UONGO MWINGI

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 Год назад

      Boss Me na wewe tunaweza kujenga tuvyumba tuwili na sebule tukaishi. Msanii hawezi kufanya hivyo maana kila kitu kwake ni biashara. Akihitaji nyumba basi iwe ya hadhi yake inayoweza kulinda Brand yake. Hii nyumba ni Ghali sana kiasi hawezi kuaford. Kumbuka ukubwa wa Ustaa kwa bongo sio ndio wingi wa pesa. So ndio Wanapanga kama hivyo. Naamini wengine wana nyumba ila za kawaida so hawakai....wanapangisha labda n.k

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Год назад

      @@agreymbwilo5874 Mzee hata hvyo vya kupangisha wengine hawana kabisa...Hvi nani alikuwa anaamini kuwa Kanumba hakujenga?..Aliacha kiwanja chenye maua tu. Sasa hata hawa waliobaki ndo walewale wanabaki oooh nina nyumba 100 jamn uwongo mwingine wa kijinga sana hvi unaanza nyumba ya kwanza hadi ya 100 bado nyumba yako pendwa haipo si uwongo wa kitoto kabisa?..Sasa wakifa wanaacha wazazi wao hata pakukaa mtihani wacha wapange nyumba zenye hadhi zao.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +1

    hii ya kutoboa pua mm sijapenda

  • @adelacosmas
    @adelacosmas Год назад +3

    Sasa uanze kumix mwenyewe, jifunze zaidi ukamilike.

  • @prodzack3279
    @prodzack3279 Год назад

    Nataman nifate nyayo za S2KIZZY asee yuko poa sana yan

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 Год назад +4

    Makinii

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +6

    Vido waandishi mnajielewa sana cheki wenzenu mambo yote ya kike wameiga kusuka kutoboa pua

  • @rayannasibu8621
    @rayannasibu8621 Год назад +2

    jenga broo

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 Год назад +1

    Mbona mimi nimelala kwenye kochi hapa na sipiganii kitu🥲

  • @wachujahabari3022
    @wachujahabari3022 Год назад +2

    Mbona yupo kama demu😂😂

  • @WakuchoraTz
    @WakuchoraTz Год назад +4

    Jina na mnekano tofauti kabisa,

  • @Divinelinna
    @Divinelinna Год назад +5

    ❤❤

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Год назад

    Hope c y kupanga,ni afadhali ulale kw nyumba ndogo uku ukiweke akiba ujenge y kwko, nyumba y kupanga haitawahi kua yko Abadan

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +1

    I see! now I understand kwa nini hana tattoo ya Harmonize! Poor mindset ni ugonjwa wa wengi.

  • @ayubumwaipopo8203
    @ayubumwaipopo8203 Год назад +1

    ...country wiz uxhamxahau akt ndo m2 alyekuw ankuamin kabla..

    • @simpleboytz255
      @simpleboytz255 Год назад +1

      Country wiz ndo country boy si yupo mkononi apo kamchora? Usichanganye

  • @aleezgene4572
    @aleezgene4572 Год назад +3

    Kwa mziki upi

  • @drsumatz7539
    @drsumatz7539 Год назад +7

    Gonga like apa kama unaelewa mapambano ya mwamba

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Год назад +3

    Bangiiii

  • @widerbennie-vm2jj
    @widerbennie-vm2jj Год назад

    blessing🙏

  • @charlesgeorge8374
    @charlesgeorge8374 Год назад +2

    Yan hela ya kununua magari unayo lakini umepanga na unalipa Kodi ndefu Yani unafeli zombi

  • @othmanomary6500
    @othmanomary6500 Год назад +1

    Hapo kwenye

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 Год назад +4

    👌✌️

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 Год назад +2

    Siyo. Powa. Unakaa. Kama. Demu

  • @Rizikiskitchen
    @Rizikiskitchen Год назад +2

    You're paying a lot of money per month? Why don't you build or buy your own man? That money you're paying every month put all together for a year and you will be able to build or buy your own home, come on Tz who called themselves stars.

  • @magufulitvkenya6315
    @magufulitvkenya6315 Год назад +1

    Tunamukubali
    Ate
    . kipini. Puani. Rasita

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Год назад

    Kweny kutoboa pua na heren piah kisukaa na mitatu ndo amenikeraa

  • @rajaburajabu3346
    @rajaburajabu3346 Год назад +1

    MSHKAJ ANAJIONA MZURI KINYAMAA😂😂

  • @woodnation4795
    @woodnation4795 Год назад +5

    Gonga like kwa O.M.G

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Год назад +1

    Uyu ni mwanaume au

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 Год назад +5

    Kumbe kapanga 😂😂😂😂

  • @moneymusics6072
    @moneymusics6072 Год назад +1

    Uko pouw sana kaka

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +4

    Bd kuvaa shanga 😁😁

    • @mwanaidimuhamed6540
      @mwanaidimuhamed6540 Год назад

      Wamasai wanavaa shanga inakuwaje wanatoga masikio mpaka yanataka kukatika hayo mayo yamekaaje?

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Год назад

      @@mwanaidimuhamed6540 kwhy unataka uhalalishe kwa sbb kuna watu wanafanya??!

  • @musason1680
    @musason1680 Год назад +1

    Katoboa pua uyo

  • @festopaul7549
    @festopaul7549 Год назад

    Asa c ujenge uwe na kwako mzee mbona mbanga mnapata mnaishia kulipa kodi na kununua mandinga..

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Год назад +3

    Mjengo wake sasa au ndio kapanga

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 Год назад +1

    Is he really a muslim ? 🧐 INALLILLAH WAINA ILLAHI RAJIUUN

  • @noelobed12
    @noelobed12 Год назад +2

    Kizzy

  • @Mtumakini
    @Mtumakini Год назад

    Jamaa smart xn

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +1

    Nilidhani amejenga mmh!

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Год назад +1

    Nimeanza pata ushahidi kuwa mziki wa bongo unalipa sasa

  • @nardtheson5056
    @nardtheson5056 Год назад +1

    Kama pesa unayo ,yote hayo ya nini kusuka kutoboa pua, masikio, kwani usipo fanya hiyo pesa zinapotea eeeh

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Год назад +3

    mbona anarembua rembua au hivyo vipini na ereni vimemuaribu😂😂

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Год назад

    Oya ! S2kizzy pesa hizo za dollar kwa mwezi,zichunge akajenge!!!

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Год назад +5

    Haters utawasikia yakipanga sio yake 😂

    • @realrealtor4873
      @realrealtor4873 Год назад +2

      am doin real estate sometimes, wasanii waogope hiyo nyumba mm nshawai kuifanyia udalali ipo bahari beach mwaitenda road na mwenye hyo nyumba anakaa nyumba inayofuata na mm pia sikai mbali na huo mtaa.

    • @profortymwamba2081
      @profortymwamba2081 Год назад

      kwa hiyo amepanga?

    • @profortymwamba2081
      @profortymwamba2081 Год назад

      @@realrealtor4873 kwa hiyo atakuwa amepanga,,,wanatupiga changa tu

    • @jimmychengs1338
      @jimmychengs1338 Год назад

      Amepanga inabidi ajenge hapo atakua analipa Kodi parefu kinoma 🤕🤕 uwezo wa Kujenga anao huyu Dogo tena mkato mkali sana tu!!

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Год назад

      @@profortymwamba2081 sikiza interview vizuri mpaka mwisho kuna swali kategwa na @vido vidox akaingia mzima mzima akasema kapanga na analipa hela nyingi, ila nyumba yake atakayo jenga itakuwa kubwa sana

  • @hafsasaid9666
    @hafsasaid9666 Год назад

    Yan hereni wameona hazitoshi mpk pua sasa Zinatobolewa msiba huu wallah

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +6

    Huyu ni beat maker syo producer
    Copy copy nyingi ndomana

  • @shambafm7422
    @shambafm7422 Год назад +2

    Nilitamani sana nione akielezea ndani sehem moja baada ya nyingine kama studio pale kuona anafanyaje kazi, sehemu ya memory zake ni sehemu ya msingi sana kuona ameanzia wapi badala yake mmepitisha pitisha tu utadhani MB mnatununulia nyie 🤬🤬🤬

  • @peter4005
    @peter4005 Год назад +8

    Umeharibika unamidhalilisha na muonekano wako,,,kipini na hereni mtoto wa kiume kweli?

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Год назад +2

      mbona na ww matako yako yana kipini?

    • @daxmedia9
      @daxmedia9 Год назад

      ​@@lampadshigonko3006 😆😆😆😆daaah bongo🙌

    • @kijakazinyalinga7003
      @kijakazinyalinga7003 Год назад +3

      @@lampadshigonko3006 acha matusi ndugu tangu sika sema ukweli

    • @kijakazinyalinga7003
      @kijakazinyalinga7003 Год назад +1

      Kajenge kwenu katubuka😃

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Год назад +1

      @@kijakazinyalinga7003 sasa kwani mm nimesema uongo?
      Na unachobisha ni kipi au umekagua matako yake ukakosa kipini?

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 Год назад +2

    Sasa country boy ndo mtu wa kwanza kukuamini ila rank umemuweka Diamond wa kwanza we dogo boya sana na ndo unamuiga diamond unatoboa unavaa helen nilikuw nakukubali ila sasa hv nmekutoa maana umekuwa limbukeni

  • @djhajiztz
    @djhajiztz Год назад

    s2kizzy

  • @Electri-ambi
    @Electri-ambi Год назад

    Du hii kitu hata Kama msanii hapana pua kutobolewa du sema nni pita huku sio ridhiki hapa nni😂

  • @tajirihalisi823
    @tajirihalisi823 Год назад +2

    S2kizzzy1

  • @Babamaploti
    @Babamaploti Год назад

    Tattoo ya aliyemleta kwa Mondi liser

  • @alimarezi3613
    @alimarezi3613 Год назад +2

    Sasa hii nyumba ni yake ama amepanga

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Год назад

      Kapanga

    • @shedrackjoshua834
      @shedrackjoshua834 Год назад

      Wewe hiyo inakuhusu nini

    • @mrambadiana9678
      @mrambadiana9678 Год назад

      Hata kupanga hapo ni maendleo wengine tumepanga tandale😀

    • @shedrackjoshua834
      @shedrackjoshua834 Год назад

      @@mrambadiana9678 Shida wabongo wengi tunachukulia maisha tunayowaona nayo kwa tv ndio uhalisia,kwa skizzy ni hatua kubwa sana kwa sababu katoka katika vumbi na kujipigania

    • @zeddymourice4249
      @zeddymourice4249 Год назад +1

      Wewe unauliza sawali hilo hujafuatilia mpaka mwasho mazungumzo yanavyoendelea?

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Год назад +4

    Zombie…🥥